usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube channal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490 #ALMARHUMSHEIKHNYUNDO #ZANZIBAR
Пікірлер: 505
@NassorMohd-lp1dp4 ай бұрын
Ni miaka mine sasa Tangu Ututangulie ALLAH AKUJALIE KILA JEMA AKHERA ULIKO.
@halimaothmann23524 жыл бұрын
SubhanaAllah. Kifo cha shekhe wetu NYUNDO kila muislam akiona mazishi yk machozi yanamtoka Allah tupe hatma njema wajawako Aamin😭😭😭
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Hata tulioko qatar tuna huzuni kompoteza kipenzi chetu shehe wetu Lakin mauti ni mlango kila mtu lazima atauingia yarabi mfanyie wepesi maisha yake ya kibri inshaallah mueke nuru katika kaburini mwake inshaallah wape subra family yake wakati huu wa huzuni inshaallah Pole.sana
@husseinmrisho61214 жыл бұрын
Inalilahi wainailaih rajighun alla amlipe janat firdaus allahuma amin.
@abdulmalikshariff98674 жыл бұрын
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Ameen
@hassanmirambo5644 жыл бұрын
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Dua nzuri ila rekebisha hapo ulipo andika kibri badala ya KABURI ili na mimi ni like
@abdulrahmanrajab43694 жыл бұрын
Amn
@machintangachibwena59224 жыл бұрын
Mie nipo Germany pia ninahuzuni sana innalilah wainna ilaih rajuun
@rossamengo72114 жыл бұрын
ALLAH amrehemu na amuangazie nuru kaburini kwake,awape subra familia na waislam wote duniani na tunamuomba ALLAH atujalie mwisho mwema waislam wote Amiin IN SHA ALLAH
@mussachuo39104 жыл бұрын
Amin
@abdallahdullah83624 жыл бұрын
Ameen
@hilalkhamiss7934 жыл бұрын
Mungu amlaze pahalipema ameena
@hawasaleh5044 жыл бұрын
Amiin
@ummymohd11944 жыл бұрын
Amin
@faqrudiinmedia85394 жыл бұрын
Amiin yarabii amuweke janatul firdos shikh nyundo
@Amneamne-qi2du4 жыл бұрын
Sio znz hata sisi tulio kuwepo Dubai tuna huzuni sana kwa kuondo kewa na Shekh wetu kipenzi cha Waislam Nyundo Allah ampe kauli thabit
@FatimaFatima-bx8ez4 ай бұрын
Amin amin amin 🙏 🙏 mungu am weekend Mahalia permanently peponi 🙏 🙌 ishaallah 😢😢
@suleimanrashid39184 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Hakika sio znz tu au tz hata ss tulio. Nnje ya Zanzibar nyoyo zetu zime jawa na simanzi Allah amrithie sheikh nyundo. Alifanya juhudi kubwa za kheirat. Aliwafunza wanawake wengi na ss vijana. Allah amjalie awe kwenye furaha sasahiv Allah atujalie na ss atupe wisho mwema. Tangulia sheikh nyundo nenda nasi tupo nyuma yako.😭😭😭😭 Bado tulitaman uwepo wako ila Allah ame kuhitaji. Hakika ni pigo kwa wenye Iman. Ewe mola wetu tuna kuomba uwalee mayatima alio waacha warahisishie riski zao. Wajalie wawe warithi wa elim njema.aaammin. Ewe mola wape subra wajane alio waacha warahisishie riski zao ya Allah.
@maryammct39674 жыл бұрын
Amen😭😭😭😭😢😢
@oumshoaib87144 жыл бұрын
Amen Amen Amen🙏 🇱🇺
@allahisone63864 жыл бұрын
Allahumma Aamiin,
@gharibsheikh36324 жыл бұрын
Aaamin
@mwajumaabeidy81374 жыл бұрын
Amiin Yaarab
@Da-cr6ow4 жыл бұрын
Ya Allah mwingi wa huruma mpe nuur katika makazi yake mapya nasi utupe mwisho mwema Ammin wallahi tumehuzunika japo tupo mbali nyoyo zinavuja machozi yahuzni
@ahmadmadhi81474 жыл бұрын
Inna lillaah wa inna ilaihi rajiuun. Allah amghufurie na amjaalie amani na Nuru katika kaburi lke mwisho ampe kitabu chake kw mkono wa kulia. Na sisi atupe mwisho mwema Amiin
@PaziTuktuk4 жыл бұрын
Sheikh nyundo allahummaghfirlahu warhamhu waskanhu fil jannah🙏mi mkenya lakini nsuguyenu kwa dini 😭😭😭
@medysaid16134 жыл бұрын
Hakika waislam tumeondokewa ni mtu muhimu kwetu zaid wazanzibar Allah amsamehe madhambi yake sheikh nyundo aifanye nyepesi safari yake
@rossamengo72114 жыл бұрын
Amiin
@sandrineakingeneye51624 жыл бұрын
Amiin
@fatmasaid32794 жыл бұрын
Ameen Ya Rabby 🙏
@nasrakapama36704 жыл бұрын
Amini
@maryammct39674 жыл бұрын
Amen
@sulezanzibar75054 жыл бұрын
From #Moscow Russia 🇷🇺😭😭 kwaniaba Ya Wazanzibar wote hpa #Moscow tunatoa pole kwa wana family wote,Allah sw amsamehe makosa yake Amiini,daima Tutakukumbuka 😭😭🇷🇺🇹🇿
@husseinjamaldin12133 ай бұрын
All the way from Rostov
@zubedaiwata57924 жыл бұрын
Inalillah wainaillah rajiuun,,,yaaAllah muepushe mbali na adhabukali ya kaburi aamiyn
@zainabmkomwa20644 жыл бұрын
Innalillah Wainnailayhi Rajiun 😭😭😭nyoyo zimejaa huzuni macho yamejaa majonzi Ya Rabb mpokee mjaa wako ya Allah tujaalie n sisi tuliobaki mwisho mwema ya Rabb
@abuuzahbeka70624 жыл бұрын
Aamin Yaarabb aamin
@shuuufadhil13494 жыл бұрын
Ameeen
@Fahari_Media__4 жыл бұрын
Namuomba ALLAH amjaalie sheikh wetu pepo ya firdaws na amuondolee adhabu ya kaburi na atupe pia mwisho mwema sisi sote Amiin
@mwajumaabeidy81374 жыл бұрын
Amiin
@ramadhanihudhaifani43764 жыл бұрын
Inna Lillah Wa Inna Illayh Raj'uun! Allah Akupe kauli thabit wewe,wazazi wetu na umma wote wa Mtume wetu kipenzi,Muhammad (S.A.W).Amiin! Hard way,but the only way.😥
@shamsahaji62024 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiuun Allah amsamehe amakosa yake ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia amin nasi atupe mwisho mwema amin.
@fatmasaid32794 жыл бұрын
Ameen Ya Rabby 🙏
@oyay28214 жыл бұрын
Amiin
@wemakalamu35384 жыл бұрын
Aammeen yarrab allahumma ammeen 🤲🤲🤲🤲
@shuuufadhil13494 жыл бұрын
Ameeen
@rehemahamisi99714 жыл бұрын
amina ishaa llah
@mwadawasaidi37524 жыл бұрын
Nipo USA 🇺🇸 kiukweli nimeumia sana kwa kuondokewa na Shekh wetu kipenzi nilikuwa nikimfatilia kila anapo fundisha ila kazi ya Allah haina makosa tutamkuta uko inshaallah Pmzika kwa amani baba yetu kipenzi cha watu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@janerouhassanjanerou7933 Жыл бұрын
Mwadawa
@user-tb8vf2qy8l4 ай бұрын
Aslm alykm
@nassorhamad52254 жыл бұрын
Allah mpoee sheikh nyundo kwa wema msamehe dhambi zake na uweke pahali pema peponi uliko waweka maswahaba wema am in a rabbi amin
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
Allah amuepushe na Adhabu za kaburi, Allah awazawadiye subrah kubwa jamii yake yote
@Stanbul.Y4 жыл бұрын
Allah amrehemu nasi tuwe na mwisho mwema
@hanshamis85254 жыл бұрын
Innalilah wa inna ilaih raajiuun
@ibrahimmnene18264 жыл бұрын
Jamani kafalinitrna
@tumatuma64784 жыл бұрын
yaani mwanangu miaka 6 namuuliza unamjua ananambia namjua yule anatoa mawaida kisha anachekesha namuonesha picha ananambia huyu namjua yaani mpk hivi aaubuh hajaamini km kafa mana kaniuliza maswali kuhusu mtu akifa sahv ananambia yule kafa kweli au watu wanasema tu kwahio hatumuoni tena akisema subhana llah mtto hakuamin km huyu mtu hayupo
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Wallahi. Sheikh ametusaidia
@nusurashaban9554 жыл бұрын
Sheikh nilikuwaa nakupenda kwel kwel
@zillarajab78734 жыл бұрын
Machozi yamenitika, mungu aiweke nuru katika kabri lake. Na sie atujaalie mwisho mwema Ameen ya Allah🙏🏿
@nusurashaban9554 жыл бұрын
@@zillarajab7873 Amiin
@fettyameir45144 жыл бұрын
Hakika kila nafsi itaonja mauti , Allah tujalie khusnul khatma 🤲 naye umpe kauli thabit Yarabbiy 🤲🤲
@fatmasaid32794 жыл бұрын
Ameen Ya Rabby 🙏
@jumasimai12934 жыл бұрын
Mungu tupe subra
@hanifasilima48164 жыл бұрын
Allah amrehemu shekha wetu kipenz ampe qauli thabit atujalie mwisho mwema na SISI ishallah
@sharifamohammad77764 жыл бұрын
Allah amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa na amghufurie madhambi yake amuepushe na adhabu ya kaburi na akubali amali njema zake....Ameen
Allah amjalie pepo na amfutie madhambi yake na pia sisi Allah atusameh na atupe mwisho mwema insha Allah....
@fatmamdidi81084 жыл бұрын
Allah amsamehe na amrehemu shkh wetu. Na ajaalie kaburi lake liwe katika viwanja vya pepo na si katika mashimo ya moto.
@salummussa73644 жыл бұрын
Allah ampe kauli thabiti sheikh nyundo
@NKOLAJUMANNE4 ай бұрын
Mlezi wa viumbe U pamoja nawew wema ulio fanya utalipwa aamin aamin,, nakupenda sana shekh wang
@rehemasalimini54664 жыл бұрын
Allah amrehemu shekh Nyundo ampe kauli thabiti amlaze mahali pema peponi kwa mawaidha yake yalitugusa sana ndani ya mioyo yetu kweli ametuachia darsa kubwa sana Allah amuangazie nuru katika kabri lake Aamiin
Innalilahi wailehiraju,un Allah amueke mahala pema peponi ameen yarabby
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Allah msamehe mjawako na mpke na apokee kitabu chake katika mkono wa kulia.hakika binadam si kitu sijui twarongia nini
@binthassancollection.63084 жыл бұрын
Allah AILAZE roho yake pahali pema peponi
@mayahhajih26364 жыл бұрын
Allahahumah Amiiiiiin inshaaallah
@harunahamis4 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah rajun twakuomba yarab tupe mwisho uliokua mwema
@nassermohamed19854 жыл бұрын
Yarabi muhifadhi mja wako
@hamisihamisi50784 жыл бұрын
Inna liLlahi wa inna ilaihi rajiuun.Allah amsamehe makosa yake sheikh wetu na amueke mahali pema peponi inshaAllah.
@calicabqaricalicabqari65984 жыл бұрын
INNALILAHI WA INNA ILAYHI RAJICUUN SHEEKH NYUNDO FROM SOMALIA
@sylvestermlalo39444 жыл бұрын
Allah amsamehe madhambi yake inshaallah
@sylvestermlalo39444 жыл бұрын
Njia ni moja sisi sote tutaipita
@hamadimuya72484 жыл бұрын
Ina lilallahi waina ilayhi raajioub.May Allah subhanahu wata'ala grant him jannah for the work he has done and may allah have mercy on his soul in sha Allah.
@zahraabdi87724 жыл бұрын
Wallahi nihuzni kubwa kuondokewa na shekhe wetu...Allah amrahamu...kutoka Kenya
@ustadhmrishorunigangwe70244 жыл бұрын
الهم إغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس اللهم آمين إن لله وإن إليه راجعون
@muryd69994 жыл бұрын
امين
@jamalnamkuna39614 жыл бұрын
Aamin
@abdulmtitu74784 жыл бұрын
Mashaallah!!amesema mtume(s.a.w) ukitaka kujua wewe n mtu wa peponi au wa motoni,,tazama watu watasema nini baada ya kifo chako"mashallah sheikh wengi tunakusema kwa mazuri,na tunakudhania ni mwema inshaallah
@hawaashaban80084 жыл бұрын
Allah msamehe skekhe wetu japo inatuuma San yaa Allah mpe Nuru kweny kaburi lake mpe pepo kwa rehema zako yaa rabbi na sis type mwisho mwema mola wetu tuhurumie😭😭😭😭😭😭
@shuuufadhil13494 жыл бұрын
Ameeen
@bittybitty27124 жыл бұрын
Allah amrehem ampe kauli tabiti 🤲
@hcgghfgg66794 жыл бұрын
نسأل الله ان يرحمه و يتقبله في جنات النعيم. كم أسعد كثير من المسلمين بخطبه القوية و المعبرة . عاش في خدمة الإسلام والمسلمين. يعظم الله عزائكم و يصبر أهله و ذويه في هذا الفقد الكبير . تحياتي عبدالله من سلطنة عُمان
@abdubboru8604 жыл бұрын
May Allah grant him Jannatul Firthaws
@hajjatbintkhamis89134 жыл бұрын
"INNA LILLAHY WAINNA ILAYHI RAAJIOUN" Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Allah hakika tutarejea......waliofikwa na msiba tunawapa pole na Allah awape subra waqti huu wa huzuni,,,,mbele yetu nyuma yake
@millionairejeffreysunofbez37664 жыл бұрын
R.I.P , shekhe Nyundo, nikimkubali sana kwa elimu yake ya kidunia
@abdulramanhemed37494 жыл бұрын
Allah amrahamu shekh wetu... sio msiba wa zazibar ni waislam wote kwa jumla ameacha mengi kwa mama zetu dada zetu yani sote kwa jumla
@saumuabdi18024 жыл бұрын
🙆♀️sina lakusema kazi ya mungu haina makosa pamoja tuseme Alhamndulillah
@fatmarefai92094 жыл бұрын
Poleni sana familia ya sheikh wetu Nyundo.Mungu awape wepesi kwa huu mda mgumu.
@anniyahfacebeat89374 жыл бұрын
allah amrehem, amfanyie wepec kwa safar yake hii. mungu ampe noor kwny kabri lake, ampe pepo kwa rehma zake, afanye kabri lake liwe ni miongon mwa vyumba vya pepo. AMIIN
@halimanasihu12004 жыл бұрын
Allah amlaze pema peponi aameen yarabbi
@nzalilindi95144 жыл бұрын
Ya Rabby nfanyie wepesi kwenye makazi yske hayo mapya,ameen
@feisaliykhamis13254 жыл бұрын
Amina mungu ilaze mahala mema peponi
@jumakombo4044 жыл бұрын
Shekhe wetu nenda salama , Allah sw, Amekupenda zaidi, ila hatuwez kukusahau. Na sc tunakuja huko huko, Allah sw, Akulaze mahali PEMA. Amin.
@kassimjuma38692 жыл бұрын
kgslb
@officialjaygravity19154 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaihi rajiun 🤲
@aligedi28694 жыл бұрын
Tukiwa ujerumani ni huzuni kumpoteza sheikh, but ni kazi ya Allah haina makosa, Allah amfanyie wepesi huko, ya rab.
@fatummsagat51774 жыл бұрын
Napenda sn mawaidha yake, Allah ampe kauli thabit
@rashidally12114 жыл бұрын
Yaarabbih ampokee sheikh wetu al maruuhm nyundo
@saudaomary93634 жыл бұрын
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki mungu msamehe mazambi yake
@ediyngoto18114 жыл бұрын
Allah amlipe kheir In sha Allah
@saheelameir43134 жыл бұрын
yarabbi husni lkhatima
@wariditambi20774 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Mungu akulaze Pema peponi akika mauti ni mlango kila mtu ata upitia mlango uo
@felixsunga7059Ай бұрын
Rip sheikh nyudo am a Christian bt really enjoy and follow the teachings of sheikh nyundo
@zerotohero82124 жыл бұрын
Yaa Allah tup mwisho mwema yaa rabb, hakika moyo moyo una huzunika na kujiuliza VIP nami nitakutana Allah na udhaifu na nakosa nilonayo??😭😭😭😭😭😭😭😭
@safiamohamud12224 жыл бұрын
Innlillah wa innalillayn rajuuni Amsamehe makosa yake ampe Kitabu cheka kwa mkono wa kulia Jannahtul fardwos Amiiiiiiiiiiiiiiin Yaa Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲 Inshallah Polani sana Brother’s and sisters ZANZIBAR ❤️we ❤️✊F 🇸🇴live in 🇺🇸😢😢😢😢😢😢I crying with 😢you 🙏🏻😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@aminaothman68414 жыл бұрын
Asant safia allah atujaalie subra kwa sot inshallah
@nasorokobba37744 жыл бұрын
Sheikh nyundo umekwenda mwamba ,,mola amekuita umeitikia wito Wa mola wako,,umepita kila maeneo kumtangaza mola mmoja ,,watu waache ushirikina ,,,wamuabudu mola mmoja ,,upita kuwaambia watu nini mola anataka ,,watu waache zinaa,,muda wako umekwisha Wendi wako umemaliza na muda umeisha ,,umeenda Kwa mola wako ,,kazi ya mola aina makosa ,,Allah akusameha akukilim pepo
@mrbnaid54474 жыл бұрын
Mola karima ailaze roho yake mahali pema Amiin😭🙏
@seifmohamed8364 жыл бұрын
umma ulikupenda na hiyo ndiyo neema ya allah unapo fanya kazi yake nasisi atujalie mwisho mwema
@user-hb8vi9fx6g4 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعوووووون اللهم اغفر له وارحمه وعافه وعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله
@aminaothman68414 жыл бұрын
Amiin
@sheikhasalim11904 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsameh makosa yake na awape subra wafiwa. Kwa kweli tumeondokewa
@husseinidris28794 жыл бұрын
Ma sha allah.... Allah amlaze pema sheikh wetu
@shtatsalfa16684 жыл бұрын
Dah!!! Kweli tutarudi kwa Allah kama tulivyo kuja
@fatmakhamis78764 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti ila niseme alhamdulilah nineema kubwa mtu kuondoka akataja kwa mema yake tujitahidi tutafute razi za Allah ina lilah wainna ilaihi raajiuun
@sharifaallan23864 жыл бұрын
Allah akulaze pema peponi baba yetu
@meryamahmed7774 жыл бұрын
ALLA MRRHEMU SHRKHE WETU
@rizikigharib63914 жыл бұрын
inallillah lillah wainailayh rajiuun Allah msimamie ktk heri zake alizozifanya ktk dunia na umlipe ktk pepo ya firdaus na ss utujaalia mwisho mwema na wenye kutubia dhambi zetu na utukinge na balaa lililotuingilia la corona ss tupo ktk njia yako ya Allah
@mudiabeid35314 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh rajighun. Allah amlaze pahala pema . Kiukweli msiba umetugusa waislam wote ila ndio mauti ni haki kwetu sote na mauti yanakuja ghafla. Allah atupe khusnu lkhatima.
@111dudi4 жыл бұрын
Allah amghufir na amraham mchango wake utabaki. Laa hawla wa Laa quwwata illaa billahi al aliyyu al adhiym
@asfarsham90374 жыл бұрын
Lailaha illa llah sie tulokuwa wapenzi wake kwa kuangalia video tumeumia vibaya sanaaa ,sijui watu wake wako hali gani. Allah awape subra.ameen
@medi222alrajhi92 жыл бұрын
twamkumbuka mpaka leo shekh nyundo mungu amuweke mahala pema na wote walotangulia
@kibelaame51784 жыл бұрын
Amin inshaallah
@fatumaramadhanmashaallahal99664 жыл бұрын
Ina lilah waina ilahi rajiu
@maryummwenda51294 жыл бұрын
Innalillah wainalilah rajiun allah amlaze mahal pema
@habau_jr17554 жыл бұрын
Innalilah wainna illah rajighunnah
@saidmswahili87934 жыл бұрын
Dawa mpaka kiamaaaa, Allah amlinde, amsameh na amuepushe na fitna za masihi ddajjaal yeye pamoja nasisi aamin aamin aamin
@ayunramadhan31044 жыл бұрын
Subhanallah subhanallah wallah nashindwa la kusema
@saudmohammed33904 жыл бұрын
Mungu amlaze pema peponi Amin Yaarabi Njia yetu soote yeye katangulia nasi tupo nyuma yake kila mmoja kwa wakati wake Alhamdulillah
@wm96694 жыл бұрын
Innalillahi wainaillahi rajiun. Good news inshAllah. Jannah tu fardows inshallah
@kombomohd48784 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake amin sheikh wetu nyundo tulikupenda sana lakini mungu amekuita ni Nazi yake allha haina makosa
@omanseeb86094 жыл бұрын
Ina lilah wain ilah rajiuna allah amlipe analostahik
Nilipenda sana kumskiza sheick nyundo kwa KZbin. Poleni sana familia na wazanzibari wote kwa ujumla, natuma rambirambi kutoka Kenya, mwenyezi mungu amjalie jannahtul firdos. Ameen.
@aisharashid62414 жыл бұрын
Kwa niaba ya wafanyakazi wote wa omani waandishi zanzibar tumepokea kwa huzun kubwa Msiba wa shekhe wetu Hussein Nyundo mungu ampe kauli thabit na sisi tuko nyuma yake atupe shahada kabla ya umaut ishaallah
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Hili kubwa has maan dah' sina la kusema kwa kweli .... mwenyez mungu amfungulie milango ya pepo .....sheikh wetu ya rabbi...
@mwalimuali65794 жыл бұрын
Inshallah mungu atamkunjulia kabri yake
@saidshuaib76454 жыл бұрын
INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAAJIUUN Mwz mungu amlaze mahali pama insha allah. Mie niko Iraq ila hata watu wamehuzinika sana kwa kifo cha shekh wetu
@rashidjuma19693 жыл бұрын
Allahuma ghufrlahu warhamahuu filjannah Allah akusamehe madhambi yako in shaa Allah cc tulikupenda Ila mungu kakupenda zaidi
@sekijajanjatv20474 жыл бұрын
Mungu amsamehe mazambi yake amuweke kwenye pepo yajuu shekhe wetu
@suleimantora31314 жыл бұрын
Shekhe msema kweli katika mambo ya kijamii Allah akulaze pema palipo na wema tutakukumbuka kwa ukweli wako sababu hakuna mashekhe wa kuyaongelea mambo ya jamii kwa kuona haya. Inna lillahi wa Inna ileyhi rajoun Poleni sana ndugu zetu Tanzania
@ollgfgv98724 жыл бұрын
innalilah wainnalilah rajiun msiba umeuma sana 😓😓😓 mungu amlaze mahar pema pepon
@abuubakarhaji32444 жыл бұрын
Allah msamehe shekh nyundo na ampe makaazi MEMA peponi Amin
@sifajacky77793 жыл бұрын
Inalillah wainailllah rajiun. Tunaomba Allah wetu mtukufu Subhanah wataala amuweke mahala pema peponi Sheikh wetu mpenzi na kipenzi cha Allah, Inshaallah 🙏 kusema kweli hautasahaulika kamwe kwenye nyoy zetu. mawaidah yako yame badilisha wengi ulimwenguni kote. Allah wetu mtukufu Subhanah wataala alifanye kaburi lako kuwa pepo miongoni mwa pepo Inshaallah 🙏
My lord please forgive Sheikh Nyundo he was a funny sheikh. Grant him jannat firdaus And peace in his grave Amin Mjaalie awe still funny even in the after life. Have lots of mercy on him. ... he made people happy with his lectures even tho some of them weren’t appropriate .overlook his mistakes
@miangijunior43584 жыл бұрын
Innalillahi wa Inailaihi ra jiun Mimi binafsi katika masehe niliotokea kuwakubari na kuwapenda ile ukweli wa kuwapenda kwa Ajili ya Allah number Moja ni marehemu sheikh Hussein Hassan nyundo. Kiukweli nimehudhunishwa sn na ninaeumia na naendelea kuumia juu ya kifo Cha sheikh Hussein Hassan nyundo Ila Sina budi kukubariana na Allah Alipotuambia kuwa kila nafsi itaonja umauti. Namuomea kwa Allah Amrizie mjawake huyo na Kaburi lake liwe viwanja miongoni mwa viwanja vya Peponi Allahmma Amiin".
@mwanaishahussein26354 жыл бұрын
Inalillahi wainna ilaihi rajiuun,hakika Sheikh Nyundo alikuwa haogopi kukaumiwa kwa hali yoyote ili kuwazindua walio kuwa wamepotea na kumuasi ALLAH.Kiufupi mie sikuona uso kwa uso lkn kupitia simu yamkono,nimejifunza mambo kadha wa kadha juu ya dini yetu ya kiisilamu.ALLAH amjalie pazuri insha Allah🤲🤲🇰🇪