SHULE KUMI ZENYE ADA KUBWA TANZANIA HIZI HAPA

  Рет қаралды 321,450

BONGO STAR MEDIA

BONGO STAR MEDIA

Күн бұрын

#SHULE KUMI ZENYE ADA KUBWA TANZANIA HIZI HAPA #SHULEBORA #SHULEADAKUBWA

Пікірлер: 312
@kuruthumsharifu
@kuruthumsharifu 3 ай бұрын
Shule hizo ninzuri sana mwanangu atakuja kusomauko sikumoja ambayo nikesho😊❤
@mwajumariami2997
@mwajumariami2997 2 жыл бұрын
Mungu aninusuruu kusomeshaa wanangu skulii hizoo najua ipo siku nitaicha bora nitoe sadaka
@junkie92
@junkie92 11 ай бұрын
Yeah...Aga Khan Mzizima. My school..I graduated 1994. So as my brother and sister.
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 Жыл бұрын
Watoto wa viongoz ndio husoma huko lakin mimi mwanangu atasoma shule ya kayumba na atawaongoza wote hao sheeeeem
@devothaherman5820
@devothaherman5820 Жыл бұрын
Naomba nitafute elaaaa tuuuu maaana wanangu nawatakia elimu nzurii
@alfredmsambaa1443
@alfredmsambaa1443 4 жыл бұрын
Mbn cc kayumba fresh tu, na hatuwazi🤣🤣
@shuubinty1447
@shuubinty1447 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Kabisa umbuje😃😃😃😃👌
@fourteen_kiid
@fourteen_kiid 4 жыл бұрын
Hatuna habari kabisa yaani!
@enitafelix1943
@enitafelix1943 3 жыл бұрын
😂😂😂🙌🏼🤝
@macklinahrv228
@macklinahrv228 4 жыл бұрын
Mimi nimesoma elim bure😂😂😂
@rabanikisusi386
@rabanikisusi386 4 жыл бұрын
Hakuna hata rais mmoja tz Aliesoma hpo
@carolinaadolf6955
@carolinaadolf6955 4 жыл бұрын
Dah! One day my kids will be attending that school
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 жыл бұрын
Usenge tu million 71 iyo kwio
@namkundainfor1265
@namkundainfor1265 4 жыл бұрын
😅😅😅 Haya ndio Yale Yale, Unaenda Super Market Unakuta Pesa ya Mshahara wako Wamembandikia Bei ya Mdori wa Kuchezea Watoto 😂😂😂
@Apelo_GAMER
@Apelo_GAMER Жыл бұрын
Aah nmecheka sana😂
@TheodoraJoseph-s2f
@TheodoraJoseph-s2f 6 ай бұрын
Hatar san
@miriammpinga7074
@miriammpinga7074 9 ай бұрын
Aisee ,,,mm elim Bure na imenifikisha sehem flan iv sio mbaya sanaaaa ila Kuna watu jaman Wana pesa mhhh m.71 nazimia
@abdul-bz1cy
@abdul-bz1cy 4 жыл бұрын
shule mazingira ni mabaya sana
@philomenamakonge227
@philomenamakonge227 4 жыл бұрын
Ni vizuri kwa mwenye pesa
@deogratiusdominick8882
@deogratiusdominick8882 4 жыл бұрын
Mmmmmhhhhhh iv mwanafunz akitoka hapo anapatiwa na kaz au
@shamiraathuman4478
@shamiraathuman4478 4 жыл бұрын
Awa kazi nje nje tena sio Tz mambele uko
@deogratiusdominick8882
@deogratiusdominick8882 4 жыл бұрын
@@shamiraathuman4478 mmmmmhhhhh ukiwa unasomesha uko lazima uwe na marafiki au uwezo wa kumpatia mtoto ajira vinginevyoo. !!!!!!
@abedinegoheriel8264
@abedinegoheriel8264 4 жыл бұрын
Hahaa wamesomeshwa kwa mamilioni lakini mbon wako wengi kitaaaa tu😃😃😃😃😃😃😃😃
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 4 жыл бұрын
Mmmmh! Watasoma kayumba wanangu
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 10 ай бұрын
Hulazimishwi ni hiari yakooook
@ebaraniathomas4750
@ebaraniathomas4750 4 жыл бұрын
mamaaaa mimi milioni na laki 7 tu inanitoa jasho
@azeezhmussa9342
@azeezhmussa9342 4 жыл бұрын
af chuo unakuj kusoma na waliosom bure kuanzia primary had secondary
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 2 жыл бұрын
Hapana kabisa wengi wanasoma chuo nje
@mandytv2667
@mandytv2667 4 жыл бұрын
Alafu mazuzu marais ...madoctor wote wanatokea kayumba
@wittyjamanidarmura9141
@wittyjamanidarmura9141 4 жыл бұрын
Uwiiiiiii na kweliii Hakuna kitu
@athumanichato9644
@athumanichato9644 4 жыл бұрын
Ww mtu analipa ada milioni 71 kwa mwaka alafu afanye kazi tz unaweza kumlipa kweli hao wanafanya kazi ulaya huko hahahah
@shylahkawa9074
@shylahkawa9074 4 жыл бұрын
Yani hawa hata hawajui Tanzania kuna nn hawa wapo nje huko hawana ata muda na Tz ndo maana hamuwaoni ata kwenye matokeo ya kitz maana wana mitaala tofaut
@gracejesca6913
@gracejesca6913 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@justinecharles3105
@justinecharles3105 3 жыл бұрын
@@shylahkawa9074hii
@hijjaferrari8243
@hijjaferrari8243 4 жыл бұрын
Ada za kawaida Sana hata million 71 ya kawaida ilimrad Mtoto apate elim bora
@annaazaeli2145
@annaazaeli2145 3 жыл бұрын
Kwa nyie matajirii tutolee wengee ww ety kawaida af bado huyo mtt namwajiri baadae mm mtu wa kayumba
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Shule za gharama ndo zinaharibu watoto maana wanapewa sana uhuru
@danielurassa4909
@danielurassa4909 3 жыл бұрын
Wew ni muongo mo dewij wa simba ame soma arusha muongo wew
@BONGOSTARMEDIA
@BONGOSTARMEDIA 3 жыл бұрын
Asante nashukuru kwa kutizama video hii
@dulabori9922
@dulabori9922 4 жыл бұрын
Hao ndio viongozi wanaokuja kutawala baadae Dah!!!!
@joycecharles4719
@joycecharles4719 4 жыл бұрын
Mm ada ya ef sabini inaniumiza kichwa🤕,wenzng 40M chekechea...nazmia
@shammoha5297
@shammoha5297 4 жыл бұрын
@Joyce Charles Mungu mwema. Utapata kw rehma zake, Ameen!
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 4 жыл бұрын
Hiyoo ada bora nipewe mtaji
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
Kabisa yaani
@evaristirazalo7459
@evaristirazalo7459 4 жыл бұрын
Jamani kama shule zote zikiwa na bei kama hizo watu hatutasoma kamwe
@AverinaShirati
@AverinaShirati 4 ай бұрын
Hizo hela zote wanatoa wapi?
@catherinelandas1938
@catherinelandas1938 Жыл бұрын
Watu wanaela kah
@happyalman6580
@happyalman6580 4 жыл бұрын
Tunachoangalia mkate tu kikubwa hapa kufanya bidii ya kuwa karibu na Mungu maana haya yote tunayaacha
@Feroze-h2d
@Feroze-h2d 6 ай бұрын
Me ninachoonq kikubwa ni uelewa tuu
@adammwambuluma6894
@adammwambuluma6894 4 жыл бұрын
Hata hazpo kwenyd top ten kitaifa c ufala huu
@millifire693
@millifire693 6 ай бұрын
Hawatumii mtaala wa tanzania
@dannymyegeta4379
@dannymyegeta4379 3 жыл бұрын
duh feeza ata no 10 imekosa...
@estomiailomo7844
@estomiailomo7844 4 жыл бұрын
Jmn kweli sisi fukara tutaishia kusikia kwenye midia eeeh mungu tubaliki nasi familia zetu zisome
@hadijasaid8235
@hadijasaid8235 3 жыл бұрын
Jmn ni aTary
@SulmanAliy-wp8zq
@SulmanAliy-wp8zq 6 ай бұрын
Kuna msemo unasema aliekupa elimu hata ya kukusomesha A huwezi kumlipa hata umpe nini sasa tusilalamike jamani hata watowe kiasi gn bado hawajalipa hao😂😂
@dianajames7131
@dianajames7131 4 жыл бұрын
Mm nikipeleka mwanangu iyo shule labda hela zipo halafu cjui nifanyie nn
@ananiamkasu8847
@ananiamkasu8847 4 жыл бұрын
Hizo shule za matajiri tu!
@sylvesterfrancis6826
@sylvesterfrancis6826 4 жыл бұрын
Mbn st. Marys siziioni?
@maulidisaidimuhani6859
@maulidisaidimuhani6859 Ай бұрын
Kuna shule naisikia inaitwa FEDHA vipi hiya ipoje nayo?
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 4 жыл бұрын
Hii ndo dunia na watu wake aisee
@binsultan6981
@binsultan6981 4 жыл бұрын
Mbona hatuzion ktk top 10 ya kufaulisha
@farlesfales918
@farlesfales918 4 жыл бұрын
Mtaala
@lauramlay1210
@lauramlay1210 4 жыл бұрын
Hawatumii sylubus ya tanzania watacompare matokeo vip
@fatmakiruwasha2378
@fatmakiruwasha2378 4 жыл бұрын
Tumesoma karumba lkn alihamdulilahi
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 2 жыл бұрын
Wakimaliza hapo wanakuwa maraisi ama wakurugenzi ama mameneja maana si kwa Ada hizo mm
@hijjaferrari2623
@hijjaferrari2623 4 жыл бұрын
Sema international School of Tanganyika bei yake za ada ni ndogo sana
@eliasdominick2586
@eliasdominick2586 4 жыл бұрын
tatazo we unatafuta sifa
@eliasdominick2586
@eliasdominick2586 4 жыл бұрын
au ni mhaya nn
@abduiddi4188
@abduiddi4188 4 жыл бұрын
Upuuzi uliokuwepo tanzania one anatoka kayumba school aya wanakwama wapi hawa
@asnawlopez1212
@asnawlopez1212 4 жыл бұрын
Ist babalaooooooooo
@holycrossctc5174
@holycrossctc5174 4 жыл бұрын
Kidumu na mfagio mie ctaki taabu😅😂
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 ай бұрын
Usichokijua ni kwamba ,huyo Wa kifagio na kudumu tayari ameshajifunza maisha ya chini akipata A hashikiki nakwambia ,Fanya utafiti ,
@schosay_
@schosay_ 4 жыл бұрын
Milioni 34 chekechea???? Yeeuuuwiiii mimi jamani🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️🤸🏼‍♀️
@amnymbega877
@amnymbega877 4 жыл бұрын
Mil 16 chekechea 🤣 na mtu amasomesha watoto 3 wa chekechea hapo🤣😂😅 maisha sio fair
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah
@sunsetpictures7484
@sunsetpictures7484 4 жыл бұрын
Sema mtaala na mtawala
@goodluckjoseph2203
@goodluckjoseph2203 4 жыл бұрын
Mnajitakia plesha to
@estart8634
@estart8634 4 жыл бұрын
Maghabe cec
@Msetotz
@Msetotz 4 жыл бұрын
Nyongeza P funk majani kasoma pia International school of tanganyika
@BONGOSTARMEDIA
@BONGOSTARMEDIA 4 жыл бұрын
💪💪💪🔥
@khalidali1130
@khalidali1130 4 жыл бұрын
Na matokeo yake hajakua gavana wa benk kaja kua p funk majani 2 daud balali alosoma kayumba kawa gavana mungu anarehma zake 2jfnze kwa haya
@enitafelix1943
@enitafelix1943 3 жыл бұрын
Kumbe
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Hahaha hahaha Eti za kayumba
@HanceBablo-ot8sz
@HanceBablo-ot8sz 10 ай бұрын
Mwanangu atasoma mwisho ada million 7 tu kushuka chini zaid ya apo no money to use
@MaedaMm
@MaedaMm 9 ай бұрын
Mimi.milioni.tatu kushuka chini😅
@ramadhankibaja8892
@ramadhankibaja8892 4 жыл бұрын
Haha ina bei kwan unapewa na mke huko huko au
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 жыл бұрын
Maisha yana utofauti Mkubwa sn.
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 4 жыл бұрын
ndomaan mo kiwango milion 71🔥🔥🔥🔥
@jacobkeleman8001
@jacobkeleman8001 4 жыл бұрын
Kumbe duniani nimekuja kusindikiza wengine? Chumba 70 tu mpaka Mwenyenyumba anipeleka kwa mjumbe, wengine wanalipa 70M, anyway tumeingia Uchumi wa kati na kati penyewe hatupajui ndio wapi😂😂😂😂
@annedavienyamhanga4738
@annedavienyamhanga4738 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@joyceabdallah465
@joyceabdallah465 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@aminielyohana3052
@aminielyohana3052 4 жыл бұрын
Hhhhhhh tanzania yetuuu
@gracepalex7454
@gracepalex7454 4 жыл бұрын
@@aminielyohana3052 🤩🤩🤩🤩
@gloryyairo928
@gloryyairo928 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Najiuliza mbona nchi zilizoendelea wanaelimu nzuri na elimu na matibabu ni bure
@mohamedmnjeja3271
@mohamedmnjeja3271 4 жыл бұрын
duuuuhhhhhhh.....💪💪💪
@carrenkapia7841
@carrenkapia7841 3 жыл бұрын
Life is not fair😢
@khamiskamtoi5094
@khamiskamtoi5094 4 жыл бұрын
Sisi Hatuwazi kina kayumba na wengine tupo Nao tunapiga spana huku
@Apelo_GAMER
@Apelo_GAMER Жыл бұрын
Hizo shule wanapewa nini hao watoto huko? N elimu hii hii au kuna kingine nyie😳
@everythingshorts255
@everythingshorts255 5 жыл бұрын
Hizo shule hazina wanafunzi
@BONGOSTARMEDIA
@BONGOSTARMEDIA 5 жыл бұрын
MI ni mwalimu piq
@happynesjohnhappynesjohn4475
@happynesjohnhappynesjohn4475 4 жыл бұрын
Wapooo
@fredducaunt1724
@fredducaunt1724 4 жыл бұрын
Unaota!!!? Nini?
@yusuphmwanjoli9862
@yusuphmwanjoli9862 4 жыл бұрын
Daya ya umasikini siku moja moja unaushtua unaenda kuuliza nafasi ya kuhamia kama ipo ukitoka hapo unakunywa soda na tikiti bac maisha yanaendelea
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 2 жыл бұрын
😂😀😀😀mamaaaa
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 Жыл бұрын
Nyoko kweli wewe yaani umenifanya nicheke kama mwehu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
@norahdenis2299
@norahdenis2299 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@upendomfaume3792
@upendomfaume3792 4 жыл бұрын
No no no no haujataja Imperial Sec school na feza girl and feza primary
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
HUKO WANAJIFUNZA NINI AU UCHAWI TU WA KUTUBAGUA WANYONGE?
@wahidkombokhamis4330
@wahidkombokhamis4330 4 жыл бұрын
Milioni 71 nishasoma chuo kikuu mpaka PHD,nishajenga nyumba ya kawaida tu,nishapata na mtaji wa biashara
@shammoha5297
@shammoha5297 4 жыл бұрын
MashaAllah. 😁👌🏼
@darliadarl3749
@darliadarl3749 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 na unabakiwa na mtaj
@shuubinty1447
@shuubinty1447 4 жыл бұрын
Acha kabisa 😃😃😃😃👌
@dellyally6413
@dellyally6413 4 жыл бұрын
Jaman naomben namba ya cm
@najma3268
@najma3268 4 жыл бұрын
Hesabu zako kali, hebu nieleweshe vzr 🤣🤣
@frederickrubinda1958
@frederickrubinda1958 4 жыл бұрын
Hujui kutamka Cambridge
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 4 жыл бұрын
Nashangaa sijaona Isamilo school ya Mwanza wala Kaizirege..uwe unatafuta habari zote kuliko kutumia kichwa chako pekee
@shamiraathuman4478
@shamiraathuman4478 4 жыл бұрын
Wee Kaizilege Ada ata haizidi 5M alfu ipo Necta izi azipo Necta ndgu
@devothakokwiyukya5179
@devothakokwiyukya5179 Жыл бұрын
Hizo zilizotajwa kaizilege ni sawa na kanumba
@zainabuayubu195
@zainabuayubu195 3 жыл бұрын
How about hazina international school
@BONGOSTARMEDIA
@BONGOSTARMEDIA 3 жыл бұрын
Tutaileta. Zai
@neemamwanga4910
@neemamwanga4910 4 жыл бұрын
Nimeishia kuona majengo tu kwa nje, labda waniite cku moja wanipe msaada nitoke kimaisha
@dorleenmp2590
@dorleenmp2590 4 жыл бұрын
Kweli dada agu
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 4 жыл бұрын
Jamani wao wanafundishaje hivyo
@smolletmwakamele4275
@smolletmwakamele4275 4 жыл бұрын
Eti Kilimanjaro hiyoo shulee iko Arusha kisigo
@amosmpeko5283
@amosmpeko5283 3 жыл бұрын
Bablai
@JanetSemweta
@JanetSemweta Жыл бұрын
Education is key
@ismailahmed5133
@ismailahmed5133 4 жыл бұрын
CHA AJABU HIZII SHULE ZOTE HUWA HAZITOI MWANAFUNZI BORA KITAIFA ,,,,Sasa sijui hawafanyi mitiani ya TANZANIA 😅😅,,,,au wanajionyesha tu na kuwa tofautisha watoto wao na watoto wa wengine,,,hakuna hata mwanafunzi ambae kagundua kitu inaonyesha elimu inayo tolewa kwenye hizii shule ,,,ni malezi tuh😁
@shamiraathuman4478
@shamiraathuman4478 4 жыл бұрын
Ndgu awa wanamitaala Yao tofauti mtihan yao haitoki tz
@shamiraathuman4478
@shamiraathuman4478 4 жыл бұрын
Na wengi unakuta wakimaliza wanaenda kuishi nchi za nje
@mariammvaa5190
@mariammvaa5190 4 жыл бұрын
Mmmm makubwa
@blandnakonkii7470
@blandnakonkii7470 4 жыл бұрын
Kufahuru ndio kulele
@elilanda7137
@elilanda7137 4 жыл бұрын
Mmh iyo shule
@mesiamatheo2230
@mesiamatheo2230 4 жыл бұрын
Mbona ktk top ten za ufaulu sijawahi kuziona hizo shule?...
@shamiraathuman4478
@shamiraathuman4478 4 жыл бұрын
@@mesiamatheo2230 ndo maana akasema azitumii mitaala ya Tanzania ndgu
@shamiraathuman4478
@shamiraathuman4478 4 жыл бұрын
@@mesiamatheo2230 ndo maana unakuta ao wakimaliza wansfanya kazi nchi za nje uwezi wakuta Tz
@nyambuli.mmanyasi6859
@nyambuli.mmanyasi6859 4 жыл бұрын
Tukutane Udsm
@anitajacob3641
@anitajacob3641 4 жыл бұрын
Du! Watu wana ela jamani
@emanuelakaro1423
@emanuelakaro1423 4 жыл бұрын
Watoto wanaosoma huko wakimalza hawawez adapt mazingira
@lucyalto8751
@lucyalto8751 4 жыл бұрын
Wengi unakuta wanaenda ishi ulaya
@kevindesigner6795
@kevindesigner6795 4 жыл бұрын
umeisaau MPONJA
@siwemasalehe192
@siwemasalehe192 2 жыл бұрын
kuna kashule flan iv kanaitwa lumiere sunrise ada yake m7. 5 na inafuata mtaala wa cambkage na ni chekechea tu
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Kama hakir hazipo hazipo tu, hata kama akasome uingereza wangap wanaenda shule bila hata viatu lakin wanafaulu wanaishi mazingila magu
@Ankobcomedytz
@Ankobcomedytz 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@adnanmaulid2013
@adnanmaulid2013 4 жыл бұрын
Jaman nisaidieni kidogo hz hbr Ni kwel Na mbona ikitoka listi za shule zilizofanya vzr hiz shule mbona huwa sizioniiiii
@Zrss602
@Zrss602 4 жыл бұрын
Mtaala wao ni tofaut na hizi nyingine
@renatusdeogratias2108
@renatusdeogratias2108 4 жыл бұрын
Hawa mitaala huwa n tofauti na hii mi Nina binamu yangu alisoma pale Constantine alishikaga number one dunian in short n Kama upo marekan Ila unasomea tz
@fredydonald1610
@fredydonald1610 4 жыл бұрын
Mtaala wa Cambridge maana ya ndiko mitihani inakotungwa. So hawafanyi pepa za NECTA
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 жыл бұрын
ni kwel mumy
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 жыл бұрын
mtaala wao ni tofaut ndo maana huzion mumy
@mayamoris529
@mayamoris529 3 жыл бұрын
Afu ka mtu kanasoma Baobab kanajitapa
@dullahmudy2255
@dullahmudy2255 4 жыл бұрын
Hizo ada kawaida tuu watu wanalipa na mtoto akifeli baridii tuuu sio ww unasoma mchamba wima primary and sec ukifelii mawaidha kibaoo hutokii ndani wiki nzima wengne mara unafukuzwa na nyumbnii
@uncleelly4543
@uncleelly4543 4 жыл бұрын
Na ada umelipiwa 20000 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@josephjosephat7826
@josephjosephat7826 4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa
@ismailchilonga2878
@ismailchilonga2878 3 жыл бұрын
Due yaaani hao wakiajiriwa Tz ni hasara kwa wazazi wao wafanye harakati zao tu
@BONGOSTARMEDIA
@BONGOSTARMEDIA 3 жыл бұрын
Asante Sana kwa comments yako karibu bongo star media
@edwardrichard5071
@edwardrichard5071 4 жыл бұрын
Hela uchizi yaan ada 40M chekechea da nikizipata mtaj hatar
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 жыл бұрын
kaah milion 71 maanina huyo mtoto labda kama kuna uhakika atakuja kuwa raisi wa nchi
@mwajumamwajumamuhammad1457
@mwajumamwajumamuhammad1457 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂umenena mzeee mwenzang
@hannahsanga5647
@hannahsanga5647 4 жыл бұрын
Nakwel
@isayajrsantoslazaro5233
@isayajrsantoslazaro5233 4 жыл бұрын
😂😂
@shammoha5297
@shammoha5297 4 жыл бұрын
Kkkkkkkkk eti eh!😂
@shuubinty1447
@shuubinty1447 4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 4 жыл бұрын
Yaan Mimi nasomeshe mwanangu shule ada 1.6 lakini nalalamika Sana duuuh kunawatu wanapesa jamani sijui wenyewe wanapata wapi hiyo mijiela tu
@khadijashabani5509
@khadijashabani5509 2 жыл бұрын
Hata wewe mshukuru mungu pesa unayo kuna watu mlo m1 unawashinda.
@dinnahdan3598
@dinnahdan3598 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁milion70
@willynyamongo9893
@willynyamongo9893 4 жыл бұрын
mmm akimaliza mshahara utakuwa ngapi hapo
@phinergelege1679
@phinergelege1679 4 ай бұрын
🎉
@2nukhamis447
@2nukhamis447 4 жыл бұрын
Shukuran
Ujanja wa Wanafunzi wa Kilakala Sec katika QNA #SKONGA
13:51
EastAfricaTV
Рет қаралды 8 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 10 МЛН
Kiswahili kitukuzwe?
11:59
Afrika Imara
Рет қаралды 114
LIST YA WATOTO WA MASTAA WAZURI NA WALIOPENDEZA ZAIDI 2023,UTAWAPENDA
11:38
HUYU NDIYE MWANAFUNZI BORA WA KIUME KITAIFA FEZA
6:31
Global TV Online
Рет қаралды 36 М.
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН