Salum mwalimu wa Chadema atajwa kuondoka ndani ya chama baada ya mpasuko mkubwa kutokea

  Рет қаралды 14,398

Linconmedia

Linconmedia

Күн бұрын

#chadema #lissu #samia #mbowe #ccm #tanzania #uchaguzichadema #uchaguzi2025 #drslaa

Пікірлер: 85
@BoniphaceManyama-y2s
@BoniphaceManyama-y2s 5 күн бұрын
Mke COVID Mume Chadema akafie mbali
@HasaniBile
@HasaniBile 5 күн бұрын
Hao hawakuwa wanasiasa bali walikuwa watafuta ulaji
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 күн бұрын
Wasaka tonge
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 күн бұрын
Kabisaa
@DaudSuday-v5c
@DaudSuday-v5c 5 күн бұрын
Waondoke wote wapokea lushwa hatuwakaki
@TrustElbashil
@TrustElbashil 5 күн бұрын
Aende safari njema alikuwa ccm mda mke wake Yuko ccm nenda hamna lolote huyo ndani ya chadema ulikuwa mzigo
@salama1113
@salama1113 5 күн бұрын
Magugu katikati ya ngano ndo hii😂😂😂😂
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 5 күн бұрын
Aisee ngano inaondoka chadema yanabaki magugu kama ninyi ambao hamna impact kwa wananchi!😂😂😂
@RichardbituroMakole
@RichardbituroMakole 5 күн бұрын
Aondoke huyo mkewe si ndo anakula pesa za uma kupitia ubunge wa kujifanyia? Lisu ana watu wasicheze hapo watz tumeelewa nani mpinzani.lisu ni kiongozi tz one day.
@msokainno
@msokainno 5 күн бұрын
aondoke.tu team mbowe na covid19
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 күн бұрын
Huko waendako wapo wenyewe kama hawajui
@ChristerKok
@ChristerKok 5 күн бұрын
Hasifikirulie sana kama ni mwanachama wa Chadema wa dhati hataondoka,kama alikuwa kwa ajili ya ulaji aende tu njia ni nyeupe.Mme wa Esta Matiko.
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 6 күн бұрын
Waende zao washibia matumbo yao wanamkimbia jembe atapanga safu mpya
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 5 күн бұрын
Walijiandaa vibaya siyo lazima kuwa CHADEMA.Asafiri salama.
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 5 күн бұрын
Nitaarifa nzuri sana
@QaahtaQaahta
@QaahtaQaahta 5 күн бұрын
Nafikiri hawa tangu mwanzo walikuwa NI CCM. SI RAHISI MPINZANI WA KWELI KURUDI CCM. ANAWEZA KUACHA CHAMA FULANI CHA UPINZANI AKAENDA CHAMA CHA UPINZANI AU ATAANZISHA CHAMA CHAKE
@HappinessMazera
@HappinessMazera 5 күн бұрын
Huyo hakuwa mwana siasa bali alikuwa mchumia tumbo yeye aende zake huko ccm
@knight6757
@knight6757 5 күн бұрын
Duuh...hawana aibu ...wanameza matapishi zao😂
@lucianakweyunga8187
@lucianakweyunga8187 5 күн бұрын
Kila anayeondoka hafai kwa Sasa watupishe, ...chama nilikuwa kichafu Sasa kinakuwa kisafi.....hao watu siyo wazur waende zao
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 күн бұрын
Njia ni nyeupee😅😅
@andrewkitema9838
@andrewkitema9838 5 күн бұрын
Wote wanaohama Chadema kwasababu ya Mbowe kushindwa uchaguzi ni kielelezo tosha kwamba walikuwa ni wanufaika binafsi wa uwenyekiti wa Mbowe. Hawakuwa Chadema kwasababu ya itikadi na falsafa ya chama. Kwasasa wanaona hawawezi kupata tena walichokuwa wanapata ndani ya Chadema Mbowe akiwa mwenyekiti. Hawakuwa Chadema kusimamia hitaji la wananchi na wanachama ambao kwa majority ndio wameamua Lissu awe Mwenyekiti wa Chama wa nyakati hizi. Kuchukia mabadiliko ya uongozi ni kuonyesha kwamba wao walikuwa hawakerwi na zile kauli kwamba Chadema ni Saccos ya Mbowe na kwamba ni chama cha Wachaga kwa vile tu wao walikuwa wananufaika kupitia uwenyekiti wa Mbowe. Siwapendi wanasiasa wabinafsi
@JeremiahKaliwa-h1w
@JeremiahKaliwa-h1w 5 күн бұрын
Aende tu wabaki wanachadema wa kweli.
@JuliusAkida
@JuliusAkida 5 күн бұрын
Wapambe wa lisu mnasimango sna kwa wenzenu,mbona wakati wao wanaongoza hamkubaguliwa,nyie leo mnasema wenzenu kama hamuwajui,
@andrewkitema9838
@andrewkitema9838 5 күн бұрын
@JuliusAkida Hakuna mtu anawabagua mzee, kama ni kubagua wao ndio wabaguzi kwa kuona hawawezi kufanya kazi na Lissu ambaye walikuwa naye Mbowe pakiwa Mwenyekiti. Kwa mfano Salimu Mwalimu kama kweli anaamua kuondoka Chadema kwa vile tu Lissu ni Mwenyekiti binafsi atakuwa amenisikitisha sana. Nadhani nitakuwa sahihi nikisema kilichokuwa linamfanya awepo Chadema ni maslahi binafsi aliyokuwa anayepata chini ya Uwenyekiti wa Mbowe ambayo anaona sasa hawezi kuyapata tena chini ya Lissu. Kwani kama kujiunga kwake na Chadema kulitokana na itikadi na falsafa ya Chadema kubadilika kwa kiongozi hakuwezi kuwa sababu ya wewe kuondoka kwenye chama.
@roypeters9829
@roypeters9829 5 күн бұрын
Aende tu mbona
@jacobsamgabo8045
@jacobsamgabo8045 5 күн бұрын
Hiki chama kimeingiliwa tetesi tu mnaanza kutukana kama anazushiwa je?kweli lisu kazi anayo kama wafuasi wenyewe utafikiri wavuta bangi😂😂
@Neema-qm9kk
@Neema-qm9kk 5 күн бұрын
Hahaaaa
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 5 күн бұрын
Uyo kavidi boya ww iki chama sio ccm Cha Wala lushwa mimba ww apa ukiwa mlalushwa nenda ccm ndio walipo Wala lushwa uko mmbwa ww
@gsplundi1327
@gsplundi1327 5 күн бұрын
Wakati wake umeisha aende too
@halimamasai2234
@halimamasai2234 5 күн бұрын
Kumekucha 😂😂😂😂
@marymremi1051
@marymremi1051 5 күн бұрын
niliwaambia kitakachofuata kama mbowe ataondoka chama kimebakia watu wasio na busara kimepoa hakina nguvu huwa Mungu alimweka mbowe mkaleta siasa za kudhalilisha watu wengine mnajiita nabii mtamkumbuka
@antonyndinga8890
@antonyndinga8890 5 күн бұрын
Lisu oyee,magugu yaondoke tuu
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 5 күн бұрын
Hao walikuwa mapanndikizi wa CCM
@salminmayla
@salminmayla 5 күн бұрын
Hao ndiyo walikuwa mamluki, walikuwa wakituchelewesha, Bora kuwa na watu wachache walio wazuri kuliko kuwa lunfo lawatu halafu linajaza fitina tu mara watu watekwe Mimi na wasisi na Hawa wanaweza kuwa wanajuwa mambo ya siri
@KelvneJeremia
@KelvneJeremia 5 күн бұрын
Hatutaki wanasiasa wenye tamaa acha waondoke
@jamesbayo1910
@jamesbayo1910 5 күн бұрын
WANACHAMA. WANAOONDOKA CHADEMA NI. VIBARAKA . ACHENI WAONDOKE CHADEMA NDIYO ITAIMARIKA. ZAIDI. HAO WAGANGA MATUMBO. WAONDOKE HARAKA .
@saimonisichimata8559
@saimonisichimata8559 5 күн бұрын
mimi huyu jamaa sjawahi mwelewa Chadema aondoke tu kamaanataka
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 5 күн бұрын
Sio kweli
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 күн бұрын
Hao walikuwa walamba asali lazima tu waondoke Chadema ilikuwa ineshakufa
@ELIAMbise-sy5ue
@ELIAMbise-sy5ue 5 күн бұрын
Aende kabisa. Huyu ni mtu wa maslahi.
@maryhando227
@maryhando227 5 күн бұрын
Aende tu.
@HasaniBile
@HasaniBile 5 күн бұрын
Hayo ni magugu yesu aliyasema tutaona na kuwajua wahusika ambao ni magugu,
@robertedward1992
@robertedward1992 5 күн бұрын
Aende kule ccm ,akamfate mke wake huko
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza 5 күн бұрын
Kama ni kweli basi hii ni hatari, BON VOYAGE
@teresiagama3578
@teresiagama3578 5 күн бұрын
Wana Lao jambo hao!! Mwanasiasa bora.angebaki!!!
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 5 күн бұрын
wejama nimuongo sana
@makumbistaford1489
@makumbistaford1489 5 күн бұрын
Tutajua ukweli kauli zao siku za usoni
@aminattai2676
@aminattai2676 5 күн бұрын
Wanaijielewa wengi hawawezi kubaki CHADEMA kwa ajili ikiwa kiongozi anautambuwa ushoga maana yake kila kiongozi kwenye CHADEMA itabidi aungane na lisu kwa hili,uyo mua America mwenyewe kalipinga hili itakuwaje lisu analitambuwa na kwa faida ya nani? Wa Africa hatuna asili hii lisu linamfurahishaje hili mpaka aliunge mkono?
@songeza
@songeza 5 күн бұрын
Mtaongea mengi na wengi watatoka chadema maana hazungumzii mema bali kutukana wafu na kumsakama Rais hiyo sio siasa ni chuki binafsi
@andrewkitema9838
@andrewkitema9838 5 күн бұрын
@@songeza Wote wanaomtukana Rais wachukuliwe hatua za kisheria ili kuikomesha hiyo tabia na umma uelezwe kabisa hawa wametukana Rais matusi haya.
@makumbistaford1489
@makumbistaford1489 5 күн бұрын
Mbona walisema baada ya uchaguzi hakuna kuhama inakuwaje tena?
@kirungekirunge5920
@kirungekirunge5920 5 күн бұрын
Akiri za kuambiwa changanya na zako Lincoln wakashindwa nini kwenda kumuoji mpaka watuambie walichosikia kiboko ya njia ni kigogo yule ajawahi kutoa habari ya kusikizwa kama hawa wanao jiita Lincoln wazushi
@MshauriKigwinya
@MshauriKigwinya 5 күн бұрын
Na Mimi nasema hao ni wanufaika wa pesa za mama Wacha waende
@Ahmedseif-l5g
@Ahmedseif-l5g 5 күн бұрын
uongo huo
@kirungekirunge5920
@kirungekirunge5920 5 күн бұрын
Lincoln kila siku wanawaondoa wanachama
@abrahamuisrael6161
@abrahamuisrael6161 5 күн бұрын
CDM ni wabaguzi wa dini,, dadeek zao
@andrewkitema9838
@andrewkitema9838 5 күн бұрын
@@abrahamuisrael6161 Watu wa aina yako mna hatari sana kwa amani ya nchi. Haifai hata kidogo kuhusianisha maoni ya watu na imani ya dini. Bado kidogo utaanza kusema kwasababu ni Mzanzibari. Mwalimu Nyerere alituasa sana juu ya mambo ya dini, ukabila na hata ukanda. Unaweza kudharau na kuona ni mambo madogo lakini yana hatari sana kwa mstakabali wa amani yetu. Unajua namna ya kupokea mambo na uwezo wa kuyachanganua tumetofautiana. Mwingine anaweza kulibeba jambo kama alivyolisikia bila kulitafakari halafu akalisambaza kwa namna ya kuchochea na madhara yake yakawa ni kwa nchi.
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 5 күн бұрын
Wewe endelea kuota utatangaza uliyoota.
@nabii-zc1hm
@nabii-zc1hm 5 күн бұрын
Covid 19 nao out
@JohnJacob-k6e
@JohnJacob-k6e 5 күн бұрын
Aende tu hamna shida hao ni wasaka tonge ccm mtu huwezi hama chama kwasababu ya mtu.
@PaschalMallya-x4n
@PaschalMallya-x4n 5 күн бұрын
Kama c Millard habari hii batili
@AshuraNyamnyam
@AshuraNyamnyam 5 күн бұрын
Swala cyo covid ila maneno yamezidi , vijembe utazani wako kwenye mdundiko , siasa za kusutana bora aondoke maana itakuwa vijembe mpaka lini kwastaili hiyo wataondoka wengi
@Selemlaki132
@Selemlaki132 5 күн бұрын
Yeye hana jibu hata Moja la hayo maneno au vijembe mwanasiasa Gani huyo asye weza kujibu hoja hata moja
@Selemlaki132
@Selemlaki132 5 күн бұрын
We rudi tu kwenye taaluma yako ya utangazaji siasa huiwezi
@EsauMwanguku-t5n
@EsauMwanguku-t5n 5 күн бұрын
Msaliti mke si mbunge wa wale 19
@WiliamKundi
@WiliamKundi 5 күн бұрын
Mwache aende
@michaelmshighati8432
@michaelmshighati8432 5 күн бұрын
Aibu Salim Mwalimu unapenda CCM ? Shame to you.
@rashidmohd115
@rashidmohd115 5 күн бұрын
Km wataenda kuunga juhudi watatupa uthibisho wa wazi kua waliramba asali
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 5 күн бұрын
Bado unahitajika cdm.
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 5 күн бұрын
Wasaka tonge utawajua tu na bado
@EllyAmanieli-o5u
@EllyAmanieli-o5u 5 күн бұрын
salum mwalimu mtu makini
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 5 күн бұрын
CHADEMA NI CHAMA AMBACHO KINA WATU WA AINA MOJA NI WABAGUZI SANA SANA SANA HII NCHI NI YETU SOTE AIWEZEKANI CHAMA KIKAWA NA WATU AINA MOJA CCM NDIO BORA KINA WATU AINA ZOTE BILA UBAGUZI
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 5 күн бұрын
We shoga ujielewi Sasa jitu Lina kula lushwa ana kandamiza wana chama Sasa ana faida gani boya ww
@JumaWaziri-d5x
@JumaWaziri-d5x 5 күн бұрын
Ondoka apo yamebaki matusi kashfa uzanzibar na utanganyika tu
@Selemlaki132
@Selemlaki132 5 күн бұрын
Kitu gani kinamfanya aondoke
@dismasmtui729
@dismasmtui729 5 күн бұрын
Upinzani sio kitu chepesi, kwenda CCM ni kushusha hadhi yako!!!
@estachengula3902
@estachengula3902 5 күн бұрын
Msiondoke salumu shetani asiwatawanye kwa mda huu ni mda wa mafanikio
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 5 күн бұрын
Yupo sahihi anakwepa genge la lisu
@simonsadala2386
@simonsadala2386 5 күн бұрын
Chadema ndo inaenda kuzikwa wenye akili wote wataondoka watabaki walevi tuuuu 😂😂😂😂😂😂😂
@simonmwasile4377
@simonmwasile4377 5 күн бұрын
Mamayo mbwa koko wewe
@NickmbeckNkinda-z3g
@NickmbeckNkinda-z3g 5 күн бұрын
Wewe lijinga sana kwanza habali zako ni zauongo
@JuliusTluway
@JuliusTluway 5 күн бұрын
Proproganda
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
MBOWE KUISUSIA CHADEMA KUMEMFANYA LEMA KUONGEA MAZITO MIPANGO YA CCM
1:20:39