SALEH JEMBE SIMBA WAMEMSAJILI MCHEZAJI KUTOKA ASEC MIMOSAS?/SIMBA KUCHEZA NA VIGOGO ROBO FAINAL?/

  Рет қаралды 35,085

JEMBESPORTS

JEMBESPORTS

Күн бұрын

Пікірлер: 23
@boniphacehassan826
@boniphacehassan826 10 күн бұрын
Dah! Unajua Sana kaka🙌 points ambazo ziko wazi ambazo hazijasukumwa na mihemko. Hawa ndiyo watu makini wenye madini wa kuchambua soka letu sio wale wapiga kelele. Salute.
@EmmanuelKamala-x5b
@EmmanuelKamala-x5b 10 күн бұрын
🎉🎉 baba ninyi ndo wakupewa nafasi kubwa za uwongozi
@davidwatson6821
@davidwatson6821 9 күн бұрын
Salehe Jembe unaujua mpira, big up
@SabraChipeta
@SabraChipeta 9 күн бұрын
salehe umeongea kwel kaka ila Simba na mashabik atuwazi fainali
@saidbakari2408
@saidbakari2408 9 күн бұрын
SALEHE JEMBE MZEE WANGU NAKUPA HII ITAKUSAIDIA. Msimu ambao Simba SC itafika nusu basi ndo msimu ambao kombe litafka Tanzania
@Eliaskasanya-hm5yk
@Eliaskasanya-hm5yk 9 күн бұрын
Salehe Jembe anajua sana kuchambua soka. Huyu haongei kishabiki ila anaongea ukweli kuhusu soka na si wanaojiita CHUMA CHA MJERUMANI.
@saidally316
@saidally316 10 күн бұрын
Ndio maana mungu anawaadhibu hawa sio watu ni mashetani awafai ata kidogo
@LaurensiaPeter
@LaurensiaPeter 2 күн бұрын
Wachambuzi kama wewe saleh huwa tunajivunia sana wana kanda ya ziwa hasa buchosa 🌹🌹🌹🌹unatisha halafu ukweli zaidiiiii🙌🙌
@MasoudHaji-h4u
@MasoudHaji-h4u 9 күн бұрын
kichwa cha habari chengine na habari ni nyengine hata Ile ya ambangile pia, naona habari zako sitasoma Tena na nitaomba wengine pia
@SaadIssa-e1e
@SaadIssa-e1e 10 күн бұрын
Wanaoipenda Yanga Yao wala hawafanyi hivyo kupiga watu,hao ni machawa tu😮😮😮
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 10 күн бұрын
Yanga niwahovyo sana
@kitaraabdi9529
@kitaraabdi9529 10 күн бұрын
We mwamba nakuelewa unajua sana
@harounmaarufu3241
@harounmaarufu3241 10 күн бұрын
Hersi mwenyewe ni tatizo
@JodanielMowo
@JodanielMowo 10 күн бұрын
Hakika
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 10 күн бұрын
Eee tena
@harounmaarufu3241
@harounmaarufu3241 10 күн бұрын
Yanga ina sifa mbaya
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 10 күн бұрын
mimi nikikusikilizaga huwa nakuelewaga sana
@harounmaarufu3241
@harounmaarufu3241 10 күн бұрын
Watu wa yanga ndo wanaharibu mpira.
@BachuBachu-mq2ko
@BachuBachu-mq2ko 10 күн бұрын
Usajili unaenelea
@lukasingogo8182
@lukasingogo8182 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@joelmichael9752
@joelmichael9752 10 күн бұрын
Ule ni ushamba wa kupiga watu,yule anajua hatapanda tena ndege ndiomaana ana hasira Utopolo kutolewa.
@HAMZAAbbdallah
@HAMZAAbbdallah 10 күн бұрын
Unajua kuchambu sana
@feliskimbe4053
@feliskimbe4053 10 күн бұрын
Umeongea kitu kizuri san
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
Support each other🤝
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
MURTAZA MANGUNGU ATHIBITISHA KUMKATAA CHAMA KURUDI SIMBA
5:31
Crown Media
Рет қаралды 53 М.
MVUA ZA MASIKA KUJA NA ATHARI HIZI TUJIPANGE
6:57
PLUS 24 TV
Рет қаралды 1 М.
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН