Allah Akbar. Dunia hii ina neema nyingi sana zilizotuzunguka sisi wanadamu, neema ambazo huwezi kuzijua mpaka neema hizo zikutoke
@jimjam-xg7rv23 күн бұрын
INNA LILLAH WAINAA ILAYHI RAJIUN
@a.katunzi581520 күн бұрын
Msiba gani?
@AllyShabani-py3rg24 күн бұрын
Mungu ampokee shekhe wetu
@SalmaMsangi-n2m22 күн бұрын
Maashallah
@hassanWanjiku22 күн бұрын
Masheikh waliofanya kazi kwa bidii sana kuchafua uislamu huku wanajinasibisha n mtume salallahu alayhi wasalaam huku hawafuati alichokifundisha mtume n alichokifanya yeye mtume wetu sasa basi nynyi kwa haya mtafute majibu kwa Allah mumechafua dini sana kwa kila hali bidii mnayo
@nurdinmfamau349322 күн бұрын
Nawe MOLA Akuhidi Kwa Kuisafisha Dni. Huna Unachokijua Zaidi Yakupinga
@hassanWanjiku22 күн бұрын
@@nurdinmfamau3493 mkichafua tunasafisha kwa ukweli n mtaumwa sana na bidaa hzo zenu
@AllySibila22 күн бұрын
Tatzo la kusoma dini ukubwani ndo linalokusumbua
@AllySibila22 күн бұрын
Tatzo la kusoma dini ukubwani ndo linalokusumbua
@AllySibila22 күн бұрын
Tatzo la kusoma dini ukubwani ndo linalokusumbua
@alhilaltvonline25 күн бұрын
Allah Akbar. Masheikh wanaondoka. Fitna inabaki
@aliakrabi832124 күн бұрын
Mwislam badala ya kujiombea dua na kufanya matendo wema, mumekalia eti karama akuletee shekhe fulani, kwa kujidanganya hamujambo
@MAIMUNAABDALA-m4u23 күн бұрын
Hawa mawbii wan laan kweli kabsa
@fatmakitundu945422 күн бұрын
TUMEAMRISHA UKITUFIKA MSIBA TUSEME WOTE NI WA ALLAH NA KWAKE TUTAREJEA NA SI VINGINEVYO. UNATAKA NDIO HIVYO HUTAKI NDIO HIVYO. HAYO MENGINE SI PAHALA PAKE.
@AbbySule-un3xg26 күн бұрын
Mapenzi makubwa yaliyoje
@taurehassan739926 күн бұрын
Mawahabi hapo waumia vbya sna,akicfiwa mwanachuoni km hv
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd26 күн бұрын
Usitafute choko choko kila pahala shekh ... haifa kutafuta maneno maneno hizo ni sifa za wake zetu maalim
@hilalkhalfan145226 күн бұрын
@@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd sufi kafariki katamka shahada na yupo peponi, alipofariki MUWAHAB (JINA LA BANDIA SALAFY) ilimshinda shahada na kafa KIBUDU kafiri. Tunasubiri wengine.
@abdulkhaliqmuhammed45625 күн бұрын
@@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Bora hata usingejibu, maana ulivyojibu imeonyesha wazi kuwa maneno yamekuchoma, kisha usiwe na tabia ya kukasirika kasirika hizo ni sifa za dada zetu.
@mhusinigau323122 күн бұрын
Ndio wanachuki mbaya dhidi ya uislamu
@kimpuro11226 күн бұрын
Masufi (matwarika) kwa uwongo hawajambo
@Abdulkareemmakala26 күн бұрын
Jitazame sana unaweza hata kuwa Wewe ndo umezaliwa kwa uongo
@hilalkhalfan145226 күн бұрын
Lete ukweli wako na ushahidi wako
@ryobojuma345026 күн бұрын
Mnajua ss waongo basi tuachieni vipindi vyetu kuangalia kama hamna cha kujifunza kwa walimu wetu.
@NasrahMakunga26 күн бұрын
Kwanini utenge muda wako kwa kusikiliza na kukoment video ya watu waongo??jichunguze wewe huwenda ndo mwongo,Allah akusameh
@swalahudinmohamed266625 күн бұрын
58. Na wanao waudhi Waumini wanaume na wanawake kwa maneno au vitendo, bila ya wao kufanya makosa yoyote, hao basi wamebeba migongoni mwao mzigo wa ule uwongo wakuwadhania wao, na inakuwa wametenda dhambi iliyo dhaahiri
@AllyShabani-py3rg24 күн бұрын
Wewe muhabi soma kwanza tajeni mazur ya Mareham wenu kwanini upinge shekhe anayosemaa
@canoksancomprehensivelearn718221 күн бұрын
Yule sharifu mlosema alimuambia maiti mbona hujasilimu mait akafufuka akatamka shahada kisha akafa mara ya pili ati kwanini asitokee akamuambie mti mkavu akakaa akawausia kisha akafa mara ya pili? Nilisoma kwa masufi lakin niliwakimbia kwa uongo wao mkuu wa kutisha mmoja alinisimulia kisa ati zamani mungu ati alikuwa anaonekana (mimi kipindi hicho ni mtoto nasimuliwa hayo) ati akaalikwa na mja wake mmoja mchamungu akaita watu akafanya karamu kuwa Allah atakuja kwenye hafla hiyo basi wakat anaandaa vyakula akaja maskini holehale muda was dhuhur ati wakat mwenye karamu anachukua udhu chooni akawa maskini yule ana viraka mchafu anaomba maji ya kubywa ati akamchotea na kopo la chooni maskin akanywa yeye akaenda akaswali dhuhri mwenye karamu ile wakat huo anasubiri ati mungu aje na hakumuona hadi usiku akamuambia mbona hukuja akasema mie ndio nilikuja ukanipa maji na kopo la chooni nikanywa!!! Hawa maSufi wantisha uganga ushirikina uongo na kusifu kupita kiasi kuasi sunna za mtume S. A. W waNachukia sana sunna na watu wa sunnah sisi mawahabia mtuchukie ila wanenu watajua haki maana hata sisi tulikuwa na waalimu na walezi walokuwa wanatutia ujinga wa kisufi leo hatupo nao Allah awarehemu na awasamehe ks hurum yame huenda ulikuwa ujinga tu kama ukosef was elimu walipotezwa na Wa kabla yao wakafa mkengeni wakiwa wameuvaa shingoni mkenge huo. Allah atuongoze sote na awaongoze hawa wanaojiita masharifu nao waone haki na madaaruwaysh na wale wanaopaa na ungo usiku walokiwa wanatudanganya zamani wanadai wanaenda Makka bila ndege halaf ukiangalia passport zao zina muhuri wa uwanja wa ndege wa Dar na Jeddah na jina la ndege walosagiria mpaka kiti namba na Allah anawaona kwa urongo wao
@user-iw5hu3mc7l25 күн бұрын
Masufi mnajua kupanga mambo na nakupamba watu dah hajafikia sifa hizo mnazompa
@YaziduIddy-u7p23 күн бұрын
Wewe unapewa wahyi mpk useme hajafikia huko au unataka nani aseme ujue kafikia huko
@hassanWanjiku22 күн бұрын
Imebaki baada ya kuzika wajengee kaburi na waanze ibada zao hapo Hawa ikiwa kaburi la mtume salallahu alayhi wasalaam halikulindwa wangeenda hapo kufanya shirki zao huko mtayaona bado mapema
@RamadhanMkilind22 күн бұрын
@@hassanWanjikuMungu anasema na kila baadhi ya dhana nipotovu kuwa makini usije ingia motoni kwa ushabiki wa kipumbavu
@hassanWanjiku22 күн бұрын
@@RamadhanMkilind Allah subhannahu wa taala awaongoze juu nynyi wengi hamjui mnafuata mikao tu kwa upumbavu n kutotaka kujua dini yenu imekataza yapi n imeamrisha yapi kueni makini hii dini tuliachiwa safi nanyi mnachafua
@AllySalim-o7s21 күн бұрын
Wee muhabi jiheshimu bhas
@AllyKiduka24 күн бұрын
Mashetani ni wengi unamwambiaje sharifu muongo?
@abdulkarimmavuo64522 күн бұрын
Mpaka inafika kiama Uislam Safi utabaki na maneno ya Mtume Muhammad (aleihi salatu wasalam) Mambo yenu hayo yakumsingizia Mtume na kuzikana vyumbani kisha muje muabudiane hayawezi kuwa uislam. Mutapotosha wajinga na urongo wenu lakini watu wenye akili wanatambua bidaa zenu. Mtume munaejisifu nae hatowaangalia siku ya kiama.
@mhusinigau323122 күн бұрын
Haya ya kuabudiwa vijana wa kiwahabiya wengi ndio kauli zao wanaabudu wanasema nn sasa
@hilalkhalfan145221 күн бұрын
@@mhusinigau3231 HAO wamekula mashonde ya IBN baaz hawajielewi tena😂😂😂
@nassorokoba916123 күн бұрын
Ukiona mtu anasema lolote basi kapata kasikiliza kwanza kaelewa sasa kanuni kaambiwa Kila kitu apinge sasa NDIO kapinga
@ayuburashid908326 күн бұрын
أستغفر الله من هذا البغي
@abdulkhaliqmuhammed45625 күн бұрын
قل "أستغفر الله" لذنوبك لا لذنوب الآخرين. وإذا أردت أن تستغفر الله لذنوب غيرك قل "أستغفر الله للمؤمنين والمؤمنات.
@yasinimuna357026 күн бұрын
Wewe unayosema sharifu mwongo wewe ni mwehu
@swalahudinmohamed266625 күн бұрын
* 58. Na wanao waudhi Waumini wanaume na wanawake kwa maneno au vitendo, bila ya wao kufanya makosa yoyote, hao basi wamebeba migongoni mwao mzigo wa ule uwongo wakuwadhania wao, na inakuwa umetenda dhambi iliyo dhaahiri
@abdulkhaliqmuhammed45625 күн бұрын
Kataa jambo kwa hujjah sio unakurupuka tu kama umetoka usingizini
@mussaissa679625 күн бұрын
ULAANIWE WEE KIBWENGO.KINAKUKERA NINI MTU KUSIFIWA WEMA WAKE IBILISI MKUBWA WEWE!!
@AllySalim-o7s21 күн бұрын
Wahabi nyie mnashida gani na muridu embu fateni yenu bhas
@alhilaltvonline25 күн бұрын
Allah Akbar. Masheikh wanaondoka. Fitna inabaki
@hilalkhalfan145225 күн бұрын
@@alhilaltvonline MASHEKH KILA WAKIPUNGUA, FITNA ZA MAWAHABI NDIO ZINAPATA NAFASI