Oh mungu 😢😢, Roho ya Rex isilale bure ad ukweli ufichuke
@liliannyambane5132 ай бұрын
Mungu ni mwenye haki, kama watakunyima haki ongea na Mungu, atakushangaza na atakachowafanyia watesi wako . Our prayers mama 🙏
@mwash77772 ай бұрын
Let my tears 😭😭😭😭😭 flow. God of justice reigns
@Joysmuna1092 ай бұрын
True
@remiomar71542 ай бұрын
😢😢😢 hakuna hakimu Zaidi ya mungu ipo siku utapata haki mama mbele ya muumba
@stove71972 ай бұрын
Uwongo...malipo ni hapa hapa, hakuna muumba utakayesimama mbele yake. Usipopata haki hapa basi sahau kwingine, hizo ni hadithi za sungura walizokupumbaza nazo ili uendelee kungojea hadi kifo.
@KennedyMutuku-u3k2 ай бұрын
Kweli kabisa
@remiomar71542 ай бұрын
@@stove7197 Ni Kwa sababu imani yako ya kumuamini mungu ni ndogo sana
@legendb20002 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@stove7197
@buzzafrique37002 ай бұрын
Stove tunaona we ni devil worshiper upende usipende iko supreme being na ukikufa utapatana nae ...pumbavu
@aishasaidi17842 ай бұрын
Hamdulillah nilisema Mungu kama tuta kufa bure tu kwa haki bas Mungu alie muwa asipate amani hadi siku ya mwisho wake na Mungu halali na ipo siku walio uwa wengine pia Mungu sio atumani
@SwalehSaleh2 ай бұрын
Mungu yupo na halali
@mathekarichard13822 ай бұрын
Ingekuwa ni mimi babake my friend hao ama huyo police wangekuja kwangu wakikula nyasi...... nonsense sina time na kudeal with extremely corrupt courts and police officers not..
@harrietkhamisi23572 ай бұрын
Ukweli kabisa. Hata Mimi nikiwa na uwezo akuje na nyuki..Mungu atusamehe ni uchungu
@winfredkalii68502 ай бұрын
We don't need any witness thr killer cop is known and ruto ndio alimtuma amuue so kama kweli kuna haki ruto is responsible
@Ray-be3ci2 ай бұрын
Usjali bro hii lazma italipa hata kama itachukua muda ila itajipa
@AndrewUwani2 ай бұрын
N cc tv ni yanin?
@flilechi2 ай бұрын
Very unfortunate.
@mueni46902 ай бұрын
Oh God, they killed him cold blood.
@jacklinezombo58062 ай бұрын
sasa ushaidi wa nini tena wakati muuaji anajulikana wazi wazi
@kefawaithaka68412 ай бұрын
Ulimuona akimpiga risasi 😂😂😂yaani ukajua huyo askari mnasemanga niyeye muuaji alikuwa na bunduki aina gani😂😂.yaani mtu ako na bunduki ya kutupa teargas but Kenyans saying the killercop😂😂😂
@evansosusu53192 ай бұрын
@kefawaithaka6841 if you don't have anything substantial to say is better to zip up, someone's son lost his life in the hands of a useless police officer and it was captured on a cct but the government is trying to hide culprit and threatening witnesses.
@mathekarichard13822 ай бұрын
@@kefawaithaka6841Use your mind upside not upside down nkt
@Joysmuna1092 ай бұрын
Woiye ruto mungu anakuona
@knowinganddoingbetter45622 ай бұрын
CCTV captured it. Wawache Mzaha
@suzy19262 ай бұрын
You can't bribe God!!God knows n he will surely bring justice in his own way
@lucymwai76452 ай бұрын
Haki pole sana kwa familia, 😢😢😢😢
@gordonomondi71612 ай бұрын
Alafu huyo askari alipelekea Hiyo laana kwa nyumba. Watoto wa huyo askari watalaaniwa milele.
@janekimango11892 ай бұрын
Ruto atamuua Zakayo dangerous!
@mauriceomondi36812 ай бұрын
Kwani kenya imekuwa aje
@DianaMwenesi-rb2fn2 ай бұрын
Rest in peace
@robertokeyo28772 ай бұрын
Wakenya tusijalibu kurudia makosa yakujagua serekali kama hii tena!!!.b very careful tukijagua serekari Tunapenda kuambiwa na kukupali wongo kama Leo hivi kunaendelea Bwani😠😠😠😠
@zedseries2 ай бұрын
😢
@mohamedjarso2802 ай бұрын
Why not revenge its the best way for justice 😅😅
@NaomiWanja-fv7zk2 ай бұрын
The same way ruto did with ICC witnesses 😢
@christinechirchir25602 ай бұрын
Maisha yako muhimu,, story mob wachana naye
@jamesgathaiya64502 ай бұрын
Unaongea kama mtoto nikama akili zako zimejaa mavi what if NI mtoto wako ameuliwa utasema hivo
@christinechirchir25602 ай бұрын
@@jamesgathaiya6450 Nonsense
@liliannyambane5132 ай бұрын
@christinechirchir, if you lose a child in unjust way will you keep quiet ? Silence is golden !
@christinechirchir25602 ай бұрын
@@liliannyambane513 why you keep complaining na huyo kijana alipatikana off guard parliament ni wapi aki kama ni mtoto wangu siwezi ongea anything juu akutolewa kwa nyumba na kuwawa bure
@luizerkimb2 ай бұрын
I thought cctv footage should be used tena witnesses
@dennocyde19432 ай бұрын
Witness protection in Kenya is a joke,..
@tsaa66782 ай бұрын
Huyo cop aliuwa Rex wife yake anafanya na lpoa Hadi ule jonarlist alishutiwa rubber bullets et alizimwa