Kumbe kweli madunduka swala usajili wanaulizwa mpaka walevi
@frankmsai74618 күн бұрын
Akafie mbele uyo Babu chama
@MichaelMagige4 күн бұрын
Chama wakati yupo Simba alikuwa anagomesha wachezaji wenzie,gari likimuacha hotel kwenda mazoezi,lisiporudi kumfuata anagoma kutafuta usafiri mwingine,mpaka gari limrudie yeye Nani,kafanya mazuri ndio,alikuwa analipwa kwa kazi hiyo,Akirudi Simba itayumba,huyo ni Kirusi!
@MwajumaNgaruma8 күн бұрын
Chama katuliza sana ,, kwasasa tunaamani abaki uko uko utopoloni
@Behd1458 күн бұрын
Gb 64,chama hatumtaki mlevi,kiburi,anagawa makundi,pia rafki wa cheupe
@Cel-osbMwanawajeshi8 күн бұрын
Chama kashaisha kweli
@emmansolo44773 күн бұрын
😂😂😂Et Rafiki Yake Cheupe
@MezdDimosso8 күн бұрын
Hatumtaki huku Simba huyo jamaa alileta mazarau kwenye club yetu brother G B tahazari sana😮
@MichaelMagige4 күн бұрын
Wasithubutu kumrudisha Chama,atawavunja moyo wachezaji waliopo na Sprit iliyopo kwa Sasa,wasimrudishe kabisa,ataivuruga Simba,Acha ujinga wewe,
@abdallahluhinda8 күн бұрын
Asirudi huyo duka la wakulima,kwani wamekosekana wachezaji katukosesha ubingwa mara tatu mfululu,alisema anaenda kwenye timu inayoongoza kwa makombe. Chama usirudi tena Simba allahuma aamiin.
@JonathanLukanda-u5y6 күн бұрын
Oy mwanangu wamexhakubari aludi
@MakameAbdallah-wn3hc8 күн бұрын
Hafai kurudi Simba Chama aende akamalizie kwao Zambia.
@raymondsekabigwa59078 күн бұрын
Happana chama ni msaliti
@BarakaKasimu-y5u8 күн бұрын
Chama wetu acheni arudi wanasimba tusisahau mchango wake wazee chama ni chama tu brother karibu tena lunyas chama wetu..🦁
@clarencemeena16288 күн бұрын
Kwakweli naomba sana Chama asirudi ndani ya kikosi Cha Simba, ana kiburi na ni msaliti
@SaidOmary-fd3bj8 күн бұрын
NACHOFIKIRIA HUYU CHAMA ATAKUJA KUIVURUGA SIMBA KAMA ATARIDI
@shabanimkavu34048 күн бұрын
Yaani usenge mtupu
@husseinshabani95228 күн бұрын
Chama wanini tena...Abaki Uko uko...
@Userog2548 күн бұрын
Sanaaa kirusi hicho
@anwaraliakrabi5547 күн бұрын
Chama alikwenda yanga kubeba mataji aendelee tu kukaa benchi yanga ,mimi siafiki chama kurudi simba ,akirudi mimi nastaafu kushabikia simba
@chandegea-i4i8 күн бұрын
Chama akirudi simba anakuja kuwafundisha viburi wachezaji wadogo bora afie huko kenge huyu na njaa zake
@husseinshabani95228 күн бұрын
Chama Afai kuludi Simba....kwani tumekwama Wapi mpaka tumuitaji Chama...Atutaki...Mkitaka kujua ili tupige kula mashabiki.
@MalikiKavindi8 күн бұрын
Msaliti huyo asirudi,akirudi tu simba inayumba tena
@SaidMasoud-f2q19 сағат бұрын
Boss mrudishe chama we msameheeee sawa.
@hassanabdala73838 күн бұрын
Chama ameingizwa chaka na Ashura cheupe
@KefaMawamgundaКүн бұрын
Namkubali sana huyumwambaa aludishwe simba kulehakumfaii tumsamehe mwamba
@salehestambul55357 күн бұрын
Chama Chama safi sana akirudi itapendeza sana kwa vijana wale kazi itakuwa tamu sana.
@petromasebo60908 күн бұрын
Binafsi nitabaki kuheshimu kazi ya chama ndani ya Tim yetu kabla hajaasi,kwa sasa chama ni jasusi tu linalotska kutumiwa na Hersi Said ili kutuhalibu baadaye
@VascoKasambala8 күн бұрын
Leo umechemka
@melissa_garden7 күн бұрын
Chama anafaa kuchezea Simba arudi tu. Tajiri amrudishe
Nikikumbuka mechi ya Azam,Kirumba Mwanza Kayoko kama kwaida yake,Chama akahamua mchezo uwe sare
@MwanaishaHussein-q7q7 күн бұрын
Kumbe huyu msambaa mwenzangu ❤❤
@MrRizwan19788 күн бұрын
Very true
@mathiaszakaria70528 күн бұрын
Chama na asirudi ni duka la Utopolo
@ibrahimuakwilombe8 күн бұрын
Haturudi nyuma'chama wa jana siyo wa leo'sasa ana miaka 34,tunataka vijana wa under 25'chama hana nafasi teeeeeena simba'😊😅
@lutiak76188 күн бұрын
Mwacheni arudi mtoto ametambua makosa yake Wana Simba mukumbuke wema wake ,,siyo kumuhukumu
@DanielChaula8 күн бұрын
INACHEKESHA SANA 😂😂😂😂❤
@SetMohamed-i9y8 күн бұрын
Mzee Chama, asije abaki huko hilo
@oswaldtemba27707 күн бұрын
Hatumtakiiiiii............
@CharlesMugaya8 күн бұрын
Gb umechemsha. Hatumtaki. Usiangalie historia angalia current performance.
@davidfelician29036 күн бұрын
Ndio,chama Inampasa kurudi unyamani
@EmmanuelMwita-vr4qz8 күн бұрын
Hatumtaki kaka
@KakeSimba8 күн бұрын
Borachama asirudi
@StephanoCharles-d3v5 күн бұрын
Chama hatumtaki kwenye timu yetu ya simba aende mwanza kwenye timu ya pamba😅😅😅
@josephgomalo418 күн бұрын
Nilitamani Chama astaafu akiwa Simba na angefikiria kuanza mafunzo ya ualimu akiwa Simba..!
@moizjohnston38418 күн бұрын
Chama hapaswi kurudi,maana tulimbembeleza akae Simba akaringa sana,tulimuhtaji akatuacha,akafie mbele kwanza atacheza nafasi ya nani?Ngoma anatosha.....!!
@saidasaa53858 күн бұрын
asirudi Simba harumtaki Hata kama alifanya mengi lakni alikuwa analipwa pia
@davidtrezuget.3798 күн бұрын
Regarding of the great things He did for SIMBA SC not withstanding, Why should you sign back a player who betrayed you in the first place to sign for your greatest rivals , and wants to come back, at this crucial time When the league is in the final stretch, This whole situation looks suspicious.
@PlsFinancial-n2q7 күн бұрын
Jaman.mnaposema mabaya ya mtu kumbukeni na mazuri yake.hakuna mchezaji ambae ameleta mafanikio Simba kama chama.na liko wazi😢😢
@JulianaJapheth7 күн бұрын
Kweli kaka angu arudi simba chama kafanya mengi sana simba
@LazackAbdalah7 күн бұрын
Akuna cha thaman atumtak
@piliskaHalimas-o1n6 күн бұрын
Chama kurudisimba syojambolakumkataa kwaniametendamema sanasimba. Njookwenu kumenoga, hakunawakuzuiausiruditofauti nauwongoziwenyewe. Hakuna mwanadamasiekosa naakaombamsamahaa asisamehewe. Chama Karibu simba
@ISSACKNTACHO-u3y8 күн бұрын
Namkubaaari chama ,sinabaya nae,,arudi tu
@saviourramso43398 күн бұрын
Kaka GB64 Unanikosha mambo unayoyaongea namm ndo mana nampenda Chama hadi kesho
Hamna huyo,alibembelezwa mno kubaki Simba lakini akadengua akitaka kuleta kombe la mabingwa kupitia Yanga.HATUMTAKI
@TomasiklistophaMwinuka7 күн бұрын
Gb hapo unatudanganya chama atubu dhambi kwanza alio tufanyia Simba tulimpenda lakini yeye alitufanyia uhuni sana
@AnthonyDcosta-f3q8 күн бұрын
Huyu katumwa na chama hakuna anayemtaka chama hana thamani tena
@issakwisamwakisambwe40807 күн бұрын
Hatumtaki tena akafie mbele kwani lazima arudi simbasc
@AlfonceKasanyi8 күн бұрын
Chama kwa Simba Bado anahitajika anaweza kuwa na mchango tu kwenye assist
@LamwaySindiko7 күн бұрын
Huyu chama msenge tu yeye ndo alitusababisha kucheza shirikisho apeleke mitamaa yanga
@storytime12047 күн бұрын
Hatumtaki chama acha ujinga
@ShabaniMoshi-z8k8 күн бұрын
Mimi mwenyewe namkubali chama arudi Simba hata mtoto alikosea na ameomba samahani basi mopokeen
@MariyamBaraka7 күн бұрын
Kweli hkn binaadam asie na makosa
@TomasiklistophaMwinuka7 күн бұрын
Waituumiza sana waliuza mechi yadabi 64 Gb hao wasaliti
@GodethNgulizi6 күн бұрын
Kama kamuomba boss msamaha aludi amejua kosa lake msameheni wapenzi
@Kevworx8 күн бұрын
Arudi ila mechi na Yanga asicheze kabisa maana simuamini namuona duka
@KwellyRyoba-n5s8 күн бұрын
Asirudi asirudi na asirudi kwani huko Yanga amekosa nn.Thamani yake haitakwaisha lkn alitamba agenda yanga kuchukua ubingwa na Yanga.mshenzi kabisa CV za magori Caf amepata akiwa simba halafu anatukimbia kisa hatujafuzu kucheza CAF anatukimbia,Asirudi tena asirudi
@DeoNsemwa-g1m8 күн бұрын
Toa Joshua rudisha Chama
@gracendumbaro51968 күн бұрын
Atulize mshono
@CeciliaRichard-j3d6 күн бұрын
Arudi tu bado Ni mwamba kwe2
@ChrissBoy-w6x7 күн бұрын
asirudi huyo atapata kiburi sana ataendelea kutudharau zaidi
@Esterkomba-ef7eb8 күн бұрын
Kilasiku chama anaongeza pesa.
@isaackaitira76548 күн бұрын
Abaki huko huko alipo hatumtaki kabisa katuumiza sana alikuwa anaondoka ligi inaendelea anaenda zambia na mabegi yake tunapoteza mechi tukiwa tunamtegemea Balua na Chasambi kwa sasa abaki huko huko aliko hatumtaki tena usiseme katufanyia makubwa kwani yeye alikuwa anacheza bure si alikuwa analipwa hatumtaki kabisa tuliamua kuanza upya Mungu ametusaidia tumefika pazuri abaki huko huko
@yusuphtina13366 күн бұрын
Arudi
@HijjahMtema7 күн бұрын
Ww gb 64 chamu muda wake umeisha sasaivi nisimba mpya ya vijana
@KifaiMosha7 күн бұрын
Sikupingiiii kaka
@sulleimanshalua1687 күн бұрын
Chama ni msaliti...hapaswi kurud Simbasc, aende kwao Zambia hatumtak
@mbwanarajab72388 күн бұрын
Mimi nadhan chama angebaki tu yanga Hivi wakat mechi inauzwa si alikuepo? Mtawekewa mamluki kwenye timu alf mwisho mtajilaumu
@noorbazaar90638 күн бұрын
HATUMTAKI CHAMA NI MSALITI AMEPEWA KAZI MAALUM NA ENG. HERSI.
@ThaniSaid8 күн бұрын
K2 gn mnatak kufany simba,,chama asipokelew tena apo kama mchezaji wetu wa simba
Jamani wanasimba wenzangu kama kuna mtu ajawai kukosea Ajibu koment yangu anastasia kusamehewa
@MWATANOMOTEE8 күн бұрын
Si pesa zilikuwa zinawawasha mwacheni azichume ila roho ya muda iko Simba sports
@saddykambonana7 күн бұрын
Haiwezekani tena hatumtakiii
@Cel-osbMwanawajeshi8 күн бұрын
GB kuwa seliazi bwana,chama wa nini?
@GodfreyJames-zt6ig8 күн бұрын
Akuna acheni bamge zenu chama ni mamluki tu
@josephgomalo418 күн бұрын
Hamisa hana kosa.. bongo mmezidi kuwasifia wachezaji wa nje ambao ni wa kawaida! Alichokuwa anaweza Aziz KI ni mashuti peke yake.. ambayo hata Ali Machela alikuwa fundi wayo..! Binafsi nilikuwa sioni "exceptionalism" ya Ki na wachezaji wengine..! NI mchezaji wa kawaida sana. Hamisa mnamuonea mtoto wa kisukuma..!
@Fatherjaybadmaan8 күн бұрын
Arudi atakaa zake Benchi moaka anastaafu
@NdamilaSalada-st8rl8 күн бұрын
Chama Rudi hata sahizi
@isaackaitira76548 күн бұрын
Hatumtaki abaki huko huko aliko
@AlyAbass-g8o8 күн бұрын
Ssfi sa sana gb 68 chama bado salt simba
@boazmpazi2608 күн бұрын
Hata Manula kafanya makubwa, kuna makosa ya kusamehe na kurudisha mtu sio sabotage (duka)
@IbrahimAlharthi-i4d8 күн бұрын
Samaki akioza usimtupe, mtafutie viuongo umkaushe au atakuja kumuokota mwengine ulie uje ujute. Tutazame kutokana na umri na uwezo wake wa sasa Mnyama atafaidika asirejeshwe kwa kuwa ameipa Simba makubwa wengi na sasa hawapo. Chama alijaribu wengine akatambuwa kaumia na akirejea hatarejea tena makosa yake