GB 64 Avujisha SIRI ATHIBITISHA CHAMA KUMUOMBA MO ARUDI SIMBA | YANGA HANA FURAHA anarudi NYUMBANI

  Рет қаралды 63,802

SANGA TV

SANGA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 152
@jafarihamisi7574
@jafarihamisi7574 4 күн бұрын
Kumbe kweli madunduka swala usajili wanaulizwa mpaka walevi
@frankmsai7461
@frankmsai7461 8 күн бұрын
Akafie mbele uyo Babu chama
@MichaelMagige
@MichaelMagige 4 күн бұрын
Chama wakati yupo Simba alikuwa anagomesha wachezaji wenzie,gari likimuacha hotel kwenda mazoezi,lisiporudi kumfuata anagoma kutafuta usafiri mwingine,mpaka gari limrudie yeye Nani,kafanya mazuri ndio,alikuwa analipwa kwa kazi hiyo,Akirudi Simba itayumba,huyo ni Kirusi!
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 8 күн бұрын
Chama katuliza sana ,, kwasasa tunaamani abaki uko uko utopoloni
@Behd145
@Behd145 8 күн бұрын
Gb 64,chama hatumtaki mlevi,kiburi,anagawa makundi,pia rafki wa cheupe
@Cel-osbMwanawajeshi
@Cel-osbMwanawajeshi 8 күн бұрын
Chama kashaisha kweli
@emmansolo4477
@emmansolo4477 3 күн бұрын
😂😂😂Et Rafiki Yake Cheupe
@MezdDimosso
@MezdDimosso 8 күн бұрын
Hatumtaki huku Simba huyo jamaa alileta mazarau kwenye club yetu brother G B tahazari sana😮
@MichaelMagige
@MichaelMagige 4 күн бұрын
Wasithubutu kumrudisha Chama,atawavunja moyo wachezaji waliopo na Sprit iliyopo kwa Sasa,wasimrudishe kabisa,ataivuruga Simba,Acha ujinga wewe,
@abdallahluhinda
@abdallahluhinda 8 күн бұрын
Asirudi huyo duka la wakulima,kwani wamekosekana wachezaji katukosesha ubingwa mara tatu mfululu,alisema anaenda kwenye timu inayoongoza kwa makombe. Chama usirudi tena Simba allahuma aamiin.
@JonathanLukanda-u5y
@JonathanLukanda-u5y 6 күн бұрын
Oy mwanangu wamexhakubari aludi
@MakameAbdallah-wn3hc
@MakameAbdallah-wn3hc 8 күн бұрын
Hafai kurudi Simba Chama aende akamalizie kwao Zambia.
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 8 күн бұрын
Happana chama ni msaliti
@BarakaKasimu-y5u
@BarakaKasimu-y5u 8 күн бұрын
Chama wetu acheni arudi wanasimba tusisahau mchango wake wazee chama ni chama tu brother karibu tena lunyas chama wetu..🦁
@clarencemeena1628
@clarencemeena1628 8 күн бұрын
Kwakweli naomba sana Chama asirudi ndani ya kikosi Cha Simba, ana kiburi na ni msaliti
@SaidOmary-fd3bj
@SaidOmary-fd3bj 8 күн бұрын
NACHOFIKIRIA HUYU CHAMA ATAKUJA KUIVURUGA SIMBA KAMA ATARIDI
@shabanimkavu3404
@shabanimkavu3404 8 күн бұрын
Yaani usenge mtupu
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 8 күн бұрын
Chama wanini tena...Abaki Uko uko...
@Userog254
@Userog254 8 күн бұрын
Sanaaa kirusi hicho
@anwaraliakrabi554
@anwaraliakrabi554 7 күн бұрын
Chama alikwenda yanga kubeba mataji aendelee tu kukaa benchi yanga ,mimi siafiki chama kurudi simba ,akirudi mimi nastaafu kushabikia simba
@chandegea-i4i
@chandegea-i4i 8 күн бұрын
Chama akirudi simba anakuja kuwafundisha viburi wachezaji wadogo bora afie huko kenge huyu na njaa zake
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 8 күн бұрын
Chama Afai kuludi Simba....kwani tumekwama Wapi mpaka tumuitaji Chama...Atutaki...Mkitaka kujua ili tupige kula mashabiki.
@MalikiKavindi
@MalikiKavindi 8 күн бұрын
Msaliti huyo asirudi,akirudi tu simba inayumba tena
@SaidMasoud-f2q
@SaidMasoud-f2q 19 сағат бұрын
Boss mrudishe chama we msameheeee sawa.
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 8 күн бұрын
Chama ameingizwa chaka na Ashura cheupe
@KefaMawamgunda
@KefaMawamgunda Күн бұрын
Namkubali sana huyumwambaa aludishwe simba kulehakumfaii tumsamehe mwamba
@salehestambul5535
@salehestambul5535 7 күн бұрын
Chama Chama safi sana akirudi itapendeza sana kwa vijana wale kazi itakuwa tamu sana.
@petromasebo6090
@petromasebo6090 8 күн бұрын
Binafsi nitabaki kuheshimu kazi ya chama ndani ya Tim yetu kabla hajaasi,kwa sasa chama ni jasusi tu linalotska kutumiwa na Hersi Said ili kutuhalibu baadaye
@VascoKasambala
@VascoKasambala 8 күн бұрын
Leo umechemka
@melissa_garden
@melissa_garden 7 күн бұрын
Chama anafaa kuchezea Simba arudi tu. Tajiri amrudishe
@michaelseme7730
@michaelseme7730 8 күн бұрын
Asirudi atatuharibia wachezaji wetu anaushawishi mbaya
@IshengomaRugemalila
@IshengomaRugemalila 8 күн бұрын
Chama arudi Simba asitafie simba
@KatambaSteven-s2x
@KatambaSteven-s2x 5 күн бұрын
Toka uko hatumtaki usimsifie ujinga
@salehestambul5535
@salehestambul5535 7 күн бұрын
Chama safi Rudi Simba baba uweke vitu sawa.
@MichaelCharles-uo6rw
@MichaelCharles-uo6rw 8 күн бұрын
Unaongea point Sema haiwezekani
@MussaChivalamba-v4u
@MussaChivalamba-v4u 6 күн бұрын
Chama banaah vyovyote vile
@geraldbagole4494
@geraldbagole4494 8 күн бұрын
Nikikumbuka mechi ya Azam,Kirumba Mwanza Kayoko kama kwaida yake,Chama akahamua mchezo uwe sare
@MwanaishaHussein-q7q
@MwanaishaHussein-q7q 7 күн бұрын
Kumbe huyu msambaa mwenzangu ❤❤
@MrRizwan1978
@MrRizwan1978 8 күн бұрын
Very true
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 8 күн бұрын
Chama na asirudi ni duka la Utopolo
@ibrahimuakwilombe
@ibrahimuakwilombe 8 күн бұрын
Haturudi nyuma'chama wa jana siyo wa leo'sasa ana miaka 34,tunataka vijana wa under 25'chama hana nafasi teeeeeena simba'😊😅
@lutiak7618
@lutiak7618 8 күн бұрын
Mwacheni arudi mtoto ametambua makosa yake Wana Simba mukumbuke wema wake ,,siyo kumuhukumu
@DanielChaula
@DanielChaula 8 күн бұрын
INACHEKESHA SANA 😂😂😂😂❤
@SetMohamed-i9y
@SetMohamed-i9y 8 күн бұрын
Mzee Chama, asije abaki huko hilo
@oswaldtemba2770
@oswaldtemba2770 7 күн бұрын
Hatumtakiiiiii............
@CharlesMugaya
@CharlesMugaya 8 күн бұрын
Gb umechemsha. Hatumtaki. Usiangalie historia angalia current performance.
@davidfelician2903
@davidfelician2903 6 күн бұрын
Ndio,chama Inampasa kurudi unyamani
@EmmanuelMwita-vr4qz
@EmmanuelMwita-vr4qz 8 күн бұрын
Hatumtaki kaka
@KakeSimba
@KakeSimba 8 күн бұрын
Borachama asirudi
@StephanoCharles-d3v
@StephanoCharles-d3v 5 күн бұрын
Chama hatumtaki kwenye timu yetu ya simba aende mwanza kwenye timu ya pamba😅😅😅
@josephgomalo41
@josephgomalo41 8 күн бұрын
Nilitamani Chama astaafu akiwa Simba na angefikiria kuanza mafunzo ya ualimu akiwa Simba..!
@moizjohnston3841
@moizjohnston3841 8 күн бұрын
Chama hapaswi kurudi,maana tulimbembeleza akae Simba akaringa sana,tulimuhtaji akatuacha,akafie mbele kwanza atacheza nafasi ya nani?Ngoma anatosha.....!!
@saidasaa5385
@saidasaa5385 8 күн бұрын
asirudi Simba harumtaki Hata kama alifanya mengi lakni alikuwa analipwa pia
@davidtrezuget.379
@davidtrezuget.379 8 күн бұрын
Regarding of the great things He did for SIMBA SC not withstanding, Why should you sign back a player who betrayed you in the first place to sign for your greatest rivals , and wants to come back, at this crucial time When the league is in the final stretch, This whole situation looks suspicious.
@PlsFinancial-n2q
@PlsFinancial-n2q 7 күн бұрын
Jaman.mnaposema mabaya ya mtu kumbukeni na mazuri yake.hakuna mchezaji ambae ameleta mafanikio Simba kama chama.na liko wazi😢😢
@JulianaJapheth
@JulianaJapheth 7 күн бұрын
Kweli kaka angu arudi simba chama kafanya mengi sana simba
@LazackAbdalah
@LazackAbdalah 7 күн бұрын
Akuna cha thaman atumtak
@piliskaHalimas-o1n
@piliskaHalimas-o1n 6 күн бұрын
Chama kurudisimba syojambolakumkataa kwaniametendamema sanasimba. Njookwenu kumenoga, hakunawakuzuiausiruditofauti nauwongoziwenyewe. Hakuna mwanadamasiekosa naakaombamsamahaa asisamehewe. Chama Karibu simba
@ISSACKNTACHO-u3y
@ISSACKNTACHO-u3y 8 күн бұрын
Namkubaaari chama ,sinabaya nae,,arudi tu
@saviourramso4339
@saviourramso4339 8 күн бұрын
Kaka GB64 Unanikosha mambo unayoyaongea namm ndo mana nampenda Chama hadi kesho
@Userog254
@Userog254 8 күн бұрын
Kirusi pandikizi hicho hatutaki kwani tumepungua nini mpk apokelewe
@JosephinaLyimo
@JosephinaLyimo 7 күн бұрын
Kibabu kinazarau mjinga yule kilisema kinaenda kutafuta furaa
@JuliusMbikilwa
@JuliusMbikilwa 8 күн бұрын
Hamna huyo,alibembelezwa mno kubaki Simba lakini akadengua akitaka kuleta kombe la mabingwa kupitia Yanga.HATUMTAKI
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 7 күн бұрын
Gb hapo unatudanganya chama atubu dhambi kwanza alio tufanyia Simba tulimpenda lakini yeye alitufanyia uhuni sana
@AnthonyDcosta-f3q
@AnthonyDcosta-f3q 8 күн бұрын
Huyu katumwa na chama hakuna anayemtaka chama hana thamani tena
@issakwisamwakisambwe4080
@issakwisamwakisambwe4080 7 күн бұрын
Hatumtaki tena akafie mbele kwani lazima arudi simbasc
@AlfonceKasanyi
@AlfonceKasanyi 8 күн бұрын
Chama kwa Simba Bado anahitajika anaweza kuwa na mchango tu kwenye assist
@LamwaySindiko
@LamwaySindiko 7 күн бұрын
Huyu chama msenge tu yeye ndo alitusababisha kucheza shirikisho apeleke mitamaa yanga
@storytime1204
@storytime1204 7 күн бұрын
Hatumtaki chama acha ujinga
@ShabaniMoshi-z8k
@ShabaniMoshi-z8k 8 күн бұрын
Mimi mwenyewe namkubali chama arudi Simba hata mtoto alikosea na ameomba samahani basi mopokeen
@MariyamBaraka
@MariyamBaraka 7 күн бұрын
Kweli hkn binaadam asie na makosa
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 7 күн бұрын
Waituumiza sana waliuza mechi yadabi 64 Gb hao wasaliti
@GodethNgulizi
@GodethNgulizi 6 күн бұрын
Kama kamuomba boss msamaha aludi amejua kosa lake msameheni wapenzi
@Kevworx
@Kevworx 8 күн бұрын
Arudi ila mechi na Yanga asicheze kabisa maana simuamini namuona duka
@KwellyRyoba-n5s
@KwellyRyoba-n5s 8 күн бұрын
Asirudi asirudi na asirudi kwani huko Yanga amekosa nn.Thamani yake haitakwaisha lkn alitamba agenda yanga kuchukua ubingwa na Yanga.mshenzi kabisa CV za magori Caf amepata akiwa simba halafu anatukimbia kisa hatujafuzu kucheza CAF anatukimbia,Asirudi tena asirudi
@DeoNsemwa-g1m
@DeoNsemwa-g1m 8 күн бұрын
Toa Joshua rudisha Chama
@gracendumbaro5196
@gracendumbaro5196 8 күн бұрын
Atulize mshono
@CeciliaRichard-j3d
@CeciliaRichard-j3d 6 күн бұрын
Arudi tu bado Ni mwamba kwe2
@ChrissBoy-w6x
@ChrissBoy-w6x 7 күн бұрын
asirudi huyo atapata kiburi sana ataendelea kutudharau zaidi
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 8 күн бұрын
Kilasiku chama anaongeza pesa.
@isaackaitira7654
@isaackaitira7654 8 күн бұрын
Abaki huko huko alipo hatumtaki kabisa katuumiza sana alikuwa anaondoka ligi inaendelea anaenda zambia na mabegi yake tunapoteza mechi tukiwa tunamtegemea Balua na Chasambi kwa sasa abaki huko huko aliko hatumtaki tena usiseme katufanyia makubwa kwani yeye alikuwa anacheza bure si alikuwa analipwa hatumtaki kabisa tuliamua kuanza upya Mungu ametusaidia tumefika pazuri abaki huko huko
@yusuphtina1336
@yusuphtina1336 6 күн бұрын
Arudi
@HijjahMtema
@HijjahMtema 7 күн бұрын
Ww gb 64 chamu muda wake umeisha sasaivi nisimba mpya ya vijana
@KifaiMosha
@KifaiMosha 7 күн бұрын
Sikupingiiii kaka
@sulleimanshalua168
@sulleimanshalua168 7 күн бұрын
Chama ni msaliti...hapaswi kurud Simbasc, aende kwao Zambia hatumtak
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 8 күн бұрын
Mimi nadhan chama angebaki tu yanga Hivi wakat mechi inauzwa si alikuepo? Mtawekewa mamluki kwenye timu alf mwisho mtajilaumu
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 8 күн бұрын
HATUMTAKI CHAMA NI MSALITI AMEPEWA KAZI MAALUM NA ENG. HERSI.
@ThaniSaid
@ThaniSaid 8 күн бұрын
K2 gn mnatak kufany simba,,chama asipokelew tena apo kama mchezaji wetu wa simba
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 8 күн бұрын
Tulimwambi yanga kubaya wewe gb acha ujinga kwahiyo tuachewachezaji wetu wilotupa ashima tumludie chama hatutaki.
@MohamediKassimu-d4c
@MohamediKassimu-d4c 6 күн бұрын
Msaliti acha kumtete
@shabanipande5379
@shabanipande5379 7 күн бұрын
Nikwel aiseeee
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 8 күн бұрын
Kwahiyo tuache gbrisila tumrudishe chama
@WakalaWabukala-f1l
@WakalaWabukala-f1l 8 күн бұрын
Kamahivyo rudisha na manara maana hatuwaelewi
@oswaldtemba2770
@oswaldtemba2770 7 күн бұрын
Ataziba nafasi za usajili apishe hatumtaki
@FaustineMpanda
@FaustineMpanda 5 күн бұрын
Aende zake maana anayo tamaa
@SundayTweve
@SundayTweve 8 күн бұрын
Tumuache arudi nyumbani
@InnocentGavu-l5i
@InnocentGavu-l5i 8 күн бұрын
Oya gb,chama anakuja kutuharibia team
@NazilisalumukadeweleNazilisalu
@NazilisalumukadeweleNazilisalu 8 күн бұрын
Jamani wanasimba wenzangu kama kuna mtu ajawai kukosea Ajibu koment yangu anastasia kusamehewa
@MWATANOMOTEE
@MWATANOMOTEE 8 күн бұрын
Si pesa zilikuwa zinawawasha mwacheni azichume ila roho ya muda iko Simba sports
@saddykambonana
@saddykambonana 7 күн бұрын
Haiwezekani tena hatumtakiii
@Cel-osbMwanawajeshi
@Cel-osbMwanawajeshi 8 күн бұрын
GB kuwa seliazi bwana,chama wa nini?
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 8 күн бұрын
Akuna acheni bamge zenu chama ni mamluki tu
@josephgomalo41
@josephgomalo41 8 күн бұрын
Hamisa hana kosa.. bongo mmezidi kuwasifia wachezaji wa nje ambao ni wa kawaida! Alichokuwa anaweza Aziz KI ni mashuti peke yake.. ambayo hata Ali Machela alikuwa fundi wayo..! Binafsi nilikuwa sioni "exceptionalism" ya Ki na wachezaji wengine..! NI mchezaji wa kawaida sana. Hamisa mnamuonea mtoto wa kisukuma..!
@Fatherjaybadmaan
@Fatherjaybadmaan 8 күн бұрын
Arudi atakaa zake Benchi moaka anastaafu
@NdamilaSalada-st8rl
@NdamilaSalada-st8rl 8 күн бұрын
Chama Rudi hata sahizi
@isaackaitira7654
@isaackaitira7654 8 күн бұрын
Hatumtaki abaki huko huko aliko
@AlyAbass-g8o
@AlyAbass-g8o 8 күн бұрын
Ssfi sa sana gb 68 chama bado salt simba
@boazmpazi260
@boazmpazi260 8 күн бұрын
Hata Manula kafanya makubwa, kuna makosa ya kusamehe na kurudisha mtu sio sabotage (duka)
@IbrahimAlharthi-i4d
@IbrahimAlharthi-i4d 8 күн бұрын
Samaki akioza usimtupe, mtafutie viuongo umkaushe au atakuja kumuokota mwengine ulie uje ujute. Tutazame kutokana na umri na uwezo wake wa sasa Mnyama atafaidika asirejeshwe kwa kuwa ameipa Simba makubwa wengi na sasa hawapo. Chama alijaribu wengine akatambuwa kaumia na akirejea hatarejea tena makosa yake
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
GB 64 KWA HASIRA AMRARUA MZEE SAID, SIO SHABIKI WA SIMBA
20:48
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 30 М.
GB 64 ATHIBITISHA MAX NZENGELI AMESAINI SIMBA SC
8:40
TOP 10 TV TZ
Рет қаралды 25 М.
MURTAZA MANGUNGU ATHIBITISHA KUMKATAA CHAMA KURUDI SIMBA
5:31
Crown Media
Рет қаралды 54 М.
The Professor is one of the best basketball players ever! 🔥
0:56
Omar Raja - ESPN
Рет қаралды 22 МЛН
Lil man been putting in WORK. 🙌🔥 #shorts
0:59
House of Highlights
Рет қаралды 9 МЛН
Емельяненко vs Дацик #shorts
0:39
Майор Гром
Рет қаралды 1,5 МЛН