Sam nimtu wa mpira natamani ningepata namba zake huyu nizaidi ya shabiki mpira anaujua😂😂
@bernardmboma146128 күн бұрын
Shida yetu Simba ni pesa . Mo msanii lkn watu hawajui tu . Ndo maana kamurudisha try again ili wapige hela na afichie Siri zaupigaji. Mm naona mchezaji hapo ni Joshua mutale tu hao wengine makapi tu.
Kutoka kwa Chama kumewachanganya Simba sasa wamesha sajili viungo watano,nauliza jamanieeew watachezaje na viungo wote????😂😂😂😂😂😂😂
@josephgalandu12827 күн бұрын
Ukisajili wachezaji kinda ujue moka wapate uzoefu washapigwa kumi na tano na Yanga😂😂😂😂
@dominickiungulia101628 күн бұрын
Inaonyesha dhahiri baadhi ya washabiki michango yao ni kuwakatisha wengine tamaa na kutowaunga mkono wasajili wetu wa kipindi hiki. Usajili unao endelea sasa hivi ni mzuri sana. Wanao upinga hawajui wachezaji wazuri.
@errydeo886528 күн бұрын
Mpira ni game la data na uwazi! Hivi kwenye akili YAKO unafikiri usaji huu wa Simba ni wa kutwaa uBingwa!!? Kweli?
@MohdRehan-v9l27 күн бұрын
Huyo ni yanga anataka apatiwe kazi na gsm
@aishaadam993325 күн бұрын
Yan ww mtu san mimi nakukubar san
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx28 күн бұрын
Jiamini boroo unawasiwasiiiiiii
@patrickimran264528 күн бұрын
Usisahau master gamondi pempeni na mosamali jukwani afu mzee wa utopolo mzunguko weweeeee
@khalidmdotta384328 күн бұрын
Uyu Kuma ligi every cost ni ndogo ww ni yanga tunakujua
@errydeo886528 күн бұрын
YES ligi yao ni ndogo! Ukichanganye ligi na klabu !
@bernardmboma146128 күн бұрын
Na huyu msemaji wetu analinda kibarua change mara ngapi anasifia wachezaji wabovu. Kama mm mutale nilishamuona live nimchezaji mzuri sana lkn hawa wangine bado sana . Wakina sawa dogo aliwasifia sana sana eti semaji la cuf upumbavu tu. Wataumiza tunashidwa hata kwenda bar.
@bernardmboma146128 күн бұрын
Wakishidwana na mchezaji bei wanamzushia uongo mara mravi mara nn. Sisi sio wanjinga kama mashabiki wengine kama huyu kisugu. Kz yake nikusifia ujinga tu ili apate pesa na akina mangungu na try again tunajua vizuri. Kuna jamaa anaitwa kocha mwenda huyu jamaa angekuwa kwenye bench la usajiri Simba yingefika mbali Sana , lkn shida mo anachangua watu wake kutengeneza upigaji ambao mpira ziro kichwani. Changua vijana kama yanga walete wachezaji waukweli. Angalia engineer mpira anujua ndo maana hata usajiri wake ni super.
@bernardmboma146128 күн бұрын
Kingine watu bado hawajui shida ya Simba sio mangungu Wala try again kirusi ni mo mwenyewe. Ndo anachangua hao watu ili wakifanya usajiri walete wachezaji wabei chee alafu hela nyingine yinarudi kwake alafu wanatutajia bei kubwa kumbe wamesajiri bei ndogo sana. Tutapata shida sana sana na huyu Jamaa. Lkn mashabiki ambao hawana akiri nivigumu kugundua kama mo ndo kirusi na ukimsema mo utatukanwa sana.
Lkn huyu Sam and mchome wote yanga damu . Wanatafuta kiki
@onesmothimos263528 күн бұрын
Wasenge kama awa ndo wanao filwa uyu jamaa sio Simba ana izungumzia Simba kama nani
@martinandugai234028 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Jamani
@MuhsinJuma-wo2bg28 күн бұрын
Ww ka fumuliwe uko
@bernardmboma146128 күн бұрын
Hajui mpira wowote wule ww jua mchome na na huyu sama ni yanga . Tumia akiri yako yakuzaliwa lkn kama hauna akiri huwezi kutambua kitu
@bernardmboma146128 күн бұрын
Kwanza timu yetu ya Simba wapigaji wengi sana pamoja na mo mwenyewe ndo maana kaweka wazee wafanye usajiri ili wapige nao pesa. Tukitaka kufanyikiwa atumie wachezaji wa zamani wa Simba kama wakina pawasa jamuhuli kweli na kocha mwenda . Kocha mwenda namwelewa sana kuliko yoyote yule . Ana point za mpira .
@bernardmboma146128 күн бұрын
Mm naumia sana na hii timu lkn mara nyingi hata huyu msemaji wetu anaona mashabiki wa Simba wote mazuzu. Haana lolote maneno mengii ya kijinga tu.
@bernardmboma146128 күн бұрын
Huyu Sam na mchome wanatafuta hela wapo kzn nimasikini tu. Ww shabiki gn Kila kitu Cha timu yako kibaya tu . Lkn wajue they can't fool people all the time. They say every dog has it's own day , so they need to bear in mind.
@errydeo886528 күн бұрын
@@bernardmboma1461utakuja kuwaelewa,msimu huo unaanza!