MashaAllah...mawaidha mazuri sana Mwenyezi Mungu Akiziidishie ilm uzidi kutufaidisha. Uhibbuka liajlillah
@hasniaa35753 жыл бұрын
Amini yalabi lalamina. Allah alijalie mume mwenye kuijua Dini YA Allah namutume wake Mohamadi
@SamiraHassan-o3w5 ай бұрын
MashAllah sheikh maisha mwema Allah 🏠
@husseinhure7954 жыл бұрын
Alhamdullilaah mweyezi Allah atupe ilmi na ambariki sheikh kishki
@rahmashukri99445 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah,,,,mungu akuzidishie umri, afya na unachokitaka duniani na akhira
@shakilahamsin57435 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah,,,,mungu tuongoze ummaty Muhammad
@yussufmohamed59964 жыл бұрын
Masha allah shekh nurdin kishki allah akuzidishie umri ya kutangaza dini ya allah na mungu akuepushe mahasidi
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
@@shakilahamsin5743 kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*,
@sleemhamoud43942 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*,
@reyathumyan56663 жыл бұрын
Masha Allah sheikh mngu akupe umri
@KajanackMwewa7 ай бұрын
ما شاء الله هذا عظيم، الله يعطينا فهم دينه آمين
@bahatihadijabahati74565 жыл бұрын
Masha Allah nakupenda sana sheikh kishki Allah akupe afya na umri mrefu in shaa Allah
@fatimadidadida96335 жыл бұрын
Mashallah hatuna ya kukulipa ila nakuombea Allah usiku na Mchana akujaliye kheri dunia na kesho akhera 🙏🙏🙏nifanyieni ndua nipate mume mzuri Bali sio mzuri to akue anajua Allah mengine yatafwata inshallah
@hasinahboranda55774 жыл бұрын
Mashallah
@saidkhadija75574 жыл бұрын
In sha Allah utapata
@frankjuma18544 жыл бұрын
Mimi nipo nipigie apa0702094631ama whatsapp
@ibugharib3893 жыл бұрын
MASHAALLAH, jazzakallah kher sheikh na waandaaji na wote walioshiriki
@joharykhery68085 жыл бұрын
Mashaalah mungu anipe kizazi chenye kusimamisha bendera ya Lailah Illah Muhammad rasul Lilah kama wewe. Mungu akulipe zaid niombee
@fatimadidadida96335 жыл бұрын
Johary Khery amen Ameen Ameen ya raab mjaliye
@sewakilimila78394 жыл бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie khekma na subra ktk dini yetu ya kiislam ili huendelee kuipigania din yetu!na mwenyezi mungu akujalie mwisho mwema!
@zaymaramra26794 жыл бұрын
Mashallah Mungu anijaalie mume wa aina yko na kizaz kilchobora zaid mbele ya Allah
@husseinyhassany56965 жыл бұрын
Mashallah sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya allah aza wajal
@alihamdanali68204 жыл бұрын
Shekhe nurdin niombee dua tafadhal kwahisani yako mm ni mwanamke
@alimatambwe34025 жыл бұрын
MashaAllah Jazakhallahu khaira Allah atupe ujasiri wa kuwa pamoja naye Yaaa Rabie
@MohammedAlhabsi-ji4ux Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah jamani naomba namba ya cimu ya shekhe nurdin kishk
@abdikadirmaareeye12365 жыл бұрын
kazi bora dunia ndio haya malipo yake ipo kua mungu masha allh mungu akupe maisha nzuri na mambo aliyo bor
@RuqayaHamza3 ай бұрын
Namuomba tu allah anijalie niweze tu kutimiza ndondoyangu ya kujenga madurasa kijijin kwetu maan bd tupo nyuma upande wa madrsa ajali kazi ya mikono yangu na afya njema
@joharykhery68085 жыл бұрын
Mashaalah mungu anipe kizazi chenye kusimamisha bendera ya Lailah Illah Muhammad rasul Lilah kama wewe. Mungu akulipe zaid niombee
@hasniaa35753 жыл бұрын
Amini yalabi lalamina
@fatmaswaleh70045 жыл бұрын
ALLAHU AKBAR MashaAllah tabarakallah mola akuhifadhi sheikh wetu nakupenda kwa ajili ya Allah
@shwaibuathumani56565 жыл бұрын
Mashaallah mkono kwa mkono hadi peponi
@fatushariff2345 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@yasenkontee4718 Жыл бұрын
Maashallah sheikh Kishk
@elizachemba1125 жыл бұрын
Asante shekh tujifunze kushukuru kwakwel
@سميرةالعامري-ع4س4 жыл бұрын
Allahuakbar
@rahmaally17755 жыл бұрын
Masha Allah twawapend Sheikh kwa ajili ya Allah
@مريمالعامري-غ3غ5 жыл бұрын
Maan shaallah shekhe wetu
@maida27104 жыл бұрын
Mashaallah mawaidha mazuri alla akuzidishie kher zake nas tuwe miongoni mwako
@agustinommassi24435 жыл бұрын
AMINA namimi najifunza sana kupitia mafundisho aya kaka
@maryamoman59265 жыл бұрын
Mashallah
@hadijayusuf1152 жыл бұрын
Masha Allah Allah bless you
@nimcoabdullahi35602 жыл бұрын
Mansha Allah
@BonayaBoya Жыл бұрын
GOD bless you sheq
@nimcoabdullahi35602 жыл бұрын
Axsante
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
MashaAllah ❤
@salimbiaisha6466Ай бұрын
Shukran Sheikh wetu
@samiralisamir75945 жыл бұрын
Jazakal llahu kher
@usktvonline18275 жыл бұрын
AL hamdu lilay nzuri sana
@hamadisere60115 жыл бұрын
2012 nilipata Mtoto wa pili kwa sasa ni mama wa watoto wawili safar yakwanza nilisafir mwaka 2016 mwez wa 6 tr11 kwenda abudhab
Great mawaidha...can I get contacts of sheikh Nurdin Kishk
@maryamoman59265 жыл бұрын
Mashallah
@abdikadirmaalim68095 жыл бұрын
MashaAllah sheikh lakin hii ni mambo ya diini so utufanyie offline hii video ili sisi sote tufaidike
@abdikadirmaalim68095 жыл бұрын
Why video is not off line???
@hamadisere60115 жыл бұрын
Nilikaa miez 4 nilienda Oman mwez watisa nilirud mwez wa 12 Nina watoto wawil wakike wakiume
@mwanaidishabani64112 жыл бұрын
Mashaallah
@SamiraHassan-o3w5 ай бұрын
Allah only in the world
@yusuphmashimila41273 жыл бұрын
Allah akibal
@hamadisere60115 жыл бұрын
Kwa jina naitwa ZAINABU RAJABU naitaj msaada wa maombi ilinirud kwenye uhalisia wangu
@hamadisere60115 жыл бұрын
Walitumia jina langu
@anishakemisa88064 жыл бұрын
Maa sha Allah
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Maashaallah
@hamadisere60115 жыл бұрын
Nilianza kulishuulikia kabla ya safar lakin halikutoka nilipo rid safarin nikaanza tens matibabu sikuwa vizur nilikuwa kama tahira lakin lilelilokuwa likijitokeza kama jin mait lilitoka kwasasa bado nasumbuliwa nahayo nilio toka nayo oman
@thurayaalriyamyal20685 жыл бұрын
Wenzangu ktk iman kuna yoyote anayeweza kunipa nambari ya sheikh au whatsapp yake
@hamadisere60115 жыл бұрын
Baada ya miaka 2 nilianza kupata shweetan lilikuwa linanitokea pond nigombanapo namume wangu au nikipata mshtuko wataarifa mbaya ugojwa au umaut kwa MTU nimjuae
@hamadisere60115 жыл бұрын
Huyu mume nilianza kujuana nae anzia 2006 tulifunga ndoa 2007 tulibahatika kupata Mtoto wa kwanza 2008 matatizo ya kuvurugika kwa aman ilianza anzia mimba yamwanangu wa kwanza nilikuwa napata njoz za vitisho lakini mungu alinisaidia nilibahatika kupata Mtoto wa kiume
@adinanabas76164 жыл бұрын
Pole sana Dada angu
@hamadisere60115 жыл бұрын
Miez mitatu wa 6 had watisa
@jamilamungai94503 жыл бұрын
Mashaallah
@sarahabdulatif73915 жыл бұрын
Kishki nakuomba acha kwanza hiyo kazi kaitafut kweli muwawaelwz waisilamu nakam unaijuwa Bali unataka tu sifa zahap duniau kweli itazihiri tu yusufu diwani awasomee majini kuruani nawew ukushane wanadamu uwasomee kuruani kuruani niyawanadamu au yamajin namsiwadanganye waisilamu mkawambia yesu ndie isa huo niuongo ulio dhahir yesu kwakiarabu yasua nawala sio isa ala subuhana wataala ana majina 99 lamia mmeambiwa analijuwa mwenyew nayale sio majina zile nisifa ikiwa jina ikiwa sifa kuruani limo jina lamia jina lamia anaitwa isa namaana yaisa nidajali namaana yadajali nimuongo sifa yamia yamungu wenu nimuongo waisilamu mnatumikia ibilisi na kwajina lamia nasubuhana wataala l inasibitisha kuwa yesu nimungu wakweli naisa mungu wauwongo isa anapokea mpaka majini waliosilimishwa namuhammad uisilamu ninjia nyepes yamotoni kazi kuwangamiza watu mpaka Leo hamuwambii kuwa maana yasu nimuokozi namaana wamasihi nimpakwa mafuta ukisema masihi isa unasema mpakwa mafuta wauongo kwanini mnaendelea kuwatumikisha watu naibada yadajali watu wanafurahiy wanapokuj viongozo wasaudua hiyo ndio mishetani faida gani anaipata muisilamu juhifadhi kuruani zaid yakuwafurahisha majini ndio mana waisilamu wapingaji sababu wana mtumikia shetani kazi kubadilisha majina navisa vyamitume ndio mana mungu lung yakiarabu akainyim heruf wanatafautisha kwavidoto kishiki ikiwa umekuja kuchukuwa kundi lamotoni utaaiabika
@fatuma_amour5 жыл бұрын
Allah akuongoze, akuondolee udhalili
@alhabibismail30315 жыл бұрын
Inalilahi,May Allah guide you,,
@bahatihadijabahati74565 жыл бұрын
Hivi we uko na nn jaman mbona usiende kusikiz mapastor huko
@rashidramathanwanjiku714 жыл бұрын
Sarah abduratif.atuhitaji mawaitha yako wewe unaimani yako sisi tuna imani yetu sasa tuache na imani yetu wewe baki na imani yako Mungu umuongoza amtakae