Naona ktk comments kumetajwa yanga ....hii ni studio au maana sielew....i
@sundaymuyamba23 сағат бұрын
sawa kaka
@jonathansirkintungi7434Күн бұрын
Kajuna kafanya kazi kubwa kwenye eneo la mapato Kutoka shs 13bn mpaka 25bn msimu huu, kwa muda wa miaka 3 si kitu kidogo. Nashauri abaki kama mkurugenzi wa biashara aendelee kutumia taaluma yake kubuni vyanzo vya mapato. Vinginevyo kiutawala tunaweza kuwa bora lakini kwenye mapato tukarudi nyuma.
@BenjaminiMathayoКүн бұрын
Hajaonyesha kitu acha aondolewe
@halson827Күн бұрын
Sipendi taarifa zinatotumia clickbait ni ushamba...
@saidmbarouk3553Күн бұрын
HUYO MCHAMBUZI AU NJA TU MUOKOSI WA YANGA
@patrickdaffa1207Күн бұрын
Heshima ya nini kama mtu anauza game heshima ya nn? Simba sio wajinga na simba ndo timu ambayo inaachana na wachezaji vzr sana.ukiona wanafanya hivyo ujue Kuna kosa kubwa kafanya.
@ufundi_tzКүн бұрын
kwani timu ni azam tu .. huyu nae kavurugwa
@hamzaibrahimu2 күн бұрын
Sheria ya Tanzania Hairuhusu SIMBA NA YANGA kujenga uwanja zitaziwia mapato ya nchi
@mohdkhatib2232 күн бұрын
Huyu jamaa hujui lolote kuhusu soka ni upenzi tu alionao kwa simba
@AhmedMussa-q9f2 күн бұрын
Wacha maneno ya kishenzi wee ngedere
@Feitoto-rk1tv2 күн бұрын
Lingekua kwa Yanga,ungeongea adi mishipa ingekutoka
@kassidpandu8662 күн бұрын
utoporo wanafeli wapi hawana uwanja hata wa Mazoezi Aibu sana Avic town si uwanja wa yanga
@tatalyzer3822 күн бұрын
1:49 mbona issues za Fei Toto na Yanga hukuacha watu au jamii iseme,uliongea mpaka povu lilikukauka mdomoni
@LetasKomba-br1xh2 күн бұрын
Uko sahihi kaka
@kasimumughuna2012 күн бұрын
Wapi alipowavaa yanga mwandishi????😮😮😮
@musamusa62132 күн бұрын
Timu yako simba waseme kama unavyotoaga maneno machafu Kwa yanga
@hellenmchomvu62962 күн бұрын
Sura tu haina nuru😂kisa kuchukia yanga
@michaelthobias99672 күн бұрын
Mashabiki wa yanga kitendo Cha mumfata huyu jamaa kwenye mitandao yake na kumponda kinampa nafasi ya yeye kufanya anachota acheni kumtafuta itasaidia Sana kuliko kumjibu kama hivi msikilizeni mpuuzeni
@matiankomola23912 күн бұрын
Huyo hana jambo jema la Yanga!
@rasakakaombwe2 күн бұрын
Sema nyie simba mna vihoro sana
@christianjohnmwalugaja80902 күн бұрын
Utakoma na wachezaji wako (Haishi Manula). Azam haendi utakoma.
@HalidMuhammad-gi9qy2 күн бұрын
Wewe mmakonde kua muazi tu ww ni chawa wa simba
@SelemaniMarko2 күн бұрын
Ingekua yanga tungeona makala mpaka yaliyoandikwa kwa kimakonde ila kwa makolo aaaah
@ramadhanimsangi95152 күн бұрын
Aishi alikua duka,.kasahau heshima aliyopewa, akataka hela ya haraka, sasa aombe uwakala wa magodoro GSM
@HappyKitindi2 күн бұрын
Mbona ya Yanga unaonaga sio sawa, ila ya simba umesema ni kama umeolewa ukubali kulala bila nguo kwahiyo hata kama inaumiza inabidi ukubaliane nayo. Kwa mantiki hiyo ww ni simba au umeolewa na simba kwahiyo chochote wanachofanya huwezi kuwapinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kutetea makolo tu, kusema mazuri kwa Yanga aaaaaah
@stephanSandika2 күн бұрын
Uwezi kuwa kiongozi bila kuwa mshabiki
@MjMohammed-nt6fq2 күн бұрын
Yaan huyu kumbe akiri hana yaaan anadai viongozi hawafati uweledi lkn yeye nae ni kiongozi amekiri boko kaisha lkn katumia uwongozi wake kumsajir boko jkt ambaye ameisha sasa uweledi wake upo wap mbwea wewe
@AbisinaRashidi-c8d2 күн бұрын
Msaliti Hana lolote mbwa aende zake na mwenzie chama wahujumu wakubwa Aishi muujumu
@raphaelkomba3642 күн бұрын
Kuma la mamako we mchambuz
@DENISURIO-r3v2 күн бұрын
Hujielewi wewe
@enockjlory18142 күн бұрын
Ila huyu jamaa anajimalizaga sana ngoja tuone
@cosmasthomas91642 күн бұрын
Kwakweli ni aibu kwa Simba na yanga
@user-wv2wr3kl2x2 күн бұрын
Mbona mwandishi unachochea chokochoko Kwan unakijua kinacho endelea acha bwana kuchonganisha manura ni mchezaji wa simba sport
@Dula7072 күн бұрын
Kama ww tu pia ni shabiki tu Ila unajikuta wewe umenyooka
@LovelyOmbreSky-pu4jt2 күн бұрын
Hapo kwa simba unyooshi maneno wewe mchambuzi uchambuziwako ni wa kubabaisha tu sasa aish kukaajukwaani unaona sahihi semaukweli
@twahakabajemi97162 күн бұрын
Yanga wa kisajili roho inakuuma
@bennieoswald81402 күн бұрын
Wachambuzi wengi Nanyi ni washabiki
@Evance-op4jw2 күн бұрын
ingekuwa yanga ungetoa maneno .. haya ni maisha tu safari inaendelea.. lakin nibora ungekuwa shabiki tu kuliko kuwa mchabuzi wa kuchambua umeegemea mti fulani tu hivo kuwa shabiki hapo tutakubali wewe mtani tu kuliko unafki
@jofreymsomba46522 күн бұрын
Mbona anajichekesha tu
@samsonmwaipaja52312 күн бұрын
simba wahun hawana shukran watakula kumi
@robertchazya23512 күн бұрын
Pumbav ndo maana hamuendelei
@JUU-lw2je2 күн бұрын
Wewe umeendelea?
@josephmwise31773 күн бұрын
Manura namuonea huruma, lkn kwa huyu Jemedar ni sawa tu, Natamani siku moja nisikie Manura kamtema Jemedar.
@adinanzacharia4092 күн бұрын
Kwani kakosea wap
@hockingsshangali17473 күн бұрын
Jemadari hilo ni kwa simba na azam. Lingekuwa upande wa yanga ugelisema sana chawa wewe. Umesahau ulivyokuwa wayasema ya fei toto
@fadhilisalmu7232 күн бұрын
Huyu ni shabiki wa Simba ndiyo maana anasema ninyonge, haijalishi vyovyote haipendi Yanga hata kidogo