Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM
@sharifuburuhani1969Ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!
@user-zs9zv9dd9nАй бұрын
Sheigh Mselem Ally ALLAH akuhifadh na akulipe pepo ya firdaus INSHALLAH
@abdulabdulathumani5992Ай бұрын
Amin AMIIN . ALLAH AMUEPUSHE NA ADHABU YA MOTO
@SalimAbdulla-gw5rqАй бұрын
Ammiiin kwa sote
@kondomrisho8776Ай бұрын
Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu
@ramadhanmbarak3979Ай бұрын
Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah
@jumagora3462Ай бұрын
Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu
@makerebul3650Ай бұрын
Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.
@bakarfaki-vb8kvАй бұрын
Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢
@mhusinigau3231Ай бұрын
Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia
@sharaful-anaam138Ай бұрын
Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja
@azizayassin3623Ай бұрын
Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢
@aliabdalla9297Ай бұрын
Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema
@sharaful-anaam138Ай бұрын
@@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema
@musasefu6092Ай бұрын
May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe
@user-rh7lj1lo5xАй бұрын
Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi من تواضع رفعه الله Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.
@ahmedabry2934 күн бұрын
Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤
@rayaalhabsi1725Ай бұрын
Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab
@fahimkarama9341Ай бұрын
mungu akulinde shekhe wangu
@suleim505Ай бұрын
HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.
@PeacefulSoccerGoal-ki7tdАй бұрын
Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema
@saidimdoe5246Ай бұрын
Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi
@noorsa88d25 күн бұрын
Allah akuhifadh Sheikh Mselem
@husseinhaji9550Ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
@HusseinAbdul-is9xqАй бұрын
Naam jazzakallahkhery 🎉
@samiruiddi2077Ай бұрын
Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa
@jumamohamed4808Ай бұрын
MashaAllah Allah azidi kupa sbra
@RamadhaniShabani-nc5veАй бұрын
Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri
@ShekhKhamisiАй бұрын
جزاك الله الخير
@khamisrubea5083Ай бұрын
Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm
@sama-_8368Ай бұрын
Ni kweli
@SoudShuraimАй бұрын
Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi
@user-ru1xm6og4jАй бұрын
ما شاء الله
@SalimAbdulla-gw5rqАй бұрын
Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .
@jumagora3462Ай бұрын
Asante kitabu kimemaliza kila kitu
@saidrakwe8727Ай бұрын
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu
@azizayassin3623Ай бұрын
Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni
@user-ks4hh8jb6kАй бұрын
Huyu ndio shekh sio kujikweza
@saidrakwe8727Ай бұрын
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka
@rushu1232Ай бұрын
Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.
@HasanatAli-de3bfАй бұрын
Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa
@ahmedbadi5822Ай бұрын
Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.
@RamadhaniShabani-nc5veАй бұрын
Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki
Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa hilo ni kosa kwan ndugu?
@SoudShuraimАй бұрын
Haji upepo shika adabu yako..
@mhusinigau3231Ай бұрын
Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako
@sharaful-anaam138Ай бұрын
Setup hiyo NA WEWE USHIKE ADABU YAKO MWEHU WW
@saidhassan-xg2uoАй бұрын
Yule kijana ashike adabu yake
@khamisfarouk9493Ай бұрын
Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem
@rayisadesigns2646Ай бұрын
Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?
@ramadhankheir4793Ай бұрын
Acha zako ww mzushi
@abdulabdulathumani5992Ай бұрын
Wewe je huna chakuiga
@ZubeirJuma-up7kbАй бұрын
Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi
@MdNasr-jm8pjАй бұрын
😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema
@JamesMakes-rn6kzАй бұрын
haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele
@JandaalHaqeemАй бұрын
Zanzibar hakuna shekh kwa ajili ya dini
@sharaful-anaam138Ай бұрын
Mlete baba yako
@AliSalim-yu4mo9 күн бұрын
Kuna Sheikh kwa ajili ya nini?
@user-zs9zv9dd9nАй бұрын
Sheigh Mselem Ally ALLAH akuhifadh na akulipe pepo ya firdaus INSHALLAH