Ukomavu gani yanga ndo mnamshawish aongeee masikill in hata vitu ambavyo hana uwezo navyo yanga wakati huo umepita mgetafuta njia mbadala sio iyo ndo kawadhamin kwa laki moja amekuwa mdhami. Wenu sasa
@muslimkiluwa38145 жыл бұрын
Suleiman Chonya kweli kabisa
@hamadeddy80895 жыл бұрын
Kilomon oyeeee katika fomu yake
@simbamaduhu16005 жыл бұрын
Acha unafiki mzee
@harrisonselenga52895 жыл бұрын
Mh!!mzee Kilomoni huko Yang's tena!!??
@chazroochazroo6575 жыл бұрын
Kwani hapa humeenda kuongerea habari ya Simba au yayanga embu changia juko
@abdulichikuti26695 жыл бұрын
Anazinguwa huyo mzee
@lazackbrown16455 жыл бұрын
Yanga itakuwa ni Timu Tishio sana Afrika kwa Mwendo huu wa uzalendo
@shukrankifyasi15005 жыл бұрын
Lazack Brown kabisa
@issaseleman43375 жыл бұрын
Miaka elfu mzeee
@mutalemwagabriel22775 жыл бұрын
Mzee chilomoni ameenda kuomba wanacho kiomba yanga 😂 😂 jamani huyu mzee ana njaa aisee Ni balaa, yanga msimpe chochote maana na nyie Ni omba omba, Ni ushauli tu😆😆😆😆😆
@badenbensoni75165 жыл бұрын
Hati umetembea. nayo? Angalia wataiiba
@mbwanarajab72385 жыл бұрын
Moja ya kudharauliwa kwa wazee km hawa nikuendekeza tumbo, tumbo umeweka mbele kuliko huoni hao mazwazwa wenzako wanaulizia hati ya Simba..kwan Manji alirudisha ile ya Yanga!Au mmelewa unga km kawaida yenu hadi kuweka mito matumboni km wajawazito Alf mijanaume mizima
@erickchande25445 жыл бұрын
Jitafakari vizuri wewe unaesema katoa kidogo wewe umetoa nini sisi wana yanga tunashukuru kwa chochote alichojaliwa kutuchangia
@muslimkiluwa38145 жыл бұрын
Erick Chande good
@barakamesfon26155 жыл бұрын
Ajari
@BontamLee5 жыл бұрын
Mnafiki wewe,mkazi wa DSM,na wanaokaa nje ya DSM,wasemeje?umechanganyikiwa.
Wewe Mzee mwenzangu ulikuwa wapi?wakati Sjmba inasuasua?
@rodicostantino72785 жыл бұрын
hati yako ya simba nimekuwekea kwenye koti yakijua umekuja Huku yata iba hayajawahi kua naakiri
@muhidiningamba25725 жыл бұрын
Usajili mpya anaenda kusaidiana na akili mali mawinga hao
@barakamfugale10495 жыл бұрын
Mchepuko yuko na hela yake Nyie mpaka muombe mpewe ndo mkachepuke c utakuta kasha chepuka mpaka na mkeo
@emmanuelgabagendi31695 жыл бұрын
Mzee ludi tu yanga
@mariamzuheir42785 жыл бұрын
Emmanuel Gabagendi : WW HAUJATUMWA NA MABINGWA WA NCHI NI NJAA KUFUATILIA BAKULI LA MISAADA HUKOO.
@Digitalhhhhhgfgg5 жыл бұрын
Et mdhamin wa simba unadhamin yanga nenda ukooo sasa laki moja ikamsajili mchezaji gani uyuu mzeee daaah
@lazarojr89235 жыл бұрын
Wew mdhamini wa Familia yako sio simba
@rahimmarions57125 жыл бұрын
Mnafiki tu hana lolote anatafuta pa kupenyea tu..simba unazan ya kwako..maneno kibaaaaao.
@yusuphamani725 жыл бұрын
Naona maneno ya njaanjaa tu mzee sijui umefata msosi au unataka kusajiliwa
@histonezekiel80545 жыл бұрын
Anataka wenyekiti
@mohammediallykaboza58625 жыл бұрын
MZEE ushauli tu achana na mambo hayo ya media
@issamwiyombo82535 жыл бұрын
inaonekana leo ukikuwa huna hela ya kula ndo mana upo hapo
@barakamfugale10495 жыл бұрын
Juma shomari inakuhusu hii comment ya mchepuko
@Digitalhhhhhgfgg5 жыл бұрын
Haaaaaa kumbe mzeeee anatumiwaaa na yanga ndo maana wanamshawishi afanye mambo ya ovyooo kabisaaaa
@barakamfugale10495 жыл бұрын
Lilienda kuongeza ujuz wa umbeya
@fabianfaustine4445 жыл бұрын
Hawa wazee wanaharibu timu zetu
@allysinkallah16395 жыл бұрын
Tena uishie uko uko mnafiki mkubwa wewe
@hassanaloobaidan255 жыл бұрын
Mzeee muhuni wewe huna kitu chochote achia vitu hivyo
@simionraphael83825 жыл бұрын
Toka hapa ndo wanao kutuma kutuvuruga
@tatunyambala2945 жыл бұрын
njaa inakusumbua wewe si mdhamini jiangalie kwanza
@alhajimbaga40625 жыл бұрын
Huna jipya ww malaya
@MohdAli-mi8wv5 жыл бұрын
Yebo yebo mwakani mpewe tu kombe lenu kwa straika kilomoni hamkamatiki!!
@histonezekiel80545 жыл бұрын
😆😆😆
@aminamsimbe58065 жыл бұрын
Kuna mshabiki mmoja wa simba anasema yanga ni matonya lakini iko siku atatamani mambo yetu huyo wanaemtegemea ni mtu mmoja tu simba wote ni ziro wanategemea baniani halafu wanatamba eti wana pesa wametoka bongo lala watarudi bongo lala
@maulidmango10875 жыл бұрын
Vipi kuhusu manji walikuwa wangapi, Timu hizi zinapokelezana matatizo, Tulikua na ukata lakini hatukutembeza bakuli
@jacobmsiganga41215 жыл бұрын
amina msimbe huna jipya wewe
@andersonkinoga63855 жыл бұрын
Mzee unatapatapa hiyo hati utatoa tu, hao wanaokudangaya kuwa hati usitoe utavunjiwa heshima yako mzee.