Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1

  Рет қаралды 67,957

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa.
Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kujijengea kwenye maisha ya baadae siku Muumba atakapotuita ni jambo ambalo tunatakiwa kujifunza kutoka kwake. Na pia ni moja ya idea maridhawa nimeskia mwaka huu. Na kubwa kabisa ni kuwa mimi na yeye hatukuwahi kuwa na maongezi ya aina hii, wakati muafaka kabisa...
Seneda yeye haswa alizaliwa wapi? Ametokea kwenye familia ya mziki? Wazazi wake ni watu wa aina gani haswa? Kule Manzese ndo kwao? Au ilikua maskani tu? Na kama si hivyo aliwezaje kujikita mpaka akawa rais? Suala la elimu je? Wakati anakua kuna makashkashi yoyote alipitia? Na muziki? Na Babu Tale? Na Abdu Bonge aliwatoa wapi? Na TipTop Connection nayo chimbuko lake ni wapi?
Niliongea naye kuhusu hayo na kuwa ‘chawa’ ili yake yamuendee kwenye suala zima la kujijengea empire yake... Muziki umemfanyia nini? Kama Baba ni kitu gani ambacho watoto wake wanapenda kuhusu yeye? Yuko na hao Mama za watoto wake? Ki ukweli kuna mengi tumezungumza naye lejendari huyu wa Bongo Flava ikiwa pia pamoja na wimbo wa ‘Pombe Yangu’ ambao nao pia una story yake ya kipekee.
Yangu matumaini uta enjoy kama nilivyo enjoy mimi na wenzangu wakati tuna film hii.
Love,
Salama.../
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 102
@katikatisafaris
@katikatisafaris 4 жыл бұрын
Hawa ndio mfano wa watu tunapenda kuwasikia Salama. Asante sana, Fid Q, Idris, na wengine wachache pia, are very inspiring. We love your interviews.
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
Kosa lako wewe sio kosa kwangu ni FUNZO kwangu 🙌🏽🙌🏽 madee
@martinfrancis9808
@martinfrancis9808 4 жыл бұрын
DUU AISEEE MADEE UKIKAA NAE UTAVUNJIKA MBAVU ANACHEKESHA SANA ANA STORY KINOMA... SIJUTII MB ZANGU BIG UP NACHEKA TU HAPA
@annakattoa7502
@annakattoa7502 4 жыл бұрын
Nakupenda hiki kipindi Sanaa narudia This is how journalism is , how journalist need ANGEL it's gives you all detail from interviewer freely,flowing, no hesitation s. LOVE YOU SALAMA♥️♥️♥️
@queenseptember4640
@queenseptember4640 4 жыл бұрын
Nimeipenda chemistry ya Salama na Madee, interview nzima nimebaki nakenua tu, Big up kwenu. Nice one.
@latifamadaha4377
@latifamadaha4377 4 жыл бұрын
Queen September mie pia nakenua tuu jmn kha!! 😍
@moseskarima3824
@moseskarima3824 4 жыл бұрын
QUEEN OF TV SHOWS
@peterlwinga6475
@peterlwinga6475 4 жыл бұрын
Kipindi chako kizuri salama , from Lusaka zambia through youtube
@Ali_Manzu
@Ali_Manzu 4 жыл бұрын
Salama, hio salamu Hamadi amejibu kwa sauti ta Bwakila! Kazi safi.
@SalamaAJabir
@SalamaAJabir 4 жыл бұрын
Asante Sheikh Ali! ♥️
@neematemu9758
@neematemu9758 4 жыл бұрын
Nataka kujua mengi kuhusiana na kiba plz salama naomba inayo fuata ufanye nae au diamondi
@rodrickmataba8999
@rodrickmataba8999 4 жыл бұрын
Exclusive moja hatari sana... Madee is very wise and Salama you the best
@ebrahimhaji3168
@ebrahimhaji3168 4 жыл бұрын
salama this is the best interview.
@annaamos328
@annaamos328 4 жыл бұрын
Love u Salama, am glad kweny kpnd hiki u also shares some of ur Lifestory I really wanted to no u more😍
@fra_nyuki
@fra_nyuki 4 жыл бұрын
Soooooo nice aseeeee... Show ina uhalisia wa kweli hadi raha. Big up to you all
@abdulzuberi2418
@abdulzuberi2418 5 ай бұрын
Kosa lako wew kwangu ndo elimu kwangu
@keifatuke99
@keifatuke99 4 жыл бұрын
Tatizo nimeliona kwa Watanzania wengi wanajibu tofauti na swali,Salama kauliza colour ya nywele kama kapaka "black colour",yeye anajibu "volume" wingi wa nywele.
@bm4tv602
@bm4tv602 3 жыл бұрын
Brother unajua kujieleza vizuri
@rohityalsina5972
@rohityalsina5972 4 жыл бұрын
Hiki sio kipndi bali ni DARASA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 MIM MUHUDHULIAJI MZURI SIKOSAGI KIPINDI
@neematemu9758
@neematemu9758 4 жыл бұрын
Salama u are the best .......naomba kuona ukimiterview kiba plz
@harmonymattondo4042
@harmonymattondo4042 Жыл бұрын
Salama Big up sana dada Yetu
@husnazahoro7082
@husnazahoro7082 4 жыл бұрын
Salama nakukubali sana niletee jide
@mangib52
@mangib52 4 жыл бұрын
Best of the best interview........salama acheka sana coz huchoki kusikiliza!........... like kwa madeeee!✌
@francymeselano6627
@francymeselano6627 4 жыл бұрын
nimeipenda hile "pambania umuoneshe mtoto kuwa wewe ndo baba yake hamna mwingine ,hata kama kuna mwingine anakuja na kutambulishwa kuwa ni baba yake,ila mtoto akilini ajue kuwa wewe ndo baba yake sio yule anayekuja badala yako" safi sana shineida ndo madee..
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 4 жыл бұрын
SALAMA JABIR is the best YOH
@adamjohn7782
@adamjohn7782 4 жыл бұрын
Very professional bro
@nicholasmakule2381
@nicholasmakule2381 4 жыл бұрын
F
@Eddiedillip
@Eddiedillip 4 жыл бұрын
Cool
@ramlaamiri9718
@ramlaamiri9718 4 жыл бұрын
Nmeendaa kuitazama kazi yake mola
@linethowire7031
@linethowire7031 4 жыл бұрын
Salama una kazi nzuri mamii, u know how to question ur guests.... Madee unavutia na nywele zako,ni baba bora na nimependa ulivyopambana... Good guys
@mwasitiiddy7425
@mwasitiiddy7425 4 жыл бұрын
Watu wahip hop wanajuag kuengea
@abdarahamaniabubakari4036
@abdarahamaniabubakari4036 4 жыл бұрын
mwasiti#uyo sio msanii wa hip-hop huyo, msanii wa fleva za bongo
@ahmadshomvi6545
@ahmadshomvi6545 4 жыл бұрын
I like it
@annajohn9063
@annajohn9063 4 жыл бұрын
We are waiting
@Proches91
@Proches91 4 жыл бұрын
Nimeenjoy sana na cheko kubwa.. Nice interview
@mauakipepeo8319
@mauakipepeo8319 4 жыл бұрын
Nimekaa muda mrefu nasoma kibao katikati ya madee na saalama. Kimeandikwa gather it mean a lot
@hefsibahunkie7376
@hefsibahunkie7376 Жыл бұрын
😂
@MadTitan255
@MadTitan255 3 жыл бұрын
Daah, nimecheka sana aisee. #RESPECT
@wagonzizi1184
@wagonzizi1184 3 жыл бұрын
This is the funniest interview so far...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@adamrenatus4235
@adamrenatus4235 4 жыл бұрын
madee nakukubali Sana brother , hatari Sana
@getmotivated3619
@getmotivated3619 4 жыл бұрын
..."kuzaa nje ya ndoa imenikomaza"... reaaleee?... acheni ku preach uzinzi na ufuska... inaweza kuwa imakaa sawa kwa upande wako... ila watu si wapumbavu kuamini huo upuuzi... kuna listi isiomaliza ya matatizo yanayoweza kujiri kwa kuwa mzizi...maradhi.. watoto wa mitaani (wanao kwenda kuwa wezi, na majambazi)... na hapo hatujaongelea suala ambalo ni Muhimu kwa wengi kuliko yote... kumuasi Mungu.... so tuondolee uo ujinga...
@signalboy4260
@signalboy4260 4 жыл бұрын
tatzo mnayakuza...kwan ambacho hujamuelewa nn...kashasema yeye anajifunza so kama unaamin ni uzinzi ndo usizini sasa
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Salama, this is the best interview
@abdallahomari9860
@abdallahomari9860 4 жыл бұрын
Senedaaaaaa
@tariknassoraucho5814
@tariknassoraucho5814 Жыл бұрын
Kumbe ilikua n debate..
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
hilo la tale na uniform""""Madee wewee😂😂😂😂😂kweli usimuone mtu kafanikiwa watu wanatoka mbali saaaana acheni wale Bata zao.
@slayingtee6044
@slayingtee6044 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 4 жыл бұрын
Napenda kipindi chako salama
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Kiukweli tume enjoy sana interview 😂😂😂
@neematemu9758
@neematemu9758 4 жыл бұрын
Plz salama naomba ufanye na kiba au diamond
@marcuskikot5915
@marcuskikot5915 2 жыл бұрын
Today lesson...To Accept changes
@princemujuni9803
@princemujuni9803 4 жыл бұрын
"Leta tuone kama kweli umevunjika taya arifu" ilickika sauti ya kijana mmoja huko A town akimwambia Naniii
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 4 жыл бұрын
mjuba kama mjuba😂
@ashasiaga3197
@ashasiaga3197 4 жыл бұрын
Aisee maisha kupata sio rahisi kikubwa subra na uvumilivu
@asueddy1465
@asueddy1465 4 жыл бұрын
Umekuta dunia imeandaliwa, Nawe bila hiyana si ukazaliwa, Umekuta wasafiri (wasafiri) Waliotutoka kwaheri Kimwili umetutoka kiroho tupo nawe, Upo ndani ya kina Kati mbao chini mawe, Mchana na usiku tunaomba tuwe nawe, Haiwezi kuwa sawa, Ugonjwa hautibiki na mauti hayana dawa, Kwa heri mwanahawa
@naasamson4905
@naasamson4905 4 жыл бұрын
Salama msosi unaletwa kwa grade,wa manzese wana grade yao na wa mbezi wana grade yao
@exburnnyhilary6463
@exburnnyhilary6463 4 жыл бұрын
Salama naona anachukua notice kama yupo darasani pale maswali yake yanapojibiwa vzuri 😀😀😀
@kipajifilamu4718
@kipajifilamu4718 4 жыл бұрын
Watu wng wanadumaa kuogopa mabadiliko, inanihusu 80%
@josephk90
@josephk90 4 жыл бұрын
Dah! Mimi 100%
@deucmichael4374
@deucmichael4374 4 жыл бұрын
Madee nakuelew sana bro
@mariamjumaswalehe635
@mariamjumaswalehe635 4 жыл бұрын
Nimependa men
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 4 жыл бұрын
Tunasubiri
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 4 жыл бұрын
BABA WA DOGO JANJA... SHENEDA ASANTE KWA MAOJIANO YAMEKA PAHALI YAKE NICE LESSON
@ZaharadaffaZaharadaff
@ZaharadaffaZaharadaff 4 жыл бұрын
Ya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sana
@mohammedaliabdallah5508
@mohammedaliabdallah5508 4 жыл бұрын
Hamad Ali. 👍🏾😎
@ernestnoely848
@ernestnoely848 4 жыл бұрын
interview nzuri sana
@thabitisimba1143
@thabitisimba1143 4 жыл бұрын
Mikono juu kama unampenda madee yooo miaka yote mi nazidi kuwarusha Toka far es salaam dodoma mpaka Arusha
@kipajifilamu4718
@kipajifilamu4718 4 жыл бұрын
Another day
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 sasa madee uliimbaje wakati taya ulivunjwa?🤣🤣🤣🤣 da 🙄 watu wanatoka mbali jamani,mpaka wameshawahi kuiba du kweli usione watu wanamafanikio ukadhani wamepata kirahisi big NO,❤ you much salama from swiss
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 4 жыл бұрын
Safi sana salama....u re the master of tv shows
@AfiSoul103
@AfiSoul103 4 жыл бұрын
Salama anafurahi jamani unaonesha haswaa kua hii interview ya kirasta
@justfaye6763
@justfaye6763 4 жыл бұрын
This episode was good but the set up seem rushed, the scarfs are not ironed, the drinks weren’t mentioned seems like regular juice , the table set is off , and the samaki samaki food wasn’t mentioned when bought out. Seems like was a last minute set up.
@herisophisticated9275
@herisophisticated9275 4 жыл бұрын
Hamad seneda
@kipajifilamu4718
@kipajifilamu4718 4 жыл бұрын
Mtandao unasumbua nilipo lkn naangalia hvyhvy kibish
@hawamtambwa402
@hawamtambwa402 4 жыл бұрын
Kama mm
@khamissshaban4016
@khamissshaban4016 4 жыл бұрын
Nzury San
@talazain1017
@talazain1017 4 жыл бұрын
URirC Air
@msandomuumbi4803
@msandomuumbi4803 4 жыл бұрын
Madee
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 4 жыл бұрын
machalii wa chuga hawaamini mpaka waone nyaya mdomoni😂
@saidissa9832
@saidissa9832 4 жыл бұрын
One of the interview.... "Nice one"
@rumibarton2359
@rumibarton2359 4 жыл бұрын
Unaibiwa ulikuja na shilingi ngapi
@keifatuke99
@keifatuke99 4 жыл бұрын
Duu maisha ni safari ndefu
@ramlaamiri9718
@ramlaamiri9718 4 жыл бұрын
Shenz type
@muhidinkilemba6540
@muhidinkilemba6540 4 жыл бұрын
Salama ulipo tupo dada
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 4 жыл бұрын
Bonge Darasa
@alihakizimana7206
@alihakizimana7206 4 жыл бұрын
🇧🇮
@abdarahamaniabubakari4036
@abdarahamaniabubakari4036 4 жыл бұрын
Salama naomba umuite na NIKKI MBISHI kwenye hii interview..
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 4 жыл бұрын
Haswaaa
@AfiSoul103
@AfiSoul103 4 жыл бұрын
Aii kazi yake mola naikibali kinyamaaaa...yaani jamaa Rasta huyu namkubali anavoongea yupo Nature yaani
@dalalikinondonirealestatea8875
@dalalikinondonirealestatea8875 3 жыл бұрын
NIMESIKILAZA INTERVIEW ZOTE HII BORA SANA UKIONDOA ILE YA MWANA F.A
@ramadhanomar360
@ramadhanomar360 4 жыл бұрын
Vipi kuhusu mchizi wako mb Dogg mbona unamlenga
@chundabadsingasinga3130
@chundabadsingasinga3130 4 жыл бұрын
#MADEE KAWASHIKA MKONO DOGOJ NA MAARIFA MAFANIKIO KUSAIDIANA
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 3 жыл бұрын
Unajifunza kupitia tamthilia?na si maadili ya u-Afrika wako..hapa sijamkubali huyu mtu
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 4 жыл бұрын
Big Interview! Hongera Madee! Karibuni msubscribe channel yetu kwa video's za mazoezi
@Kibitiyetu1
@Kibitiyetu1 4 жыл бұрын
Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 4 жыл бұрын
Hahaha ulimfanya nn😀😀
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 4 жыл бұрын
Tulia dawa IKUINGIE!
@francosichale
@francosichale 4 жыл бұрын
Huna hoji watu bila kuwauliza sehemu huska wanapotoka au kuzaliwa
Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 2
18:49
YahStoneTown
Рет қаралды 38 М.
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
YahStoneTown
Рет қаралды 70 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 42 МЛН
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 5 МЛН
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 87 М.
Madee - Mwizi (Official Music Video)
4:39
Madee Seneda
Рет қаралды 60 М.
Mkasi - SO7E08 With Afande Sele
29:56
MkasiTV
Рет қаралды 118 М.
#LIVE: BLOCK 89 EXCLUSIVE INTERVIEW WITH P FUNK - DECEMBER 20. 2019
1:20:35
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 2
31:03
YahStoneTown
Рет қаралды 304 М.