Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
@EuphrasiaNtawatawa2 күн бұрын
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
@geraldmayunga14112 күн бұрын
Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
@geraldmayunga14112 күн бұрын
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo
@simonprosperity95732 күн бұрын
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
@graceoisso32382 күн бұрын
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
@lidamudy28422 күн бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi
@YustinaMwita3 күн бұрын
Nimebalikiwa amen
@flobad.mhubiri3 күн бұрын
Amina baba.congo drc
@kayitarecharles69933 күн бұрын
Nagiunganisha na madhabahu ya upako wa Mungu ❤🇷🇼🙏🙌
@BenitaAli-o8x3 күн бұрын
Amen sana 🙌 mimi niliaza kukufatilia leo pastor maumbiri yako naielewa sana na inatia moyo wakusonga mbele.
@godfreymwacha23403 күн бұрын
Amina hallelujah 🙌🙏
@RadyaDavid4 күн бұрын
Amen🙏🏾♥️
@NeemaNyota4 күн бұрын
Namshukuru Mungu kuwa kwenye maombi najikuta naogea naneno yasiyo yajuwa namshukuru Mungu.
@Kichechecomerdy4 күн бұрын
Eeee mungu nifunze kunyamanza
@IgiranezaLinda5 күн бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi
@Youth_revivaltz5 күн бұрын
Nimepokea kitu cha ziada Sana barikiwa Sana
@user-ru8ne9oi3y6 күн бұрын
Amen napokea ni langu
@josephinecharles86156 күн бұрын
Powerful
@ediusiganiza47376 күн бұрын
Neno la MUNGU ❤❤❤
@ediusiganiza47376 күн бұрын
Nabarikiwa sana na neno lako
@flobad.mhubiri6 күн бұрын
Ameeeeeen. Toka Congo drc
@flobad.mhubiri6 күн бұрын
Ee MUNGU wa sunbella kyando namupenda sana mtumishi wako sunbella sana sana tena saaaaaaaana yaani sana .
@El9a7 күн бұрын
Wow...manifestation of the Power through the Word of God. GLORY...
@graysonlikwama18737 күн бұрын
Amen
@risanj-g9l7 күн бұрын
Simple but powerful, may God give you more pastor.
@deniskimario92887 күн бұрын
Ameen, hili neno ni langu..
@jamesfanuel45958 күн бұрын
AMINA MUNGU Katika Jina la YESU Kristo wa Nazareth alie hai NENO LA MUNGU Li hai tena lina Nguvu
@justusmusango99778 күн бұрын
Mungu wa Israeli. What a powerful sermon
@hannahmanu86428 күн бұрын
Amen mungu nitie ngufu wakati niko jikone
@EM_JUNE11_WABWANA8 күн бұрын
Nabalikiwa na Neno la Mtumishi napenda sana mifano yake
@neemasamwel99588 күн бұрын
Pastor unanijua kwan?maana unaniongelea mimi kabisaaaa😭😭😭
@NdihokubwayoEmmah9 күн бұрын
Amen Amen Amen
@roseabuyah23669 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana maneno yako kwa KZbin yanafanya kazi nilikua na kiu ya kunena kwa lugha nipotazama clip yako na nikazikiliza vizuri nikapokea roho mtakatifu na nikaanza kunena kwa lugha ambayo ni tititi tatata ubarikiwe sana Pastor Mungu anakutumia kuinua wengine be blessed alot.
@Manrono19 күн бұрын
The problem of youths being unemployed as been there since.Lets humble ourselves to our President to ask if he is able to stop this menace.We have many youths gratuating yearly and no one even a single President since has ever called the youths to discuss!...Kindly our President do something about this cause we,ve been promised by our Teachers, parents,society and the Nation in general about great jobs after Education.If youths problems cannot be addressed, it will reach a time they shall refuse also to school!...
@NivessKomba9 күн бұрын
Mahubiri yangu hayo mtumishi. Mungu ni in use tena.
@NivessKomba9 күн бұрын
Asante sana Bwana YESU kwa ajili ya mtumishi huyu. Nabarikiwa sanaa🙏
@NivessKomba9 күн бұрын
MUNGU BABA nisaidie kujua kilicho ndani yangu kwa Jina la YESU.