Magufuli amefanya Morogoro kuwe karibu sana na Dar. Mungu amsamehe zambi zake. Ni kiongozi bora kuwai kutokea Afrika
@rayisadesigns26462 күн бұрын
Ni kweli mwamba alifanya kazi kubwa hapa Tanzania lakini Gaddafi aliyeisaidia Afrika nzima unamuweka wapi?!
@DavidSemu-gu6wp2 күн бұрын
Na wamfano.
@isackrichard6356Күн бұрын
Wewe alikusaidia?@@rayisadesigns2646
@zachmaselle66352 күн бұрын
Marehemu JPM alilizungumza kuhusu mabehewa na aliiagiza alisema " isije ijafika reli ikon tayari mabegeqa hakuna* ndipo mkataba wa kununua mabehewa zaidi ya 1000 ukawekwa. Kwa uchspakzi wa watching. Sidhani ingechukua muda wote huu mabehewa kufika. Tunaojichelewrsha ni sisi wenyewe. Tutasingizia vitus binging Virginia. Walaji ni wengi kuliko wachapa kazi.
@skymack.internetКүн бұрын
kipande cha kwenda mwanza amutuonyeshi wakandasi kakikishuhulikia
@valerianrwebandiza7542 күн бұрын
Maendeleo ya lot 3, 4, 5, & 6. Please, please, please.
@MgasaEmanoeli2 күн бұрын
Nadhani huu mradi waachane na wazee Madereva-Wazee Mafundi -Wazee Vijana ndio kila kitu ndio nguzo ya Taifa
@UnitedAfrica-uw9ctКүн бұрын
Ukiweka vijana kila sehemu , utaharibu sasa hivi , kuna position za vijana, kuna position , inabidi, wakae watu wenye busara na uzoefu
@ndayakilandКүн бұрын
Vijana wako shuleni; wajifunze kwanza.
@SangaadamКүн бұрын
Vijana gani hawa wenye haraka ya maisha na tamaa rukuki....Acha Wazee wawafundishe kwanza wata-adapt kidogo kidogo.....
@mussamussa8181Күн бұрын
Magufuli aliagiza kila kiyu korea ila wappigan wakaamisha ujeruman saiv imekua china...nyie daaaaa RIP JPM
@HajiKlein-so1rk2 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🦸👋
@DavidSemu-gu6wp2 күн бұрын
Hiyo BRT lot 2 imekamilika muda mrefu tu ila mabasi ndio mpaka desembar jamaa wa Scania wameonyesha mabasi mazuri sana na always magari yao ni durable ila hapa pengine anasubiriwa mchina alete maboksi yake ya mkopo mwaka mmoja tu nusu haya tembei
@karafuunanazi1701Күн бұрын
Heko kwako ndigu Masanja Kungu Kadogosa na timu yako kwa kazi nzuri. Amani upendo umoja na maendeleo kwa mama Tanzania
@Robert-p7c1k2 күн бұрын
Documents zote hizo kwa ajili ya ticket ni upuuzi tu. Hii iko Tz tu😂😂😂
@Sheba938Күн бұрын
Napenda hiyo nyimbo sana
@omarybakunda25542 күн бұрын
Hongereni sana.
@albanymsoffe40022 күн бұрын
Sijaelewa kwani, phase ya tatu siilisha anza kujengwa mnazunguza nini tena????
@benmuberwa2092Күн бұрын
Inaonyesha ujenzi kwa kipande kati ya Makutopora na Tabora umekwama
@KhalidiMoshi2 күн бұрын
Mradi wa sgr lot 5 umesimama kazi hakuna huku
@valerianrwebandiza7542 күн бұрын
Sasa naelewa kwanini wako kimya. Wanaongelea tu lot 1& 2.
@kisrahcogar85382 күн бұрын
Hawana mikopo 😂😂
@eyezarc12392 күн бұрын
This mega national projects should not be left to be led by these retired old men, there are a lot of young men and women out there who have potential to make positive impact on the project rather than depend on old people with old thinking capabilities…
@mussamussa8181Күн бұрын
Na ndo mana magufuli aliwakomoa kufanya dar dom af akaruka akaenda mwanza alijua utakuja kusimama hui mradi....ila kwa alicho fanya ata wale pesa kias gan wataonganisha wapende wasipende.mana wataona aibu na asilimia wanazo zitajaga...😅😅😅😅
@KhalidiMoshiКүн бұрын
@@mussamussa8181 kwel kaka hapo magufuli alitumia akili saana la siivyo ingeishia dodoma tu
@StephenMJohn-hx8gu2 күн бұрын
Mbona kichwa cha habari haieleweki vizuri? Hariri tafadhali 'MAANDALI PA"
@RuthMkorota-y5t2 күн бұрын
Kabisa.. weledi katika tasnia ya uandishi wa habari ni kama unazidi kupungua. Mwandishi anaandika taarifa anashindwa kuhariri kama yupo sahihi au hayupo sahihi. Hii changamoto inazidi kuwa kubwa.