FULL KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO, MAANDALIZI PA KUPOKELEA MIZIGO YA MGR NA SGR

  Рет қаралды 9,363

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 31
@ibrahimathiane2434
@ibrahimathiane2434 Күн бұрын
Nice pic proudly i love tanzanian design and decoration it's wonderful like rwandan decoration thank from senegal❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@AmisoMuyohira
@AmisoMuyohira Күн бұрын
Haadii kigomaa mpaakaa burundii ongera sanaa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@salehsimba5306
@salehsimba5306 2 күн бұрын
Magufuli amefanya Morogoro kuwe karibu sana na Dar. Mungu amsamehe zambi zake. Ni kiongozi bora kuwai kutokea Afrika
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 күн бұрын
Ni kweli mwamba alifanya kazi kubwa hapa Tanzania lakini Gaddafi aliyeisaidia Afrika nzima unamuweka wapi?!
@DavidSemu-gu6wp
@DavidSemu-gu6wp 2 күн бұрын
Na wamfano.
@isackrichard6356
@isackrichard6356 Күн бұрын
Wewe alikusaidia?​@@rayisadesigns2646
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 2 күн бұрын
Marehemu JPM alilizungumza kuhusu mabehewa na aliiagiza alisema " isije ijafika reli ikon tayari mabegeqa hakuna* ndipo mkataba wa kununua mabehewa zaidi ya 1000 ukawekwa. Kwa uchspakzi wa watching. Sidhani ingechukua muda wote huu mabehewa kufika. Tunaojichelewrsha ni sisi wenyewe. Tutasingizia vitus binging Virginia. Walaji ni wengi kuliko wachapa kazi.
@skymack.internet
@skymack.internet Күн бұрын
kipande cha kwenda mwanza amutuonyeshi wakandasi kakikishuhulikia
@valerianrwebandiza754
@valerianrwebandiza754 2 күн бұрын
Maendeleo ya lot 3, 4, 5, & 6. Please, please, please.
@MgasaEmanoeli
@MgasaEmanoeli 2 күн бұрын
Nadhani huu mradi waachane na wazee Madereva-Wazee Mafundi -Wazee Vijana ndio kila kitu ndio nguzo ya Taifa
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct Күн бұрын
Ukiweka vijana kila sehemu , utaharibu sasa hivi , kuna position za vijana, kuna position , inabidi, wakae watu wenye busara na uzoefu
@ndayakiland
@ndayakiland Күн бұрын
Vijana wako shuleni; wajifunze kwanza.
@Sangaadam
@Sangaadam Күн бұрын
Vijana gani hawa wenye haraka ya maisha na tamaa rukuki....Acha Wazee wawafundishe kwanza wata-adapt kidogo kidogo.....
@mussamussa8181
@mussamussa8181 Күн бұрын
Magufuli aliagiza kila kiyu korea ila wappigan wakaamisha ujeruman saiv imekua china...nyie daaaaa RIP JPM
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 2 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🦸👋
@DavidSemu-gu6wp
@DavidSemu-gu6wp 2 күн бұрын
Hiyo BRT lot 2 imekamilika muda mrefu tu ila mabasi ndio mpaka desembar jamaa wa Scania wameonyesha mabasi mazuri sana na always magari yao ni durable ila hapa pengine anasubiriwa mchina alete maboksi yake ya mkopo mwaka mmoja tu nusu haya tembei
@karafuunanazi1701
@karafuunanazi1701 Күн бұрын
Heko kwako ndigu Masanja Kungu Kadogosa na timu yako kwa kazi nzuri. Amani upendo umoja na maendeleo kwa mama Tanzania
@Robert-p7c1k
@Robert-p7c1k 2 күн бұрын
Documents zote hizo kwa ajili ya ticket ni upuuzi tu. Hii iko Tz tu😂😂😂
@Sheba938
@Sheba938 Күн бұрын
Napenda hiyo nyimbo sana
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 күн бұрын
Hongereni sana.
@albanymsoffe4002
@albanymsoffe4002 2 күн бұрын
Sijaelewa kwani, phase ya tatu siilisha anza kujengwa mnazunguza nini tena????
@benmuberwa2092
@benmuberwa2092 Күн бұрын
Inaonyesha ujenzi kwa kipande kati ya Makutopora na Tabora umekwama
@KhalidiMoshi
@KhalidiMoshi 2 күн бұрын
Mradi wa sgr lot 5 umesimama kazi hakuna huku
@valerianrwebandiza754
@valerianrwebandiza754 2 күн бұрын
Sasa naelewa kwanini wako kimya. Wanaongelea tu lot 1& 2.
@kisrahcogar8538
@kisrahcogar8538 2 күн бұрын
Hawana mikopo 😂😂
@eyezarc1239
@eyezarc1239 2 күн бұрын
This mega national projects should not be left to be led by these retired old men, there are a lot of young men and women out there who have potential to make positive impact on the project rather than depend on old people with old thinking capabilities…
@mussamussa8181
@mussamussa8181 Күн бұрын
Na ndo mana magufuli aliwakomoa kufanya dar dom af akaruka akaenda mwanza alijua utakuja kusimama hui mradi....ila kwa alicho fanya ata wale pesa kias gan wataonganisha wapende wasipende.mana wataona aibu na asilimia wanazo zitajaga...😅😅😅😅
@KhalidiMoshi
@KhalidiMoshi Күн бұрын
@@mussamussa8181 kwel kaka hapo magufuli alitumia akili saana la siivyo ingeishia dodoma tu
@StephenMJohn-hx8gu
@StephenMJohn-hx8gu 2 күн бұрын
Mbona kichwa cha habari haieleweki vizuri? Hariri tafadhali 'MAANDALI PA"
@RuthMkorota-y5t
@RuthMkorota-y5t 2 күн бұрын
Kabisa.. weledi katika tasnia ya uandishi wa habari ni kama unazidi kupungua. Mwandishi anaandika taarifa anashindwa kuhariri kama yupo sahihi au hayupo sahihi. Hii changamoto inazidi kuwa kubwa.
New jobs as Electric Vehicle assembly begins in Kenya
17:53
Chams MediaTV
Рет қаралды 10 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 11 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 118 МЛН
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН
LEO STEVE KIMEUMANA TENAA ILA STEVE
10:28
Steve Mweusi
Рет қаралды 256 М.
MABADILIKO YA RATIBA YA TRENI YA SGR DAR, MORO  HADI DODOMA
1:43
TRC RELI TV
Рет қаралды 2,5 М.
The Best Indian Breakfast in Africa 🇿🇲 vA 139
22:57
Kino Yves
Рет қаралды 14 М.
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 9 МЛН
Full Special Report: Iran launches missile attack against Israel
1:23:12
#TBC1 WEKEZA TANZANIA : SEKTA BINAFSI YAITWA KUWEKEZA KIA
27:22
TBConline
Рет қаралды 1,4 М.
#52 - #MLAFI - #MAU MPEMBA - #FUMBUA MACHO
13:20
Mau Mpemba
Рет қаралды 34 М.