No video

Salama Na ROSE MUHANDO SE6 EP53 | NIPE UVUMILIVU PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

  Рет қаралды 57,921

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

Пікірлер: 193
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
Kwa kweli kutokewa na Yesu katika umri mdogo mtoto hawezi kudanganya. Ni kweli alitokewa
@officialjemimahowiti
@officialjemimahowiti Жыл бұрын
Your maturity questions are amazing, it makes your show be watchable by everyone
@gb-one6435
@gb-one6435 Жыл бұрын
Miujiza kama hii ipo jamn sio uongo me pia yalisha nitokea maono makubwa ilibakia kidogo niangamie Mungu aka niinua Tena 🙏
@felixbenos6365
@felixbenos6365 Жыл бұрын
Pole sana mm pia nimepitia magumu sana ilikuwa nife bt Mungu akanipigania..ukweli Miujiza niliona nihatare
@HabilyTech
@HabilyTech Жыл бұрын
HUU NI USHUHUDA YA KWAMBA YESU KRISTO MTOA UZIMA ANAISHI HALELUYAAAAA.
@LuckyBoy-pp2md
@LuckyBoy-pp2md Жыл бұрын
Mbona mnaumia jamaniiii kwakweli umenibaliki mama roseeeeeeeeeeee watazidi kuumia hao wasiemjua yesu jesus 4life
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Wow
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Rose muhando muimbaji injili nimpendaye kutoka moyoni Snaga shaka nawww
@naomimuthui6998
@naomimuthui6998 Жыл бұрын
May God bless you Rose and protect you as you continue preaching through singing
@salamanauthar5261
@salamanauthar5261 Жыл бұрын
Salama kapatikana walahi' hana hata la kuongea kabaki mdogooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@pendokissatu937
@pendokissatu937 Жыл бұрын
QUEEEEN OF ALL THE TIME ❤️❤️❤️❤️❤️
@deneagrofarms5884
@deneagrofarms5884 Жыл бұрын
Hongera bibie SHADYA. MUNGU amekuchagua umtumie kwa iishara ya wazi kabisa isiyo na ukakasi
@mwaminiesperance6276
@mwaminiesperance6276 Жыл бұрын
You are a special person Rose may God continue to protect you ma ❤️ 🙏 ♥️ 💛
@G.S985
@G.S985 Жыл бұрын
Mungu ni mwema,Dada Rose uwagasichoki ushuhuda wake,ama kweli Mungu akikutaka huna kwa kukimbilia.
@davisminja3742
@davisminja3742 Жыл бұрын
Mungu ni Mkuu siku zote hongera kwa Baba yako alisema kitu cha kweli hawezi ongea uongo akati aliona na atakuwa na pepo yakeee
@christopheritambo1315
@christopheritambo1315 Жыл бұрын
One of my favorite artist her Majesty Rose Muhando
@stevennyondo2215
@stevennyondo2215 Жыл бұрын
Ushuhuda mzur ila MUDA mdogo , waiting for part two
@AssumaniSarah-t6h
@AssumaniSarah-t6h 14 күн бұрын
Amina yesu asifiwe
@brendachibura6040
@brendachibura6040 Жыл бұрын
Tuheshimu dini zetu kwasababu ndizo zinazotutengenezea Imani. Tujifunze kisikiliza kwa watu wengine sasa badala ya kubishana kuhusu dini embu tujifunze kupitia kwake huyu dada jmn
@petermarash3705
@petermarash3705 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@HabilyTech
@HabilyTech Жыл бұрын
SAFI SANA
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Roho inawauma kwamba alitoka huko! Ndo ukweli,Yesu kamuokoa Kila goti litapigwa ,na Kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni Bwana!
@princessshirima6664
@princessshirima6664 Жыл бұрын
Mungu alisimama na rose na hadi leo Anasimama naye bado mkon wa Mungu u juu yake
@darcasgodfrey8082
@darcasgodfrey8082 8 ай бұрын
HAKIKA YESU KRISTO NI BWANA 🙌
@saidahj2543
@saidahj2543 Жыл бұрын
Rose you are my STRENGTH
@francesmpangwa8801
@francesmpangwa8801 Жыл бұрын
Nakupenda sana Queen of gospel Rose Muhando
@farajakivuyo9389
@farajakivuyo9389 Жыл бұрын
The Best session on KZbin
@chikitongwaru7035
@chikitongwaru7035 Жыл бұрын
Yesu alikuokoa na umeupiga mwingi
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 Жыл бұрын
I love today's interview. Hongera sana dada Rose, endelea kumtumikia Mungu wako na kumuimbia.
@G.S985
@G.S985 Жыл бұрын
Nakupenda bure Dada Rose
@malapakipochi3317
@malapakipochi3317 Жыл бұрын
Waislamu hili linawauma kwelii kweli.....ni kama dini itawapeleka binguni.... lakini poleni waislamu na dini lenu la MAJINI..
@sophyeliah954
@sophyeliah954 Жыл бұрын
Here a Queen💌❤️
@kennyndessa2039
@kennyndessa2039 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ata cjui nacheka nini😂😂😂
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@emmyjuma2987
@emmyjuma2987 Жыл бұрын
Mm nakuelewa
@julianamushi3392
@julianamushi3392 Жыл бұрын
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️ngoja nije nikikimbia nikae kabisa nisikilize kwa utulivu
@doricecyprian7246
@doricecyprian7246 Жыл бұрын
Amen
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Hi ilileta utata ad Salama alichelewa kuipost
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Жыл бұрын
Ilileta utata gani?
@alicenice1711
@alicenice1711 Жыл бұрын
Nataka kujuwa jina la Kislam la dada Rose
@everlyngarugi8594
@everlyngarugi8594 Жыл бұрын
Shadia
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 Жыл бұрын
We acha usanii rose, muongo kweli yesu kakutokea wapi!
@reetymutinda
@reetymutinda Жыл бұрын
The annointed one of God live long mom and may God bless you
@shilagijisandu3101
@shilagijisandu3101 Жыл бұрын
Leo kwa rose umeyakanyaga😂😂😂😂
@petermarash3705
@petermarash3705 Жыл бұрын
😄😄😄😄
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂
@elingimiemakundi1229
@elingimiemakundi1229 Жыл бұрын
Mlete madam rita ,hamisa mobetto, mama dangote
@trueexplorer894
@trueexplorer894 Жыл бұрын
Madam Rita tayari
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Dada ludi katika dini yako,madam umeshapona,mungu atakusaidia tu,pesa ulizozipata fanta biashara.
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Komaww
@rehemangonji573
@rehemangonji573 Жыл бұрын
😂🤣🤣eeeh Leo hatar
@tithoobadia8361
@tithoobadia8361 Жыл бұрын
Mmh leo kazi ipoo😂
@dannylinguist15
@dannylinguist15 Жыл бұрын
GOD IS MIRACULOUS ❤️🙏
@dinapascal
@dinapascal Жыл бұрын
haleluya
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Na ndomaana nilikuwa najiulizaga kuhusu jina la MUHANDO mbona asili yake ni tanga lkn watu walinibishia sasa jibu wamelipata
@inocentlema5574
@inocentlema5574 Ай бұрын
Apo kwenye mimba ameparuka
@Husseinmustafaparmar
@Husseinmustafaparmar Жыл бұрын
We should respect all religions as a Christian Tanzanian just said in the comment and if anyone has different views or debates or says the wrong of other faiths or argues with proof how they are wrong, he or she should not be hit at or stabbed as criminals in South Africa and elsewhere they do as the world is witnessing as here are animals and they don't have religion and others brought them terrorism too, but we should argue back or debate or leave him on his own if he won't come to truth or if his views are not right. The Tanzanian tolerance is because of its people and the Arabs who colonized it and lived there
@munirsalman5910
@munirsalman5910 Жыл бұрын
Series zaidi ya prison break🤣🤣🤣
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Mwaka huu mtachonga viazii waislamu chuki kibaao baki Dini yako
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 Жыл бұрын
@@FreeGod368 Dini yenu ya mchongo
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@abdulraufmohammedsalum6806 We mwehu mi sina TIME naww kafie mbere 😂sijib watu walochanganyikiwa mimi
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 Жыл бұрын
@@FreeGod368 Tulia ww 😂😂
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d Жыл бұрын
Salma ushakua mzee una badilika kidogo kidogo tubia
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 Жыл бұрын
Kama huu angebaki kua mu Islam kama anavaa vizuri anajistiri😂😂😂😂
@reginakivinda8398
@reginakivinda8398 Жыл бұрын
besti naso
@mrfashion1687
@mrfashion1687 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Rose katupiga na kitu kizito kichwani
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Mwaka huu mtachonga viazii
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Kivp Haya maono yapo nayy sio wakwanza uamn usiamn hyo ndio YESUKRISTO mwana wa Mungu aliyehai ambaye alikufa na kufufukq
@wisemelodytz589
@wisemelodytz589 Жыл бұрын
Umepigwa peke ako bro
@albogastmselejr4583
@albogastmselejr4583 Жыл бұрын
Wee Nae Ngoja Siku Yakukute Ndo Utakuja Kuona Kwamba Rose Muhando Anaongea Kweli Bado Hujaanza Kuishi Wewe
@magdalenajoel4409
@magdalenajoel4409 Жыл бұрын
Jisemee ww usitujumlishe sisi
@familylove5417
@familylove5417 Жыл бұрын
Salama hoiiiii Leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sura yake tu inaongea hiki kibibi kiongo sna 🤣🤣🤣
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule Жыл бұрын
Shame on you,we utakua kijana forever sio? 🚮🚮
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 Жыл бұрын
Anatupanga anajifanya yeye nshapu kitengeza story za mungu.. ati mkaka mmoja katumwa na mungu daah Rose ww mshirikina mbayaa😅
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂
@Clivanny
@Clivanny Жыл бұрын
My mama🔥🔥
@simas.a1003
@simas.a1003 Жыл бұрын
Aisee jaman, hadi nataka kulia
@naomimuthui6998
@naomimuthui6998 Жыл бұрын
Very tou
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 Жыл бұрын
Mtu akitaka kutoka kwenye uislam mpaka aseme Yesu alimtokea dah waislam tuna shida sisi tunamkubali Yesu sababu na yeye anamuabudu Mwenyezi Mungu wa pekee
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 Жыл бұрын
Rose anajua mitaa ya Arusha balaa
@maabadmmanga2896
@maabadmmanga2896 Жыл бұрын
Inalilah Waina Ilah Raghun Unatoka Ktk Dini Sahihi Dah Allah Akbarrrrrrr
@finiaskalist747
@finiaskalist747 Жыл бұрын
Mmwanza sasa😆😆😆
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Mwaka huu mtachonga viazii
@francesmpangwa8801
@francesmpangwa8801 Жыл бұрын
Ingekua dini yenu sahihi Mungu angemwambia aimbe Qaswida kwen mbwa wewe Yani mnapendaga kutuchokonoa sana wakristo
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Mtajua hamjui uislam ulikuja kumpnga kristo so kaeni kwakutulia chek nuru iliyoko kwake huwez kuipata
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
@@francesmpangwa8801 mjinga huyu achana nae wana dini sahh lkn hata sku1 hajawahi kujidhihilissha kwao hata sku1 kujifunua imekua ngumu
@javanwatson6675
@javanwatson6675 Жыл бұрын
mmh 10:15 - 10:20 hapo Rose alitaka atupige.. 🤠anyways I like her
@andrewdukho8795
@andrewdukho8795 Жыл бұрын
Hahaha
@andrewdukho8795
@andrewdukho8795 Жыл бұрын
Ijumaa ya majilio
@rozapetro1647
@rozapetro1647 Жыл бұрын
Hello get serious hayajakukuta cku hiyo ikitokea utaamn ya Rose Hii stor huwa anaisimulia sana..so co uongo
@javanwatson6675
@javanwatson6675 Жыл бұрын
@@rozapetro1647sijasema kua story yake ni ya uongo ila kweli mkristo hajui hata IJUMAA KUU, mimi ni shabiki wa Rose ila hapo amenipiga na kitu kizito
@ichicarodan6931
@ichicarodan6931 Жыл бұрын
Kwan Ijumaa kuu ipo kwny biblia, mbona wasabato hawajui coz hawasherekei
@charliestyles5535
@charliestyles5535 Жыл бұрын
Mkono mweusi 🤯
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Anazo alama za kumuonesha YESUKRISTO skuhyo kwaajili yake Je ww unazo alama
@josephngowoambroce418
@josephngowoambroce418 Жыл бұрын
hahahaha...MUONGO saaana Rose... ila unajua kuimba
@gracewairimu800
@gracewairimu800 Жыл бұрын
Mbona unasema nimuongo jaman
@annajustin1945
@annajustin1945 Жыл бұрын
Uongo wake nn kusema ushuhuda wa kweli?
@petermarash3705
@petermarash3705 Жыл бұрын
Mungu akusamehe
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
We ndo unajua maisha yake? Ila watu bwana!
@Husseinmustafaparmar
@Husseinmustafaparmar Жыл бұрын
Tanzanian spirit if someone did wrong they say: May God forgive you. And encourage repentance and love and helping sinners leave sin as all are same in sin. The Prophet Muhammad is saying : All Humans Are Sinners But The Best Of Those Sinners Are Those Who Repent. I learned this Hadith from Sheikh Khalfan, Sheikh Saleh and Sheikh Kibriti when I was sleeping at manyema mosque when he knew me there and was good to me when he helped me some little change and these days when I said I am with Christian in 2017 he helped me some little change even taking me as a Preacher like himself but knows me since small as an orphan childn
@victormwakipesile6990
@victormwakipesile6990 Жыл бұрын
Wakwanza
@makavelihassani9694
@makavelihassani9694 Жыл бұрын
Naheshimu tuu kipaji chako cha uimbaji dada rose!!!! Lkn si kwa upuuzi km huu ambao umeuzungumza.
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 Жыл бұрын
Ni vile TU huwezi kupinga ukweli!
@rasmatty2000
@rasmatty2000 Жыл бұрын
Duh!!!
@poucostantin4403
@poucostantin4403 Жыл бұрын
Salama leo umeyakanyaga
@ricky4843
@ricky4843 Жыл бұрын
Hii kamba
@sadikijani4307
@sadikijani4307 Жыл бұрын
Sio stori nzuri!! Nafikiri Salama usingeirusha hii!!!
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Imewakatakata maini wapngakristo
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 Жыл бұрын
Sasa utapangia salama maisha yake tengeza kipindi chako basi Salama hana roho mbaya kama nyinyi
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
@@nellymatalanga5033 nashanga
@saxannjo6173
@saxannjo6173 Жыл бұрын
Ndio nyinyi wana wa IBILISI... Mnaumbuka sasa
@veeJesus
@veeJesus Жыл бұрын
Jamani waislamu mnaogopa hili JINA la YESU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii itoshe kuwadhibitishia YESU sio nabii mtume wala apostle JESUS CHRIST is LORD ... YESU ni MUNGU
@jamesmaximillian7199
@jamesmaximillian7199 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@stevewanga957
@stevewanga957 Жыл бұрын
Uislamu ndio njia ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu..
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Hatuna cha kukusaidia hatuko kwenye kampen ya DiNI
@stevewanga957
@stevewanga957 Жыл бұрын
@@FreeGod368 uzury ni maoni yangu binafsi
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@stevewanga957 Ni swala muda tu kuelewa Yesu ni nan? Mi najiulizaga iv nisingezaliwa mkristo iv ningekuwa muislamu kabisaaa? 🥹😓Yaam stakag kuamin nampenda Yesu yy ni halisi so wakuhis his tu kama hewa ukiMuomba unashuhudia mafunuo ndotoni , au ya waziwazi ndio apooo tu napopenda Dini yangu, mim nmewai amka nkaomba dakika 5 Mungu akaniambia hi sim itaibwa Leo nkastuka nkaombea dakika 1 na io sku sim yangu kidooogo iende nkakumbuka Mungu aliniambia nisingeomba ingeenda huyo ndie Mungu naemjua mimi asiebubu na mengine meengi leo hi nabadil vipDini mimi nakichaa, Magufuli kafa tarehe 17/3 mimi tarehe 2/2 nkua shaona kifo cha magu na sababu vile vilee leo hi vip nache kuamini Dini yangu Ambae Mungu hunifunulia ya sirini
@stevewanga957
@stevewanga957 Жыл бұрын
@@FreeGod368 ww wamtambua Yesu kama nani?
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
@@stevewanga957 Mwana wa Mungu so kama nabii wala mtume Yesu ni zaid ya mjumbe wa Mungu na pia Yesu kama mwana wa Mungu biblia ni Mungu pia mfano uez sema ndama so ng'ombe namimi naamini sabab ya maandiko tofaut tofaut na zaid ya hapo pale Yesu anaelezea jinsi yeye na baba walikuepo kabla ya kuumbwa ulimwengu akiwa anamsaidia kazi ya uumbaji
@ommylamsa1236
@ommylamsa1236 Жыл бұрын
una miaka 12 na dini ya kiislamu unaijua vizuri alafu ujui yesu ni nani....unataka uende kwake ukamuone😶
@robartifabiani
@robartifabiani Жыл бұрын
Kumbe yesu ni mzungu🤔
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Waisrael unawajua?
@rozapetro1647
@rozapetro1647 Жыл бұрын
Yy ndo alichokiona na she was young by the time
@robartifabiani
@robartifabiani Жыл бұрын
@@rozapetro1647 mmh
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 Жыл бұрын
@@gosbertgideon6843 kumbe mu Israel nabii Issa
@bedabenson6576
@bedabenson6576 Жыл бұрын
Lete Mgunda
@aishaomarry6996
@aishaomarry6996 Жыл бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu? ???? Mungu anazaa?????
@apolinarytheking
@apolinarytheking Жыл бұрын
Hata wew
@apolinarytheking
@apolinarytheking Жыл бұрын
Hata wew
@neemakikoti5091
@neemakikoti5091 Жыл бұрын
Kwani wewe unanafsi ngapi?
@neemakikoti5091
@neemakikoti5091 Жыл бұрын
Mungu Ni mmoja Ila ananfsi tatu Mungu Baba Mungu mwana Yesu na Mungu Roho mtakatifu kwa hivyo Yesu Ni Mungu maana yupo katika ndani ya uungu
@sylvesterhezron8062
@sylvesterhezron8062 Жыл бұрын
Ndiyo Aisha Mungu anazaa ila siyo kwa njia ya kibaiolojia ni kwa njia ya imani anatuzaa
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 Жыл бұрын
Uyu dada muongo sanaa afu mshirikina sana..ati mungu anakujibu baada ya miaka kadhaa😅😅😅 story yako haimake sense
@magdalenajoel4409
@magdalenajoel4409 Жыл бұрын
Kaa Kwa kutulia ww acha mungu afanye kazi yake
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Kwani Mungu anajibu baada ya miaka mingapi? Mana mi nimekaa miaka 15 ya ndoa na mume wangu akaota Nina ujauzito na wiki lililofuata nikaingia siku za hatari nikapata ujauzito na nimejifungua Nov 15, 2022
@amirymdee4259
@amirymdee4259 Жыл бұрын
***Kumbe Yesu ni mzungu ndo nimejua Leo***
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Mamako kumbe ni Mngoni nimejua Leo
@FreeGod368
@FreeGod368 Жыл бұрын
Muhammad kumbe ni mzaramo nimejua leo , make wazaramo wengi waislamu
@rozapetro1647
@rozapetro1647 Жыл бұрын
Hey ppo, if you're not sure of what to type you better don't
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
@@FreeGod368 😳 He!
@seinabelimi2296
@seinabelimi2296 Жыл бұрын
yani wewe km yesu alikupenda ungezini nje na kuzaa watoto haramu hv kweli inaingia akilin hebu rudi ktk dini yko tubia madhambi yko wacha kutupiga na vitu vizito 😅😅😅🤣🤣
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
Mtapata tabusana
@tuliadamson3422
@tuliadamson3422 Жыл бұрын
@@gosbertgideon6843 kunamdada alikua mzinzi kwenye biblia alipaka machozi yake kwenye miguu ya yesu uku akiomboleza yesu akasema nawataka watu kama hawa kulikowale wanaojifanyaa sio watenda dhambi. Tunapojielekeza kwa yesu sio kwamba ni wasafi na hatuna dhambi bali ni kwa sababu tunadhambi nyingi hatujui n jinsi gani tutatoka hivo tunamfata yeye tupate msaada kwake.
@gosbertgideon6843
@gosbertgideon6843 Жыл бұрын
@@tuliadamson3422 amen
@neemakikoti5091
@neemakikoti5091 Жыл бұрын
Usihukumu usije ukahukumiwa
@ndojes711
@ndojes711 Жыл бұрын
We unajiona UMEKAMILIKA......! Hakuna mkamilifuuuuuu,. Hata ufanye DHAMBI maelfu MWENYEZI MUNGU NI MWINGI WA REHEMA,. Kwanza kakojoe ULALE hukoooo HUNA MBINGU YA KUMPELEKA
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Kumbe, ndo maana... Walikupatia ukiwa akili bado haija unga. Hukuwa unajua lolote juu ya ulicho kifanya...juu ya kutoka ndani ya UISLAM! Ibilisi alikujia mzima mzima. Hukujua, vile ulikuwa mtoto. Hukua na elimu juu ya njama zake za kuwarubuni watu kuwa upande wake!
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 Жыл бұрын
Acha usenge kwan kuwa mkristo ni uibilis,wewe ambaye huingiliw na ibilis unapaaa au vp,yawezekan wewe mashetan ya kufuga ni wewe,kwa waganga ni wewe,mchaw ni wewe lakin unahukumu wenzako kwenye uhuru wao wa kusalu na kuabudu.Shindwaaaaaaaaaaaaaaaaa
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
@@bernadetamodest6170 hebu kwanza meza dozi yako ya kule MIREMBE kabla hujaanza kufanya kazi ya kusafisha majalala bila malipo.
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 Жыл бұрын
@@G.r.e.a.t.I.Q Ameze nan sasa mimi au wewe hapo mjinga mmoja usiyejielewa,?shetan na robo! pumbavu kabisa,unaongea tu kama unaharisha,fukara wa fikra. Mixuuuuuuuuuuuuu
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
@@bernadetamodest6170 na wewe unaye tukana ni nani? Mpumbavu, siyo? Au umekosa Macintosh kwenu? Kama huwezi mijadala mitandaoni basi ntamaza tu. Usitukanishe waxes wako wakaonekana hawakukulea vyema. Ilhali wewe ndo umekacha madunzo yao mema. Wacha ukosefu wa adabu! Ukiona haiku changiwa vile ungependa basi Changia vile ambavyo yule aliye kuvunja moyo aelewe. Tu kama ulipata malezi na maadili mema kwa wazazi wako.
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 Жыл бұрын
@@G.r.e.a.t.I.Q Ni kweli kabisa wewe uliyesema kichaa sijui mirembe hukutukana ,you was very perfect.Mijadala ndiyo kama hiyo ukimtukana mtu maharage yeye atakuita mchicha au chainiz so usifikir utakuwa salama kwa kutukana wenzako nao wakuache,sahau hiyo kitu.
Baba Olivia Episode 17 Finale❤️// Single Father Story
31:59
Henry Mwakajumba
Рет қаралды 10 М.
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 46 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 32 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 26 М.
Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
40:28
MkasiTV
Рет қаралды 533 М.
Rose Muhando Funguka kuhusu Tour Yake hapa USA Part 1
26:38
BIN K Tv Online
Рет қаралды 43 М.
18+ | S*xual rights in Islam | #MuftiMenk | #ShWaelIbrahim | #DrMSalah
57:41
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 46 МЛН