Рет қаралды 36,230
Vitali Maembe ni mwanamuziki kutoka Tanzania ambaye muziki wake umejaa sauti za Afrika.
Mwakilishi wa jamii. Maembe ni mbunifu kwenye mashairi yake - maandishi ya nyakati maneno yanayoakisi maisha ya kisiasa na kijamii katika Afrika.
Salama ni wimbo unaoeleza maisha ya mtunzi na kuonyesha shukurani na tamanio katika maisha.
Kutoka katika santuri ya CHANJO YA RUSHWA.
Furahia!
Vitali Maembe is a Tanzanian musician whose music has traditional African sounds.
A social commentator, Maembe is very articulate in his poetry - the writings of time; the words that reflects mostly Political and social happenings in Africa.
Salama is a self-depict song that has writer express aspiration and gratitude towards life.
Taken from the album CHANJO YA RUSHWA.
Enjoy!