SHUHUDIA DRONE CAMERA ILIVYO NASA MAMBO KWENYE MSIBA WA SHEIKH NYUNDO

  Рет қаралды 321,307

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

4 жыл бұрын

usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube channal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490
#ALMARHUMSHEIKHNYUNDO
#ZANZIBAR

Пікірлер: 505
@NassorMohd-lp1dp
@NassorMohd-lp1dp 4 ай бұрын
Ni miaka mine sasa Tangu Ututangulie ALLAH AKUJALIE KILA JEMA AKHERA ULIKO.
@halimaothmann2352
@halimaothmann2352 4 жыл бұрын
SubhanaAllah. Kifo cha shekhe wetu NYUNDO kila muislam akiona mazishi yk machozi yanamtoka Allah tupe hatma njema wajawako Aamin😭😭😭
@fatumaramadhanmashaallahal9966
@fatumaramadhanmashaallahal9966 4 жыл бұрын
Hata tulioko qatar tuna huzuni kompoteza kipenzi chetu shehe wetu Lakin mauti ni mlango kila mtu lazima atauingia yarabi mfanyie wepesi maisha yake ya kibri inshaallah mueke nuru katika kaburini mwake inshaallah wape subra family yake wakati huu wa huzuni inshaallah Pole.sana
@husseinmrisho6121
@husseinmrisho6121 4 жыл бұрын
Inalilahi wainailaih rajighun alla amlipe janat firdaus allahuma amin.
@abdulmalikshariff9867
@abdulmalikshariff9867 4 жыл бұрын
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Ameen
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin Dua nzuri ila rekebisha hapo ulipo andika kibri badala ya KABURI ili na mimi ni like
@abdulrahmanrajab4369
@abdulrahmanrajab4369 4 жыл бұрын
Amn
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 4 жыл бұрын
Mie nipo Germany pia ninahuzuni sana innalilah wainna ilaih rajuun
@rossamengo7211
@rossamengo7211 4 жыл бұрын
ALLAH amrehemu na amuangazie nuru kaburini kwake,awape subra familia na waislam wote duniani na tunamuomba ALLAH atujalie mwisho mwema waislam wote Amiin IN SHA ALLAH
@mussachuo3910
@mussachuo3910 4 жыл бұрын
Amin
@abdallahdullah8362
@abdallahdullah8362 4 жыл бұрын
Ameen
@hilalkhamiss793
@hilalkhamiss793 4 жыл бұрын
Mungu amlaze pahalipema ameena
@hawasaleh504
@hawasaleh504 4 жыл бұрын
Amiin
@ummymohd1194
@ummymohd1194 4 жыл бұрын
Amin
@faqrudiinmedia8539
@faqrudiinmedia8539 4 жыл бұрын
Amiin yarabii amuweke janatul firdos shikh nyundo
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 жыл бұрын
Sio znz hata sisi tulio kuwepo Dubai tuna huzuni sana kwa kuondo kewa na Shekh wetu kipenzi cha Waislam Nyundo Allah ampe kauli thabit
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 4 ай бұрын
Amin amin amin 🙏 🙏 mungu am weekend Mahalia permanently peponi 🙏 🙌 ishaallah 😢😢
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Hakika sio znz tu au tz hata ss tulio. Nnje ya Zanzibar nyoyo zetu zime jawa na simanzi Allah amrithie sheikh nyundo. Alifanya juhudi kubwa za kheirat. Aliwafunza wanawake wengi na ss vijana. Allah amjalie awe kwenye furaha sasahiv Allah atujalie na ss atupe wisho mwema. Tangulia sheikh nyundo nenda nasi tupo nyuma yako.😭😭😭😭 Bado tulitaman uwepo wako ila Allah ame kuhitaji. Hakika ni pigo kwa wenye Iman. Ewe mola wetu tuna kuomba uwalee mayatima alio waacha warahisishie riski zao. Wajalie wawe warithi wa elim njema.aaammin. Ewe mola wape subra wajane alio waacha warahisishie riski zao ya Allah.
@maryammct3967
@maryammct3967 4 жыл бұрын
Amen😭😭😭😭😢😢
@oumshoaib8714
@oumshoaib8714 4 жыл бұрын
Amen Amen Amen🙏 🇱🇺
@allahisone6386
@allahisone6386 4 жыл бұрын
Allahumma Aamiin,
@gharibsheikh3632
@gharibsheikh3632 4 жыл бұрын
Aaamin
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 4 жыл бұрын
Amiin Yaarab
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 4 жыл бұрын
Ya Allah mwingi wa huruma mpe nuur katika makazi yake mapya nasi utupe mwisho mwema Ammin wallahi tumehuzunika japo tupo mbali nyoyo zinavuja machozi yahuzni
@ahmadmadhi8147
@ahmadmadhi8147 4 жыл бұрын
Inna lillaah wa inna ilaihi rajiuun. Allah amghufurie na amjaalie amani na Nuru katika kaburi lke mwisho ampe kitabu chake kw mkono wa kulia. Na sisi atupe mwisho mwema Amiin
@PaziTuktuk
@PaziTuktuk 4 жыл бұрын
Sheikh nyundo allahummaghfirlahu warhamhu waskanhu fil jannah🙏mi mkenya lakini nsuguyenu kwa dini 😭😭😭
@medysaid1613
@medysaid1613 4 жыл бұрын
Hakika waislam tumeondokewa ni mtu muhimu kwetu zaid wazanzibar Allah amsamehe madhambi yake sheikh nyundo aifanye nyepesi safari yake
@rossamengo7211
@rossamengo7211 4 жыл бұрын
Amiin
@sandrineakingeneye5162
@sandrineakingeneye5162 4 жыл бұрын
Amiin
@fatmasaid3279
@fatmasaid3279 4 жыл бұрын
Ameen Ya Rabby 🙏
@nasrakapama3670
@nasrakapama3670 4 жыл бұрын
Amini
@maryammct3967
@maryammct3967 4 жыл бұрын
Amen
@sulezanzibar7505
@sulezanzibar7505 4 жыл бұрын
From #Moscow Russia 🇷🇺😭😭 kwaniaba Ya Wazanzibar wote hpa #Moscow tunatoa pole kwa wana family wote,Allah sw amsamehe makosa yake Amiini,daima Tutakukumbuka 😭😭🇷🇺🇹🇿
@husseinjamaldin1213
@husseinjamaldin1213 3 ай бұрын
All the way from Rostov
@zubedaiwata5792
@zubedaiwata5792 4 жыл бұрын
Inalillah wainaillah rajiuun,,,yaaAllah muepushe mbali na adhabukali ya kaburi aamiyn
@zainabmkomwa2064
@zainabmkomwa2064 4 жыл бұрын
Innalillah Wainnailayhi Rajiun 😭😭😭nyoyo zimejaa huzuni macho yamejaa majonzi Ya Rabb mpokee mjaa wako ya Allah tujaalie n sisi tuliobaki mwisho mwema ya Rabb
@abuuzahbeka7062
@abuuzahbeka7062 4 жыл бұрын
Aamin Yaarabb aamin
@shuuufadhil1349
@shuuufadhil1349 4 жыл бұрын
Ameeen
@Fahari_Media__
@Fahari_Media__ 4 жыл бұрын
Namuomba ALLAH amjaalie sheikh wetu pepo ya firdaws na amuondolee adhabu ya kaburi na atupe pia mwisho mwema sisi sote Amiin
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 4 жыл бұрын
Amiin
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 4 жыл бұрын
Inna Lillah Wa Inna Illayh Raj'uun! Allah Akupe kauli thabit wewe,wazazi wetu na umma wote wa Mtume wetu kipenzi,Muhammad (S.A.W).Amiin! Hard way,but the only way.😥
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 4 жыл бұрын
Innalillah wainnailayhi raajiuun Allah amsamehe amakosa yake ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia amin nasi atupe mwisho mwema amin.
@fatmasaid3279
@fatmasaid3279 4 жыл бұрын
Ameen Ya Rabby 🙏
@oyay2821
@oyay2821 4 жыл бұрын
Amiin
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 4 жыл бұрын
Aammeen yarrab allahumma ammeen 🤲🤲🤲🤲
@shuuufadhil1349
@shuuufadhil1349 4 жыл бұрын
Ameeen
@rehemahamisi9971
@rehemahamisi9971 4 жыл бұрын
amina ishaa llah
@mwadawasaidi3752
@mwadawasaidi3752 4 жыл бұрын
Nipo USA 🇺🇸 kiukweli nimeumia sana kwa kuondokewa na Shekh wetu kipenzi nilikuwa nikimfatilia kila anapo fundisha ila kazi ya Allah haina makosa tutamkuta uko inshaallah Pmzika kwa amani baba yetu kipenzi cha watu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@janerouhassanjanerou7933
@janerouhassanjanerou7933 Жыл бұрын
Mwadawa
@user-tb8vf2qy8l
@user-tb8vf2qy8l 4 ай бұрын
Aslm alykm
@nassorhamad5225
@nassorhamad5225 4 жыл бұрын
Allah mpoee sheikh nyundo kwa wema msamehe dhambi zake na uweke pahali pema peponi uliko waweka maswahaba wema am in a rabbi amin
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
Allah amuepushe na Adhabu za kaburi, Allah awazawadiye subrah kubwa jamii yake yote
@Stanbul.Y
@Stanbul.Y 4 жыл бұрын
Allah amrehemu nasi tuwe na mwisho mwema
@hanshamis8525
@hanshamis8525 4 жыл бұрын
Innalilah wa inna ilaih raajiuun
@ibrahimmnene1826
@ibrahimmnene1826 4 жыл бұрын
Jamani kafalinitrna
@tumatuma6478
@tumatuma6478 4 жыл бұрын
yaani mwanangu miaka 6 namuuliza unamjua ananambia namjua yule anatoa mawaida kisha anachekesha namuonesha picha ananambia huyu namjua yaani mpk hivi aaubuh hajaamini km kafa mana kaniuliza maswali kuhusu mtu akifa sahv ananambia yule kafa kweli au watu wanasema tu kwahio hatumuoni tena akisema subhana llah mtto hakuamin km huyu mtu hayupo
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 жыл бұрын
Wallahi. Sheikh ametusaidia
@nusurashaban955
@nusurashaban955 4 жыл бұрын
Sheikh nilikuwaa nakupenda kwel kwel
@zillarajab7873
@zillarajab7873 4 жыл бұрын
Machozi yamenitika, mungu aiweke nuru katika kabri lake. Na sie atujaalie mwisho mwema Ameen ya Allah🙏🏿
@nusurashaban955
@nusurashaban955 4 жыл бұрын
@@zillarajab7873 Amiin
@fettyameir4514
@fettyameir4514 4 жыл бұрын
Hakika kila nafsi itaonja mauti , Allah tujalie khusnul khatma 🤲 naye umpe kauli thabit Yarabbiy 🤲🤲
@fatmasaid3279
@fatmasaid3279 4 жыл бұрын
Ameen Ya Rabby 🙏
@jumasimai1293
@jumasimai1293 4 жыл бұрын
Mungu tupe subra
@hanifasilima4816
@hanifasilima4816 4 жыл бұрын
Allah amrehemu shekha wetu kipenz ampe qauli thabit atujalie mwisho mwema na SISI ishallah
@sharifamohammad7776
@sharifamohammad7776 4 жыл бұрын
Allah amjaalie pepo ya daraja ya juu kabisa na amghufurie madhambi yake amuepushe na adhabu ya kaburi na akubali amali njema zake....Ameen
@mrsramadhani2400
@mrsramadhani2400 4 жыл бұрын
Allah.ampe.makazi Mazuri.katika.moja Yabustani.peponi Amin
@hassankatram5697
@hassankatram5697 4 жыл бұрын
Allah amjalie pepo na amfutie madhambi yake na pia sisi Allah atusameh na atupe mwisho mwema insha Allah....
@fatmamdidi8108
@fatmamdidi8108 4 жыл бұрын
Allah amsamehe na amrehemu shkh wetu. Na ajaalie kaburi lake liwe katika viwanja vya pepo na si katika mashimo ya moto.
@salummussa7364
@salummussa7364 4 жыл бұрын
Allah ampe kauli thabiti sheikh nyundo
@NKOLAJUMANNE
@NKOLAJUMANNE 4 ай бұрын
Mlezi wa viumbe U pamoja nawew wema ulio fanya utalipwa aamin aamin,, nakupenda sana shekh wang
@rehemasalimini5466
@rehemasalimini5466 4 жыл бұрын
Allah amrehemu shekh Nyundo ampe kauli thabiti amlaze mahali pema peponi kwa mawaidha yake yalitugusa sana ndani ya mioyo yetu kweli ametuachia darsa kubwa sana Allah amuangazie nuru katika kabri lake Aamiin
@TSUMAKATANA-dj2cj
@TSUMAKATANA-dj2cj 3 ай бұрын
ALLAH ailaze roho yko palipoa nawema peponi inalillah wainallileh rajiun 😭😭😭😭
@tumajunior6080
@tumajunior6080 4 жыл бұрын
Innalilahi wailehiraju,un Allah amueke mahala pema peponi ameen yarabby
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Allah msamehe mjawako na mpke na apokee kitabu chake katika mkono wa kulia.hakika binadam si kitu sijui twarongia nini
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 4 жыл бұрын
Allah AILAZE roho yake pahali pema peponi
@mayahhajih2636
@mayahhajih2636 4 жыл бұрын
Allahahumah Amiiiiiin inshaaallah
@harunahamis
@harunahamis 4 жыл бұрын
Innalillah wainnalillah rajun twakuomba yarab tupe mwisho uliokua mwema
@nassermohamed1985
@nassermohamed1985 4 жыл бұрын
Yarabi muhifadhi mja wako
@hamisihamisi5078
@hamisihamisi5078 4 жыл бұрын
Inna liLlahi wa inna ilaihi rajiuun.Allah amsamehe makosa yake sheikh wetu na amueke mahali pema peponi inshaAllah.
@calicabqaricalicabqari6598
@calicabqaricalicabqari6598 4 жыл бұрын
INNALILAHI WA INNA ILAYHI RAJICUUN SHEEKH NYUNDO FROM SOMALIA
@sylvestermlalo3944
@sylvestermlalo3944 4 жыл бұрын
Allah amsamehe madhambi yake inshaallah
@sylvestermlalo3944
@sylvestermlalo3944 4 жыл бұрын
Njia ni moja sisi sote tutaipita
@hamadimuya7248
@hamadimuya7248 4 жыл бұрын
Ina lilallahi waina ilayhi raajioub.May Allah subhanahu wata'ala grant him jannah for the work he has done and may allah have mercy on his soul in sha Allah.
@zahraabdi8772
@zahraabdi8772 4 жыл бұрын
Wallahi nihuzni kubwa kuondokewa na shekhe wetu...Allah amrahamu...kutoka Kenya
@ustadhmrishorunigangwe7024
@ustadhmrishorunigangwe7024 4 жыл бұрын
الهم إغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس اللهم آمين إن لله وإن إليه راجعون
@muryd6999
@muryd6999 4 жыл бұрын
امين
@jamalnamkuna3961
@jamalnamkuna3961 4 жыл бұрын
Aamin
@abdulmtitu7478
@abdulmtitu7478 4 жыл бұрын
Mashaallah!!amesema mtume(s.a.w) ukitaka kujua wewe n mtu wa peponi au wa motoni,,tazama watu watasema nini baada ya kifo chako"mashallah sheikh wengi tunakusema kwa mazuri,na tunakudhania ni mwema inshaallah
@hawaashaban8008
@hawaashaban8008 4 жыл бұрын
Allah msamehe skekhe wetu japo inatuuma San yaa Allah mpe Nuru kweny kaburi lake mpe pepo kwa rehema zako yaa rabbi na sis type mwisho mwema mola wetu tuhurumie😭😭😭😭😭😭
@shuuufadhil1349
@shuuufadhil1349 4 жыл бұрын
Ameeen
@bittybitty2712
@bittybitty2712 4 жыл бұрын
Allah amrehem ampe kauli tabiti 🤲
@hcgghfgg6679
@hcgghfgg6679 4 жыл бұрын
نسأل الله ان يرحمه و يتقبله في جنات النعيم. كم أسعد كثير من المسلمين بخطبه القوية و المعبرة . عاش في خدمة الإسلام والمسلمين. يعظم الله عزائكم و يصبر أهله و ذويه في هذا الفقد الكبير . تحياتي عبدالله من سلطنة عُمان
@abdubboru860
@abdubboru860 4 жыл бұрын
May Allah grant him Jannatul Firthaws
@hajjatbintkhamis8913
@hajjatbintkhamis8913 4 жыл бұрын
"INNA LILLAHY WAINNA ILAYHI RAAJIOUN" Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake Allah hakika tutarejea......waliofikwa na msiba tunawapa pole na Allah awape subra waqti huu wa huzuni,,,,mbele yetu nyuma yake
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 4 жыл бұрын
R.I.P , shekhe Nyundo, nikimkubali sana kwa elimu yake ya kidunia
@abdulramanhemed3749
@abdulramanhemed3749 4 жыл бұрын
Allah amrahamu shekh wetu... sio msiba wa zazibar ni waislam wote kwa jumla ameacha mengi kwa mama zetu dada zetu yani sote kwa jumla
@saumuabdi1802
@saumuabdi1802 4 жыл бұрын
🙆‍♀️sina lakusema kazi ya mungu haina makosa pamoja tuseme Alhamndulillah
@fatmarefai9209
@fatmarefai9209 4 жыл бұрын
Poleni sana familia ya sheikh wetu Nyundo.Mungu awape wepesi kwa huu mda mgumu.
@anniyahfacebeat8937
@anniyahfacebeat8937 4 жыл бұрын
allah amrehem, amfanyie wepec kwa safar yake hii. mungu ampe noor kwny kabri lake, ampe pepo kwa rehma zake, afanye kabri lake liwe ni miongon mwa vyumba vya pepo. AMIIN
@halimanasihu1200
@halimanasihu1200 4 жыл бұрын
Allah amlaze pema peponi aameen yarabbi
@nzalilindi9514
@nzalilindi9514 4 жыл бұрын
Ya Rabby nfanyie wepesi kwenye makazi yske hayo mapya,ameen
@feisaliykhamis1325
@feisaliykhamis1325 4 жыл бұрын
Amina mungu ilaze mahala mema peponi
@jumakombo404
@jumakombo404 4 жыл бұрын
Shekhe wetu nenda salama , Allah sw, Amekupenda zaidi, ila hatuwez kukusahau. Na sc tunakuja huko huko, Allah sw, Akulaze mahali PEMA. Amin.
@kassimjuma3869
@kassimjuma3869 2 жыл бұрын
kgslb
@officialjaygravity1915
@officialjaygravity1915 4 жыл бұрын
Innalilah wainna ilaihi rajiun 🤲
@aligedi2869
@aligedi2869 4 жыл бұрын
Tukiwa ujerumani ni huzuni kumpoteza sheikh, but ni kazi ya Allah haina makosa, Allah amfanyie wepesi huko, ya rab.
@fatummsagat5177
@fatummsagat5177 4 жыл бұрын
Napenda sn mawaidha yake, Allah ampe kauli thabit
@rashidally1211
@rashidally1211 4 жыл бұрын
Yaarabbih ampokee sheikh wetu al maruuhm nyundo
@saudaomary9363
@saudaomary9363 4 жыл бұрын
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki mungu msamehe mazambi yake
@ediyngoto1811
@ediyngoto1811 4 жыл бұрын
Allah amlipe kheir In sha Allah
@saheelameir4313
@saheelameir4313 4 жыл бұрын
yarabbi husni lkhatima
@wariditambi2077
@wariditambi2077 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Mungu akulaze Pema peponi akika mauti ni mlango kila mtu ata upitia mlango uo
@felixsunga7059
@felixsunga7059 Ай бұрын
Rip sheikh nyudo am a Christian bt really enjoy and follow the teachings of sheikh nyundo
@zerotohero8212
@zerotohero8212 4 жыл бұрын
Yaa Allah tup mwisho mwema yaa rabb, hakika moyo moyo una huzunika na kujiuliza VIP nami nitakutana Allah na udhaifu na nakosa nilonayo??😭😭😭😭😭😭😭😭
@safiamohamud1222
@safiamohamud1222 4 жыл бұрын
Innlillah wa innalillayn rajuuni Amsamehe makosa yake ampe Kitabu cheka kwa mkono wa kulia Jannahtul fardwos Amiiiiiiiiiiiiiiin Yaa Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲 Inshallah Polani sana Brother’s and sisters ZANZIBAR ❤️we ❤️✊F 🇸🇴live in 🇺🇸😢😢😢😢😢😢I crying with 😢you 🙏🏻😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@aminaothman6841
@aminaothman6841 4 жыл бұрын
Asant safia allah atujaalie subra kwa sot inshallah
@nasorokobba3774
@nasorokobba3774 4 жыл бұрын
Sheikh nyundo umekwenda mwamba ,,mola amekuita umeitikia wito Wa mola wako,,umepita kila maeneo kumtangaza mola mmoja ,,watu waache ushirikina ,,,wamuabudu mola mmoja ,,upita kuwaambia watu nini mola anataka ,,watu waache zinaa,,muda wako umekwisha Wendi wako umemaliza na muda umeisha ,,umeenda Kwa mola wako ,,kazi ya mola aina makosa ,,Allah akusameha akukilim pepo
@mrbnaid5447
@mrbnaid5447 4 жыл бұрын
Mola karima ailaze roho yake mahali pema Amiin😭🙏
@seifmohamed836
@seifmohamed836 4 жыл бұрын
umma ulikupenda na hiyo ndiyo neema ya allah unapo fanya kazi yake nasisi atujalie mwisho mwema
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 4 жыл бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعوووووون اللهم اغفر له وارحمه وعافه وعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله
@aminaothman6841
@aminaothman6841 4 жыл бұрын
Amiin
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 4 жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah amsameh makosa yake na awape subra wafiwa. Kwa kweli tumeondokewa
@husseinidris2879
@husseinidris2879 4 жыл бұрын
Ma sha allah.... Allah amlaze pema sheikh wetu
@shtatsalfa1668
@shtatsalfa1668 4 жыл бұрын
Dah!!! Kweli tutarudi kwa Allah kama tulivyo kuja
@fatmakhamis7876
@fatmakhamis7876 4 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja umauti ila niseme alhamdulilah nineema kubwa mtu kuondoka akataja kwa mema yake tujitahidi tutafute razi za Allah ina lilah wainna ilaihi raajiuun
@sharifaallan2386
@sharifaallan2386 4 жыл бұрын
Allah akulaze pema peponi baba yetu
@meryamahmed777
@meryamahmed777 4 жыл бұрын
ALLA MRRHEMU SHRKHE WETU
@rizikigharib6391
@rizikigharib6391 4 жыл бұрын
inallillah lillah wainailayh rajiuun Allah msimamie ktk heri zake alizozifanya ktk dunia na umlipe ktk pepo ya firdaus na ss utujaalia mwisho mwema na wenye kutubia dhambi zetu na utukinge na balaa lililotuingilia la corona ss tupo ktk njia yako ya Allah
@mudiabeid3531
@mudiabeid3531 4 жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh rajighun. Allah amlaze pahala pema . Kiukweli msiba umetugusa waislam wote ila ndio mauti ni haki kwetu sote na mauti yanakuja ghafla. Allah atupe khusnu lkhatima.
@111dudi
@111dudi 4 жыл бұрын
Allah amghufir na amraham mchango wake utabaki. Laa hawla wa Laa quwwata illaa billahi al aliyyu al adhiym
@asfarsham9037
@asfarsham9037 4 жыл бұрын
Lailaha illa llah sie tulokuwa wapenzi wake kwa kuangalia video tumeumia vibaya sanaaa ,sijui watu wake wako hali gani. Allah awape subra.ameen
@medi222alrajhi9
@medi222alrajhi9 2 жыл бұрын
twamkumbuka mpaka leo shekh nyundo mungu amuweke mahala pema na wote walotangulia
@kibelaame5178
@kibelaame5178 4 жыл бұрын
Amin inshaallah
@fatumaramadhanmashaallahal9966
@fatumaramadhanmashaallahal9966 4 жыл бұрын
Ina lilah waina ilahi rajiu
@maryummwenda5129
@maryummwenda5129 4 жыл бұрын
Innalillah wainalilah rajiun allah amlaze mahal pema
@habau_jr1755
@habau_jr1755 4 жыл бұрын
Innalilah wainna illah rajighunnah
@saidmswahili8793
@saidmswahili8793 4 жыл бұрын
Dawa mpaka kiamaaaa, Allah amlinde, amsameh na amuepushe na fitna za masihi ddajjaal yeye pamoja nasisi aamin aamin aamin
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 4 жыл бұрын
Subhanallah subhanallah wallah nashindwa la kusema
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 4 жыл бұрын
Mungu amlaze pema peponi Amin Yaarabi Njia yetu soote yeye katangulia nasi tupo nyuma yake kila mmoja kwa wakati wake Alhamdulillah
@wm9669
@wm9669 4 жыл бұрын
Innalillahi wainaillahi rajiun. Good news inshAllah. Jannah tu fardows inshallah
@kombomohd4878
@kombomohd4878 4 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake amin sheikh wetu nyundo tulikupenda sana lakini mungu amekuita ni Nazi yake allha haina makosa
@omanseeb8609
@omanseeb8609 4 жыл бұрын
Ina lilah wain ilah rajiuna allah amlipe analostahik
@allynyandwidju113
@allynyandwidju113 4 жыл бұрын
Inna wainalillah rajiun 😭😭😭 Allah amrehemu sheikh wetu... Allahuma amen 🙏
@hanifaali9526
@hanifaali9526 4 жыл бұрын
Nilipenda sana kumskiza sheick nyundo kwa KZbin. Poleni sana familia na wazanzibari wote kwa ujumla, natuma rambirambi kutoka Kenya, mwenyezi mungu amjalie jannahtul firdos. Ameen.
@aisharashid6241
@aisharashid6241 4 жыл бұрын
Kwa niaba ya wafanyakazi wote wa omani waandishi zanzibar tumepokea kwa huzun kubwa Msiba wa shekhe wetu Hussein Nyundo mungu ampe kauli thabit na sisi tuko nyuma yake atupe shahada kabla ya umaut ishaallah
@ayoubabdull1265
@ayoubabdull1265 4 жыл бұрын
Hili kubwa has maan dah' sina la kusema kwa kweli .... mwenyez mungu amfungulie milango ya pepo .....sheikh wetu ya rabbi...
@mwalimuali6579
@mwalimuali6579 4 жыл бұрын
Inshallah mungu atamkunjulia kabri yake
@saidshuaib7645
@saidshuaib7645 4 жыл бұрын
INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAAJIUUN Mwz mungu amlaze mahali pama insha allah. Mie niko Iraq ila hata watu wamehuzinika sana kwa kifo cha shekh wetu
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 3 жыл бұрын
Allahuma ghufrlahu warhamahuu filjannah Allah akusamehe madhambi yako in shaa Allah cc tulikupenda Ila mungu kakupenda zaidi
@sekijajanjatv2047
@sekijajanjatv2047 4 жыл бұрын
Mungu amsamehe mazambi yake amuweke kwenye pepo yajuu shekhe wetu
@suleimantora3131
@suleimantora3131 4 жыл бұрын
Shekhe msema kweli katika mambo ya kijamii Allah akulaze pema palipo na wema tutakukumbuka kwa ukweli wako sababu hakuna mashekhe wa kuyaongelea mambo ya jamii kwa kuona haya. Inna lillahi wa Inna ileyhi rajoun Poleni sana ndugu zetu Tanzania
@ollgfgv9872
@ollgfgv9872 4 жыл бұрын
innalilah wainnalilah rajiun msiba umeuma sana 😓😓😓 mungu amlaze mahar pema pepon
@abuubakarhaji3244
@abuubakarhaji3244 4 жыл бұрын
Allah msamehe shekh nyundo na ampe makaazi MEMA peponi Amin
@sifajacky7779
@sifajacky7779 3 жыл бұрын
Inalillah wainailllah rajiun. Tunaomba Allah wetu mtukufu Subhanah wataala amuweke mahala pema peponi Sheikh wetu mpenzi na kipenzi cha Allah, Inshaallah 🙏 kusema kweli hautasahaulika kamwe kwenye nyoy zetu. mawaidah yako yame badilisha wengi ulimwenguni kote. Allah wetu mtukufu Subhanah wataala alifanye kaburi lako kuwa pepo miongoni mwa pepo Inshaallah 🙏
@shabanmsago3227
@shabanmsago3227 4 жыл бұрын
Kweli nyota njema huonekana asubuhi Allah muhifadhi mja wako huyu amina
@1lakiisha
@1lakiisha 4 жыл бұрын
My lord please forgive Sheikh Nyundo he was a funny sheikh. Grant him jannat firdaus And peace in his grave Amin Mjaalie awe still funny even in the after life. Have lots of mercy on him. ... he made people happy with his lectures even tho some of them weren’t appropriate .overlook his mistakes
@miangijunior4358
@miangijunior4358 4 жыл бұрын
Innalillahi wa Inailaihi ra jiun Mimi binafsi katika masehe niliotokea kuwakubari na kuwapenda ile ukweli wa kuwapenda kwa Ajili ya Allah number Moja ni marehemu sheikh Hussein Hassan nyundo. Kiukweli nimehudhunishwa sn na ninaeumia na naendelea kuumia juu ya kifo Cha sheikh Hussein Hassan nyundo Ila Sina budi kukubariana na Allah Alipotuambia kuwa kila nafsi itaonja umauti. Namuomea kwa Allah Amrizie mjawake huyo na Kaburi lake liwe viwanja miongoni mwa viwanja vya Peponi Allahmma Amiin".
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 4 жыл бұрын
Inalillahi wainna ilaihi rajiuun,hakika Sheikh Nyundo alikuwa haogopi kukaumiwa kwa hali yoyote ili kuwazindua walio kuwa wamepotea na kumuasi ALLAH.Kiufupi mie sikuona uso kwa uso lkn kupitia simu yamkono,nimejifunza mambo kadha wa kadha juu ya dini yetu ya kiisilamu.ALLAH amjalie pazuri insha Allah🤲🤲🇰🇪
@sureladykiba5608
@sureladykiba5608 4 жыл бұрын
Innalillah wainahillah rajiuon 😢😢😢😢😢😢
KAULI YA MWISHO KABLA MAUTI YA SHEIKH NYUNDO
4:07
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 196 М.
HUYU NDIYE MAMA ALYEFIKWA NA MTIHANI MZITO PEMBA
8:22
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 60 М.
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 10 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 112 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
WEWE MSELA WA MELI GANI ACHA UJINGA- SHEIKH NYUNDO
19:42
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 4,7 М.
TOENI KWA AJILI YA ALLAH SIO KWENYE MIPIRA (FULL VIDEO) SHEIKH NYUNDO
25:16
KIJANA MLEMAVU WA MIGUU AMTOA MACHOZI SHEIKH KISHK.
5:00
Kishki Online TV
Рет қаралды 81 М.
SHEIKH NYUNDO AWEKA WAZI KUHUSU MAISHA YAKE
7:19
JAI ONLINE TV
Рет қаралды 72 М.
JUA KU ISHI NA MARAFIKI NA MA ADUI... OTHMAN MAALIM
34:54
Said Salim Matango
Рет қаралды 1,6 МЛН
UNAZITOLEA MACHO MALI ZA WATU UNAJUA WAMEZIPATA VIPI?// SHEIKH NYUNDO
32:53