Jitaidini kutoa mwendelezo wakuu maan mnatupa shida sana kusubiri kwa mda mrefu move kalii hii
@HalimaMichael-x6x20 күн бұрын
Mbona movie nzuri sana alafu fupi shida nini jamani 😢😢😢 mie naumia sana maana ninavyoipenda hiii samahani 🎉❤
@RestAhadi-f4e20 күн бұрын
Merina alianza kuumwa alipotoka shule ndo akafa kwahyo mizimu ilimchukua merina akiwa shule na nguo zake ndomana aliporud mizimu ilimrudisha na nguo za shule maana ndivo walivomchukua tulioelewa hv tujuane 😊
@miriammaruwa204620 күн бұрын
Yeah ni hivyo
@ramadhanmbepei315820 күн бұрын
kwa hiyo walimchukua nyumban ila wao wakamrudisha shule,(jambaz anavua viatu akienda kuiba😂)
@AnnyGerald20 күн бұрын
@@ramadhanmbepei3158alichukuliwa akiwa shule ndio maana karudi na nguo za shule kama anatoka shule
@Rebeccaclaud20 күн бұрын
Jaman mmeambiwa msimuite merina shaur zenu, m nawaza wananzengo watachukuliaje hicho k2, m2 walishamzka Leo wanamwona
@hemedykayonko410920 күн бұрын
Wewe ndio hujaelewa, alichukuliwa ametoka shule aliyefika nyumbani na waliyeenda kumzika siyo yeye ndio maana karudi kama alivyo enda@ramadhanmbepei3158
@BertilleBertin20 күн бұрын
Nimewahi jamani kutoka Burundi nawapenda❤
@JamilaMaringo18 күн бұрын
❤
@davemaseko971417 күн бұрын
Tunakupenda pia
@barackagerald961016 күн бұрын
Kitale asee hii kaz ya 🔥 sana
@SomeaSomoemachemba20 күн бұрын
Nimechelewa leo duh kazi mzuriiiiii kaka maua yako🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@CarolineImbwaga19 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@HajiMaster-fz1hq20 күн бұрын
Wa kwanza Mimi From Msasani Kama Unamkubali Kitale Kwa Kutuletea Tamthilia Tamu Na Ya Kusisimua Usipite Bila Ku like Asanteni
@niyonkuruismail528820 күн бұрын
leo mwambaaa mussa kitale kaniosha loho. yani niko safi ile kinoma. maana ametupa mapema namba 20 yaani kitale eee nimeka paleeee nikutepo❤❤❤❤❤alafu utunzi wako wahali ya juuu kabisaa
@wellbrand341520 күн бұрын
Ahsantee baba Mkude tupo pamoja
@AminaSaid-u9f20 күн бұрын
Kitaleeeeeee weeeh me sicheki na yeyote nakulindia wangu moyoooo 😂😂😂
@mussafaricy20 күн бұрын
Team mzee kam ramadhan kama wanao mkubali tujuane hapa
@ALIMOHD-bk9lr20 күн бұрын
All of us
@properwelding794819 күн бұрын
machine iyo
@Najmahnyangasi20 күн бұрын
Kazi nzuri sana nawapenda bure ❤❤❤❤❤❤❤
@AmnazoFuraha20 күн бұрын
Kazi zuri sana brother ❤❤😊
@MaryMasanyiwa20 күн бұрын
Wachawi mpaka watoke vigimbi 😅😅😅😅😅
@EsterJustin-u5c11 күн бұрын
😂😂😂😂
@latifanasibu208919 күн бұрын
Sa kwann mnamuita merina😂😂
@RachelAlute20 күн бұрын
Inachelewa sana kutoka jamani afu mkitoa dakika ni chache mtuoneee huruma basi jmn sema Mzee KAMA RAMADHAN KAMA Mungu akutunzee
@ashlovetz5maumba61320 күн бұрын
Hli lifanyiwe kazi
@MunirAli-f4r20 күн бұрын
Kipindi nikifupi na kinabamba sanaaaa musikicheleweshe tafadhali mungu awabariki shukrani sana ❤❤❤
@HusseynMwenda15 күн бұрын
Me nishampenda Huy kikolelo nataka kumuoa😢😢
@LatifahSaeed-n2y20 күн бұрын
Mashallah🎉🎉🎉🎉🎉🎉asante kwa upendo wako
@RamadhaniOmary-e3d20 күн бұрын
Mjukuu wangu
@aminahhuawei113319 күн бұрын
Mzee kama mungu akupe maishaa marefuuu na yenye amani teleee ameen ameen 🙏💖🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@ApansiaSwai20 күн бұрын
Muda jamani ni mdogo kwakweli 😥😥 broo tuongezee mda tafadhari 🙏🏻 japo ni nzuri sana kwakweli 🙌🏻🙌🏻❤
@NasraKakudji-he9qh13 күн бұрын
hiii move jamani ni nzuri sana yaani
@harithmohd631820 күн бұрын
Jaman dakika mbn kidog wadau tupaze saut dakika dakika
@HellenPetro-q2f20 күн бұрын
Kwer hawa wana zingua dskika ni chache alaf wana chelewesha kutoa vipande
@veronicalufingo351319 күн бұрын
Anazingua sana
@ghaithasabour747620 күн бұрын
Yaan da Salma kikolelo haiweziii ataa 😁😁😁😁🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.......
@m.mmarckus629820 күн бұрын
Wemuache ampoteze 😂😂
@maryamanalisi19720 күн бұрын
Maa shaa Allah ❤❤❤🎉
@miriammaruwa204620 күн бұрын
Ahsante kaka kitale...mapema ndio best
@NaimaSaleh-i5h20 күн бұрын
Nakukubali sana mzee kama
@nivesFungo20 күн бұрын
Nlijua tuuu huyu babu mchawi n mhehe😂😂😂
@giselagasper536020 күн бұрын
😂😂 wachawi Sana
@EmmyPalesy20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ellensamson678720 күн бұрын
Makabila Yote Yana Wachawi Siyo Wahehe Kuna Makabila Hadi Wana Wauwa Waume Zao Wabaki Na Mali
@m.mmarckus629820 күн бұрын
@@ellensamson6787😂😂😂
@IreneMsile20 күн бұрын
Jamani msituonee bhana kila sehemu uchawi upo
@evelnjuma183420 күн бұрын
Kaz nzuli 🌹🛍️🇹🇿
@AishaZuber-z6g20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wachawi kila sehemu wanachafua hali ya hewa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Hanifamallyamallya15 күн бұрын
Kwa huu mwendo wa babu wa kuvuta miguu watafika kwel😂😂😂😂😂
@حليمهالبلوشي-ز5ث20 күн бұрын
❤❤❤❤❤😂😂😂😂 Mzee kama na kikolelo 😂😂😂😂
@barackagerald961016 күн бұрын
Nani mwengne kagundua kama huyo aliyejifunika kitambaa cheusi n kitale 😂😂
Asanteni Sana Kwa kazi nzuri ila mda muliotuekea ni mchache sana❤❤❤❤
@annemwende448019 күн бұрын
Mwaka 1967 tulikuja kwako na babu yangu mzaa mama, kikolelo kimekolea
@JulianaPeter-w9s20 күн бұрын
😂😂😂😂 kachafu hali ya hewa uchawitu😂mema aaaaa mtakoma❤
@iBraah25718 күн бұрын
Wa kwa senga mtahangayikw sanaaaaaaa
@restitutorcharles425320 күн бұрын
Hongeraa kaka kazi nzuri ❤
@rahmasalum709720 күн бұрын
Mzee ramadhan kapata msaidizi sasa kazi ipo 😂😂😂😂😂
@RamadhaniOmary-e3d20 күн бұрын
Ndyo mjukuu wangu
@m.mmarckus629820 күн бұрын
Watajuta wanaoleta ujinga😂😂
@Mainatongwe20 күн бұрын
Kanzi iendelee
@annemwende448019 күн бұрын
Wa mwaka 1967🤣🤣ukute kikolelo Mzee kuliko mama yake
@Mainatongwe19 күн бұрын
@ 😄😄😄
@ZeinabMohammad-t2z20 күн бұрын
Kazi nzur❤
@PetroAlex-r3b19 күн бұрын
Naipenda yani mbaka nailudia mala mbili
@AishaJulie-k7c20 күн бұрын
Mbon munatupatia fup tunaomba muongezee dakika ❤❤❤
@Wittyangelo20 күн бұрын
Mzee kama Ramadhani Kama
@kingcicero170820 күн бұрын
Team mzee Kama Ramadhani Kama Ramadhani tujuane kwa like jamani
@RamadhaniOmary-e3d20 күн бұрын
Asante mjukuu wangu
@hamissahamissa10520 күн бұрын
Tunampenda sana mzee Ramadhani tumpe maua yake🥀🥀🥀
@RamadhaniOmary-e3d20 күн бұрын
@hamissahamissa105 Asante sana
@MankaShoo-g6l19 күн бұрын
Ramadhani ni nailni?
@RamadhaniOmary-e3d19 күн бұрын
@MankaShoo-g6l sijakuelewa
@typhahstar883618 күн бұрын
Kwqni kitale lile pilau ulipeleka wap🤣
@LaylaIsa-i3e20 күн бұрын
Nimewahi mapema sana leo 😂😂
@allymaganga608420 күн бұрын
kitale tangia alipo pita na masufulia ya wali hajulikani alipo😂😂
@ramadhanmbepei315820 күн бұрын
hata mim namtafuta kitale nikale pilau
@allymaganga608420 күн бұрын
@ramadhanmbepei3158 😂😂
@mariamkassimu504020 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂tupo wenge
@WAHIDAMWALIMu20 күн бұрын
Nimecheka 😂😂😂😂😂
@abumoyo84020 күн бұрын
😂😂😂
@MarimuHabibu19 күн бұрын
Nice move anajitahid sana ila aongeze mda ❤❤❤🎉
@AminaSultan-q6x20 күн бұрын
Wakwanz leo❤❤
@allyjafari845620 күн бұрын
Huyo mganga aliyejifunika shuka nyeusi ni kitale🤣🤣🤣
@juniormembe68820 күн бұрын
Uyo ni Nguta Lutama sio Kitale
@allyjafari845615 күн бұрын
Sawa kaka @@juniormembe688
@willehkhan20 күн бұрын
Mmh kwamba wa 85 kuangalia ndo sipati ata like kumi
@GustaveLajoya20 күн бұрын
Aisee hakuna kipindi kinakio kipenda sana kama kipindi ambatcho anakutana na épisode mupia ya movie langu pendwua samahani na asante ume tisha sana boss kitale ❤❤
@AmamLucky-qz6mm20 күн бұрын
Nakubali kak kazi nzuri
@LoiceLoice-c1b19 күн бұрын
Napenda san mzee kama anachez nafas yke vzur
@Rebeccaclaud20 күн бұрын
M mwenyewe naangalia huku nikiwa kwenye sku zangu cjui ntaarbu😂😂😂😂😂
@INNOSENSIALIWEWA20 күн бұрын
😂😂😂ushaharibu
@IreneIsambi20 күн бұрын
🤣🤣🤣 Hila wew
@Rebeccaclaud20 күн бұрын
@@INNOSENSIALIWEWA Duuh I'sorry
@m.mmarckus629820 күн бұрын
Ushaharibu zamani toka haraka😂😂😂
@Rebeccaclaud20 күн бұрын
@m.mmarckus6298 😂😂😂😂😂😂
@ulayamuhibu431320 күн бұрын
1967 dah watoto wa 20000 bhana miyeyusho sana
@ramadhanmbepei315820 күн бұрын
hii ni story tu sio lazima utaje halis vitoto vya elf 2 ni balaa kweli
@Lameckthedj20 күн бұрын
Babu wa kikorelo big up sana mimi mupenda sana mawaidha yako
@ahmedmsangi165320 күн бұрын
Kama Ramadhani Kama🎉
@MubarakaSaidi-m2w20 күн бұрын
Kazi nzuli chukueni maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@GundiMafuta20 күн бұрын
Naungana na kikolelo kuhoji jina halisia na utofauti wa jina geni
@RoseRobert-qd6ip20 күн бұрын
Hhhh nauliza nani ana bleed 😅😅ah alipouliza siku zake hamna alojibu
@aishaaisha709720 күн бұрын
Kaweka msisitizo kaona awamuelew 😂😂
@AlphaMyonga20 күн бұрын
Salute to kitale nice movie
@joharmrisho20 күн бұрын
Kwaiyo kikolelo ni mzee 😂
@mohamedsalum22120 күн бұрын
😂😂😂😂😂 1967
@mimiD-k8p20 күн бұрын
Hi nyimbo nzuri jmni
@Jordanmchami20 күн бұрын
❤❤mzee Ramadhani unaupiga mwingi❤
@ClemenceAlex1220 күн бұрын
ongera sana kitale ww na timu yk kihujumla ongereni sana Naomba kama itawezekana hachia hata vipande viwili bc maana tunaumia sisi watazamaji TUNAIPENZA❤
@MohamedMalik-j2b16 күн бұрын
Una2cheleweshea mwanangu sana kitale
@MariaStephano-e4o19 күн бұрын
Babu aixha hongera uko vizuri
@EmanuelNdauka20 күн бұрын
Move nzuriii xanaa nakupa hongera mtunzi
@hassanimagulati645320 күн бұрын
Kazi kazi kweli
@hafidhabeid795220 күн бұрын
Naweza pata io back sound ya ayy ayy huuu ayy ayy huuu😊😊😊
@SuhailaMbaruku20 күн бұрын
Kikolelo mzuri❤❤
@zena620319 күн бұрын
Yani iyi serie nikutembeaa tu😅😅😅😅😅 kital umetisha yani watu wanafanya mazowezi yakutoshaa😅😅
@riziki840620 күн бұрын
Waaah hapa kz ipo kwa kikoleroo jamani mama salima na salima jitahidini sije mkaharibu mambo
@ramlasuleiman20 күн бұрын
❤❤❤big up team nzima🎉
@AmanaK-u7z20 күн бұрын
Mzee kama wallah Leo umepatikana na kikolelo yaani amejuwa kukuzuga 👌😂😂😂
@mariamali-d9u20 күн бұрын
Nani anableed hamsemi ,,watching from kenya
@julianariziki162918 күн бұрын
Uchawi kazi kweli aaaah wamechoka na hawapumziki Aisha kawafanya nn
@AdolophinaMalata19 күн бұрын
Kitale mungu akuweke usiludi nyuma uzidi kwenda mbele tyu yaani mbele mbele yao unatisha sana
@AbedPatrick20 күн бұрын
Wataweza kweli hawa kutomuita jina la zamani 😅😅😅😅 mtu mwenyewe alieludishwa atari
@Rebeccaclaud20 күн бұрын
Na wameambiwa wasimtete wao wanamteta ngoja akrud atakuja kuwaumbua
@fashyahmed413519 күн бұрын
Hv hawa wanaoomba likes huwa wanazipeleka wpi eti😂, lbd zina faida na hamniambii
@AbedPatrick20 күн бұрын
Mzee kama anaguna 😂😂😂😂😂😂 hajasikia swari ety
@IbrahimBakar-s2t14 күн бұрын
Jamani mi namtafuta mzee kama ili amludishe baba yangu
@HasanooTozzy19 күн бұрын
Nakupenda bure kikorero uwezo mkubwa sana
@consoponsiano9720 күн бұрын
Nimependa mmetumia lugha yetu,😅 kamwene
@Haspopmziwanda20 күн бұрын
mnoge
@MunaSaeed-p6l19 күн бұрын
E kumbe mnyarukoro
@elizaandrew551717 күн бұрын
😂😂😂mbona nani mchafu😂😂😂
@MarianNdunde20 күн бұрын
Hata ikawa mm lazima niogope😂😂,,, Mtu kufa halafu arudi si mchezo huo
@MariamuSalumu-f6z20 күн бұрын
Shukuran Kwa kitu kizuri 21 bas usichelewe kutuwekiya .mzee Ramadan kama upo vizuri sana mzee
@hildaabdullah28720 күн бұрын
Kitale 😂bando tunalo tuwekee vipande vikubwa 😂
@Manyamamnyama20 күн бұрын
Kitale move nzuri tatizo muda mmeweka mchache tuongezeeni dakika
@KareemJuma-n7b20 күн бұрын
Iko pouh saaaaaan 🎉🎉🎉🎉🎉
@remiomar715420 күн бұрын
Heee kikolelo ni moto wakuotea mbali 😂😂😂 mwana wajini huyu
@m.mmarckus629820 күн бұрын
Bora akawatese wachawi wale nasio mzee Kama😂😂
@Real_ommy20 күн бұрын
Huyu KIKOLELO hatareee
@DidaAlly-iz1it20 күн бұрын
Yaani apa kijijini kwetu kunachangamoto ya maji sio pouwah tunaitaji msaadaa wenu watanzania🇹🇿 wezangu😢😢😢😢