Рет қаралды 67,357
Shetani haogopi watu wanao omba, huwa anaogopa "MATOKEO" kwa sababu matokeo ndiyo yanayowavuta watu kwa Kristo. Akikuona una matokeo anaanza kukuona ni mtu HATARI.
Muhuburi 10:7
Anasema kuna "ajabu" kubwa Duniani, wale ambao Mungu amewaumba kuwa mifano, kuwa kimbilio, kuwa watu wakuu hawapo kwenye nafasi walizoumbiwa, nafasi zao zimekaliwa na watu wengine WASIOSTAHILI kuwepo.
Ifike sehemu wale walioumbwa kuwa kwenye hizo nafasi, kuwa wakuu wawepo kwenye hizo nafasi.
Enough is ENOUGH! #Shetani#Anazuia#Matokeo