SAMAHANI ASANTE |ep 20|

  Рет қаралды 101,159

KitaleMkudeSimba

KitaleMkudeSimba

Күн бұрын

Пікірлер: 668
@sharifupanane331
@sharifupanane331 17 күн бұрын
Jitaidini kutoa mwendelezo wakuu maan mnatupa shida sana kusubiri kwa mda mrefu move kalii hii
@HalimaMichael-x6x
@HalimaMichael-x6x 20 күн бұрын
Mbona movie nzuri sana alafu fupi shida nini jamani 😢😢😢 mie naumia sana maana ninavyoipenda hiii samahani 🎉❤
@RestAhadi-f4e
@RestAhadi-f4e 20 күн бұрын
Merina alianza kuumwa alipotoka shule ndo akafa kwahyo mizimu ilimchukua merina akiwa shule na nguo zake ndomana aliporud mizimu ilimrudisha na nguo za shule maana ndivo walivomchukua tulioelewa hv tujuane 😊
@miriammaruwa2046
@miriammaruwa2046 20 күн бұрын
Yeah ni hivyo
@ramadhanmbepei3158
@ramadhanmbepei3158 20 күн бұрын
kwa hiyo walimchukua nyumban ila wao wakamrudisha shule,(jambaz anavua viatu akienda kuiba😂)
@AnnyGerald
@AnnyGerald 20 күн бұрын
​@@ramadhanmbepei3158alichukuliwa akiwa shule ndio maana karudi na nguo za shule kama anatoka shule
@Rebeccaclaud
@Rebeccaclaud 20 күн бұрын
Jaman mmeambiwa msimuite merina shaur zenu, m nawaza wananzengo watachukuliaje hicho k2, m2 walishamzka Leo wanamwona
@hemedykayonko4109
@hemedykayonko4109 20 күн бұрын
Wewe ndio hujaelewa, alichukuliwa ametoka shule aliyefika nyumbani na waliyeenda kumzika siyo yeye ndio maana karudi kama alivyo enda​@ramadhanmbepei3158
@BertilleBertin
@BertilleBertin 20 күн бұрын
Nimewahi jamani kutoka Burundi nawapenda❤
@JamilaMaringo
@JamilaMaringo 18 күн бұрын
@davemaseko9714
@davemaseko9714 17 күн бұрын
Tunakupenda pia
@barackagerald9610
@barackagerald9610 16 күн бұрын
Kitale asee hii kaz ya 🔥 sana
@SomeaSomoemachemba
@SomeaSomoemachemba 20 күн бұрын
Nimechelewa leo duh kazi mzuriiiiii kaka maua yako🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@CarolineImbwaga
@CarolineImbwaga 19 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@HajiMaster-fz1hq
@HajiMaster-fz1hq 20 күн бұрын
Wa kwanza Mimi From Msasani Kama Unamkubali Kitale Kwa Kutuletea Tamthilia Tamu Na Ya Kusisimua Usipite Bila Ku like Asanteni
@niyonkuruismail5288
@niyonkuruismail5288 20 күн бұрын
leo mwambaaa mussa kitale kaniosha loho. yani niko safi ile kinoma. maana ametupa mapema namba 20 yaani kitale eee nimeka paleeee nikutepo❤❤❤❤❤alafu utunzi wako wahali ya juuu kabisaa
@wellbrand3415
@wellbrand3415 20 күн бұрын
Ahsantee baba Mkude tupo pamoja
@AminaSaid-u9f
@AminaSaid-u9f 20 күн бұрын
Kitaleeeeeee weeeh me sicheki na yeyote nakulindia wangu moyoooo 😂😂😂
@mussafaricy
@mussafaricy 20 күн бұрын
Team mzee kam ramadhan kama wanao mkubali tujuane hapa
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 20 күн бұрын
All of us
@properwelding7948
@properwelding7948 19 күн бұрын
machine iyo
@Najmahnyangasi
@Najmahnyangasi 20 күн бұрын
Kazi nzuri sana nawapenda bure ❤❤❤❤❤❤❤
@AmnazoFuraha
@AmnazoFuraha 20 күн бұрын
Kazi zuri sana brother ❤❤😊
@MaryMasanyiwa
@MaryMasanyiwa 20 күн бұрын
Wachawi mpaka watoke vigimbi 😅😅😅😅😅
@EsterJustin-u5c
@EsterJustin-u5c 11 күн бұрын
😂😂😂😂
@latifanasibu2089
@latifanasibu2089 19 күн бұрын
Sa kwann mnamuita merina😂😂
@RachelAlute
@RachelAlute 20 күн бұрын
Inachelewa sana kutoka jamani afu mkitoa dakika ni chache mtuoneee huruma basi jmn sema Mzee KAMA RAMADHAN KAMA Mungu akutunzee
@ashlovetz5maumba613
@ashlovetz5maumba613 20 күн бұрын
Hli lifanyiwe kazi
@MunirAli-f4r
@MunirAli-f4r 20 күн бұрын
Kipindi nikifupi na kinabamba sanaaaa musikicheleweshe tafadhali mungu awabariki shukrani sana ❤❤❤
@HusseynMwenda
@HusseynMwenda 15 күн бұрын
Me nishampenda Huy kikolelo nataka kumuoa😢😢
@LatifahSaeed-n2y
@LatifahSaeed-n2y 20 күн бұрын
Mashallah🎉🎉🎉🎉🎉🎉asante kwa upendo wako
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 20 күн бұрын
Mjukuu wangu
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 19 күн бұрын
Mzee kama mungu akupe maishaa marefuuu na yenye amani teleee ameen ameen 🙏💖🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@ApansiaSwai
@ApansiaSwai 20 күн бұрын
Muda jamani ni mdogo kwakweli 😥😥 broo tuongezee mda tafadhari 🙏🏻 japo ni nzuri sana kwakweli 🙌🏻🙌🏻❤
@NasraKakudji-he9qh
@NasraKakudji-he9qh 13 күн бұрын
hiii move jamani ni nzuri sana yaani
@harithmohd6318
@harithmohd6318 20 күн бұрын
Jaman dakika mbn kidog wadau tupaze saut dakika dakika
@HellenPetro-q2f
@HellenPetro-q2f 20 күн бұрын
Kwer hawa wana zingua dskika ni chache alaf wana chelewesha kutoa vipande
@veronicalufingo3513
@veronicalufingo3513 19 күн бұрын
Anazingua sana
@ghaithasabour7476
@ghaithasabour7476 20 күн бұрын
Yaan da Salma kikolelo haiweziii ataa 😁😁😁😁🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.......
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 20 күн бұрын
Wemuache ampoteze 😂😂
@maryamanalisi197
@maryamanalisi197 20 күн бұрын
Maa shaa Allah ❤❤❤🎉
@miriammaruwa2046
@miriammaruwa2046 20 күн бұрын
Ahsante kaka kitale...mapema ndio best
@NaimaSaleh-i5h
@NaimaSaleh-i5h 20 күн бұрын
Nakukubali sana mzee kama
@nivesFungo
@nivesFungo 20 күн бұрын
Nlijua tuuu huyu babu mchawi n mhehe😂😂😂
@giselagasper5360
@giselagasper5360 20 күн бұрын
😂😂 wachawi Sana
@EmmyPalesy
@EmmyPalesy 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ellensamson6787
@ellensamson6787 20 күн бұрын
Makabila Yote Yana Wachawi Siyo Wahehe Kuna Makabila Hadi Wana Wauwa Waume Zao Wabaki Na Mali
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 20 күн бұрын
​@@ellensamson6787😂😂😂
@IreneMsile
@IreneMsile 20 күн бұрын
Jamani msituonee bhana kila sehemu uchawi upo
@evelnjuma1834
@evelnjuma1834 20 күн бұрын
Kaz nzuli 🌹🛍️🇹🇿
@AishaZuber-z6g
@AishaZuber-z6g 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wachawi kila sehemu wanachafua hali ya hewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Hanifamallyamallya
@Hanifamallyamallya 15 күн бұрын
Kwa huu mwendo wa babu wa kuvuta miguu watafika kwel😂😂😂😂😂
@حليمهالبلوشي-ز5ث
@حليمهالبلوشي-ز5ث 20 күн бұрын
❤❤❤❤❤😂😂😂😂 Mzee kama na kikolelo 😂😂😂😂
@barackagerald9610
@barackagerald9610 16 күн бұрын
Nani mwengne kagundua kama huyo aliyejifunika kitambaa cheusi n kitale 😂😂
@veronicalufingo3513
@veronicalufingo3513 19 күн бұрын
Wachawi kazi wanayo kulivyombali mtakoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@AbubakarOmar-y1f
@AbubakarOmar-y1f 20 күн бұрын
Noma sana❤
@MuniraOmar-mj1ye
@MuniraOmar-mj1ye 20 күн бұрын
Heeeee md wot nlikuw nasbr ifike nw mshaangalia wat teleee hv
@QueenMwakyusa
@QueenMwakyusa 20 күн бұрын
Mzee kama ❤
@mickychuku6444
@mickychuku6444 20 күн бұрын
wakwanza leo 🎉🎉
@Rehema-m4n
@Rehema-m4n 20 күн бұрын
Asanteni Sana Kwa kazi nzuri ila mda muliotuekea ni mchache sana❤❤❤❤
@annemwende4480
@annemwende4480 19 күн бұрын
Mwaka 1967 tulikuja kwako na babu yangu mzaa mama, kikolelo kimekolea
@JulianaPeter-w9s
@JulianaPeter-w9s 20 күн бұрын
😂😂😂😂 kachafu hali ya hewa uchawitu😂mema aaaaa mtakoma❤
@iBraah257
@iBraah257 18 күн бұрын
Wa kwa senga mtahangayikw sanaaaaaaa
@restitutorcharles4253
@restitutorcharles4253 20 күн бұрын
Hongeraa kaka kazi nzuri ❤
@rahmasalum7097
@rahmasalum7097 20 күн бұрын
Mzee ramadhan kapata msaidizi sasa kazi ipo 😂😂😂😂😂
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 20 күн бұрын
Ndyo mjukuu wangu
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 20 күн бұрын
Watajuta wanaoleta ujinga😂😂
@Mainatongwe
@Mainatongwe 20 күн бұрын
Kanzi iendelee
@annemwende4480
@annemwende4480 19 күн бұрын
Wa mwaka 1967🤣🤣ukute kikolelo Mzee kuliko mama yake
@Mainatongwe
@Mainatongwe 19 күн бұрын
@ 😄😄😄
@ZeinabMohammad-t2z
@ZeinabMohammad-t2z 20 күн бұрын
Kazi nzur❤
@PetroAlex-r3b
@PetroAlex-r3b 19 күн бұрын
Naipenda yani mbaka nailudia mala mbili
@AishaJulie-k7c
@AishaJulie-k7c 20 күн бұрын
Mbon munatupatia fup tunaomba muongezee dakika ❤❤❤
@Wittyangelo
@Wittyangelo 20 күн бұрын
Mzee kama Ramadhani Kama
@kingcicero1708
@kingcicero1708 20 күн бұрын
Team mzee Kama Ramadhani Kama Ramadhani tujuane kwa like jamani
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 20 күн бұрын
Asante mjukuu wangu
@hamissahamissa105
@hamissahamissa105 20 күн бұрын
Tunampenda sana mzee Ramadhani tumpe maua yake🥀🥀🥀
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 20 күн бұрын
@hamissahamissa105 Asante sana
@MankaShoo-g6l
@MankaShoo-g6l 19 күн бұрын
Ramadhani ni nailni?
@RamadhaniOmary-e3d
@RamadhaniOmary-e3d 19 күн бұрын
@MankaShoo-g6l sijakuelewa
@typhahstar8836
@typhahstar8836 18 күн бұрын
Kwqni kitale lile pilau ulipeleka wap🤣
@LaylaIsa-i3e
@LaylaIsa-i3e 20 күн бұрын
Nimewahi mapema sana leo 😂😂
@allymaganga6084
@allymaganga6084 20 күн бұрын
kitale tangia alipo pita na masufulia ya wali hajulikani alipo😂😂
@ramadhanmbepei3158
@ramadhanmbepei3158 20 күн бұрын
hata mim namtafuta kitale nikale pilau
@allymaganga6084
@allymaganga6084 20 күн бұрын
@ramadhanmbepei3158 😂😂
@mariamkassimu5040
@mariamkassimu5040 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂tupo wenge
@WAHIDAMWALIMu
@WAHIDAMWALIMu 20 күн бұрын
Nimecheka 😂😂😂😂😂
@abumoyo840
@abumoyo840 20 күн бұрын
😂😂😂
@MarimuHabibu
@MarimuHabibu 19 күн бұрын
Nice move anajitahid sana ila aongeze mda ❤❤❤🎉
@AminaSultan-q6x
@AminaSultan-q6x 20 күн бұрын
Wakwanz leo❤❤
@allyjafari8456
@allyjafari8456 20 күн бұрын
Huyo mganga aliyejifunika shuka nyeusi ni kitale🤣🤣🤣
@juniormembe688
@juniormembe688 20 күн бұрын
Uyo ni Nguta Lutama sio Kitale
@allyjafari8456
@allyjafari8456 15 күн бұрын
Sawa kaka ​@@juniormembe688
@willehkhan
@willehkhan 20 күн бұрын
Mmh kwamba wa 85 kuangalia ndo sipati ata like kumi
@GustaveLajoya
@GustaveLajoya 20 күн бұрын
Aisee hakuna kipindi kinakio kipenda sana kama kipindi ambatcho anakutana na épisode mupia ya movie langu pendwua samahani na asante ume tisha sana boss kitale ❤❤
@AmamLucky-qz6mm
@AmamLucky-qz6mm 20 күн бұрын
Nakubali kak kazi nzuri
@LoiceLoice-c1b
@LoiceLoice-c1b 19 күн бұрын
Napenda san mzee kama anachez nafas yke vzur
@Rebeccaclaud
@Rebeccaclaud 20 күн бұрын
M mwenyewe naangalia huku nikiwa kwenye sku zangu cjui ntaarbu😂😂😂😂😂
@INNOSENSIALIWEWA
@INNOSENSIALIWEWA 20 күн бұрын
😂😂😂ushaharibu
@IreneIsambi
@IreneIsambi 20 күн бұрын
🤣🤣🤣 Hila wew
@Rebeccaclaud
@Rebeccaclaud 20 күн бұрын
@@INNOSENSIALIWEWA Duuh I'sorry
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 20 күн бұрын
Ushaharibu zamani toka haraka😂😂😂
@Rebeccaclaud
@Rebeccaclaud 20 күн бұрын
@m.mmarckus6298 😂😂😂😂😂😂
@ulayamuhibu4313
@ulayamuhibu4313 20 күн бұрын
1967 dah watoto wa 20000 bhana miyeyusho sana
@ramadhanmbepei3158
@ramadhanmbepei3158 20 күн бұрын
hii ni story tu sio lazima utaje halis vitoto vya elf 2 ni balaa kweli
@Lameckthedj
@Lameckthedj 20 күн бұрын
Babu wa kikorelo big up sana mimi mupenda sana mawaidha yako
@ahmedmsangi1653
@ahmedmsangi1653 20 күн бұрын
Kama Ramadhani Kama🎉
@MubarakaSaidi-m2w
@MubarakaSaidi-m2w 20 күн бұрын
Kazi nzuli chukueni maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@GundiMafuta
@GundiMafuta 20 күн бұрын
Naungana na kikolelo kuhoji jina halisia na utofauti wa jina geni
@RoseRobert-qd6ip
@RoseRobert-qd6ip 20 күн бұрын
Hhhh nauliza nani ana bleed 😅😅ah alipouliza siku zake hamna alojibu
@aishaaisha7097
@aishaaisha7097 20 күн бұрын
Kaweka msisitizo kaona awamuelew 😂😂
@AlphaMyonga
@AlphaMyonga 20 күн бұрын
Salute to kitale nice movie
@joharmrisho
@joharmrisho 20 күн бұрын
Kwaiyo kikolelo ni mzee 😂
@mohamedsalum221
@mohamedsalum221 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂 1967
@mimiD-k8p
@mimiD-k8p 20 күн бұрын
Hi nyimbo nzuri jmni
@Jordanmchami
@Jordanmchami 20 күн бұрын
❤❤mzee Ramadhani unaupiga mwingi❤
@ClemenceAlex12
@ClemenceAlex12 20 күн бұрын
ongera sana kitale ww na timu yk kihujumla ongereni sana Naomba kama itawezekana hachia hata vipande viwili bc maana tunaumia sisi watazamaji TUNAIPENZA❤
@MohamedMalik-j2b
@MohamedMalik-j2b 16 күн бұрын
Una2cheleweshea mwanangu sana kitale
@MariaStephano-e4o
@MariaStephano-e4o 19 күн бұрын
Babu aixha hongera uko vizuri
@EmanuelNdauka
@EmanuelNdauka 20 күн бұрын
Move nzuriii xanaa nakupa hongera mtunzi
@hassanimagulati6453
@hassanimagulati6453 20 күн бұрын
Kazi kazi kweli
@hafidhabeid7952
@hafidhabeid7952 20 күн бұрын
Naweza pata io back sound ya ayy ayy huuu ayy ayy huuu😊😊😊
@SuhailaMbaruku
@SuhailaMbaruku 20 күн бұрын
Kikolelo mzuri❤❤
@zena6203
@zena6203 19 күн бұрын
Yani iyi serie nikutembeaa tu😅😅😅😅😅 kital umetisha yani watu wanafanya mazowezi yakutoshaa😅😅
@riziki8406
@riziki8406 20 күн бұрын
Waaah hapa kz ipo kwa kikoleroo jamani mama salima na salima jitahidini sije mkaharibu mambo
@ramlasuleiman
@ramlasuleiman 20 күн бұрын
❤❤❤big up team nzima🎉
@AmanaK-u7z
@AmanaK-u7z 20 күн бұрын
Mzee kama wallah Leo umepatikana na kikolelo yaani amejuwa kukuzuga 👌😂😂😂
@mariamali-d9u
@mariamali-d9u 20 күн бұрын
Nani anableed hamsemi ,,watching from kenya
@julianariziki1629
@julianariziki1629 18 күн бұрын
Uchawi kazi kweli aaaah wamechoka na hawapumziki Aisha kawafanya nn
@AdolophinaMalata
@AdolophinaMalata 19 күн бұрын
Kitale mungu akuweke usiludi nyuma uzidi kwenda mbele tyu yaani mbele mbele yao unatisha sana
@AbedPatrick
@AbedPatrick 20 күн бұрын
Wataweza kweli hawa kutomuita jina la zamani 😅😅😅😅 mtu mwenyewe alieludishwa atari
@Rebeccaclaud
@Rebeccaclaud 20 күн бұрын
Na wameambiwa wasimtete wao wanamteta ngoja akrud atakuja kuwaumbua
@fashyahmed4135
@fashyahmed4135 19 күн бұрын
Hv hawa wanaoomba likes huwa wanazipeleka wpi eti😂, lbd zina faida na hamniambii
@AbedPatrick
@AbedPatrick 20 күн бұрын
Mzee kama anaguna 😂😂😂😂😂😂 hajasikia swari ety
@IbrahimBakar-s2t
@IbrahimBakar-s2t 14 күн бұрын
Jamani mi namtafuta mzee kama ili amludishe baba yangu
@HasanooTozzy
@HasanooTozzy 19 күн бұрын
Nakupenda bure kikorero uwezo mkubwa sana
@consoponsiano97
@consoponsiano97 20 күн бұрын
Nimependa mmetumia lugha yetu,😅 kamwene
@Haspopmziwanda
@Haspopmziwanda 20 күн бұрын
mnoge
@MunaSaeed-p6l
@MunaSaeed-p6l 19 күн бұрын
E kumbe mnyarukoro
@elizaandrew5517
@elizaandrew5517 17 күн бұрын
😂😂😂mbona nani mchafu😂😂😂
@MarianNdunde
@MarianNdunde 20 күн бұрын
Hata ikawa mm lazima niogope😂😂,,, Mtu kufa halafu arudi si mchezo huo
@MariamuSalumu-f6z
@MariamuSalumu-f6z 20 күн бұрын
Shukuran Kwa kitu kizuri 21 bas usichelewe kutuwekiya .mzee Ramadan kama upo vizuri sana mzee
@hildaabdullah287
@hildaabdullah287 20 күн бұрын
Kitale 😂bando tunalo tuwekee vipande vikubwa 😂
@Manyamamnyama
@Manyamamnyama 20 күн бұрын
Kitale move nzuri tatizo muda mmeweka mchache tuongezeeni dakika
@KareemJuma-n7b
@KareemJuma-n7b 20 күн бұрын
Iko pouh saaaaaan 🎉🎉🎉🎉🎉
@remiomar7154
@remiomar7154 20 күн бұрын
Heee kikolelo ni moto wakuotea mbali 😂😂😂 mwana wajini huyu
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 20 күн бұрын
Bora akawatese wachawi wale nasio mzee Kama😂😂
@Real_ommy
@Real_ommy 20 күн бұрын
Huyu KIKOLELO hatareee
@DidaAlly-iz1it
@DidaAlly-iz1it 20 күн бұрын
Yaani apa kijijini kwetu kunachangamoto ya maji sio pouwah tunaitaji msaadaa wenu watanzania🇹🇿 wezangu😢😢😢😢
@FrankGaspar
@FrankGaspar 17 күн бұрын
haya nimesikia kilio chenu,ntawaletea
SAMAHANI ASANTE | ep 19|
19:50
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 105 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 21|
21:25
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 102 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
SAMAHANI ASANTE  EP 23
16:02
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 91 М.
SAMAHANI ASANTE |ep 22|
19:11
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 89 М.
ALIYEKUWA MKE WA MADEBE LIDAI AFUNGUKA ANAYOPITIA HIVI SASA
4:09
Wasafi Media
Рет қаралды 46 М.
DENI LA MAITI EP 3 STARING CHUMVI NYING
11:17
Kimso Media Tz
Рет қаралды 1,4 М.
BSS 2024 SE15 EP05 DAR | FULL SHOW
1:30:47
BongoStarSearch
Рет қаралды 166 М.
MWANAMKE FULL MOVE
1:32:45
DIRECTOR KAKOSO
Рет қаралды 393 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН