Shija Aelezea faida ya Ukimbizi

  Рет қаралды 2,176

SHIJA tv

SHIJA tv

Күн бұрын

Try the free video editor CapCut to create videos! www.capcut.com...

Пікірлер: 22
@jocelyneedward
@jocelyneedward 4 ай бұрын
Hata Mimi nimetoka kwenye live ya Devota🎉🎉🎉 acha nifuatilie video zako🎉
@MUSSABROWNMARCEL-vj9qn
@MUSSABROWNMARCEL-vj9qn 4 ай бұрын
Pamoja sana brother... from TEGETA dsm
@LateefaL-e1u
@LateefaL-e1u 4 ай бұрын
Nimekupata sana nilikuona kwenye live ya Devote acha nianze mwanzo video zote❤
@FabiDthree-ro1ms
@FabiDthree-ro1ms 4 ай бұрын
Pamoja sana kiongozi
@ByaombeRamaMfaume
@ByaombeRamaMfaume 4 ай бұрын
Jambo kaka Mimi ni mkimbizi naitaji sana namba Yako kaka nataka unijuze mambo kidogo kaka yungu mungu akubariki sana kaka
@sambemaulid2544
@sambemaulid2544 2 ай бұрын
Shija nakutafuta
@SamiaRashid-up6cg
@SamiaRashid-up6cg 4 ай бұрын
Mbona mnaangaika sana kutafuta makazi kwenye nchi za watu kwani kwenu mmeua au ndo kukata tamaa ya maisha
@shijamoviestv288
@shijamoviestv288 4 ай бұрын
Nyumbani Kuna mafutiko na Hakuna Umeme na gharama za maisha zimepanda
@gracejimmy741
@gracejimmy741 4 ай бұрын
Unatoboa Kwa shida sana hapa home
@shijamahona4491
@shijamahona4491 4 ай бұрын
Bwana atakuponya
@FabiDthree-ro1ms
@FabiDthree-ro1ms 4 ай бұрын
Ule msemo wako wa katka filam nimetoka mara moja ulaya leo hii kweli upo ulaya mdomo una umba ongela sana bro
@cyclinetit_solution9913
@cyclinetit_solution9913 4 ай бұрын
ulisoma TOSA?
@salumufabien1786
@salumufabien1786 2 ай бұрын
Kaka naomba kuliza ..unapojitambulisha pale airport je unaificha passport au unakuwa nayo tu ...naitaj kufaham hapo
@merycianachangarawe8979
@merycianachangarawe8979 Ай бұрын
Ficha passport yaani ficha au kama kuna unayemuamini mpe ,wengine wanafrash chooni kabisa😂
@user-is9jp8vm4q
@user-is9jp8vm4q 4 ай бұрын
Shija mm asha wa umoja club nakutafuta sana shija
@shijamoviestv288
@shijamoviestv288 4 ай бұрын
0756661333
@PeaceFamily-if8lv
@PeaceFamily-if8lv 4 ай бұрын
​@@shijamoviestv288tupo wengi sana ambao tunahitaji kujikwamua kimaisha kupitia ninyi ambao mmesha fanikisha badhi ya ndoto hizi je! Mnatusaidiaje kuja?
@aifaally
@aifaally 3 ай бұрын
Faza nitakucheki kwenye namba ako
@godwinaxwesso8726
@godwinaxwesso8726 4 ай бұрын
Pole Deo , tumia tangawizi kwa mafua. Naomba nishauri natamani nisafiri kwenda kufanya kazi New Zealand au Australia kwa job offer ya delivery driver vehicle. Hiyo claim ya kuomba ukimbizi imekaaje?
@shijamoviestv288
@shijamoviestv288 4 ай бұрын
Kama umepata visa nijulishe
@GMonster-ge7zb
@GMonster-ge7zb 4 ай бұрын
Brother ninashida na namba yako naweza kupata
@shijamoviestv288
@shijamoviestv288 4 ай бұрын
0756661333
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
SHIJA tv
Рет қаралды 4,4 М.
Safari yangu ya Kuja Canada
8:50
SHIJA tv
Рет қаралды 1,9 М.
Apple peeling hack @scottsreality
00:37
_vector_
Рет қаралды 123 МЛН
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
Unaenda Marekani Unarudi Tanzania???--My Real American Experience
9:34
Visa Application
4:32
SHIJA tv
Рет қаралды 911
Maombi Ya Ukimbizi Canada/ USA /Europe
3:17
SHIJA tv
Рет қаралды 2 М.
Namna ya kujifukizaa
2:29
Mama Mkandaji
Рет қаралды 9 М.