Salama Na RIYAMA Ep 32 | UTAKWENDA UTARUDI Part 1

  Рет қаралды 178,960

YahStoneTown

YahStoneTown

3 жыл бұрын

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZbin Link bit.ly/KZbinSalamaNa
Riyama Seleman Ally, malkia wa kazi aifanyayo na kila alitilialo msisitizo hulifanya kwa asilimia 100, hata kama akichelewa kama pengine alivyochelewa kupata heshima yake na malipo yake anayostahili, kama ambavyo anapata sasa au ambayo anapata maana safari bado ni ndefu. Na kwa mazungumzo haya nilofanya naye huo ndo muelekeo na ndo nia na madhumuni. Sote tunajua PENYE NIA PANA NJIA, so kazi ni kwetu.
Mzaliwa wa Unguja Tanzania, kakua katika familia ya kidini na malezi bora ila kwa mujibu wa maongezi yetu haya yeye alipenda zaidi kuwa muimbaji, kitu ambacho Mwenyezi Mungu mtoa vipaji hakumjaalia kipaji hicho na uzuri ni kwamba aligundua mapema na akafanya ustaarabu wa kutafuta kitu chengine cha kusogeza maisha yake.
Ule usemi wa Mungu anakupa unachostahili na sio unachotaka hapa umetulia mahala pake. Imagine kutoka kutaka kulazimisha kuwa Khadija Kopa (ndo muimbaji anayempenda zaidi) na kuwa mmoja wa wasanii wa filamu hodaaari kabisa hapa kwetu na kama SI NDIO MUIGIJAZI BORA WA KIKE WA FILAMU hapa Tanzania.
Heshima zangu za dhati zinaenda kwake kwa kukubali kuja kuongea nami na kunielezea kinaga ubaga juu ya ukuaji wake, maamuzi fulani fulani ambayo ashawahi kufanya maishani mwake. Elimu yake, alisoma? Shule ipi? Alikua mwanafunzi wa aina gani? Kuhusu familia? Ana mtoto? Na pia tulizungumzia filamu na maisha yake kama kioo cha jamii. Majibu yalikua mazuri na marefu na kwa hilo namshkuru sana yeye kwa kuweza kuja na kuongea nami huku mume wake mpendwa akiwa anamgojea kwenye parking lot.
Yangu matumaini uta enjoy maongezi haya kama nami nilivyo enjoy kuongea naye.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 272
@z.shondezshonde5663
@z.shondezshonde5663 3 жыл бұрын
Huyu mwanamke nampenda mpaka najishangaaaa hakika namuombeaga kilaa mala #riyama nakupenda dadaang😔😔😔
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 3 жыл бұрын
riyama mm nakupenda sana pia napenda unavyo ongea mashallha rafuzi mzuri pia watu wengi wananiambia nimefanana na ww natamani siku moja tuonane
@universenurity776
@universenurity776 3 жыл бұрын
Fungu la kukosa best movie ever! 🙌🙌🙌
@teddymahawe670
@teddymahawe670 3 жыл бұрын
Love u much more Ryama Ally😘😘😘God bless u abundantly
@rahmaothuman4819
@rahmaothuman4819 3 жыл бұрын
Riyama nampenda jmn huyu dada anajua kuigiza mpk anakera awee anajua asee ila bongo move mnafeli wapi soko lenu linazidi kushuka kila siku pls mnatuangusha jmn tunawapenda mno
@mussamsella5801
@mussamsella5801 3 жыл бұрын
Hivi kwa majibu ya huyu dada Riyama una haja kumuuliza Elimu yake ??? Binafsi naridhika sana namna anavojibu
@stellamamiro6553
@stellamamiro6553 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana salama natamani siku moja na wew ukae upande wa kuhojiwa tukujue my sister i love
@firdausgreen1391
@firdausgreen1391 3 жыл бұрын
Wallah Wabillah Da.Riyama huwa nakuiga unavyo ongea mpaka nimekuwa addicted ....na watu wanapenda ninavyo ongea hawachoki kunisikia
@khalidshabani7600
@khalidshabani7600 3 жыл бұрын
Yani I feel you namna ulivyotoa hizo hisia kutoka moyoni kabisa...
@firdausgreen1391
@firdausgreen1391 3 жыл бұрын
@@khalidshabani7600 kwenye kutoa hisia mie nipo vizuri hahahahhaha
@khalidshabani7600
@khalidshabani7600 3 жыл бұрын
Hahaaa... Nakubali yan I feel you... kutoka kwny uvungu wa moyo kabisa
@zeekumchaya4280
@zeekumchaya4280 3 жыл бұрын
Honestly watu wengi wanafanya interview na celebrities ila salama ur giving us the best ur questions are interesting to me and many,ur the best....... love u riyama ur the girl am looking up to
@yusuphsaid8920
@yusuphsaid8920 3 жыл бұрын
True
@anitakamene5073
@anitakamene5073 3 жыл бұрын
True
@alipqasse9967
@alipqasse9967 3 жыл бұрын
Ur correct zee
@sharoombay8997
@sharoombay8997 3 жыл бұрын
Safi ,Kiswahili safi. Mungu awabariki mnajielewa mpaka raha.
@aisharamadhan1692
@aisharamadhan1692 3 жыл бұрын
Yaani dah! Riyama tunakupenda mno mungu akuhifadhi my dear
@G.S985
@G.S985 3 жыл бұрын
Salama you're number one kwenye interview, nampenda sana Da Riyama umefanya vizuri
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 жыл бұрын
Na kupenda sana dada Riyama uko vizuri mama mungu akupe mutoto na mumeo..inshaa Allah..mupende mutoto wamumeo jombaraka may
@crelincharles9358
@crelincharles9358 3 жыл бұрын
Nashukuru kwa kuleta riyama nimefurah sana
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 3 жыл бұрын
Nimechelewa ila nimefika kw wapendwa wngu ❤️❤️❤️💓💓🇰🇪
@nasrahsamwely6871
@nasrahsamwely6871 3 жыл бұрын
Nampenda Riyama saaaana pia napenda ndoa yake na bwana Riyoo 💝💝💝💝💝💝💕💕💕🤝
@husseinsongambele3771
@husseinsongambele3771 3 жыл бұрын
this is my best interview.
@amoschacha2885
@amoschacha2885 3 жыл бұрын
Salama muite shekhe mazingeeee
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 3 жыл бұрын
Napenda Sana nyote hamukupaka makeup wala mawig inapendeza sana
@ilhamsalum6815
@ilhamsalum6815 3 жыл бұрын
Ao ndo wazanzibar bwana
@hanifahkhatib5780
@hanifahkhatib5780 3 жыл бұрын
Nakipendaa sana hiki kipindii....nakuenda sana salamaa unafanya kweli hatari
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Salama jamani nakupenda, miss you kwenye bongo star search na ile mikuki yako unayo choma watu ukweli kama hawajui kuimba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani I really miss such moments
@rosemofuga6313
@rosemofuga6313 3 жыл бұрын
Mama mateso best wife ,jamani, mm kiukweli nakukubali sana Rihama, wewe salama ndo hata usiseme, you the best man trust me
@eunicemussa5883
@eunicemussa5883 3 жыл бұрын
Nakupenda sana Riyama
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 3 жыл бұрын
When pure talents meet,what you have seen is what just happened,beyond dopeness INTERVIEW
@burger53backyard18
@burger53backyard18 3 жыл бұрын
Salama he is not man she is a girl
@saunakatauyanawausufanyeni9504
@saunakatauyanawausufanyeni9504 3 жыл бұрын
nakupendaga sana liama
@zainabzainab2422
@zainabzainab2422 Жыл бұрын
Kweli riyama fungu la kukosa ni film bora.from kenya
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 3 жыл бұрын
Heshima yako Dada salama tu naomba. Umuhoji inspector Haroon, . Juma nature, ferooz.
@deograssymwavipa6887
@deograssymwavipa6887 3 жыл бұрын
Nakubari sana rihama
@nurudovino288
@nurudovino288 3 жыл бұрын
Naipenda sana hio mama mateso
@elizabethwoga5140
@elizabethwoga5140 3 жыл бұрын
Mbio mpaka kwa fungu lakukosa 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
@idizuberi9572
@idizuberi9572 3 жыл бұрын
Nakupenda riyama Allah akuongoze
@thomaslinda3713
@thomaslinda3713 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana pacha wangu
@eshalibaba1195
@eshalibaba1195 3 жыл бұрын
Riyama nakupenda
@rahmasaid5432
@rahmasaid5432 2 жыл бұрын
Nampenda rihama walah kwanzia uigizaji mpaka uongeaji love u
@moshdiv3716
@moshdiv3716 3 жыл бұрын
love u guys your the best
@davidnchoji
@davidnchoji 3 жыл бұрын
I love both of you,😍
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 3 жыл бұрын
Nakupenda jamani unahekima sana ungechaguliwa mbunge au mkuu wawilaya unafaa kabisa
@omaryjoseph2523
@omaryjoseph2523 3 жыл бұрын
Nawakubal sanaaaa
@alexkilumile1689
@alexkilumile1689 3 жыл бұрын
We dada nakupenda bure🥰🥰🥰 hvyo tyu
@manirambonabelysemanirambo5619
@manirambonabelysemanirambo5619 3 жыл бұрын
Nawapenda sana salama and riyama from
@princesbimkhamis6446
@princesbimkhamis6446 3 жыл бұрын
Nakupenda da salama
@encernstudios3745
@encernstudios3745 Жыл бұрын
Mwamba MUSSA BANZI 🔥Long time snaa sjaskia ili jina
@ofmae-thebrainstech3501
@ofmae-thebrainstech3501 Жыл бұрын
One day I will be there if Allah wishes on SalamaNa
@kelvinbanoth3013
@kelvinbanoth3013 3 жыл бұрын
Salama Huyu jamaa mi namkubali sanaa
@ruhumakhadija8772
@ruhumakhadija8772 3 жыл бұрын
Assalam aleikum salama uko na sauti poa sana una umakinifu wa kuuliza maswali Mimi na kukubali sana
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 3 жыл бұрын
Thank you guys.. for inviting Riyama , she's a legend and very good entertainer we love her so much ...❤️💚💛
@SamiraBhazizane
@SamiraBhazizane 6 ай бұрын
Nakupenda saana mashallah
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 3 жыл бұрын
Nilikuw naipend hyo fungu la kukosa, mama mateso
@tantineuseni9669
@tantineuseni9669 3 жыл бұрын
Nakukubali sanaa
@oliveirsuarez8826
@oliveirsuarez8826 3 жыл бұрын
Sista yupo fact kabisa tena yupo vzr kabisa
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 жыл бұрын
Nampenda uyu dada riama
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 3 жыл бұрын
Salama mzurii
@rauhiyarauhiya2971
@rauhiyarauhiya2971 3 жыл бұрын
Jamani uyu riama namppendasana nitampata wap nnampenda kama mama angu
@bahatimmependezamwanginda5202
@bahatimmependezamwanginda5202 3 жыл бұрын
Salama nimependa umebadilisha style yanywele, pendeza
@moshdiv3716
@moshdiv3716 3 жыл бұрын
umenifurahisha kwenye kuimba adi mimi napenda lkn pumzi sina😀
@shanishosho911
@shanishosho911 3 жыл бұрын
Odo wangu riyama
@dorotheafredy7043
@dorotheafredy7043 Жыл бұрын
Hongera lihama
@lovenessrobert9815
@lovenessrobert9815 2 жыл бұрын
Nakupenda riyama jaman
@elizabethhonere2931
@elizabethhonere2931 3 жыл бұрын
Yani Salama unanichekesha sanaana daah
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 3 жыл бұрын
Riyama angejitahidi sasa nae akawa producerdirector wa swahili movies,miaka yake kwenye industry amefikia kua nae aongoze wenzie especially wanawake wenzie. Interview za Riyama hazichokeshi
@mercymatolla6089
@mercymatolla6089 3 жыл бұрын
🔥..... Nakupenda mgeni
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Leo komando ! Gonga like team komando
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
My lovely sister 😘❤️
@zicomgravity4897
@zicomgravity4897 3 жыл бұрын
🔥
@kalengemochi1306
@kalengemochi1306 2 жыл бұрын
Riyama nakukubali sana
@naimamaina8767
@naimamaina8767 3 жыл бұрын
ninakukubali sana riyama ally
@anitakamene5073
@anitakamene5073 3 жыл бұрын
Nice
@aminahamis9377
@aminahamis9377 3 жыл бұрын
Nice interview 👏🏻👏🏻👏🏻❤️love her
@ndojes711
@ndojes711 3 жыл бұрын
Hupewi mtoto hospitali mpaka alie
@mussamsella5801
@mussamsella5801 3 жыл бұрын
Hongera sana dada Riyama ...uko vizuri sana
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 3 жыл бұрын
Sijawahi kucheka interview nakuoendaga sana riyama kwa kila hali
@benedictraphael5711
@benedictraphael5711 3 жыл бұрын
Nafurahia sana interviews zako Salama, na kuna wakati nakuona wewe mwenyewe unazifurahia kabisa, Mungu akuzidishie
@happinessakim2889
@happinessakim2889 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏😍
@Manlike96
@Manlike96 3 жыл бұрын
Tuletee na diamond
@namnyakiabell3818
@namnyakiabell3818 3 жыл бұрын
❤️❤️♥️❤️
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 2 жыл бұрын
Nakupenda. Bure.mam
@mohdmohd2722
@mohdmohd2722 3 жыл бұрын
salama tunataka na ww
@zaitymaganga1322
@zaitymaganga1322 3 жыл бұрын
Hongera mama riyama
@alipqasse9967
@alipqasse9967 3 жыл бұрын
Sasa nyinyi wawili vile nawapenda buree na sana😍😍😍
@vailethsospeter750
@vailethsospeter750 3 жыл бұрын
Salama utuletee Dr. Kumbuka pls
@burhanmbezi107
@burhanmbezi107 3 жыл бұрын
Show haikuwa nzuri sana....tofauti na tulivyotegemea,, ingawa dada Tizama ni muigizaji nguli Lkn c mzuri katika Interview,ukilinganisha na wasanii wali wahi kufanya kipindi na salama... Kama vile Gabo, Monalisa, zilikuwa suspense,lkn hii ya Riyama haikuchapuka ukilinganisha na umaarufu wa Da Riama
@VailethJonathan
@VailethJonathan 8 ай бұрын
Nimexhelewa sana jamani kukijuwa iki kipindi
@mjsaidkeya822
@mjsaidkeya822 3 жыл бұрын
Riyama 🔥🔥🔥🔥nampenda sana
@khaulatmohammed3765
@khaulatmohammed3765 3 жыл бұрын
Nimecheka atr😃😃🤣
@ayubustanley9069
@ayubustanley9069 3 жыл бұрын
Salama napenda unavyofanya kazi zako.mm pia mzaliwa wa Zanzibar. Hahahhaa nakupenda bure
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Ujaulizwa
@ayubustanley9069
@ayubustanley9069 3 жыл бұрын
Hahahaaa pilipili usiyoila isikuwashe
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
Lakini Kweli.ujaulizwa 😄
@khadijagundumu6210
@khadijagundumu6210 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@fatmaamaan3467
@fatmaamaan3467 3 жыл бұрын
🤣🤣
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 3 жыл бұрын
Nawapenda wazanzibari wanaustaarabu wa kuonea hasa kiswahili chao
@sgfdhaikuhusu6086
@sgfdhaikuhusu6086 3 жыл бұрын
Ahsanteee nasi twakupenda
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 жыл бұрын
Shukrani karibu zanzibar
@veeJesus
@veeJesus 3 жыл бұрын
Wabaguzi hao hatar usiombe
@dadasim2749
@dadasim2749 3 жыл бұрын
Tunakupenda 100%
@saidjuma9782
@saidjuma9782 3 жыл бұрын
@@veeJesus.... Nani amekubagua wewe!!??
@abuuahusa6459
@abuuahusa6459 3 жыл бұрын
Salama umekamatika
@khayraathassan9915
@khayraathassan9915 2 жыл бұрын
Naomba nAmba ya da riyama
@kulwapaul8820
@kulwapaul8820 3 жыл бұрын
Salama na chidbenz
@crewsonchacha8959
@crewsonchacha8959 3 жыл бұрын
Hata me xntokata tamaa ndoto yangu niingie kwenye tansinia ya filam naipenda ila mazingira ndiopo yananivunja nia Dada lyiama kaanzia mbali nimependa alivyo ingia hongera dada salute kwake
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson 3 жыл бұрын
macho yako Salama mang'avu sana, raha kukutazama
@bestonchindoli3589
@bestonchindoli3589 3 жыл бұрын
Jamn huyu dada riyama mzuri bilaa makeup Yuko poa😍🥰🥰🥰
@odiliamahoo9327
@odiliamahoo9327 3 жыл бұрын
Nakupenda bure mdada wangu upo poa Sana mungu akutunze
@odiliamahoo9327
@odiliamahoo9327 3 жыл бұрын
Riyama napenda muonekano wako bila urembo wakidunia upo poa mno😅😅😅😅😅😅
@hamisirajab502
@hamisirajab502 3 жыл бұрын
Tuleteeni young killer basi
@zildatwahid6526
@zildatwahid6526 3 жыл бұрын
I love salama bila sabb ♥️♥️♥️
@jumakawambwa5176
@jumakawambwa5176 3 жыл бұрын
muhamishe studio lilio ya magari cjui alteza hio inalia kinoma
@kingismail9251
@kingismail9251 2 жыл бұрын
Lafudhi jamani lafudhi Ma Shaa Allah
@johnwafula5092
@johnwafula5092 3 жыл бұрын
Mafunzo mazuri
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 жыл бұрын
Salama na Dudu Baya
@mashyhassan
@mashyhassan 3 жыл бұрын
Looking good Salama. Hairstyle imeweza
@elnabilbentaleb7008
@elnabilbentaleb7008 3 жыл бұрын
SALAMA INTERVIEW ZOTE AMEVAA BLACK ⚫ 🔥🔥🔥 Kama CASTO DICKSON na Vipensi Kwny SIZ KITAA
@fatmafatoom6553
@fatmafatoom6553 3 жыл бұрын
Ila dada ww kwakulia hongera au kuigiza chiz aiseee nouma sana
@hijawaziri7385
@hijawaziri7385 3 жыл бұрын
Dr kumbuka
Salama Na RIYAMA Ep 32 | UTAKWENDA UTARUDI Part 2
21:55
YahStoneTown
Рет қаралды 61 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
BEHIND The GRAM (MOM & DAUGHTER) Ep 1| kajala amlilia paula kuhusu Harmonize|
3:51
Feysal Daudi Films. 457k views.5hrs
Рет қаралды 14 М.
Mkasi - SO6E03 With Millard Ayo
27:23
MkasiTV
Рет қаралды 480 М.
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 22 М.
Fungo la Kukosa  2003 #RIYAMA Ally
1:00:03
ALL MOVIES
Рет қаралды 248 М.
Salama Na Gigy Money Ep 12 | ZILE KHADITHI Part 1
25:27
YahStoneTown
Рет қаралды 354 М.
Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1
40:33
YahStoneTown
Рет қаралды 67 М.
All creatures are from God #jesus #jesuschrist #jesuslovesyou
0:19
Jesus By Your Side
Рет қаралды 11 МЛН
Choices for your loved ones❤️
0:15
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 7 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
0:30
FASH
Рет қаралды 17 МЛН
НИЧЕГО СЛОЖНОГО
0:21
KINO KAIF
Рет қаралды 3,6 МЛН