SHEIKH MSELEM ASIKITISHWA NA WANAO MRAD MITANDAONI"MIMI YANANIFIKA MENGI SIMJIBU MTU NAKAA KIMYA TU"

  Рет қаралды 7,414

Adil TV

Adil TV

Ай бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 65
@sharaful-anaam138
@sharaful-anaam138 Ай бұрын
Wallahi katika nchi hii tungekuwa na ma sheikh kama hawa wallahi nchi ingekuwa na neema za kutosha ALLAH AKUHIFADHI MAALIM
@sharifuburuhani1969
@sharifuburuhani1969 Ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya ALLAH sheikh Msellem Bin Ally, wewe ni Roll modell wangu!
@user-zs9zv9dd9n
@user-zs9zv9dd9n Ай бұрын
Sheigh Mselem Ally ALLAH akuhifadh na akulipe pepo ya firdaus INSHALLAH
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 Ай бұрын
Amin AMIIN . ALLAH AMUEPUSHE NA ADHABU YA MOTO
@SalimAbdulla-gw5rq
@SalimAbdulla-gw5rq Ай бұрын
Ammiiin kwa sote
@kondomrisho8776
@kondomrisho8776 Ай бұрын
Safi sana uchamungu huwa daima kujishusha Allah (sw) akuhifadhi mzee wangu na hasad za mwana wa adamu
@ramadhanmbarak3979
@ramadhanmbarak3979 Ай бұрын
Allah akuhifadh sheikh tunakuelewa Sana MaashaAllah
@jumagora3462
@jumagora3462 Ай бұрын
Asante mungu akulinde na shari pamoja na ss kibabu kimamaliza kila kitu
@makerebul3650
@makerebul3650 Ай бұрын
Allah akuhifadhi unaeleweka sana Mashallah.
@bakarfaki-vb8kv
@bakarfaki-vb8kv Ай бұрын
Hivi ndio watu wema wanavyokuwa katika maisha yao si kijana mwenzangu Haji upepo na niendelee kusema kuwa Haji mm ni mwanafunzi Lakn sijafikia kuwaradd masheikh kwa sababu wao ni binaadamu Kama ulivo ww Haji upepo. Hebu tuwe na aadab kwa hawa masheikh watupe like walichonacho 😢
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 Ай бұрын
Yeye Haji kamvunjia adabu shehe mselemu kwani km hao wengine wamevunjiwa adabu basi hao waliovunjiwa adabu walivunja adabu za watu pia
@sharaful-anaam138
@sharaful-anaam138 Ай бұрын
Kosa la haji upepo lipo wapi kwa sheikh mselem mbona hao masheikh wenu wanaomradd sheikh mselem hamuwataji sheikh haji upepo amemsifu sheikh mselem ijapo kuwa watofautiana kiaqida lkn anampenda na anamsikiliza ndo alivyo sema Sasa hao masheikh zenu wanao mponda sheikh mselem hajui kutafsri Quran hamuwataji wacheni ushabiki usio na maana sote ni ndugu wa nyumba moja
@azizayassin3623
@azizayassin3623 Ай бұрын
Mtihani haswa kuna vitu vya muhimu mno vya kufanya lkn sasa weee😢😢
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 Ай бұрын
Kwahiyo ww mwenyewe ushajitoa katika hao waja wema tayari maanayule mtoto wa Bachu na kina Abdalla Humeid huwaoni wala huwasikii wanayosema
@sharaful-anaam138
@sharaful-anaam138 Ай бұрын
@@aliabdalla9297 kwa khabari zenu hata nyinyi mukifa Nazo sio katika watu wema
@musasefu6092
@musasefu6092 Ай бұрын
May Almighty Allah guide you my mostly favorite shekhe
@user-rh7lj1lo5x
@user-rh7lj1lo5x Ай бұрын
Nimekukubali sheikh Mselem Allah akuhifadhi من تواضع رفعه الله Somesha sheikh kwa mujibu Allah alichokupa na akujalie na msimamo huo huo wa kutokumjibu mtu.
@ahmedabry293
@ahmedabry293 4 күн бұрын
Allah akuhifadhi sh msellem bin ally.. Tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 Ай бұрын
Kweli kabisa maneno yako sheikh Allah akuhifadhi yaarab
@fahimkarama9341
@fahimkarama9341 Ай бұрын
mungu akulinde shekhe wangu
@suleim505
@suleim505 Ай бұрын
HAYA NDIYO MANENO YA KUJIBU MTU MWENYE ELIMU NA KUJUA NAMNA YA KUITUMIA: KWA HAKIKA UMETOA MAJIBU MAZURI MNO ALLAH AKULIPE KWA UVUMILIVUWAKO.
@PeacefulSoccerGoal-ki7td
@PeacefulSoccerGoal-ki7td Ай бұрын
Alikua ana tafuta kk na shk wetu ALLAH akujalie umri na afya njema
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 Ай бұрын
Huyu shekhe hajikwezi ingekuwa wengine maneno mengi
@noorsa88d
@noorsa88d 25 күн бұрын
Allah akuhifadh Sheikh Mselem
@husseinhaji9550
@husseinhaji9550 Ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq Ай бұрын
Naam jazzakallahkhery 🎉
@samiruiddi2077
@samiruiddi2077 Ай бұрын
Allah akuhidhi shekh mselem hakika mti wenye matunda ndio hupigwa mawe huwezi kukaa chini ya mjohoro akauchucha mawe bali ss tunakuerewa
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 Ай бұрын
MashaAllah Allah azidi kupa sbra
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve Ай бұрын
Sheikh mselem mungu akupe kilalakheri
@ShekhKhamisi
@ShekhKhamisi Ай бұрын
جزاك الله الخير
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Ай бұрын
Haji upepo alimtetea sheikh mselem kwa nlivofahamu mm
@sama-_8368
@sama-_8368 Ай бұрын
Ni kweli
@SoudShuraim
@SoudShuraim Ай бұрын
Kwanza hakuna mtu wakumradi huyu simba wa masimba..na ukimradi ni mjinga mkubwa..tunampenda kwaiyo komeni musimradi
@user-ru1xm6og4j
@user-ru1xm6og4j Ай бұрын
ما شاء الله
@SalimAbdulla-gw5rq
@SalimAbdulla-gw5rq Ай бұрын
Wewe ni fundi tunakuombea dua uwe na msimamo huo huo wachamungu huwa wanajitambua pia huwa Allah hawapi ukubwa wa kujipandisha wenyewe Ila Allah huwapandisha mwenyewe na c hapa duniani Bali ni Akhera na ndo hapo kufudhu Tena. Hawa wengine wanaotupiana madongo katika dini moja huwa hamna kitu .
@jumagora3462
@jumagora3462 Ай бұрын
Asante kitabu kimemaliza kila kitu
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 Ай бұрын
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka ........tatizo kuu ni watu kuisoma dini bila kuwa na adabu
@azizayassin3623
@azizayassin3623 Ай бұрын
Huu ndio mfano wa wanaume bacho muamsheni
@user-ks4hh8jb6k
@user-ks4hh8jb6k Ай бұрын
Huyu ndio shekh sio kujikweza
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 Ай бұрын
shegh mselemu allah akuhifadh tunakujua....ila kuwa na subra tu maana wajinga wengi na kila kukicha wanaengezeka
@rushu1232
@rushu1232 Ай бұрын
Endelea na daawa sheikh Msellem wachana na vibaraka ya mayahudi kazi yao nikudhalilisha masheikh wenye bidii kama wewe.
@HasanatAli-de3bf
@HasanatAli-de3bf Ай бұрын
Alie pewa hikma amepewa kheri kubwa sana na naiyona hapa
@ahmedbadi5822
@ahmedbadi5822 Ай бұрын
Tatizo ni wewe wataka kuraddi wengine watu wasomeshe Tu kila MTU ashike pa kushika.
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve Ай бұрын
Haowànokutuka achananao watoto wadogo achananao wanata kiki
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Ай бұрын
Haji upepe huyo hule jamaa bwana
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve Ай бұрын
Yulekijana yule upepo yule dawayake inachemka yule
@sama-_8368
@sama-_8368 Ай бұрын
Upepo hajakosea amesema huyu Sheikh ni mfano wa kuigwa hilo ni kosa kwan ndugu?
@SoudShuraim
@SoudShuraim Ай бұрын
Haji upepo shika adabu yako..
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 Ай бұрын
Kwani Haji upepo alisema mselemu ni khawaarij punguza ujinga kichwani mwako
@sharaful-anaam138
@sharaful-anaam138 Ай бұрын
Setup hiyo NA WEWE USHIKE ADABU YAKO MWEHU WW
@saidhassan-xg2uo
@saidhassan-xg2uo Ай бұрын
Yule kijana ashike adabu yake
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 Ай бұрын
Mawahabi waige mfano wa sheikh Msellem
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
Sheikh sio wahabi ingawa watu wengi wanadhani hivyo
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir Ай бұрын
Kwani huyu sheikh ni Muwahabbi?
@ramadhankheir4793
@ramadhankheir4793 Ай бұрын
Acha zako ww mzushi
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 Ай бұрын
Wewe je huna chakuiga
@ZubeirJuma-up7kb
@ZubeirJuma-up7kb Ай бұрын
Mselem hana kund mnajifanya kumradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi hmna ata hekma usomi gani kubishana wakati kuna watu hawamuelewi ata ALLAH wengine hawaswali nendeni mkawafikishie mnaradi mnaradi mnavuta bangi mnajifanya wasomi
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj Ай бұрын
😢Bora mwenzangu usije sema ukaoza jela kukaa kimya si kilema
@JamesMakes-rn6kz
@JamesMakes-rn6kz Ай бұрын
haji upepo acha kiburi ungali mtoto ktk elimu, wew mwnyewe apo una makos tele
@JandaalHaqeem
@JandaalHaqeem Ай бұрын
Zanzibar hakuna shekh kwa ajili ya dini
@sharaful-anaam138
@sharaful-anaam138 Ай бұрын
Mlete baba yako
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 9 күн бұрын
Kuna Sheikh kwa ajili ya nini?
@user-zs9zv9dd9n
@user-zs9zv9dd9n Ай бұрын
Sheigh Mselem Ally ALLAH akuhifadh na akulipe pepo ya firdaus INSHALLAH
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,7 МЛН
HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI
31:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 84 М.
SHEIKH MSELEM BIN ALI SURAT JINNI 12 -17
1:11:23
J TV ZNZ
Рет қаралды 1,1 М.
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,7 МЛН