Aisee sijawah kumsiliza majizzo aiesee huyu jamaa ni mtu sana na mpambanaji sana. Kama tupo pamoja gonga like nyingi kwa kumsupport jamaa
@tanzaniatourismboard83952 жыл бұрын
Naendelea Kujifunza Kila Siku, MAISHA Ni Mapambano na Hakuna Kukubali Kukata Tamaa. GOD Bless You MAJIZZO...Thank You Salama J
@bahatirngulika44932 жыл бұрын
Aiseee kumbe Tanzania iko na wanaume wenye true love,yani haumii aliyoyapitia yeye ila anaumia juu ya maumivu ya mwanamke wake!!! Aiseeee be blessed Majizo na awatunze
@hildaminja51482 жыл бұрын
NATAMANI VIJANA wote wangefuatilia na kusikiliza hii show. Salama uko vizuri sana.Hongera Francis /MAJIZO
@gastonchonya77902 жыл бұрын
Dada mm nafuatilia
@nsazabahizirehema78972 жыл бұрын
Nime fatiliya kwa umakini part 1 and 2 Asante sana kunakitu nime jifuza Allah akupe mwisho mwema na aendeley kukubariki wewe na mkeo na family kwa ujumula🙏🙏Salama ubarikiwe from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@damaskinkela22652 жыл бұрын
Like from 257
@deusdedit7892 жыл бұрын
Dah aisee nimejifunza sana sana TANZANIA ni nchi pekee ambayo mtu akifanikiwa watu wanawaza uchawi madawa bila kuangalia mahali tulikopita. Ooo Lord help us. I must work so hard mpaka siku moja nifanikiwe niitwe kwenye interview
@rithamarrow57162 жыл бұрын
Mwanaume yoyote mwenye huruma ni mwanaume ambae anajielewa sana. Majizzo ni mwema pia ni muaminifu Mungu amtunze na kumbarik pamoja na familia yake
@salomewandya72572 жыл бұрын
Kabisaaa 💯
@janemuhumba5823 Жыл бұрын
💯💯💯
@addeypentacos90142 жыл бұрын
This guy has a golden heart. Imagine he isn't bothered with his own personal lowest moments in his life and career but he is touched with his woman .we always complains about Tanzanians men not being gentleman but he stands as one trophy to proud of.
@2116-n2 жыл бұрын
Majizzo SALUTE Sana Kaka, nimegundua una IQ kubwa Sana ya maisha
@rossarutasha93912 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Majjizo kumbe wewe ni mwaminifu na unampenda kiukweli mke wako mubarikiwe ktk maisha yenu
@aaaaaah2902 жыл бұрын
KAONA/KASIKIA LA MKE TUU 😀😀😀
@elizabethhonere29312 жыл бұрын
Majizo Mungu amekupa wisdom kubwa sanahata Eliza anayo mmekutana wa kufanana
@fefenailsandmakeup13532 жыл бұрын
Majizo ana vingi ila sio mtu anaweza kujieleza sana...! All in all hongera ❤
@johnlihawa4145 Жыл бұрын
The man with a big heart .......... Nimejifunza mengi sana.... Acha Mungu amshinishe aisee he deserves that
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
💯🤝
@namsamson34432 жыл бұрын
Huyu kijana ni mtu mzuri sana. Mungu aendelee kukubariki wewe pamoja na familia yako.
@christiannyamamba90892 жыл бұрын
Hivi vitu vinainspire sana vijana na kupitia hizi interview watu wanabadilisha maisha yao na kufungua ukurasa mpya hongera sana Salama unafanya kitu kizuri sana
@tunudachitalks65752 жыл бұрын
Majizo you have inspired me so much....i know am not there yet but in shaa Allah will be there by God's grace. Salama Nakupenda sanaaa keep up the Good work 👏❤
@jofrasful Жыл бұрын
A real-life journey with a determined heart and vision. Congrats Majizzo.
@Juxton2 жыл бұрын
Majizzo needed 2 more episodes.
@azinarashidi52042 жыл бұрын
Interview nzur san Mashaa Allah Mungu akujaalie baba kaka uzidi kufanikiwa zaidi ya hapo na akutunzie familia n kizaz chako Ameen,,,
@rayanndizeyes31612 жыл бұрын
Najikuta na lia sana Majizzo unaupendo Mungu akubariki sana nauzidi kumutuza mukewako
@marianajohn54152 жыл бұрын
Lulu unapendwa mama! Huyu ni mwanaume 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@hadijajumanne54932 жыл бұрын
Unaweza ukawaambia na bado wakakuona huna mana,unaishi na watu vizuri wenzio wanakung'ong'a Kisogo bora uachane nao uwe na 50 zako tu
@aminiismail33712 жыл бұрын
Salama tunamuomba Kondeboy hapa please
@zawadisalum56842 жыл бұрын
Huyu jamaa n very humble aisee he and lulu they deserve each other indeed
@flexturnertv85852 жыл бұрын
Salama we need Fred vunjabei if possible
@user-gi1ez6fc1y2 жыл бұрын
Dah kaka Anamapenzi ya dhati Huyu Mungu awasimamie hadi mzikane😭😭🙏🙏
@user-ii7yy5is1y8 ай бұрын
Ni bonge la entervew so poa maisha safari unatakiwa uwe mmbishi nakukubali sana majizo forshizo mi binafsi sijaona dj kama wewe Tanzania nzima Yani uwezo binafsi ndio uliokufikisha hapo ulipo much respect my bro
@zuuqueenhilson31352 жыл бұрын
Nice majiz umenifunz mengi mmoja wak kam unampnd mtu mpend hat awe kweny mazingiz yapi
@editatairo96672 жыл бұрын
Inspiration kama hizi ndio tunatakiwa kusikiliza na sio zile za motivation speakers za kuchanganya akili
@ch-tvonlinegr81252 жыл бұрын
Realy
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🤣🤣
@maryshirima12342 жыл бұрын
Very inspirational... Majizzo is so smart. 6:55 - 7:20 📌📌📌 Keep up the good work Ace Jay...👏👏👏
@johnkabadi87322 жыл бұрын
Sema yule mwanamke mange anatakiwa kutafutwa na kufyatwa anapotosha Sana jamii
@khadijangozi43242 жыл бұрын
Naomba uniambie lulu ametajwa wapi
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadijangozi4324 Eliza hukulisikia jina lk
@fauziayusuf2352 жыл бұрын
Best interview ever........am officially a fan of majizzo❤️❤️
@mwalimualiaminialiamini86232 жыл бұрын
Nimeielewa sana hii hili ufanikiwe ni razima ujihamini kwanza wewe 🙌🙌🙌🙌
@hahmadhabibu20762 жыл бұрын
This man is genius...
@evamday28962 жыл бұрын
Asante sana mwenye kipindi hiki nimejifunza mengi kwa Majj
@sakinamixpambe26022 жыл бұрын
Nimekupenda bure maj hasa hapo kwenye watoto mashallah
@watsonmwanjelwa45352 жыл бұрын
we need this kind of staff salama na. great job
@yvetteuwase27402 жыл бұрын
Tunawapenda papa G na maman G🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@abduly.snootie2 жыл бұрын
Aseee, BONGE MOJA LA INTERVIEW S/O TO SALAMA, KWA HILI PINDI LA KIBABE, BIG UP CHAMP MAJIZZO.✨👑💪🏾👊🏾✊🏾 🎥🎬🎞️📽️🔥🔥🔥🔥🔥
@abdulpires90912 жыл бұрын
Big up na harus yko cz ata mm nimeanza kufikiria kuowa!👍
@mohamedrajab3582 жыл бұрын
Nimejifunza Sana Acha niendelee kupambana mungu akupe nguvu ya kutuletea watu Wa kutueleimisha za kutufungua
@agricolamirinde61112 жыл бұрын
it's a very good interview am truly inspired but salama please mda hautoshi aise like alikuwa na vingi ila inabidi akarishe
@CHITUS2 жыл бұрын
This guy is so smart 🔥
@julietdawa5518 Жыл бұрын
From Kenya 🇰🇪 this is very inspirational
@prettypretty97452 жыл бұрын
Interview nzuri Sana sijui kwanini nimechelewa kuiangalia majizzo ni mwanaume wa kupigiwa mfanoooo
@franknsato63732 жыл бұрын
Very inspirational story, hope this will motivate a lot of youth towards their life destiny, personally I'm much inspired and encouraged by your efforts, big up foxy
@yusufurahabiamu60522 жыл бұрын
nimeipenda story Mungu ambariki sana
@AfiSoul1032 жыл бұрын
Nimeipenda sana ya Kiheshima
@estermwakafwila98902 жыл бұрын
Hustler😊❤️
@JustArkon2 жыл бұрын
Big fan of the show. Salute from Nairobi
@daudgrayson85342 жыл бұрын
I like this interview nilikuwa simfahau majizo now kdg nimepata picha kuhusu yeye ni mtu wa aina gani
@Agatee012 жыл бұрын
Yes, I will be there In Jesus name
@salumuseif33242 жыл бұрын
Majizo kama ruge namkubali uyu boss
@fatmaahamadabass8080 Жыл бұрын
Hayo ndio mapenzi tena mapenzi ya Samani sana Mashallah
@evajames25142 жыл бұрын
Nilikuwa nakuckiaga tu ckujua ww ni mtu mzuri na unahuruma na kujali.kaka mzuri sn and Smart
@xw64272 жыл бұрын
One of the best interviews
@melkizedeckelsonmbise44246 ай бұрын
Safi,,natamani hii meza angekaa Ruge nae ateme madini.
@maggiepeter89362 жыл бұрын
Salute #Majizzo........Lulu she got a really hubby
@carlosmzena5482 жыл бұрын
That's the face of business my dear he's not who you think he is
@lilianjulius9172 жыл бұрын
Intelligent one,tunamuomba na Idris Sultan
@veeJesus2 жыл бұрын
Tayar alishakuja hapa
@lilianjulius9172 жыл бұрын
Ooooh ngoja nisearch
@rosemofuga81012 жыл бұрын
Waoooooo, Hongera sana Baba G
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Thanks ❤
@rsautoservice9842 жыл бұрын
Interview smart Sana jabir.. Mardam mm nipenda Sana .majizo yangu hardworking person..
@mutumbisalash9232 жыл бұрын
Mzazi wa E F.M kwa maongezi ya ki smart, kizazi kipya kwa jina yake CIZA? mwana wetu wa Tanganyika. Kutoka hapa ubeljiji, nikitoa pongezi ya dhati kwako mtangazaji bingwa SALAMA JABBIR. Ndoto yangu ni ya kukutana na wewe na Kunihoji hapo; mkasi au kwangu inshaALLAH
@elizabethmwakalinga52712 жыл бұрын
Endelea kubarikiwa Majizzo,umenijenga sana
@ARAFATVSHOW2 жыл бұрын
Wow
@harysonnyobuya96012 жыл бұрын
Ece Jay. Unajua kuuframe swali right to point. Hongera Sana 🙌
@othumanlorenzo2602 жыл бұрын
Angekuwa mwanasheria ingekuwa hatari katika x examinations
@saidalssa34092 жыл бұрын
Great work salama keep it up
@mrfashion16872 жыл бұрын
Nasubiri SALAMA NA ADAMU MCHOMVU
@mtaalamwamambo20992 жыл бұрын
Akili nyingi hiii🔥🔥
@irenengatia42892 жыл бұрын
The show is 🔥🔥🔥
@zainabubakari41562 жыл бұрын
Nakukubali Sana Kk Ma..J
@charlesbakari72652 жыл бұрын
Majjizo umeniinspire Sana
@sheshem54532 жыл бұрын
Asante Salama! Bro Majei.. Mungu azidi kukubariki...
@nsajigwamwanjati51192 жыл бұрын
Salama tuletee Gwajima
@happinessjohn607 Жыл бұрын
Yupo vizuri
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, mimi namkubali sana Majizo,barikiwa sana brother 🙏
@vanjizzle1222 жыл бұрын
Am the first and Broo Your my Menter 🍸🇹🇿One Day I will be there I be to be 🍸🇹🇿
@deboraezekiel7842 жыл бұрын
Daaaa nimejifunza
@susancharles16602 жыл бұрын
Huyu kaka ni smart sana👏🏽👏🏽👏🏽
@lawizeentertainment5021 Жыл бұрын
Hakuna kukata tamaa big up bro Majizzo
@msafirimfilinge8222 Жыл бұрын
We need Fred vunja bei
@ziyandamhlana87762 жыл бұрын
Big men for now
@ingabireritha37402 жыл бұрын
Very nice
@hadijajumanne54932 жыл бұрын
Kama wanakuja kukamata gaidi wabongo duuh
@alinagwemwaselela90532 жыл бұрын
Was waiting for this aisee...Najifunza SAAANA.
@user-ii7yy5is1y8 ай бұрын
KWA MAJIZO FORSHIZO LULU ANAMTU MAJAY NI MTU MWENYE ROHO TOFAUTI SANA ANAFORCUS SANA KWENYE UTU NA MAENDELEO
@sarajoseph42532 жыл бұрын
Good interview
@mbechajumaa79662 жыл бұрын
Namkubali San kaka majizo yani ntaishi na vitendo vyak
@richardcastromzena51362 жыл бұрын
0:51 1:40 5:14 5:39 6:34 7:04 7:38 23:57
@ApipaTV2 жыл бұрын
Asante Salama Nakupenda unafanya kazi nzuri
@suzannejames4057 Жыл бұрын
This is deep
@mamukinyogoli55492 жыл бұрын
Majizo unafanana na waziri simbachawene
@selemanimuhanga40182 жыл бұрын
Hii show Kali Sana! Big Up Yahstone
@leaherasto9292 жыл бұрын
Apo kwa Elizabeth pamenigusa Sana Mungu awaweke
@justinemwenda22922 жыл бұрын
Big up
@dedsecmalis20052 жыл бұрын
Endelea kubarikiwa bro 💪🏿
@wilbroadgrarcian12592 жыл бұрын
dah genius majizoo
@sumahililuis852 жыл бұрын
Naomba link ya interview ya salama na ommy dimpoz pl
@georgelugwisha87982 жыл бұрын
Very inspiring story
@mussamsella8560 Жыл бұрын
Maisha ni kupambana bila kukata tamaa huku ukiwa na subira