Kiemba kazungumza vizuri sana na sidhani kama kuna la kuongezea juu ya alichozungumza japo tutasikiliza tu kwasababu ni haki ya mtu kuongea na kusikilizwa lkn @kiemba amechambua vizuri wenye kuelewa haraka tumemuelewa vizuri
@lusajoholland707210 сағат бұрын
Mbona comment hamna?mnataka tusome Nini sisi wapenzi wa comment jamani!?😅
@grationkato76587 сағат бұрын
Siilikuwa live
@EmanuelMinja-fv9dn5 сағат бұрын
Wewe unataka koment gani wew Ni Simba eee kunywa pombe huko ujitulize
@Waberoya3 сағат бұрын
Nyie Simba chambuenj
@victorernest770210 сағат бұрын
Angedaka mtanzania salim au manila mbona wangekohoa damu Kwa kes za kuuza match ila kwakuwa ni mgeni aaaaaaah😂😂
@charlesmseti43455 сағат бұрын
tatzo hatupendani wabongo wivu unatusumbua
@AliSaleh-x9e4 сағат бұрын
Ni kweli class ya timu ,kipa mpira unatoka hajui,
@mweyoms55482 сағат бұрын
Jibu la Mbwaduke ndilo limekaa vizuri zaidi. Mabeki wa Simba pale siwalaumu,walizidiwa maarifa ya kimchezo kwenye hili tukio.
@Tassyomy5 сағат бұрын
Kijili..Aliona Bora Amlipe Mzize..Mapema Lakin Alichokosea Jakuangalia Malipo Yake Anayalipia Sehemu Gani.. Mzize Na Kijili Wote Mbingumi..😂😂😂
@Baberes120Сағат бұрын
1.Mpira ulitoka 2. Haikuwa fauli
@KhadijaHassany2 сағат бұрын
Mungu akulan kayoko
@simonIbrahim-hc8vm8 сағат бұрын
Yanga Bingwa💪
@DanielKitangita28 минут бұрын
pengine VIR zinasaidia sana kwa ule mpira ukiangalia vizuri na zaidi ulidundia nje ukaludi ndani ilipaswa kupigwa kona ila kwakua ni mpira wa kiafrika tutaumizana tu kila siku
@OmarSeafood2 сағат бұрын
Ebwaaa eee kuna huyu jamaaa anaitwa mwaduke ni bonge moja la mchambuzi ukimsikiliza lazima kuna kitu unajifuza ni kweli hili Goli ni lilifanyiwa kazi mazoezini😮
@HusseinBakar-k8nСағат бұрын
Je kibendera hakuona kama mpira umetoka
@TeddyPaul-qo2iy10 сағат бұрын
Tumekubaliana na wachambuzi ukiona hivo lusajo
@ZuhurafumaoHatibu9 сағат бұрын
Hukutoka nje
@frankngendelo46972 сағат бұрын
Kwan hilo la mpira kutoka nje hamlioni au
@HusseinFeisal-m3lСағат бұрын
Ni kweli nmeona interview za abdul azizi akisema kua tumefanyia mazoezi hizi
@mianjotv124439 минут бұрын
Mpra ulitoka nje
@BlessMbogela4 сағат бұрын
Me AZAM kuanzia leo😅
@SajentElly10 сағат бұрын
Mbona mpira kama ulitoka nje
@LinusKyando4 сағат бұрын
MPAKA USEME
@AugustinhoManyangaunitedboetz33 сағат бұрын
Aukutoka ulidunda kwenye mstari na sio nje
@RosePetro-ck8pt45 минут бұрын
Lkn nyavu zikatikisika
@RosePetro-ck8pt43 минут бұрын
Poa sana chama,
@ashuramuhammed32573 сағат бұрын
Simba kamara mnampenda lakin Ali salum yuko vzur sana ila mnapenda sana wagen
@MuznaAllyСағат бұрын
Nyie diara mwenyeji??
@HusnatShabani10 минут бұрын
Siogoli mpira ulikuwa umetoka njee refa wenu kayoko kakaa kimia
@franccoz942 сағат бұрын
MBONA HAMSEMI MPIRA ULIKUA UMETOKAA,AZAM MNAWAOGOPA UTOPOLO, PENATI HAMSEMI,MNASIFIA UTOPOLO NA USHINDI WA UDHURUMATII
@BarbraMbelwa-jr9sd2 сағат бұрын
VAR ingekuwepo lisimgekuwa goli.Mpira ulidunda nje ukarudi ndani.Ile ilistahili kuwa kona.
@wechemakambo2182Сағат бұрын
yanga ndiyo magoli yao hayo na waamuzi hufungwa macho
@RosePetro-ck8pt47 минут бұрын
Ungeweka kona,mtateseka sana
@BarbraMbelwa-jr9sd43 минут бұрын
@@RosePetro-ck8pt 😁
@ALBERTNyemba-uk3fr4 сағат бұрын
Muulize faluduro kwann komment akuna😅😅😅😅😅
@HusseinBakar-k8nСағат бұрын
Mm pale sikuona faulu
@PhilipoLeonard-q5w32 минут бұрын
Mbona hamsemi offside wachezaji wanne mwamuzi anaangalia tu
@EmanuelMinja-fv9dn5 сағат бұрын
Simba wamepamban kupunguza goli nyingi
@Cheka_upasuke2 сағат бұрын
KAYOKO hafai kuwa na bag ya FIFA maamuzi ya kifala sana
@GilbelineNkurunziza3 сағат бұрын
Yani simba badosana kuifunga yanga tani bado😅😅😅😅😅
@GodlistenNdetaulwa3 сағат бұрын
Yanga imeshindikana Africa ,Simba kwani sio ya Africa au, ataachwaje na Yanga bila kulizwa!????
@LinusKyando4 сағат бұрын
KILA MKIMUWEKA KAMARA IMO
@remmybenjaminkasochela190158 минут бұрын
Pamoja na yote Kamala ndio golikipa bora kuwah kutokea Tanzania league huyu mwamba apewe maua yake
@BahatiMgallah3 сағат бұрын
Imeisha hiyo point tatu
@AltamimSoud46 минут бұрын
Hapa wachambuzi wote sioni kama wanafuatilia vizuri maana kama kumeamuliwa kuna VAR na wakiangalia uzuri mpira alioruka kamara na ulitulia nnje ukarudi ndani sasa nchi za wenzetu ndio wanagutilia matukio hapa wanalaumu kipa na simba sio marefa na ma VAR wanaofuatilia hawajaliona la mpira kutulia nnje ukarudi ndani alipojaribu kuudaka kipa ??
@Shaban-m7k4 сағат бұрын
Iyo ndio mipango ya soka
@yunusimchala65694 сағат бұрын
Ila mvua imeharibu lad has ya bolii
@davidntowanga77179 сағат бұрын
no comment
@MsafirSteven3 сағат бұрын
Simba wanayo shuli mm renad Joseph kutoka sengerema mwanza tz 0:00
@MsafirSteven3 сағат бұрын
Nami nipo musiniache
@LameckLulimbiyeNdalifanye2 сағат бұрын
Yeye angeuacha tatzo misifa huwajui Simba eti anaweza kalikologa alinywe sasa
@truhjay78912 сағат бұрын
Mi ni sound engineer aise, waambie studio wafanye vizuri kwenye sautii aisee kuna makelele Yani (distortion) ni hayo Tu.
@selemankishema57803 сағат бұрын
Hata kama vipi kipa alitakiwa aokoe kwa kutoa nje sio kuurudisha ndani au kuudaka hata kama alidhani mpira utaingia golini kwakuwa ulikuwa mpira uliopigwa pembeni mwa goli
@naimasbuguza23952 сағат бұрын
Camara ni kipa mzur lakin Hana kocha mzr na hajawah kupata kocha mzr. Anatumia kipaji chake tu Bila professionalism au akili yake... Ikiwa mchezaji anakipaji inahitajika apate kocha atakaye muongezea mbinu na akili ya kiuchezaji.. Kamara anafanya makosa yakitoto for the second time..
@vicenttarimo2203Сағат бұрын
Kwanza mbona tofauti na mpira kutoka pia wacheji wa yanga walikua Of said
@EnzoKaisedo-t9sСағат бұрын
Tusipo wafunga wanajifunga wenyewee
@allymtanga812719 минут бұрын
KAMA SAUZI TUU😅😅😅😅😅
@GeofreySolomoni4 сағат бұрын
Mpira ulitoka
@jumannemohamedy14563 сағат бұрын
Nyie AZAMU ni waulize kwani mli nunua VR ije kuwa urembo wa Taifa ama mme nunua VR ije kuwa urembo kwenye jumba lenu la AZAMU mmna ukosea sana mpira wa miguu
@MhinaKulewa2 сағат бұрын
Azam hawana mamlaka ya kununua VAR na kuifunga kwenye uwanja wowote bila Tff kuhusika. Kama unataka VAR waulize Tff sio Azam
@GetrudeSusuma-pe5uiСағат бұрын
Dah goli la mchongo
@harunkaluona77792 сағат бұрын
Mbona mpira mbona umedunda nje.nyinyi mmeng'ang"ANIA kwenye hili.
@KhamisShaur-wt3fk2 сағат бұрын
Ulitoka nje
@SafarKuhaha2 сағат бұрын
Mbaka. Mseme na hajasema
@AliSaleh-x9e4 сағат бұрын
Kipa anaanika nguo kavu
@allytwalib7787Сағат бұрын
hiv na simba hii wachezaji wamehongwa? au yanga wapo mbali kiuwezo
@LinusKyando4 сағат бұрын
MNASHANGAA KUFUNGWA GOLI MOJA?LEVEL YENU NI KENGOLD,KMC,
@babycandycharles78163 сағат бұрын
Kweli kabisa faulo inapigwa michezaji ya simba yote imeduwaa tu ivimashabiki hawaliononi hili onawachezajiwao walivoduwaaa wanashangaa mpaka Max anaenda kupiga mpira yenyewe ikaatu kimya mwisho inaenda kujifunga yenyewe hahahah hongeleni wachambuzi kwakuliona ilo
@piussangu79634 сағат бұрын
Gamond ni anga zingine nyie
@errydeo88655 сағат бұрын
Kipa au beki,kama huna UHAKIKA, MPIRA UNAUTOA NJE ili wenzio wajipange! Hiyo ilikua school boy error! Diara huo ujinga HAFANYI! HUYU KIPA HAMNA KITU! kesha i cost simba 5 POINTS kwa makosa ya kitoto!
@HajiAthumani-z9e2 сағат бұрын
Mpira unaonyesha ulitoka na lazimeni alikua karibu kashindwa kunyanyua kibendaea?
@nelsonerasto60483 сағат бұрын
Wapumbav kwel hao kwenye mpira mbn hawachambui kwamb umetoka au haujatoka kitaalam
@AugustinhoManyangaunitedboetz33 сағат бұрын
Sasa watachumbuaje mpira ambao aujatoka ukiona kitu akichambuliwi jua akijatokea
@habarimatukio39858 сағат бұрын
MPIRA ulisha toka mbona golikipa kaushikia nje
@rachelbujuli44873 сағат бұрын
Mechi irudiwe😂😂😂😂😂
@LinusKyando4 сағат бұрын
KIJIRI NA KAMARA NI MADUKA YETUI NA BADO MPAKA MSEME MADUKA HAMUJAYAONDOA,MUKIONDOA DUKA MNALETA MADUKA
@josephgalandu1283 сағат бұрын
Mapitoooooo m Pitoooo Camara mapitooooo Simba Presure mapitoooo😂😂😂😂
@Cheka_upasuke2 сағат бұрын
Azama ni media ya kijinga sana, mnachambua goli ambalo ni halali mnaacha kuchambua makosa ya boka na mudathiri mmekuwa chawa wa Yanga. Acheni ungese,
@edwardmwacha2 сағат бұрын
Mamaaako
@Cheka_upasuke37 минут бұрын
@@edwardmwacha utapakwa mafuta tuliza komwe mgese mwingine
@ProfessionalPaul7 сағат бұрын
inamaana nyie wote amkuona kama umetoka nyie makuma kwel
@saltechnologiesco.ltd.23777 сағат бұрын
Wewe uliyeona kama umetoka ulitumia kiungo gani kuzuia msifungwe?😂
@HusseinChai-n4g6 сағат бұрын
😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
@EmanuelMinja-fv9dn5 сағат бұрын
Sasa unatukana nn umepaniki nn mtu unatukan kwenye mtandao akili sifuri
@DaudiIpyana3 сағат бұрын
Kafute goli basi sawa 😂😂😂😂💚💚💪💪
@EnockNanyaro-lk1zi3 сағат бұрын
Match kaimaliza kayoko tuwe wakweli maana penalty mbili za kibu kufanyiwa foul kapeta pia red mbili Moja Kwa Simba Moja Kwa yanga kapeta