Рет қаралды 107
Mafanikio yako katika masomo yanatokana na kuwa na sifa sahihi na tabia sahihi. Ukiwa na sifa sahihi utaweza kufuata mbinu sahihi za kusoma na kufaulu mitihani yako
Kufahamu kanuni kuu tatu za kusoma bonyeza link hii • Mbinu tatu za kufuata ...
Mwanafunzi mwenye mafanikio anatakiwa kuwa na sifa sita kama zinavyoelezewa hapa
1. Mtamzamo sahihi
2. kupenda changamoto
3. Udhibiti wa vikwazo
4. Jitihada sahihi
5. kukubali kukosolewa
6. Kupenda mafanikio ya wenzako
Mwanafunzi wa kidacho cha nne(Form four), form five na six na wannafunzi wa elimu ya juu wanaweza kufanikiwa katika masomo yao kwa kuzingatia sifa hizi sita
#masomo
#mafanikio
#mwanafunzi .
Uwezo wa akili katika kusoma ni jambo zuri lakini kutumia mbinu sahihi ni jambo zuri zaidi.
Somo hili ni zuri pia hata kwa wanafunzi wanaosoma Open university of Tanzania
Usisahau kusubscribe ili kuendelea kujifunza zaidi