SHEIKH MSELEM ALLY AFUNGUKA KILICHO KUWA KIKIMUUMIZA ZAIDI WAKATI YUPO MAHABUSU. #sheikhmselemally #uwamsho #covid_19 #mtoro
Пікірлер: 52
@mussasalimmbinga82522 жыл бұрын
Pole sana shykh,Allah akulipe kwa subra kubwa na njema ulizofanya na wenzako..ama kweli duniani hakuna haki,lakini naamini haki zenu mtapewa hukoo Akhera kwa yule jaji asiye kula rusw
@hasbunakhamis4872 жыл бұрын
Allah awahifadh mashekh wetu amiin
@masoudrashidmohammed4124Ай бұрын
Dah nimelia kwa kweli ila. Allah hajakhafilika juu ya matendo yao madhaalim
@kassimbitogwa69922 жыл бұрын
Allah amjaalie pepo shekhe Mselem Ali
@FathimaZubair-jt4cg10 ай бұрын
اللهم آمين 🙏
@abduli-ne2ef9 ай бұрын
Aamin
@LASSUH49472 ай бұрын
ALLAH atakulipa habeeb na atakutoshelezea
@alizaki28462 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ni mshindi kwa analo litaka lkn watu wengi hawajui
@queenhuu28522 жыл бұрын
Allah atawaalipia Kwa mulichofanyiwa
@muzahimabdillah70442 жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
Huwa nadondokwa na machozi kila nikikumbuka udhalilishaji waliofanyiwa masheikh wangu. ALLAH ATAWALIPA WOTE WALIOFANYA UDHALILISHAJI HUO AAMIIN.
@maryamalli90902 жыл бұрын
Haki yao kufungwa maana walitaka kuitia nchi katika vurugu mbona sheikh nyundo alikua akigonga mawaidha na hakufungwa? Fanyeni tena muone nyoko nyie
@basharahamtzhalisi68712 жыл бұрын
@@maryamalli9090 Laana iwe juu yako, angefanyiwa baba yako, ungeongea huo unyoko wako, mbwa wa motoni wewe.😈😈😈😈
@alifaki46512 жыл бұрын
Allah atakulipa inshallah
@zubeirkhamis-ut7dn11 ай бұрын
Wallah wabillah haki haipotei utalipwa tu mbele ya allah
@zuzadomikano3765 Жыл бұрын
RAISI DR.Kikwete Na Dr.Sheni piano Dr.MAGAFALI BIN MAGUFURI NA Dr.Hussen mwinyi ,pongezini kwa kua walinzi wa Mungu na Malaika watesaji hapa Duniani vijuku vyenu Allah awanao na kuyapata mlo yapandikiza ga Duniani !!!
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Utawala wa mabavu ndio unaotesa wananchi
@salimharrasy70479 ай бұрын
Nchi yoyote ambayo inamvutano wa wenyewe kwa wenyewe huwa ni mtihani kwa raia. Kuna kila sababu watu wasahau tafauti zao na kuwa kitu kimoja. Na hili haliwezekani mpaka vyama vya siasa viungane na kuwa chama kimoja. Pawe na sura tu vyama vimeungana.
@queenhuu28522 жыл бұрын
Shekh,mseelem umeezeeka Sana saiv jaaman jela sio sehem nzr umeenda huna ndevu nyeupe saiv umekua na mvii telee
@mohdkhatib2232 жыл бұрын
Ndio maisha, tunapita tu hapa duniani, na kila kitu Mungu amekirikodi, na kama mtu alivyokopesha ndivyo atakavyolipwa
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
Nawee pia utazeeka
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Ishi maisha yako mema na familia zako kama Raia Mwema . Wachana na Siasa. Haija whi kumucha salama "asiye ijua."
@zehrahaji1566 Жыл бұрын
Kaa pembeni km ujaelewa alichokisem
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Huo ushauri unakufaa wewe. Na usisahau kuonana na dokta wa akili!
@omadal12 жыл бұрын
Why background music to noisy.
@AliJuma-gs9ct Жыл бұрын
Sheikh anatisha
@alisharif55412 жыл бұрын
Mwanasiasa
@fakihdarusi43852 жыл бұрын
Kutokea wapi??
@gangmore90912 жыл бұрын
Chama gani???
@lilianmakwati5228 Жыл бұрын
Sijui umelisikia jibu lake
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Wewe na muungano wapi na wapi Wacha ukhawariji fuata dini Sasa nadhani utajuwa hujui soma dini wa Cha maandamano hyasaidie kitu
@JabirHaji-vj2nf Жыл бұрын
Shetani mkubwa wewe khawariji wewe na babie na mamio mbwa mkubwa wewe
@FathimaZubair-jt4cg10 ай бұрын
Ila umenichekexha 🤣🤣🤣ila bora umemtukan maan hana adabu
@AbuuabdirahmanAlfawzan4 ай бұрын
Sasa wewe uso khawariji mwenye akili ndo watukana matusi yote haya?? kweli makhawarij hamna adabu
@NunuKupelaАй бұрын
@@JabirHaji-vj2nf una nini????????
@swahilitherapytv3846 Жыл бұрын
Mlichanganya dini na siasa za kikafiri, unathani upata kitu gani...?? Lakini mnapambana na watawala ni kinyume na uislam. FANYA TAWBAH SHEIKH ULIKOSEA
@zehrahaji1566 Жыл бұрын
Tuliza kinyeo chako km ujaewa kafiri mkubwa
@abdissalamhassan7881 Жыл бұрын
Usenge wako uwo,,, muamsho wapo sahihi kama dini ni lazima wakemee mambo mabaya na machafu
@abdissalamhassan7881 Жыл бұрын
Usenge wako uwo,,, muamsho wapo sahihi kama dini ni lazima wakemee mambo mabaya na machafu
@JabirHaji-vj2nf Жыл бұрын
Khabith mkubwa wewe hata elimu huna kwani baadhi ya mitume so walitumwa wakapambane na watawala wewe wawapi ushamba tu
@FathimaZubair-jt4cg10 ай бұрын
Anzeni kufanya nyie toba mlio waeka wenzen ndan miak 8 hamkujal kama wana watt na wanapt tabu daaah Alaf xkia ww mmbwaaa rekebixha kaul yko
@maryamalli90902 жыл бұрын
Tatizo mulitaka kuipeleka nchi katika vita na vurugu mbona sheikh nyundo alikuwa akitwanga mawaidha mbona mpaka amefariki hakufungwa? Haki yenu kufungwa kuepusha vurugu
@hajiharoub81252 жыл бұрын
Huna akili yakufikir ndio maana ukasema ilikuwa hakiyao kufungwa
@gangmore90912 жыл бұрын
Ukikua utajitambua
@mohammedmkwama16352 жыл бұрын
Hujitambui na hujui Mambo yanaendaje hvyo Ni Bora ungekaa kimya
@gangmore90912 жыл бұрын
@@mohammedmkwama1635 hajitambui kwel wakiambiwa wafatilie history wajuwe ukweli wapo kufatilia maisha y wasanii n propaganda z Ccm