Hakika hii story ina fundisha sana ni mzuri hongera mwandaaji👏👏👏👏👏
@kindyuba81405 жыл бұрын
Simulizi zuri xana mungu akubariki
@nyavaelly54505 жыл бұрын
Penda sana story hii imenikosha mbuz ndama na ng,ombe ndama hawauzwi million kila kitu kilianza kwa kidogo. Kikubwa ni kufaham unafanya nn zinakuaga kama story lkn wat hatudhubutu kufanya ..... Kujiamin ndio nguzo moja imara sana utafanya kitu bila woga mwisho itabaki historia kuwa nilitoka kuleeeee.....,.nimeipenda sana hii
@echoboyentertainment60005 жыл бұрын
Karibu Nyava Elly
@samwellugwila67496 жыл бұрын
Big up,, rest in peace Martin Luther King..... unafanya tutumie busara zako!!! waoooo mtunzi na msimulizi!!!
@annaissaka72284 жыл бұрын
Nmeipenda na imenifundisha ,asante kwa ujumbe
@paulmsape163 Жыл бұрын
Mungu atunusuru ktk hali hii,na atulinde na kutupa uvumilivu amina
@annen39236 жыл бұрын
Wow. This a very good lesson to learn. Never lose hope in Life. Trust in God and work hard
@samweloyabi93625 жыл бұрын
Amen 🙏
@ayunyahmad11425 жыл бұрын
hadihi.hiyi.nimzur.sana
@PoliycaripoSuzo8 ай бұрын
🎉
@stevekanemelakatembotz88296 жыл бұрын
Hakika Mungu aliwaumba kwa sabab maalum asanten kwa kutupa somo zur mbarikiwe sana
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa simulizi nzuri Hakika nimejifunza
@adamuiddy31835 жыл бұрын
Emu mungu wangu nipe uvumilivu kwenye maisha
@aasiyaasia6825 жыл бұрын
Shukraan sana kwa simulizi nzuri#hatutakiwi kukata tamaa hata kama tunapitia katika magumu kwa kias kikubwa..Kiza kiingi kina. Mwangaza
@danieljohn38365 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu uendelee kutuelimisha vijana
@latifahshaban33854 жыл бұрын
Nzuri sana nimeipenda
@linaymushyyy364 жыл бұрын
Mzuri sana nimeipenda umenifunza kitu
@ananiajoel94724 жыл бұрын
big up kupitia story hii nimejifunza sana
@rosemaiko17105 жыл бұрын
Ahsante & Mungu akubariki nmeongeza elimu⏰
@abdallahshariff36083 жыл бұрын
Simulizi nzuri sana, Hongera kwa kutupa mamneno mazuri ya kutia moyo na nguvu za kupambana na maisha, shukran sana
@akrammmuko88754 жыл бұрын
Eeeeeeh Mungu naomba tunaomba utuondolee uzito katika Maisha!
@casemiroyassir35743 жыл бұрын
Masha Allah mungu akujalie
@alphonsinajohansen3535 жыл бұрын
Nimejifunza .ukishindwa kukimbia tembea ukishindwa tambaa ila usisimame.mhh somo zuri sana
@shebyselemanibigup58105 жыл бұрын
uhakika sana simulizi ipo sahihi na msimuliaji yupo makini kwenye maisha umaskini huwa ni jirani na utajili na utajili jirani yake ni umaskin
@aloycemkumbwa8945 жыл бұрын
Dah nzuri sn km huwez kupaa bs kimbia au kukimbia nako huwez bs tambaa lkn sio kusimama I like tuchangamkien fursa vijana wenzangu
@fadhilikabonkefadhilikabon79782 жыл бұрын
Inapendeza sana 😢
@cedrickndayizeye56015 жыл бұрын
Story Zuri Sana😘❄
@josetobias49295 жыл бұрын
inapendeza sana braza
@patrickalex35536 жыл бұрын
Hii ni Simulizi inayo nigusa kweli kazi nzuri
@azizhassain50505 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaaaaaaaaaaah kwa somo lako zuri bro
@faustinejohn90334 жыл бұрын
Ukweli maisha nichangamoto sana by ELISHA Wangwe toka Kishili nimewaelewa sana
@onesmovita82866 жыл бұрын
inafundisha sana hasa kwa vijana
@salehuae75185 жыл бұрын
Waaah. Am blessed for this. My God bless you more. Nice point
@ayubkasirani8344Ай бұрын
Mungu akubariki kaka kwa story yako...yaani imenipa nguvu mpya ya kuyapigania maisha yangu AHSANTE SANA KAKA
@pendochibena89475 жыл бұрын
Ni nzuri sana kaka
@akilikarama33315 жыл бұрын
Ongera kwa ujumbe mzuri wenye faraja mungu akujaalie fikla zaidi
@BoazNyerenga-l4n7 күн бұрын
Simulizii nzurii inafundisha kuwa tusikatee tamaaa
@lucaslaurent29206 жыл бұрын
Iko vizuri sana, INA funzo muhimu LA kimaisha
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@nicholusmakewa2542 жыл бұрын
great touching and hope words
@chibaleh.vicent47056 жыл бұрын
asaante Sana naamini Mungu atanisaidie nisimame kufika kule napotumainia
@charlesbarongo69226 жыл бұрын
Like
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@josephmkwama4803 жыл бұрын
Inauma sana
@immanyoejucstar36336 жыл бұрын
Ninzuri San nimeipenda
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@mzakirujuma11056 жыл бұрын
Nzuri sana
@samirasaadun95176 жыл бұрын
tujipe moyo mungu anatoa kwawakati wake
@yazidishabani.68375 жыл бұрын
Samira Saadun
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@shokolomasungadaudi28586 жыл бұрын
Ni fundisho ktk maisha yetu ,ahsante sana bro.
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@ridhiwanishafi74485 жыл бұрын
big up nabii mswahili
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@eliaspeter85904 жыл бұрын
uko vizuri kaka endelea na moyo huohuo ili wa Tz tuamke tufanye kazi na sio majungu.
@PoliycaripoSuzo8 ай бұрын
Hadithi tamu sana, nimeipenda.
@kidutasuleiman2555 жыл бұрын
Kaka wewe hauna mfano kwa simulizi hapa tanzania, ur too creative
@hamstonemalika4895 жыл бұрын
Asante sana umenifungua macho yangu, nimeona mbele.
@ritamtui57266 жыл бұрын
Dahhhh!!!!! Ninejifunzaaa
@MOMISIFAH4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@gemasima16264 жыл бұрын
Uko vzr sana brother
@ruthchelimo96356 жыл бұрын
Asante sana ndugu kwa kweli nimejifunza mengi kutoka kwako.
@ostazclassic33706 жыл бұрын
Story nzuri sana 👈
@maryanney77635 жыл бұрын
Very nice story
@samanthaali8735 жыл бұрын
Kweli😢umaskini sio mwisho wa maisha funzo zur mno
@alhajihamzahusseni73202 жыл бұрын
Inafundsha san tusikat tamaa tupambamb
@zulfasaeed74455 жыл бұрын
Asante sana kwa simulizi nzuri kaka mungu akujalie
@nikkah99676 жыл бұрын
nzuri sana
@gastordominic4105 жыл бұрын
Hongera sana umetujuzs mengi
@mcdonaldkaaya85552 жыл бұрын
RIP baba
@alexmwashifungwe34736 жыл бұрын
Daah,hakika kila mtu na kipaji chake, simulizi kama naambiwa mie. Hongera sana brother simulizi kwani imenibadilisha kifikra,akhsante bro.
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@abdinurali7879 Жыл бұрын
Aja mungu asidi kukupa nguvu mzee wangu kwa mafunzo
@nasrahassan81025 жыл бұрын
Goodluck
@adamali4386 жыл бұрын
Nimeipenda sana na kweli maisha ni kujituma bila hivyo utaishia kulaumu Mungu kuna wenye hawakusoma ila ukiwaangalia vyenye wanaishi ukiambiwa hakusoma hutoamini japo siku hizi tunaambiwa ukitaka maisha mazuri mpaka uwe ulisoma ila wapo wenye walisoma na ukiwaangalia hali yao balaa vijana tujitume hata kama hatuna elimu nguvu kazi
@paulosimon70586 жыл бұрын
nice story uko vzry
@majulaedward11406 жыл бұрын
Adam umenena vizuri
@PaulineJaphetАй бұрын
Kwakweli naipenda sana hii simliz
@ismaelmastaki77695 жыл бұрын
2019 nani yupo hapa gonga likes
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@aminarashid46276 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka ubarikiwe sanaa
@salikimapumba8866 жыл бұрын
simulizi nzuri , nimeipenda sana inafundisha.
@fabianedwin60435 жыл бұрын
kwel unatupa hamasa na sisi masikini tunafalijika kwa kututia moyo kaka hapa duniani
@conradjohn10475 жыл бұрын
simumlizi hiii nzuri inafundisha
@fredcharles29575 жыл бұрын
Nashukuru kwa mafundixho yako hakika yanatina moyo sana hakika nimejifunza ki2
@kennethkiprotich84926 жыл бұрын
God is watching !it can not happen when we can not struggle for our way
@bekaboy21915 жыл бұрын
Una story nzuri kaka
@naimasaid77634 жыл бұрын
Nzuri sana, inatia moyo
@azachekambembela85586 жыл бұрын
Nmeipenda lakn vp a2wez kua namawasilian ndg mm mwenyew naandika story lkn bd cjajua pakuzpeleka
@blesssindamwaka98236 жыл бұрын
iko vizur sanaaaa
@msomorobrown14905 жыл бұрын
You rise us up
@mathewkuya48016 жыл бұрын
Inapendeza na inafundisha,
@catheafricanbabe84083 жыл бұрын
Wow 👌👌👌
@nurdinimndeme29126 жыл бұрын
dah.! maneno haya ni funzo kubwa sana ' Ahsante sana bro
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@nadyahassan79245 жыл бұрын
hongera kk tunajifunza sn
@tummash17446 жыл бұрын
Mafunzo mazuri kwa hawa vijana wa leo
@tegemeareuben76185 жыл бұрын
Mungu tufungue macho na ufahamu tuone fursa
@bijumakassim36976 жыл бұрын
Simulizi nzuri Asante sana msimulizi
@salimomar68254 жыл бұрын
Hy
@pascalmichael52002 жыл бұрын
Sana
@yusuphpadonlameck59302 жыл бұрын
Nimeipenda nimeielewa xmsana mzee Asante saana MUNGU akuzidishie barakah
@amadeusmedia55606 жыл бұрын
Safi sana kaka
@hamishamis99056 жыл бұрын
Mashaallah inapendeza
@barakafrank60086 жыл бұрын
Nzur sana
@mikenc15406 жыл бұрын
napenda sana simulizi zako brother
@gorretinyongesa86366 жыл бұрын
Funzo zuri.tusichoke licha ya Maisha kuwa magumu
@bihimomasemo44826 жыл бұрын
Ubarikiwe maneno mazuri sana
@hilarymoshi97023 жыл бұрын
Nazpenda san
@paulkazung9106 жыл бұрын
Inatufunza sana tusikate tamaa kwenye maisha
@simuliziarena4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y3iwY3eIqKh0iNU
@kizabahombwa20456 жыл бұрын
Wow so nice i i love
@aishaalfani82465 жыл бұрын
Salam aleykum jaman na mim nayapitia haya. Wazaz wangu wamepata shida sana kutulea mpaka sasa Nina miaka 23 sina tumain Yakuwalipa wema wazaz wangu eee mungu naona Mwenye deni kubwa kwawazazi wangu jamani
@jjsikalumba39475 жыл бұрын
hakika ni hadithi nzuri
@pastorybudaga74066 жыл бұрын
Dah! iko vzr saaaaana
@Rhymeshood6 жыл бұрын
nzuri sana hio nimeipenda
@abasiwiliamabasiwilliam18366 жыл бұрын
umeipenda nn
@richardmwaipopo87486 жыл бұрын
m ungu akubariko
@priscanazaleth67845 жыл бұрын
Nzur
@mossjohn68376 жыл бұрын
gud story i mean god ix able 4 every 1
@nazirabdul89506 жыл бұрын
Nzuri Sana aisee
@salumusalumu29475 жыл бұрын
umenipa nguvu nitazidiikusonga
@wamburakebwabwa8792 жыл бұрын
Wanadamu tusikate tamaa
@obedibagein93855 жыл бұрын
This Remind something thx for this Story
@iragibarumi84356 жыл бұрын
Wow nzuri sana
@monikawilison82576 жыл бұрын
inasikitisha sana
@samuelwanjala9876 Жыл бұрын
Be pleased brother it really touches ❤
@theopisterjovent34832 жыл бұрын
Nimeipenda inafunza mengi katika maisha mbarikiwe🙏