SHILOLE AWASHIWA MOTO NA DK SURE, KWANINI UNAWACHEZEA WANAUME

  Рет қаралды 15,662

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 66
@shersaid7988
@shersaid7988 8 ай бұрын
Sheikh Sule ana elimu na anajiamini,hodari wa kujieleza huchoki kumsikiliza na unajifunza mengi.
@saifal-busaidi-x8j
@saifal-busaidi-x8j 8 ай бұрын
Dr. Sure maneno yako sahihi Mungu akujalie uwe mwema na muadilifu
@رحمةمحمد-ش1ه
@رحمةمحمد-ش1ه 8 ай бұрын
Swadaqta doctor Sule.mashaallah Allah akuzidishie akili.
@ShukurMkan
@ShukurMkan 8 ай бұрын
Upo sawa sana shekhe
@maxmiletz4563
@maxmiletz4563 8 ай бұрын
Asante dokta nimejifunza kitu
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 8 ай бұрын
Shekhe smart sana❤❤❤
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 8 ай бұрын
Nimependa somo❤❤❤
@CatySungula
@CatySungula 8 ай бұрын
Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.
@ErizicDaud
@ErizicDaud 8 ай бұрын
Dr .nimekuelesa sana
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 8 ай бұрын
Asante imenisaidia sikujua mambo mengi nimemjua sasa
@sudamohamed1439
@sudamohamed1439 8 ай бұрын
Subhana Allah dunia imekwisha ajiitangaza ataka mume . Waschana Mbona hatuna Haya . Aibuuuuu
@elizabethmukeba2528
@elizabethmukeba2528 8 ай бұрын
Shilole we ni mwanamke mwenye muzuri sana tena mpambanaji lakini pesa yako sio fimbo ya kuwachapa wanaume
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 8 ай бұрын
Dr eeeh,Hachezei wanaume,anachezea wavulana😂😂😂😂😂
@raimajimoto1122
@raimajimoto1122 8 ай бұрын
Nimekuelewa sana mwamba
@MuharamiNgasinda
@MuharamiNgasinda 8 ай бұрын
Dr of drs
@jamilamasoud8544
@jamilamasoud8544 8 ай бұрын
Jifundishe kutuma handkerchief sheikh, kimawaidha uko sawa.
@florakimaro-vw7qj
@florakimaro-vw7qj 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂umenifanya nicheke jamani mwanamke anaweza kuongeza vitu juu ya kitu unaweka kucha juu yakucha nywele juu ya nywele jamani nimecheka
@RehemaKiswago
@RehemaKiswago 8 ай бұрын
shilole upo sahii san
@MsonjoSicario
@MsonjoSicario 8 ай бұрын
Mie ni Mkristo.... Ila Huyu MR DR Sheikh SURE ni brilliant sana....Awesome....AMESOMA.....BIG UP SIR...
@tonnyojambo1731
@tonnyojambo1731 8 ай бұрын
Sasa ukristo hapo unakujaje?
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 8 ай бұрын
​@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.
@Bahatiali781
@Bahatiali781 6 ай бұрын
Ukweli uxtdhi ❤
@D1andonlysally
@D1andonlysally 8 ай бұрын
Leo dk kakerwa na mmoja wa wake zake😂😂
@afianzele7571
@afianzele7571 8 ай бұрын
nkadhani nimeona peke yangu😅
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 8 ай бұрын
Shekh toa namba kuna mtu nimtengeneze 😂😂😂😂
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 8 ай бұрын
😂😂😂😂 janja janja dah hatari
@sallysafisanakijanakazibut1688
@sallysafisanakijanakazibut1688 8 ай бұрын
Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi
@MsNajma-e6e
@MsNajma-e6e 8 ай бұрын
Tz ndoa nyingi watu hawana herimu na ndoa sasaiv watu wameona mtandaoni ndio makama Yao
@HadijaMmwaro
@HadijaMmwaro 8 ай бұрын
Roho inakuuma umekosewa eti unaenda kupika na kupakua kwa wakwe😂😂😂😂nijikute
@sallysafisanakijanakazibut1688
@sallysafisanakijanakazibut1688 8 ай бұрын
Yaqni hilo la mwanaume kujitetea akiwa na kosa nakupa 100 kwa 100.
@faridseilan4400
@faridseilan4400 8 ай бұрын
Assalamu alekum naomba Dr.Sule ani fasirie hii Ayaa wayata3allamunna ma yadhuruhum wala yanfa3ahum surrat Bagara Ayaa 101 to 102
@TatoTato-t7s
@TatoTato-t7s 8 ай бұрын
Nawewe kunamaajabu gan usiposikiliza apa Kwan umeitwa au umekewa bando namtu usikilize
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 8 ай бұрын
Haswaaa🎉😂😂😂😂
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 8 ай бұрын
Saa mbona sidiria yangu iko wapi, 😂😂
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 8 ай бұрын
Vipi sheikh anakunywa maji bila Bismilah wala Alhamdulillah
@jamilakhamisshaaban4752
@jamilakhamisshaaban4752 8 ай бұрын
Bismillah kasema moyoni
@TatoTato-t7s
@TatoTato-t7s 8 ай бұрын
Sio lazima aseme adi wewe usikie
@ashaabdalla924
@ashaabdalla924 8 ай бұрын
Hio kila mtu anaisahau hata weye hupigi unaisahau
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 8 ай бұрын
Kwani kuachika kwa shilole ni ajabu au kwa vile ni star hamna kitu cha kuzungumzi ktk news
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 8 ай бұрын
Kiukweli ata na mimi nampenda huyu dada.sana
@salisali3738
@salisali3738 8 ай бұрын
Sawa lini niende kuchumbia😂😂😂
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Umbea tu
@AminaJuma-r4v
@AminaJuma-r4v 8 ай бұрын
ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu uko vizurr 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤،،🌹🌹🌹💞💞💞💞💕💕💕💕🍀🍀🍀🍀🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷☘️☘️☘️☘️🌷💓💓💓💓💖💖💖💖🇹🇿
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 8 ай бұрын
Sheghe sio wanawake wa siku hizi si kama wapenda kujaliwa no hawana habari wanapenda pesa tu hata asipokuona
@abdulazizimashaka3275
@abdulazizimashaka3275 8 ай бұрын
Huyu shekh nae anapenda umaarufu jmn
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 8 ай бұрын
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 8 ай бұрын
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 8 ай бұрын
@abdulazizimashaka3275 Dr Sulle ni maarufu kabla mimba yako haijatungwa. Sulle hana shida ya umaarufu labda wewe umemjua jana.
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 8 ай бұрын
Dr sule Ni sheikh maarufu tangu zamani . Anaelimisha jamii vizuri . Jamii inahitaji watu Kama hawa.
@salisali3738
@salisali3738 8 ай бұрын
Sana
@mataypanga5262
@mataypanga5262 8 ай бұрын
Hakuna uhusiano Kati ya dini na ndoa kwa sababu ndoa ipo daima na ni ni lazima.Dini ni hadithi nyingine
@hemedramadhani7946
@hemedramadhani7946 8 ай бұрын
upo uhusiano wa ndoa na dini kaka.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 8 ай бұрын
Upo uhusiano?. Kivipi​@@hemedramadhani7946
@annasolomon9855
@annasolomon9855 8 ай бұрын
Kikristo imeandikwa ndoa ni mojawapo ya maisha matakatifu, ikaandikwa Mungu anachukia kuachana 😢
@khadijaa815
@khadijaa815 8 ай бұрын
Aaa sh na wanaume pia wapo wanauliza masuali ya kijinga hayo unoyasema na wanaume wanayo pia wengine
@MonaMis-m3t
@MonaMis-m3t 8 ай бұрын
😂😂😂
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 8 ай бұрын
uyo sule hafai ata kwa chumvi...aachwe kama alivyo...na usipomuelewa hakuna kitu utaelewa mpaka kifo chako
@AbdulkareemNyongoro
@AbdulkareemNyongoro 8 ай бұрын
Kumbe sule hata qur' an hajui kusoma
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
DK SURE AMGEUKIA DIAMOND, AWASHA MOTO KUZAA BILA NDOA
16:42
Mbengo Tv
Рет қаралды 13 М.
Shilole alivyokuwa Muhudumu wa Hoteli na kumtongoza Ray
19:43
Millard Ayo
Рет қаралды 359 М.
DK SULE ALIVYO FAFANUA KUHUSU UTAJIRI NA MALI
31:45
Mbengo Tv
Рет қаралды 50 М.
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 53 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН