Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 2

  Рет қаралды 109,726

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Weekend mbili zilitopita rafiki yangu Mwinyi aka Mpwa aka Cousin aka Hamis alikua akiadhimisha siku ya kuzaliwa kwake na alikua amefiksha umri wa kustahili kusherehekea kwa kweli na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maisha, mke wake kipenzi alinipigia simu siku nne kabla ya birthday ya mumewe na kutaka tujumuike nae kum suprise, pia akaniambia ana kazi sana ya kuweza kukamilisha hilo tukio maana jamaa (Mwana FA) kashasema yeye hana mango wa kutaka shughuli, angependa maisha yaendelee tu kama kawaida. Pengine alikua akitarajia dinner nyumbani na mkewe na wanawe basi. So kukawa na zoezi hapo la kuhakikisha jamaa hasomi mchongo na kwamba zoezi ni lazima lifanikiwe. Malika binti yeke kwa kwanza ndo alikua amiri jeshi mkuu wa kuhakikisha Baba anarudi nyumbani by saa mbili usiku ili ale na familia chakula cha usiku. Suala hili lilizidi kuwa tamu pale Malika alipofanikiwa kutimiza ombi lake kwa Baba na sisi wengine ikawa rahisi kuibuka nyumbani na kumaliza mchongo mzima. Ulikua usiku mzuri ambao umeandaliwa kwa mapenzi mengi, na kila kitu kilipangwa kwa uangalifu by saa nne unusu tunaimba kata keki tule 😃. Ila kitu unique kabisa kwenye sherehe hiyo ilikua ni vipande vya karatasi ambayo tuligaiwa, vilikua na namba na namba yako ikitajwa basi kuna swali ilikua unatakiwa kulijibu, ili kuonyesha ukaribu wetu, unataka kujua mimi nilipata swali gani? Ok, swali lilikua ni kama nakumbuka siku yangu ya kwanza kukutana na Mwana FA!
Hiyo story itaendelea siku nyengine ila kwa sasa nikuambie tu mahusiano yangu na yeye Mwinyi. Tumekua pamoja naweza sema baada ya kukutana hapa mini Dar es Salaam mwanzoni mwa miaka ya 2000, sote tukiwa wembamba na watoto tu, ila bila ya shaka kila maja akiwa na nia na madhumuni ya kufika hapa tulipo na zaidi panapo majaaliwa, kuna smile flani ivi ambalo mpaka leo halijawahi kubadilika ndo ID yake pamoja na mwanya flani unaokamilisha muonekano wake, style za misuko ya nywele tofauti pia ilikua ikimtenganisha yeye na wanamuziki wengine, ila kikubwa zaidi ambacho kinamfanya yeye awe kasimama mbali na wenzake ni jinsi anavyoandika, anavyowasilisha na anavyowakuna pia washabiki wake ambao kila siku zinavyozidi kwenda wamekua wakiongezeka, nadhani ni baada ya kampa sikio la moja kwa moja ambako kumewafanya wamsikilize kwa umakini zaidi.
Siku za hivi karibuni rafiki yangu aliibua mjadala kwenye mitandao ya kijamii zaidi Twitter baada ya kuamua kujiita yeye Shaaban Robert wa enzi zetu, kama ulikua hufahamu Shaaban Bin Robert alikua mi mshairi, muandishi wa vitabu na essay na pia inaaminika alikua moja kati ya wafikiri wazuri wa lugha ya Kiswahili kutoka Afrika ya Mashariki. Mwana FA ni mmoja kati wa washairi wazuri na mwenye style tamu pia ya kuwakilisha uandishi wake kwa miaka mingi sasa ya muziki huu wa kizazi kipya. Kama unadhani anastahili kujiweka ligi moja au hata nyumba moja na Shaaban Robert au pengine hana nafasi hiyo mimi sina cha kusema juu ya hilo, ila ninaloweza kusema ni kwamba rafiki yangu huyu ameonekana kukua mbele ya macho yangu kwa zaidi ya miaka kumi na tano sana, alianza kufanya kazi zake mapema tu kama solo artist na ngoma sake ya kwana tu ilikua HIT, Unaikumbuka INGEKUA VIPI? Kisha ikaja ECT, baadae kama Duo yeye na AY huku akiwa anaendelea kufanya solo projects na baada ya hapo ameendelea kusimama mwenyewe na kujiimarisha kila mara anapotupa nyimbo mpya, na kwa hilo basi niko hapa kwaajili ya kutoa heshima zangu kwake na kumtakia kila lenye kheri naye.
P.S
Mwana FA pia ni rafiki mzuri na Baba kipenzi kwa mabinti zake.
Enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 151
@allyndossy8789
@allyndossy8789 4 жыл бұрын
sijawahi kutaka kumiss interview ya binamu coz i know lazima nipate elimu na busara nyingi sana bonge moja LA interview sister salama hujawah kua na baya
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Kumbe till wengi 😜👍
@rajabuchijinga8321
@rajabuchijinga8321 3 жыл бұрын
AKILI ming
@jonathanmalisa9272
@jonathanmalisa9272 4 жыл бұрын
Dada Salama naomba tuletee Raia mmoja Kati ya hawa; 1. Joti 2. Mpoki Hawa jamaaa sijawahi kuona interview zao hata moja haswa joti!
@DimangaKE
@DimangaKE 4 жыл бұрын
PURE CLASS. A real gentleman.
@evemangare1732
@evemangare1732 4 жыл бұрын
Sure
@balozibalozi5257
@balozibalozi5257 4 жыл бұрын
Yaan I have no word umenisaidia kufahamu biashara pia yule life as kid same as me as I was homeless yaan acha nashukuru mungu jimenjenga
@jocelinejohn7294
@jocelinejohn7294 4 жыл бұрын
Am blessed kua shabiki wa huyu jamaa
@jacklineraphael4637
@jacklineraphael4637 4 жыл бұрын
Baadhi ya wanaume na wanamziki kuna vitu vya kujifunza kutoka kwa FA...
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
👌👌
@mugadimon3563
@mugadimon3563 4 жыл бұрын
Huyu legend madini kutoka kwake lazima ukimsikiliza interview zake lazima kuna vitu unavipata
@fortunatedominic7845
@fortunatedominic7845 4 жыл бұрын
Salama ni bonge la mtangazaji...Mwanafa ni Gentleman.
@kisasarob751
@kisasarob751 4 жыл бұрын
Waiting for salama na mr president or ex president Dr. Jakaya kikwete or probably Dr. John Magufuli Hon.....wengine kawaida tu naona ni new version of mikasi
@simonsanga2129
@simonsanga2129 4 жыл бұрын
The school of great thinker
@AhmedSaleh-rc1yj
@AhmedSaleh-rc1yj 4 жыл бұрын
Kwa kweli sijawahi kujutia interview ya mwana Fa Na sina ukakasi salama ur the best of all time
@mumbiseverino4146
@mumbiseverino4146 2 жыл бұрын
Hii ndio interview niliyoiangalia maranyingi zaidi kwenye KZbin nasichoki kuiangalia,najifunza mengi sana kwenye hii interview.
@nelsonbilali3888
@nelsonbilali3888 Жыл бұрын
Rudisheni huyu Jamaa for the second time. Mad ❤from 🇰🇪
@ramadhanomar8346
@ramadhanomar8346 4 жыл бұрын
Master mind FA
@babaajnaty8629
@babaajnaty8629 4 жыл бұрын
#DadaSalama tunamtak n #AY kwny mjengoo show l kibabe hil 💯💯💯
@lazaroletion2420
@lazaroletion2420 4 жыл бұрын
Moja ya Shoo kali wakati wa Mkasi ulifanya na Sugu (Mr.two mbunge) na ilikua nzuri sana japo fupiiiii, Muweke basi kwenye list tena kwenye show hii mpya ya Yahstone
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Legendary, Kati ya makaka zangu ninao wapenda na kuwakubali 😍😘 Kiswahili kizuri maelezo yamenyooka, nakukubali sana FA, kila la khery brother.
@jonathanstephen6616
@jonathanstephen6616 4 жыл бұрын
Salama you are a Genius, ni hayo tuuu!
@allytauka8196
@allytauka8196 4 жыл бұрын
Mwanamuziki na nusu huyu jamaa . Very geneous
@ramadhaniabdi9530
@ramadhaniabdi9530 4 жыл бұрын
Interview unique kabsa nimewaelewa
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 4 жыл бұрын
Love this guy very humble
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 4 жыл бұрын
najifunza sana mambo mingi.... sana kwa kila unapotamka Falsafa aunty kipindi iko sawa.
@ussuforamadan445
@ussuforamadan445 4 жыл бұрын
Jamaa namkubali sana FA
@godfreyselestine1208
@godfreyselestine1208 4 жыл бұрын
jamaa ana jua salama bonge la mtangazaji
@alexshallom3094
@alexshallom3094 4 жыл бұрын
GENIUS
@bernadethabenard1257
@bernadethabenard1257 4 жыл бұрын
Hongera Salama na Mwana F A nimependa mahojiano yenu yamenipa mafundisho mhim katika maisha mungu awape maisha marefu .
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 жыл бұрын
Hii interview nimetamani isiishe na mkubali sana FA
@allyndossy8789
@allyndossy8789 4 жыл бұрын
Ruge always atakua MTU bora kwenye industry ya bongogleva
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
Kabisaaa kila interview lazima atajwe🙏
@julianaziada8632
@julianaziada8632 4 жыл бұрын
Kabisa mungu ampe pumziko la milele
@mwandegeplaza6504
@mwandegeplaza6504 4 жыл бұрын
Haki imetendeka, Tigo wajifunze
@feisalmohamed8619
@feisalmohamed8619 4 жыл бұрын
Sijui ni mimi tuu !!! Siishiwi hamu kusikiliza hako kanyimbo mwisho hapo... Salama akinza kusema jinsi ya kumpata, nahisi kama ananichelewesha hiv 😄😄. Kazi ni nzuri sanaaa
@zemayeye7403
@zemayeye7403 4 жыл бұрын
Mwana f Akili nyingi sana
@montefredy2786
@montefredy2786 4 жыл бұрын
Ur amazing bro FA,sharp mind keep it up
@musamarijani7273
@musamarijani7273 4 жыл бұрын
As usual binamu kaua sana hii interview
@nelmisana919
@nelmisana919 4 жыл бұрын
Busara Nyingii nyingiiii mnooo FA hatariii sana
@barakayohana6021
@barakayohana6021 4 жыл бұрын
Robin wood,alikuaa anachukua hela kwa rich man and helping poor people,nani huyo ni Rugemalila Mtahaba
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Жыл бұрын
Ongera Salama umekua Dada Bonge skuizii
@kingwilliam1807
@kingwilliam1807 2 жыл бұрын
Mbona Spotify Hakuna kitu
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
Mtu mzima huyu namkumbali sana
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
Inamaana ni mtu asiyepelekwa na pesa,kuna wengine wakipata pesa kila kitu jinabadilika hata mwendo🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️
@duxinhojunior9441
@duxinhojunior9441 4 жыл бұрын
Salama... Jux unamuhoji lini
@MrSABYY
@MrSABYY 4 жыл бұрын
Je umeagiza GARI nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini Dar Es Salaam (Local) aina ya TOYOTA km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza, Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT / CONTAINER & MAGARI yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 750,000/= 2: HARRIER New-900,000 3: HARRIER Old-800,000/ 4: RAV 4 - 800,000/= 5: RAUM - 750,000/= 6: SPACIO - 750,000/= 7: PASSO - 750,000/= 8: VITZ - 700,000/= 9: PREMIO - 750,000/= 10: ALTEZA - 750,000/= 11: SUBARU - 750,000/= 12: CARINA - 750,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 Whatsap +255 653953900 Company: DN holdings. Location: Nkurumah st Clock Tower. Dar es salaam, Tanzania Cc Follow Instagram/Twitter/Facebook &KZbin @mr_sabyy @mr_sabyy @mr_sabyy #Clearing #Forwarding #Clearing_and_forwarding #AgentSabyy #Call_and_whatsapp_0653953900 #Tanzania
@dilipdab3714
@dilipdab3714 2 жыл бұрын
Salaam.wa.bongo.ilibidii.wakujeengee.heshimaa.sanaa.mambo.ya.kuvaa.na.fashen Ww.ndio.uliwafundishaa.
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 4 жыл бұрын
Nice hope AY will nxt after FA dont frgt Pro.J too
@allenmanzi9869
@allenmanzi9869 4 жыл бұрын
I love what u are doing Salama. Tangu enzi za Mkasi. Keep it up...
@davidheche839
@davidheche839 4 жыл бұрын
Hiki kipindi ni kikubwa sana, na kitakua kikubwa zaidi siku za usoni kusema ukweli hiki ni kipindi bora zaidi cha mahojiano ya one to one ila salama ukinialika mimi naomba tuanze na Jessica
@CheupeEceJay
@CheupeEceJay 4 жыл бұрын
Amin In Shaa Alla, tunashkuru. Jesica ni wa Samaki Samaki 🤣😂
@giftlyimo1654
@giftlyimo1654 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@blueskytravel5441
@blueskytravel5441 4 жыл бұрын
@@CheupeEceJay haaaa haaaaa
@pendopendo7427
@pendopendo7427 4 жыл бұрын
maongezi yametulia San hongera salma na mwan FA
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
🙌🏽🙌🏽Sijatoka bure🙏🏽
@ibrahimjumbe7390
@ibrahimjumbe7390 4 жыл бұрын
Falsafaaaaaaaaaa binafsi msanii wng TZ ni mwana FA kwa mziki life style na kila kitu Aiseee we jamaa me ni sio tu shabiki me ni mfuasi wako bro
@christinaemmanuel9266
@christinaemmanuel9266 4 жыл бұрын
Binamu anaongea vzr kiswahili
@williammwajeka3347
@williammwajeka3347 4 жыл бұрын
Mwanzo story ilianz kwa huzuni,but badae story nzur xan 🤩🤩
@innocentoisso6869
@innocentoisso6869 4 жыл бұрын
Binam nakuelewa Sana ww ni zaidi ya mfano
@asantehyera6831
@asantehyera6831 3 жыл бұрын
Awesome, UPENDO ni utimilifu wa sheria. Big up sana Favorite artist
@linahcharles3981
@linahcharles3981 2 жыл бұрын
Such a humble Man. Big up Mwana FA
@ongezamaarifa2526
@ongezamaarifa2526 Жыл бұрын
👍
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Brother *FA* napenda sana interview zako unavyojibu 😘💕
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Kila interview ni nzuri ila hii zaidi na ni very cool and classic ❤salama na👍🤝
@mfaumerashid4358
@mfaumerashid4358 4 жыл бұрын
Sensei....unafanya vizuri Sana tunaishi kwa nyimbo zako bro Allah akuzidishie umri Zaid na Zaid ...amin
@mwarabutoleolamwisho7879
@mwarabutoleolamwisho7879 4 жыл бұрын
I see you hamis
@barkembarak9270
@barkembarak9270 4 жыл бұрын
Nice interview mashallah
@christinenyamu1645
@christinenyamu1645 3 жыл бұрын
I love your interviews toka enzi za mkasi...ulete Pfunk Majani please
@mariamjumaswalehe635
@mariamjumaswalehe635 4 жыл бұрын
Hv waweza mfanyia mondi mahojiano kweli tungejuw mengi
@ibrahimuramadhan526
@ibrahimuramadhan526 4 жыл бұрын
Na hii nayo nimeikamilisha!
@susannesusie3217
@susannesusie3217 3 жыл бұрын
He is very smart👍👍
@happinessmtitu4485
@happinessmtitu4485 4 жыл бұрын
Asante sana Mwana FA
@festosamwel9096
@festosamwel9096 4 жыл бұрын
Bonge moja la interview lazima ugain kitu ila naomba umtafute jaymoo huyu jamaa pia ana madini
@fei3668
@fei3668 4 жыл бұрын
waoh mwana fa ur the best
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Nimeenjoy hii enterview,
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
Sana yaan,F.A Nimsaniii mzur kwanza shule ipo halafu anafanya mziki kama sehem ya kaz inamaana na anaheshim anachofanya👊
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
@@beatricetenywa4367 umeona eeh, kaka ana miakili huyu
@immaculatakadyanji5927
@immaculatakadyanji5927 4 жыл бұрын
Interview nzuri sana.
@missdija4959
@missdija4959 4 жыл бұрын
Salama ni Ellen wa bongo na Ellen ni Salama wa Ulaya🤘🏻🔥
@adelardhabonimana6388
@adelardhabonimana6388 4 жыл бұрын
Nice one
@mercymakundi3582
@mercymakundi3582 4 жыл бұрын
Inbid tuongeze muda aiseee
@litakufajitu4094
@litakufajitu4094 4 жыл бұрын
My👑 in my city @mwana fa
@katunzijasson5410
@katunzijasson5410 2 жыл бұрын
Dah ruge mutahaba may his soul rest in peace
@nessmwambogolo2545
@nessmwambogolo2545 4 жыл бұрын
Huna hata mapepe mwa fa penda Sana ❤️ intrevew nzuri salama💪💪
@hassanchake1250
@hassanchake1250 4 жыл бұрын
Salama you are doing ..well cjawah miss interview yako hata moja since umeanzisha hiki kipind 💪
@boazijailos2020
@boazijailos2020 Жыл бұрын
Hivi wimbo huu unaopigwa mwishoni mwa interview unaitwaje na msanii ni nani
@abdulkhalim5564
@abdulkhalim5564 4 жыл бұрын
Job Well done Al Jabir
@kimndalaleteo1122
@kimndalaleteo1122 Жыл бұрын
Uyu jm mwamba sana
@Alegria_doPovo
@Alegria_doPovo 4 жыл бұрын
Reminder on
@mercymakundi3582
@mercymakundi3582 4 жыл бұрын
✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼
@gladyloy4890
@gladyloy4890 4 жыл бұрын
Interview nzuri xan namkubali mwanafa
@agnessamuel8514
@agnessamuel8514 4 жыл бұрын
Rip Ruge
@barackhuncho2432
@barackhuncho2432 4 жыл бұрын
Nouma... Xn it's OK..it's ok
@rohityalsina5972
@rohityalsina5972 4 жыл бұрын
Noma sana hii interview dah lazima hata wagonjwa wa Corona watapona hii ndo tulikuwa tunaixubiria kuna wasanii interview zao lazima utoke na furushi la elimu 😅😅 fid q , mwana fa, ay , chid benz anapokuwa mzima, nikki mbishi akiwa ajavuta bange , bac ni hao hao tu bongo
@thomsanga7956
@thomsanga7956 4 жыл бұрын
This interview is the best above all for me ✊
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Don't forget Lady J dee pls
@mugadimon3563
@mugadimon3563 4 жыл бұрын
Eti unju bin unuki hajavuta cha Arusha
@dejavevents
@dejavevents Жыл бұрын
Mentor, Mwana Fa napenda fikra zako aise
@nasloyal5886
@nasloyal5886 4 жыл бұрын
Salama please can you do something with joti ?
@rahmamalki610
@rahmamalki610 4 жыл бұрын
👏🏽
@kuragididat3402
@kuragididat3402 4 жыл бұрын
Good job, I've been following you for a min , since the days za charts on Eatv and the radio. Who's the artist and name of the track at the end?
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Waiting ❤
@benedictmajura2701
@benedictmajura2701 4 жыл бұрын
Ungempata wakati huu tukajua kuhusu corona atupe experience yake ilikuaje
@mshangaf1726
@mshangaf1726 4 жыл бұрын
microphone mngeziwekea retractable stand ingekuwa poa, badala ya kuzifunika, mawazo yangu siyo lazima sana!
@frankkyomushula7588
@frankkyomushula7588 4 жыл бұрын
I love your Show Dada....ni nomaaa🔥🔥🔥
@jamesibrahim8849
@jamesibrahim8849 4 жыл бұрын
I like it
@mashalamusicempire1158
@mashalamusicempire1158 4 жыл бұрын
Chapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa#hainakufeli#cash money over💰💰💰💰💰
@happyzablon6991
@happyzablon6991 4 жыл бұрын
Genius
@edsonjumbe879
@edsonjumbe879 4 жыл бұрын
Salama unajua sana kufanya interviews and you're at i ila kwenye kujudge uko harsh sana ambayo hiyo tu inatosha kishusha credibility yako Fa big up sana kwa interview nzuri Pia hongera kwa kurecover from covid-19 Rasmi naanza kutumia fyn by falsafa
@edsonjumbe879
@edsonjumbe879 4 жыл бұрын
*you're best at it
@mpendwamillanzi7166
@mpendwamillanzi7166 4 жыл бұрын
I wish you to interview my favorite ex-president Mr. Benjamin William Mkapa.
@barakabahati4315
@barakabahati4315 4 жыл бұрын
Gone
@naasamson3576
@naasamson3576 4 жыл бұрын
MwanaFA hapo kwa Jide umedanganya,ulichochewa na Ruge uvuruge show ya Jide acha uongo
@mkude2554
@mkude2554 4 жыл бұрын
Naa Samson kwahyo unahisi yote amesema ukwel ila hapo adanganye kwann ,acheni kujidai mnajua watu sanaa
@benoitniyukuri5376
@benoitniyukuri5376 4 жыл бұрын
RIP boss Ruge m 🤣😭😭🥵🥵
@abdulhamidmcha8587
@abdulhamidmcha8587 4 жыл бұрын
👍👍👍👍
@kijokombao5345
@kijokombao5345 4 жыл бұрын
I'm waiting....
@fuegosouthside
@fuegosouthside 4 жыл бұрын
interview 👌🏼
Salama Na MwanaFA Ep 10 | KARAMA Part 1
28:34
YahStoneTown
Рет қаралды 201 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 52 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 7 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 14 МЛН
Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1
33:07
YahStoneTown
Рет қаралды 310 М.
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 88 М.
Salama Na Lil Ommy  Ep 1 | Air Tabora Part 1
27:23
YahStoneTown
Рет қаралды 132 М.
Mwana FA Nitachagua kufa mimi ila sio mke wangu
19:15
The XO
Рет қаралды 96 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 52 МЛН