SHUHUDIA DULVAN ALIVYOTAKA KUKIMBIA STUDIO / KISA KIZIMA HIKI HAPA

  Рет қаралды 394,120

Wasafi Media

Wasafi Media

3 жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 000
@lilymammpayo8299
@lilymammpayo8299 3 жыл бұрын
Big up Kwa EFM 👏👏👏 Huwezi kuona huu ujinga🤔 Dondosha like twende pamoja
@mwinjanavil
@mwinjanavil 3 жыл бұрын
huyo diva ndo kapeleka maupumbavu hapo
@cuthbertsafari3999
@cuthbertsafari3999 3 жыл бұрын
Redio vipindi ovyo sana
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 3 жыл бұрын
Wasafi hamna dressing code? Dulvan anafanya interview akiwa amevaa nguo ya kulala..pyjama ! Hovyooo Mtangazaji pia hovyooo.Ongea Kiswahili tu.
@rubniyi3551
@rubniyi3551 2 жыл бұрын
@@haarunsaidabdillahi4082 nimeshangaa
@fadymoses4994
@fadymoses4994 2 жыл бұрын
👏
@avitydamian1994
@avitydamian1994 3 жыл бұрын
Kama nawewe unaamini kuwa hizo ni kiki nipe like
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ziyadayahaya5901
@ziyadayahaya5901 3 жыл бұрын
Uyo dada muongo
@saumubakari676
@saumubakari676 3 жыл бұрын
@@khadijahali48372mk3i1328pi3
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
@@saumubakari676 nn hk
@dulahstar5875
@dulahstar5875 3 жыл бұрын
Ww nichizi Kama unamimba siunge msubili road
@nyabaplussheila6541
@nyabaplussheila6541 3 жыл бұрын
Sasa kwanini kuja ku tangaza mimba kwenye television kama radio!? Kwani wasafi ni familia ya Dulvani wala Diva mama yake ao Dada yake... tz mupo ajabu! Pole sana Dulvani
@fettysalumu7850
@fettysalumu7850 3 жыл бұрын
Uyu dada tu awezi
@uwinezajohara8362
@uwinezajohara8362 3 жыл бұрын
Ni kiki
@suzanaemanuely8788
@suzanaemanuely8788 3 жыл бұрын
Dah
@mdasad2148
@mdasad2148 3 жыл бұрын
Diva huyo Dada angaria sms kwa hiyo Dada ushuhunda upo kwenye sm zao diva
@msalikemedia
@msalikemedia 3 жыл бұрын
Hii TV ni ya kiki tu dada hio sio kweli ni kiki hizi
@chanzehabib4243
@chanzehabib4243 3 жыл бұрын
Ukiona mahojiano wasafi radio jua kiki kama unamini nipe likes zangu
@mwinjanavil
@mwinjanavil 3 жыл бұрын
anayeamini hii kiki ni moja kati ya kiki mbovu sana zaid ya zote anyooshe kidole... na aliyeona dulvan kavaa night dress nani
@emmazacky5742
@emmazacky5742 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂👆👆👆
@sakinasadik3776
@sakinasadik3776 3 жыл бұрын
Hahaha amekurupuka tu kutoka kitabdani akaenda studio
@mineaminea3151
@mineaminea3151 3 жыл бұрын
Nilijua naona mm2
@jafarykisengo6584
@jafarykisengo6584 3 жыл бұрын
e
@carinamatt1031
@carinamatt1031 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@carolabel7972
@carolabel7972 3 жыл бұрын
Unakuja wasafi kucharge simu😂😂😂 Dullvani hapo amewezaa
@juliethjosephkavishe1872
@juliethjosephkavishe1872 3 жыл бұрын
Ahahahaha!! Anajickia kudondoka dullvan
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 3 жыл бұрын
Wewe nikuwa hodin namgonjwa nimecheka kwasauti mbaka nes kanifuata akaju mgonjwa kakata roho
@angeliqueangelique9279
@angeliqueangelique9279 3 жыл бұрын
Ni Africa ulaya huyo dada wangemunyoosha vizuri kusingizia mtu ni kesi kubwa sana
@marymutwoki3561
@marymutwoki3561 2 жыл бұрын
😂😂😂
@dandelion2644
@dandelion2644 2 жыл бұрын
Daaah amekweli Demu kauuzi
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 3 жыл бұрын
Wewe mtangazaji "careful" unaweza kuharibu destiny ya mtu. Hayo maswali unayomdadisi huyo binti mlipaswa kuhakiki kabla ya ku face microphone na kuongea na dunia mambo ambayo wewe mwenyewe umesema kuwa watu wanaweza kutunga story kupata kiki. Zaidi ya maneno aliyokuambia huyo binti, bila kuyahakiki umeamua kumwita huyo kijana na kumpambanisha na public interview. Ni uchanga wa utangazaji hadi unaharibu brand ya mtu bila sababu. Kituo kimwombe radii huyo kijana kama huyo binti atashindwa kutoa ushahidi
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 2 жыл бұрын
Alafu alivyo shoga uyo diva kuma mbona yy akiulizwa kuhusu kulala na patric anakuja juu
@Ajneb.
@Ajneb. 2 жыл бұрын
Huyu dada amechizi labda, unakuja kucharge wasafi kweli💔💔💔
@homan_nkwama
@homan_nkwama 3 жыл бұрын
Msicho elewa Ni kwamba Sisi WASANII atushindwi kumuomba dada Fulani atusingizie Jambo alafu tujiandae namna ya kujitetea mwisho wa siku Kiki napata dada anapata Kiki mtangazaji anapata kontent mjinga shabiki ninae kuja kuona na kukoment hapa
@arnhemzuid8885
@arnhemzuid8885 3 жыл бұрын
Mmh basi hapo wamechemsha maana uhalisia haupo.
@homan_nkwama
@homan_nkwama 3 жыл бұрын
Arnhem Zuid Awawezi kuchemsha mana wao wanafanya biashara katika WIN WIN situation Yani hawana cha kupoteza ndio mana bado tunawajazia comments hapa DUNIA aitaki uwe silias utazeeka haraka just enjoy ila Raha ujue unachofanya mfano mm naangalia maigizo ya staa wangu diva na wahusika wake😄
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
@@homan_nkwama Duuh!!!! Umenifungua Macho kweli. Nimejiona mjinga kupita kiasi kuingizwa BUSH nikiwa mjini🙄🙄🙄🙄
@collihmushi5944
@collihmushi5944 3 жыл бұрын
😂😂💔
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 жыл бұрын
Hii coment yko kwa uwezo wa mungu nmefunguka akili cendelei tena kupotez mb zangu kizembe
@rehemathoya8754
@rehemathoya8754 3 жыл бұрын
I'm a woman but something is not adding up, Diva this lady is lying, PERIOD!
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 жыл бұрын
Uyu dada nimemuonea huruma,wadada muwe munaangalia na watu wa kudate nao .Na hii tabia ya kulia kisa mimba sielewi.Mjitaidi kujitegemea jamani.Subiri mtoto azaliwe,sasa mimba tu jamani kelele.!!wadada mnatuangusha..mimba sio ugonjwa.ukipata kisa kama hiki tulia kwanza uzae,sio mimba tu unaanza kelele.sio nzuri.
@dianamuniro8129
@dianamuniro8129 3 жыл бұрын
Kweli kabisa yaaani nikuvumilia tu mambo mengine kujidhalilisha
@rawhiyarajabu7324
@rawhiyarajabu7324 3 жыл бұрын
Huyo dada n muongoo bhana
@mariammwanzalila9010
@mariammwanzalila9010 3 жыл бұрын
Huyu mdada muongo hivi uwende sehemu bila simu like serious😁
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@sarahkitindi3420
@sarahkitindi3420 3 жыл бұрын
Huyu dada mungu anamwona
@mariammwanzalila9010
@mariammwanzalila9010 3 жыл бұрын
Wallah
@donhussle948
@donhussle948 3 жыл бұрын
Nenda guide and cancelling ufanye hayo Ila usifanye hapo Kwa studio kama ur doing ur work ya studio ni mengine Ila c hayooo
@nissamwapoladi7345
@nissamwapoladi7345 3 жыл бұрын
Huyu dada muongo.aonyeshe hzo sms kwann hana ushahidi
@fadhilmtunha4070
@fadhilmtunha4070 3 жыл бұрын
Liongo
@salumseif1328
@salumseif1328 3 жыл бұрын
wasafi wanayumba sasa wameanza kumpa kiki lava lava wanakuja kwauyo dulvani mnakela one time
@rehemamshele1417
@rehemamshele1417 3 жыл бұрын
Uyo dada wanakaa mtaa moja na dul
@allymkamba1054
@allymkamba1054 3 жыл бұрын
Utopolo mtupu, kazi ya vyombo vya habari ni kubwa sana kwenye jamii kuliko kufanya huu upuuzi.
@kinakovusanyuprestige6040
@kinakovusanyuprestige6040 3 жыл бұрын
Hivi unaezajee ita mtu kwenye interview bila ya kuniuliza,,,,mmi ukinijaribu na hii ujinga naweza onyesha drama apo kwa studio mpaka diva utaniitia security
@halimamohammed4108
@halimamohammed4108 3 жыл бұрын
Oneshe ushahid asimzalilishe Kaka Wa watu
@juliethjosephkavishe1872
@juliethjosephkavishe1872 3 жыл бұрын
Ahahahaa!!! Dullvan anajickia kudondoka
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 3 жыл бұрын
We sim ipo chaji
@tamarablack254
@tamarablack254 3 жыл бұрын
Mi nataka kuwa judge....Nahisi Dulvan a take responsibility mpaka atakapojifungua...Then waende DNA..ikipatikana Huyu Mdada Kazengua basi na amlipe Dulvani Hela yake yote na kumchafulia jina na ikawai kuwa Matokeo ya DNA yanamtambua Dulvani kama baba then waendelee kulea. .Basi ..Love from Kenya 🇰🇪
@martinmwenda2045
@martinmwenda2045 2 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@RamadhanAli
@RamadhanAli 3 жыл бұрын
Body language ya Dulvani, says more than meets the eye. Huyu jamaa atakuwa anaufahamu na huyu dada, ama their is something fishy.
@alireje6806
@alireje6806 3 жыл бұрын
Ya I feel the same...but hongera hakuondoka
@patrickvove
@patrickvove 3 жыл бұрын
Dulvani kajibu smart mission passed and respect ila chini kunamambo 🥵🥵🥵🥵
@rahmahassan7293
@rahmahassan7293 3 жыл бұрын
Sister fatiliaa kama massage zipo huyo dada anaonekana ni Dramaa yaan
@rachelmbeyu4385
@rachelmbeyu4385 3 жыл бұрын
Siameambiwa aonyeshe evidence ati hana simu
@leahmagaiwa9099
@leahmagaiwa9099 3 жыл бұрын
Huyu Dada ni Muongo,,, muongo Sana hakuna hicho kitu hapa kwa kuongea tu hakuna ukweli hapa!
@komboomar8275
@komboomar8275 3 жыл бұрын
*Madada wawili wamekutana kitandani mmoja akapata mimba sasa wanageukana*
@jokhaelsienna6946
@jokhaelsienna6946 3 жыл бұрын
Kitendo Cha kupanic dully unapoteza point😂umeamua kukaza kaza kwel🤣
@habibamrisho6337
@habibamrisho6337 3 жыл бұрын
Kama ni kweli ww dada ungeonyesha sms kuna uongo ndani yake,ushahidi ni kitu cha muhimu,onyesha ushahidi ili watu wakuamin
@annemwande6807
@annemwande6807 3 жыл бұрын
Aki nmecheka 😂😂😂😂😂😂ANAKUJA WASAFI KUCHAJ SIMU😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
@samzuuseif
@samzuuseif 2 жыл бұрын
Yan anafrahisha huyo dada 😆😆
@luttertv1656
@luttertv1656 3 жыл бұрын
Ushaona wap unaenda mahakamani bila Usha idi et simu ipo charg khaaa we gonga like tusonge
@munibullahmarunda7051
@munibullahmarunda7051 3 жыл бұрын
Angalia mikono ya huyo dada anaposema "SIMU NIMEIACHA KWA CHAJI" inaonesha kabisa amepoteza confidence.
@kingsleykavu5953
@kingsleykavu5953 3 жыл бұрын
Some men are really jokeing wewe Duly simama kama baba ulee mtoto.. kumbuka mtoto atakua kesho na keshokutwa utamjibu nini
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Iyo kiki tu km ya love love na Diva mstuguze wazim sisi 😃😃😃tumewashtukia bana
@husseinalibhai7311
@husseinalibhai7311 3 жыл бұрын
Divaa usiangaikee kama dulvan atakii nipee mtotoo mm ntalea Baba Wawa totoo wotee wanao kataliwaa
@issayaemilly8160
@issayaemilly8160 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣wote wanaokataliwa wako👏
@husseinalibhai7311
@husseinalibhai7311 3 жыл бұрын
Ndio
@yusufumajid9168
@yusufumajid9168 3 жыл бұрын
Leo mm nimekua wa kwanza 😳
@georgemajani6600
@georgemajani6600 3 жыл бұрын
Love from 🇰🇪🇰🇪
@bakariibrahim4301
@bakariibrahim4301 3 жыл бұрын
Dada unapepo
@aishaabdallah2088
@aishaabdallah2088 2 жыл бұрын
Wewe dada ni fala Sana unalazimsha kuzaa na mtu bwege we tafuta pa kwenda rizki ailazimishwii
@sudymgeni701
@sudymgeni701 3 жыл бұрын
Dulvan na nguo zake za kulalia ni noma
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 3 жыл бұрын
Ni kkkkkk kama ya loloviva na Lava Lava. Wabongo kkkkkk
@jbm6309
@jbm6309 3 жыл бұрын
Diva fanya kazi yako Acha utoto unaharibu kazi
@alexanderkibona8478
@alexanderkibona8478 2 жыл бұрын
Yani mungu atutie ufaham jaman alaf icho kiengerza chanini jaman wote apo wabongo
@hildaminja6296
@hildaminja6296 3 жыл бұрын
Aonyeshe ushahidi jmn mbn anamfanya dulla kama kuku ivo
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 3 жыл бұрын
Unakuja wasafi kuchaji cm 😂😂
@rahmanassor2652
@rahmanassor2652 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mossianahassan9883
@mossianahassan9883 3 жыл бұрын
😂😂😂
@bernahappy2450
@bernahappy2450 3 жыл бұрын
Tobaaaaa roho yangu nimecheka hadi mkojo lakini ni kweli kwani amekuja wasafi kuchaji cm😂😂😂😂😂😂
@suzanaemanuely8788
@suzanaemanuely8788 3 жыл бұрын
Jaman wasichana tuachen drama za kutaka u super staa kwa kutumia wasanii dah jaman tunatia aibu tubadilike,,,, kama huna nyota ya kuwa star tuache t sa kama kwel una hakika na umezamilia kutaka kumuumbua mtu kwanin aache sim si ujinga huu wew dada mmmh kiboko
@johnnabie5445
@johnnabie5445 3 жыл бұрын
Haya so mambo yakuleta redioni nanyi,, mbona hangemwita bembeni?, Lazima redioni.? Watanzania na Kiki jamani 😂😂😂😂😂😂
@stamuboniphace5358
@stamuboniphace5358 3 жыл бұрын
Huyo mwanamke nimuongo
@BuraK-bk9iw
@BuraK-bk9iw 3 жыл бұрын
Ila dullavan khaa jaman kama mwanamke wanaume hatukog ivyo… Ila upande mwingine huyu mwanamke kwangu mm naona anadanganya maana kama ni kwel kwann cm isiwepo tuone Dm ambazo dullavan kama Dm …. Maana dullavan kajiamin kabisa kamwambia nioneshe Dm lakin dem mala nimeacha cm chaj mala nn. .. dem muongo huyo
@bettyobedy8938
@bettyobedy8938 3 жыл бұрын
Jaman naomben kiuliza hyo nguo aliyo vaa dullvan ni nguo ya kulalia au ndo fashion ya saiv nauliza tu jamanii
@josemsafimusic3389
@josemsafimusic3389 3 жыл бұрын
UNAKUJA WASAFI KUCHAJI SIMU 😂😂😂 DAAH DULVAN
@CaroleBosco
@CaroleBosco 3 жыл бұрын
Nice one
@judymangi9557
@judymangi9557 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@yumnasuleiman
@yumnasuleiman 3 жыл бұрын
Jose Msafi:😂😂
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇴🇲
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
Mkisha zaa mje mtupe mrejesho ili mtuaminishe msituletee Kiki tunaumiza vichwa sie kuwa onea huruma 🤔
@florajames7558
@florajames7558 3 жыл бұрын
Hizo nguo za dulvan sijazielewa 😀😀😀😀😀
@lucyalto8751
@lucyalto8751 3 жыл бұрын
Ni usiku alishavaa nguo za kulalia
@florajames7558
@florajames7558 3 жыл бұрын
@@lucyalto8751 🙌🙌 katisha
@ramadhanmgandi7346
@ramadhanmgandi7346 3 жыл бұрын
Diva umefanya mbaya haukupaswa,kufanya hivo umemkosea sana dull vanny
@vikimartin9441
@vikimartin9441 3 жыл бұрын
Jamani? huyu Dada ni mtu mzima kwa nini hakujikinga na ubebaji mimba usiotarajiwa?Kinga zote hizo serikali inahamasisha wanawake kuzitumia yeye akajibebesha mimba kisa katembea na msanii, fedhea zingine sisi wanawake tunazitaka wenyewe na shida tunazitengeneza na mikono yetu, kwa hiyo huyo Dada alivyokuwa kikikutana na dull alihisi anachokifanya matokeo yake ni nini? Na jukum la kujikinga ni la Nani? Tena huyo Dem aache kiranga alichokitaka kashakipata akalee mtoto wake mwenyewe kwasababu walipokuwa kwenye tendo makubaliano sidhani yalikuwa ya kubeba mimba na Kama yalikuwa yakubeba mimba dull ahusike kulea.la! Huyo Dada alishachukua chake ck nyingi.
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 3 жыл бұрын
Naww mdada kulala nauyo mh hukuona wanaume
@ndoanirahaonlinetv5031
@ndoanirahaonlinetv5031 2 жыл бұрын
Wasafi mnafeli Mnajiharibia
@cecyxtive4410
@cecyxtive4410 3 жыл бұрын
Serikali iwapee kazi😋😋
@kikofia.007
@kikofia.007 3 жыл бұрын
From the first appearance of the girl dullvany amepanic.he is responsible
@shekhamohammed416
@shekhamohammed416 3 жыл бұрын
Sure
@waltershayo1339
@waltershayo1339 2 жыл бұрын
True
@justfun-gb6fn
@justfun-gb6fn 3 жыл бұрын
TODAY I'VE SEEN .....DULLIVANI IS A.... REAL MAN
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 жыл бұрын
Hiyo no ndrama kweli durvan anashangaa umri wa Dada na yeye tofauti kabisa
@owagatonny6558
@owagatonny6558 3 жыл бұрын
ukwel kuugundua ni kaz sana, binafsi siwaamini wasanii ni waongo sana kwenye interview
@paulmagige1391
@paulmagige1391 2 жыл бұрын
next time lulu diva you have such an interview,kindly ask the complainant to come over with full evidence on the basis of his/her complains. Hii ndo interview immature have ever seen you doing.
@jackson742
@jackson742 3 жыл бұрын
This guy seem very humble.
@tamarablack254
@tamarablack254 3 жыл бұрын
Mmmh
@vallembaya2708
@vallembaya2708 2 жыл бұрын
hajampa mimba
@michaellagwen8198
@michaellagwen8198 3 жыл бұрын
Leo ndo nimejua huyu ni rijali kama kapiga mimba kweli
@micky244
@micky244 3 жыл бұрын
Fala kweli kila interview mnaomuita apo anajifanya kutaka kukimbia et😂😂😂yan aka kajamaa bnaa
@emmazacky5742
@emmazacky5742 3 жыл бұрын
😂😂😂
@kombawinnie
@kombawinnie 3 жыл бұрын
Anatabia za kike kususa susa
@mwiruhabibu2060
@mwiruhabibu2060 3 жыл бұрын
tuliona dulvan kavaa blauzi tujuane🙊🙊🙊🙊
@gracemwaura18
@gracemwaura18 3 жыл бұрын
What's with this lady with am doing my job while interfering with people's private life without their consent 🚮🚮🚮🤮🤮🤮
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Makubwa haya Suzy acha nipite zangu Mimi sioni ya dulvani
@swamweliteobady4496
@swamweliteobady4496 3 жыл бұрын
Bac we Dada usipaniki ww nenda kalete cm uwongo na ukweli utajulikana tofauti na hapo hapatakua na ushaidi
@modriface
@modriface 3 жыл бұрын
Kwann usingizie yeye mbna jibu rahisi sana.....kwasababu maarufu (star)
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 жыл бұрын
Kwan wasafi ndo mahakaman 🤣🙄🙄Aya dai mond mpangie dulvan matunzo y kula mwez mana hii sifa sasa
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Suluhisho n atafutwe Dullyvany halisi, huyo n mama chago kwa hiyo msimsingizie mwenyewe kaja Na Night dress 😂😂😂
@hamisamfaume1277
@hamisamfaume1277 3 жыл бұрын
Hahahahaha kwer nimama chogo
@haithamahmed72
@haithamahmed72 2 жыл бұрын
The studio lady is an apropriate to take this studio.ni bora uzugumzee kiswahili ama kingereza na miwani zajuwa ytowe kama heshima😎
@hamidugawaza4858
@hamidugawaza4858 3 жыл бұрын
Ivi kwer angekua anampenda ange sema anguka tu arafu apoapo anauriza kosarangu nini kwako anajierewa kweri huyo dem
@mjy353
@mjy353 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@peragiaisdor6315
@peragiaisdor6315 3 жыл бұрын
We mdada vipi😳 ushahidi👌kwendraaaaaaaaaaa
@sabraniaikenda3751
@sabraniaikenda3751 2 жыл бұрын
Ainde akaleee huko anataka Kiki huyo dada katuma wangapi wakikataliwa wanalea wenyewe au anataka aishi maisha ya kifahali
@levinamwessa7679
@levinamwessa7679 3 жыл бұрын
Wasafi wanapenda kiki wamekutana nampenda kiki mwenzao
@glorylema
@glorylema 3 жыл бұрын
Jamani .....dullyvan hii ni mala ya pili wasafi kumzingua 😂
@christiankyungai3254
@christiankyungai3254 2 жыл бұрын
Sasa jamaa unakataaje mtoto Kama nikweli
@yahyahaji4198
@yahyahaji4198 3 жыл бұрын
Kizungu cha nn ongeeni kiswahili wee dada
@qwqw1665
@qwqw1665 3 жыл бұрын
Muongo huyoooo fafa kapewa mimba namtumwingine alafu aongea sana huyo dada hutakiwi
@halimarehani2961
@halimarehani2961 3 жыл бұрын
Muongo huyo dada hata sim kaaacha duh! Kaona aseme hana sim ili kusiwepo na ushahidi mana sim ingeonyesha ushahid wa sma zao
@nasseradel9784
@nasseradel9784 3 жыл бұрын
Wasafi vitu vyao havieleweki hiki nini sasa
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 жыл бұрын
Hata huyo duluvan na huyo Dem Kuna kitu kitatoke tupo hapa🙄
@Villagelife-v5q
@Villagelife-v5q 3 жыл бұрын
Hivi dullvan wakiume kwl mana lipstick
@duncanmwanzi808
@duncanmwanzi808 3 жыл бұрын
Hahahah, sio lipstick jamania ni maumbele tuu , ila huuuhh namshangaaa
@duncanmwanzi808
@duncanmwanzi808 3 жыл бұрын
Hahahah, sio lipstick jamania ni maumbele tuu , ila huuuhh namshangaaa
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 3 жыл бұрын
Unauliza wakati Mimba hiyo hapo
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Sio lipstick hata kaka yng yupo hivyo
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Huyo atakuwa anapumuliwa tu si bure 😀
@sharrifidris3422
@sharrifidris3422 3 жыл бұрын
Duh!hapana huyu binti tapeli.mbona ikiwa ni mwanamke mnampea attention Sana? Yaani anakuja studio Bila hata ushahidi mmoja kisha tuamwamini
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 2 жыл бұрын
Wewe mtangazaji hujafanya kazi yako sawa sawa ! Huyu mwanamke kwa sura tu anaonekana mwongo anatafuta wa kulea mtoto ambaye hajui mhusika. Umeiangusha ofisi yako ukiwa na gender mindset ya kumtetea huyo tapeli kwa 7bb t3 ni mwanamke
@ashajohn9039
@ashajohn9039 3 жыл бұрын
Unaenda wasafi kuchaji simu😂😂😂🤣
@josemsafimusic3389
@josemsafimusic3389 3 жыл бұрын
Msenge sana 😂😂😂
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@regnoldmwanga953
@regnoldmwanga953 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bobchanda2460
@bobchanda2460 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 siku izi WCB wanatengeneza KIKI zenye akili
@Fahadi2023
@Fahadi2023 Жыл бұрын
2023 mmhh😂😂 kumbe alikuwa Sophie wa amelowa.jmn naomben ata like moja
@salimswedy6114
@salimswedy6114 3 жыл бұрын
Kama sio kiki Kwa nini mje kwenye media kwani kwenye media Ndo sehem ya kutatua matatizo yenu ya mahusiono
@rosejordan5391
@rosejordan5391 3 жыл бұрын
Me pia nashangaa huyu Dada anataka umaarufu,mshenz kweli kwan hajawah kusikia ustawi wa jamii,au hapo media hawana kaz ya kufanya
@alibinali_
@alibinali_ 3 жыл бұрын
Dullan ushakata mauno kwa dada wawatu sahi wakata 😂😂😂😂
@emmazacky5742
@emmazacky5742 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@yussufhussein1954
@yussufhussein1954 3 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaa
@mathasimart1375
@mathasimart1375 3 жыл бұрын
Hahahaha
@yuzotv458
@yuzotv458 3 жыл бұрын
Diva nakupenda sana ila please kuwa makini na izi interview manake tangu umeanza kipindi cha lavidavi sjawahi kuona content ambayo imenivutia kuangalia mara yapili. Hapo mnaonekana mmesuprise dulvan afu sio sawa kwasababu uyo ni star sasa so sio mtu wakumuita tu kihuni kuja kumvamia namna iyo,pili uyo dada ushahidi hana kwanini mnamuonea kijana wawatu???. Sjapenda mimi.
@p-flovours8151
@p-flovours8151 2 жыл бұрын
Duh dulvan kime umana mzeee baba 💪😄👉😄😄😄😄😄😄😅😅
@chunagirl5744
@chunagirl5744 3 жыл бұрын
Xax kama ni kweli xiaoneshe chating zao uyo dad jmn na Kwann aliacha mahusiano yake uyo dad ni malaya
@adventurewithsaddam617
@adventurewithsaddam617 3 жыл бұрын
You people got jokes. Such serious allegations can lead to a serious lawsuit
@gmanyota1
@gmanyota1 3 жыл бұрын
Yaani mimi ntaacha vyote sio simu😂😂dada usizingue
@suzanaemanuely8788
@suzanaemanuely8788 3 жыл бұрын
Hatar
@munibullahmarunda7051
@munibullahmarunda7051 3 жыл бұрын
Sure
@mukhtaryussuf4969
@mukhtaryussuf4969 2 жыл бұрын
Huyu mwan mke kajishush t kwa dulvan mh
@lynnanderson6099
@lynnanderson6099 3 жыл бұрын
He needed to leave so he can go change from PJs to some street clothes
@neemaedwad7476
@neemaedwad7476 2 жыл бұрын
Ataww mtangazaji umemkosea dulvan kwann usingemuuliza kwanza dulvan
@swaumuabdallah4547
@swaumuabdallah4547 3 жыл бұрын
Sisi tunamtoto tunalea sasaiv yup secondar mama yak alisema kazaa na kaka yetu bas yul mtoto tup nae kaka alisema hamfaham hamtambui kbs na mama yak alimuach tok ana miak 2 mpk sasa wallah kaka hat salam ya yul mtoto haitikii
@christopheraine6446
@christopheraine6446 3 жыл бұрын
Wakwanza leo like zangu jamani
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 жыл бұрын
Unakuja wasafi kuchaji simu😆😅
@asmahiddy6994
@asmahiddy6994 3 жыл бұрын
Hiki kipindi hakiendan kabisa na haya mambo na kumbuka diva unamuharibia dullivan brand yake aiseeee msimfanyie hivo kaka wa watu tutaacha kufatilia likipindi lako
@doryremi9817
@doryremi9817 3 жыл бұрын
Lkn Kama uongo kwa nn apanic
@asamzungu4857
@asamzungu4857 3 жыл бұрын
Huu ni upuzi, kazi gani, presenter ni Snitch mbaya.
@martinsaigulan8814
@martinsaigulan8814 3 жыл бұрын
Huyod Dada nae mshamba angeenda kwa ndugu was dulvan kuliko kumuaibisha hvyo
@helenachieng7978
@helenachieng7978 3 жыл бұрын
The presenter should respect her guests when you invite someone for an interview why bring up their personal issues, on radio this is a disgrace. It's not Divas job to sort issues between lovers
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Diva ana some problems....haifai hii
MPENZI WANGU ANANIKERA KWENYE SITA KWA SITA/ TATIZO NIKUMFIKISHA...
11:34
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 68 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 86 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 21 МЛН
NDARO STEVE WE NI TAPELI   MSIKILIZE MANENOYAKE
14:35
Steve Mweusi
Рет қаралды 39 М.
DAKIKA 7 ZA ELIUD MLIMANI CITY
7:16
Eliud Samwel
Рет қаралды 111 М.
GIGY MONEY: "NILIUZA MWILI WANGU ILI NIMLIPIE MAMA DENI, NIMEJUTA"
13:51
DULVAN AVAMIWA STUDIO NA MWANAMKE ALIYEMPA UJAUZITO
5:00
Wasafi Media
Рет қаралды 492 М.
DULLVANI : MAMA CHOGO KAPATA KIBOKO YAKE
2:08
Moson Vevo
Рет қаралды 23 М.
HIVI NDIVYO DULVAN ALIVYOMKANA MWANAMKE NDANI YA STUDIO
5:00
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
😆 Как Есть Чипсы в Машине #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,6 МЛН
Утро начинается не с кофе
0:41
Онлайн-кинотеатр PREMIER
Рет қаралды 3 МЛН
Choices for your loved ones❤️
0:15
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 18 МЛН
спидран по ютуб шортс 86 | Ушные свечи
0:35