JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 58
@KondoMhando3 ай бұрын
Huyu akapimwe akili kwanza halafu ajetena studio yenu, tena akapimiwe Milembe. Kwa mtazamo anaonekana ni mtu mwenye akili timamu, kumbe ni gamba la ubuyu
@leonardrweyemamu61263 ай бұрын
Kabisa
@Evance-op4jw3 ай бұрын
usituongopee yeye ndo alikuwa kipendwa no 1 pale simba
@Sanjey-vp1fm3 ай бұрын
Kweli tulimpenda sana chama lkn kabla hajaharibika na kuihujumu simba lkn kwa misimu miwili iliyopita na kuanza kula rushwa tukaanza kumuona c lolote.
@ommymsangi91823 ай бұрын
Mna mhoji kolo hamuoni anavyoumia na asivyo amini!!
@ADAMMOMBEKI3 ай бұрын
Salehe wewe ni kolo😂kwanini utaki kuamini chama kaja yanga
@ABDALLAHMWATANDA3 ай бұрын
MATUSI YA NINI NYINYI MAUTOPOLO.....jushua Mutale ana NGUVU speed na AKILI ya MPIRA....
@LucianaJoachim3 ай бұрын
Na muendelee hivyohivyo nyie yanga kutoa Rushwa kwa wachezaji ili muharibu timu za wenzenu, tumesafisha bado kipa, ukiwa unapenda kula rushwa na msenge. Wenu zeruzeru chawa,
Kwani kumtambulisha mchezaji xi niuamuz wa klabu imta.bulishe kwa wakati gani unahoja na hilo mchambuz uwe mkwer saree H Mm nimiongoni nakufuatia naona unaukolo weee
@LinusKyando3 ай бұрын
UPO VIZURI SALEHE JEMBE
@rajabumalonda26253 ай бұрын
Wewe S Jembe mbona watu tushakujua ,huna jipya
@hamisikapute5983 ай бұрын
Kama umeumia vile
@ZachariaMwita-bu7rw3 ай бұрын
Huyu ndo waga anaongea point
@AlfredRutaguza3 ай бұрын
Huyu fara yupo kwenye kamatu furani simba hivyo udunduka unamsumbua
@malietamaliet3 ай бұрын
Uache wivu naroho mbaya ila chama Ako tu sawa sema team nzima aikua sawa yote usimutupie rawama chama
@YohanaMadaha-y8l3 ай бұрын
Wee naee 🤣🤣 ! Kuna watu pale wanatekereza majukum bwana ! Wanajua ni nn wanakifanya sa wew unapiga kelele hapa 🤣🤣