Acheni Mambo ya ushirikina.we oscer vipi? Mpaka sasa hatuna wafungaji wa uhakika T/ stars. Tunabahatisha.uwepo wake Ni wa maana sana
@eliakazilo607816 сағат бұрын
Mbona ki b hayupo?
@lionofjudahtv879611 сағат бұрын
Nimeelewa kuwa watanzania wengi hawaelewi kuwa wakati Goliath anapigwa na daudi katika Hadith ya kwenye bibilia alicho kifanya daudi alitumia uzoefu wa mapambano yake kumkabili adui na ujasili ulizunngumza kumpa ushindi