SAM SIMBA ACHARUKA NA KOCHA WA SIMBA ,BALEKE & CHAMA KUCHEZA YANGA "FEITOTO KUTUA SIMBA"

  Рет қаралды 9,699

S500 TV

S500 TV

Ай бұрын

e

Пікірлер: 31
@Elihurumamathew
@Elihurumamathew 28 күн бұрын
Sam nimtu wa mpira natamani ningepata namba zake huyu nizaidi ya shabiki mpira anaujua😂😂
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Shida yetu Simba ni pesa . Mo msanii lkn watu hawajui tu . Ndo maana kamurudisha try again ili wapige hela na afichie Siri zaupigaji. Mm naona mchezaji hapo ni Joshua mutale tu hao wengine makapi tu.
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 28 күн бұрын
Point mo mjanja sana
@ibrahimismail8239
@ibrahimismail8239 28 күн бұрын
Mshikaji..anaongea..ukweli..sasa..matusi..ya..nini
@FranksonMkumbwa-mb3pp
@FranksonMkumbwa-mb3pp 28 күн бұрын
😅😅kweli bro
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 28 күн бұрын
Anayetukana mungu anamuona cmba wamesajili vizur vibaya hajachangia chochote tuachien cmba yetu
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 28 күн бұрын
Nkubali sam simbaa
@josephgalandu128
@josephgalandu128 27 күн бұрын
Kutoka kwa Chama kumewachanganya Simba sasa wamesha sajili viungo watano,nauliza jamanieeew watachezaje na viungo wote????😂😂😂😂😂😂😂
@josephgalandu128
@josephgalandu128 27 күн бұрын
Ukisajili wachezaji kinda ujue moka wapate uzoefu washapigwa kumi na tano na Yanga😂😂😂😂
@dominickiungulia1016
@dominickiungulia1016 28 күн бұрын
Inaonyesha dhahiri baadhi ya washabiki michango yao ni kuwakatisha wengine tamaa na kutowaunga mkono wasajili wetu wa kipindi hiki. Usajili unao endelea sasa hivi ni mzuri sana. Wanao upinga hawajui wachezaji wazuri.
@errydeo8865
@errydeo8865 28 күн бұрын
Mpira ni game la data na uwazi! Hivi kwenye akili YAKO unafikiri usaji huu wa Simba ni wa kutwaa uBingwa!!? Kweli?
@MohdRehan-v9l
@MohdRehan-v9l 27 күн бұрын
Huyo ni yanga anataka apatiwe kazi na gsm
@aishaadam9933
@aishaadam9933 25 күн бұрын
Yan ww mtu san mimi nakukubar san
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx 28 күн бұрын
Jiamini boroo unawasiwasiiiiiii
@patrickimran2645
@patrickimran2645 28 күн бұрын
Usisahau master gamondi pempeni na mosamali jukwani afu mzee wa utopolo mzunguko weweeeee
@khalidmdotta3843
@khalidmdotta3843 28 күн бұрын
Uyu Kuma ligi every cost ni ndogo ww ni yanga tunakujua
@errydeo8865
@errydeo8865 28 күн бұрын
YES ligi yao ni ndogo! Ukichanganye ligi na klabu !
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Na huyu msemaji wetu analinda kibarua change mara ngapi anasifia wachezaji wabovu. Kama mm mutale nilishamuona live nimchezaji mzuri sana lkn hawa wangine bado sana . Wakina sawa dogo aliwasifia sana sana eti semaji la cuf upumbavu tu. Wataumiza tunashidwa hata kwenda bar.
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Wakishidwana na mchezaji bei wanamzushia uongo mara mravi mara nn. Sisi sio wanjinga kama mashabiki wengine kama huyu kisugu. Kz yake nikusifia ujinga tu ili apate pesa na akina mangungu na try again tunajua vizuri. Kuna jamaa anaitwa kocha mwenda huyu jamaa angekuwa kwenye bench la usajiri Simba yingefika mbali Sana , lkn shida mo anachangua watu wake kutengeneza upigaji ambao mpira ziro kichwani. Changua vijana kama yanga walete wachezaji waukweli. Angalia engineer mpira anujua ndo maana hata usajiri wake ni super.
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Kingine watu bado hawajui shida ya Simba sio mangungu Wala try again kirusi ni mo mwenyewe. Ndo anachangua hao watu ili wakifanya usajiri walete wachezaji wabei chee alafu hela nyingine yinarudi kwake alafu wanatutajia bei kubwa kumbe wamesajiri bei ndogo sana. Tutapata shida sana sana na huyu Jamaa. Lkn mashabiki ambao hawana akiri nivigumu kugundua kama mo ndo kirusi na ukimsema mo utatukanwa sana.
@faustinemsanguli1055
@faustinemsanguli1055 28 күн бұрын
Wew matako wew huna unacho jua
@AndersonNketa
@AndersonNketa 28 күн бұрын
Samu unageukaga kesho utaanza kuwachambua wachezaji
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Lkn huyu Sam and mchome wote yanga damu . Wanatafuta kiki
@onesmothimos2635
@onesmothimos2635 28 күн бұрын
Wasenge kama awa ndo wanao filwa uyu jamaa sio Simba ana izungumzia Simba kama nani
@martinandugai2340
@martinandugai2340 28 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Jamani
@MuhsinJuma-wo2bg
@MuhsinJuma-wo2bg 28 күн бұрын
Ww ka fumuliwe uko
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Hajui mpira wowote wule ww jua mchome na na huyu sama ni yanga . Tumia akiri yako yakuzaliwa lkn kama hauna akiri huwezi kutambua kitu
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Kwanza timu yetu ya Simba wapigaji wengi sana pamoja na mo mwenyewe ndo maana kaweka wazee wafanye usajiri ili wapige nao pesa. Tukitaka kufanyikiwa atumie wachezaji wa zamani wa Simba kama wakina pawasa jamuhuli kweli na kocha mwenda . Kocha mwenda namwelewa sana kuliko yoyote yule . Ana point za mpira .
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Mm naumia sana na hii timu lkn mara nyingi hata huyu msemaji wetu anaona mashabiki wa Simba wote mazuzu. Haana lolote maneno mengii ya kijinga tu.
@bernardmboma1461
@bernardmboma1461 28 күн бұрын
Huyu Sam na mchome wanatafuta hela wapo kzn nimasikini tu. Ww shabiki gn Kila kitu Cha timu yako kibaya tu . Lkn wajue they can't fool people all the time. They say every dog has it's own day , so they need to bear in mind.
@errydeo8865
@errydeo8865 28 күн бұрын
​@@bernardmboma1461utakuja kuwaelewa,msimu huo unaanza!
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 21 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 69 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 28 МЛН
MZEE SAID: WACHEZAJI WALINDWE | MSIMU UJAO VIKOMBE | AZIZ KI KABAKI?
24:46
Кто из девушек быстрее печатает?
0:58
Потоп из какашек??? @zackdfilms - автор анимации.
0:31
Время знаний
Рет қаралды 2,3 МЛН
Девушка ограбила мажора, но…😳
1:00
Trailer Film
Рет қаралды 8 МЛН
ХОТЕЛ ПОТОПИТЬ ДЖЕКА, НО НЕ ВЫШЛО
0:51
Tasty Series
Рет қаралды 1,1 МЛН
Toothbrush Glove Hack !?
0:16
Dental Digest
Рет қаралды 11 МЛН
Потоп из какашек??? @zackdfilms - автор анимации.
0:31
Время знаний
Рет қаралды 2,3 МЛН