Laana ya Allah imfikie alipo bora angekufa kuliko kunyofolewa sikio
@omarmohammed51572 ай бұрын
Leo nimeamini kama Rais wa marekani ni devils 😈
@diyembarak55062 ай бұрын
Kwani wajuwa leo wewe 😂
@anordgerison86392 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@BonfaceWawire-k6p2 ай бұрын
waah ndio unajua xaxa huyo ni xetani
@yassirsalmin53332 ай бұрын
Wote ndio wale wale kumbe da 😮
@FahmiNassor2 ай бұрын
Hakuna RAIS yoyote wa marekani ambae hatosimama na Israel wote ndio wale wale
@yahayaannu36632 ай бұрын
Wagombea wote wa urais USA wanadhaminiwa na shirika la Wayahudi/Wazayuni wenye mapesa mengi na wanamiliki asilimia kubw ya uchumi wa Marekani linaitwa AIPAC kwhyo Rais yeyote hawezi kuenda kinyume na matakwa ya Israel na ndomaan wana jeuri
@djmaxbeatztz2 ай бұрын
😅 Trump ni myahudi kabisa,wamarekani wengi matajiri ni wayahud
@mussaisaac2 ай бұрын
Trump anasauti ya kimamlaka Mungu ibariki ISRAEL
@TheMaquiN2 ай бұрын
😂😂, hyo miemko hyo
@maroahkissiry48632 ай бұрын
Viva Trump👊👊
@mussaisaac2 ай бұрын
Trump ndio Rais ajae wa USA 🇺🇸
@hadijaossi78212 ай бұрын
HUYU ILE RISASI BORA I VEMPATA TUU AKAFILIA MBALINI KAFIR MKUBWA MUUWAJI WW NA MBAGJZ WA WAAFRIKA KUKU WEWEEEE
@SaraphinaKidoti-qe7gi2 ай бұрын
Anataka sapot umbwa uyo
@Hussein-gx4qu2 ай бұрын
Mbona haulaani Israeli kuwaua wanawake na watoto
@tekashisixtynin9threewithd7272 ай бұрын
Mbn na ww ulaani zile kombora 500.. walizorusha HAMAS na yale 300 mengine yaliyorushwa na hao hao yangedondoka chini ungefurahi ona vifo vya watoto na watu wengine bcz sababu ISRAEL ikachukua sheria kali na ni muhimu sababu hata …..
@tekashisixtynin9threewithd7272 ай бұрын
Hawakuambia wanarusha makombora walishtukia lakin baati ya MUNGU wakayazuia yote na hao HAMAS wazuie hayo 😂😂😂😂
@hamicpina11512 ай бұрын
Jamaaa uyu x mkubali anapenda mauwaji gaza
@Yotekwayangagood56102 ай бұрын
Huyu tramp akipewa urais vita atavinunua yeye
@allahisone63862 ай бұрын
KISHA???
@themoredwamichano86362 ай бұрын
Huyu ndyo Balaa kumbe jamaa unafuatilia sana anapenda vita sana huyu nouma
@emanuelgavile35032 ай бұрын
Saaa 3 asbuhi
@Zuhuranadadoita2 ай бұрын
Huyu alisema anawapenda Israel so hakuna kitu wote ni sawa
@BonfaceWawire-k6p2 ай бұрын
@@themoredwamichano8636😂😂😂😂
@KikiSalum2 ай бұрын
Nilikua nampnd lakin sitk hat kumsikia mbwa huju
@rumdeesonsoa18112 ай бұрын
Shida yenu mko kihisia zaidi. Ila kihistoria Trump anaiunga mkono zaidi Israel kuliko Biden
@Anthonyzombie-d2s2 ай бұрын
We humtk kwan yey anakutak,shobo zako ndo zinakuponza
@kiuje2 ай бұрын
waislam mwarabu kuwauza kote kule Bado tuu mnajihisi nanyi warabu Mimi ndio maana nimelud kwenye asili
@ShekhMufyd-mn9zn2 ай бұрын
@@kiuje wew acha upumbavu asili ndio nini rudi ktk dini yako Vita vinavyotokea mashariki ya Kati vilishatabiriwa kitambo
@emmadora78482 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811na ana maamuzi magumu sana hata Netanyahu arudi nyuma
@salimomar-n7s2 ай бұрын
Wote hwa ni vibaraka wa israel hakuna raisi wa mmaryakni atakae tetea mpalestina
@nelsonmrutu3712 ай бұрын
👏👏
@WadySaidi2 ай бұрын
Mpumbavu yeye trump
@ManzabaySalim2 ай бұрын
Huyu ni LBQT
@tekashisixtynin9threewithd7272 ай бұрын
Umejuaje ni LBQT kama ww sio sababu mchawi anamjia mchawi mwenzake 😂😂😂
@jumamussantuiche2 ай бұрын
@@tekashisixtynin9threewithd727sela zao moja na wao ndo wazamini
@alisalimo28612 ай бұрын
elfu aruban na kumi wapi wengi ama kweli hawajamaaa
@ZainabuBakari-yb4vj2 ай бұрын
Mwehu
@djmaxbeatztz2 ай бұрын
Huyu ndo rais aliyechaguliwa kwaajili 3rd WW
@AdenYussuf-x5u2 ай бұрын
We support trump because pride becomes fall
@AbubakaryManeno-re1jq2 ай бұрын
❤
@StrongbowArrow20042 ай бұрын
Hivi kwanini ile risasi ilirenga sikio badala ya uchogo 🤦 Slap your buttock 😏fyutuuu. 🤗bata wahedi #temporaryPost
@alzawahirabdallah22992 ай бұрын
Ile ilikuwa km msg tu safari hii atapigiwa simu kabisa ataamuwa yeye apoke simu aw akate
@StrongbowArrow20042 ай бұрын
@@alzawahirabdallah2299 😆😆😆🤣🤣🤣🫵
@romanamassawe8142 ай бұрын
Hivi jwtz ikikupiga wewe risasi ya makalio utaweza kunya ?
@StrongbowArrow20042 ай бұрын
@@romanamassawe814 Yani wewe unajina la baba angu na la mkwe wangu, lakini D mbili huna ..umefelia wapi Bob 🤣🤣🤣
@emmadora78482 ай бұрын
Ndo ujue wewe sio Mungu😂
@SaraphinaKidoti-qe7gi2 ай бұрын
Bola wangeliuwa ty 😮😮
@juliuskitomari30572 ай бұрын
Kwanza mjue kuwa Trump ndiye mshirika wa Israel kuliko Biden,na ikumbukwe alimwambia Biden kuwa Biden ni kama Mpalestina,ndiyo maana,kauli Ile ilikua kauli tata,na tafsiri yake inaweza kuwa maana kwamba,Biden hajatoa support ya kutosha kuiteketeza Palestina,kwa maana kwamba yeye akiingia atawasaidia kupigana,hatakuwa kama mpalestina. Pili,ifahamike kuwa hakuna rais yetote anayeweza kuingia marekani asiwe mshirika wa Israel,unaona juzi tuu trump mwenyewe amekaa kikao na Netanyau,Je nani anajua walichozungumza? Na huyu mtu Ana kauli tata sana,eti anamlaumu Biden,how?
@kiuje2 ай бұрын
waafrika wengi sahv wana jitambua uwezi ukamkuta mwafrika asilia anashoboka boka na vitu kama hivi wakati ndugu zetu kongo wanateseka mimi naona hata wakifutana sawa
Golan heights ni eneo la Palestine,linalokaliwa kimabavu na ISRAEL.... international law, international organisations including UN wanatambua Hilo...ndo maana ata media za magharibi wanaliita israel-annexed golan heights ama israel-occupied golan heights....
@Farhah00352 ай бұрын
Mimi simpendi yoyote Kati Yao maan nakumbuk uyo uyo Trump nay kipndi iko madarakan alisapit saaan habar z kishogo Allah awalaaaan
@Ryannkae2 ай бұрын
you are lying broo kama kunamtu anachukia ujinga huo tena sanaaa ni drump tena wanajuwa akipita tu wanajuwa ata vi cancelled
@emmadora78482 ай бұрын
Acha uongo ,alikataa kabisa hayo na ,hata Sheria ya kutoa mimba alikataa,
@jimmykurya85542 ай бұрын
Golan heights ni eneo la Israel
@evelynemugeni23692 ай бұрын
Eneo lenye petrol ilo muzungu ni umoja tu
@lusajomwaipopo5042Күн бұрын
Siyo Trump hiyo ni sera ya Amerika kwa Israel
@DafiMohamed-dz8xk2 ай бұрын
Mashetani wote ndio wale wale usitegemee akishinda atageuza kauli wanajifanya wao ndio kila kitu lkn wanajidanganya hao mayahudi waoua kila siku je au watu wengine hawana haki..Congo kila siku watu wanakufa sababu ni manyang'au lkn mayahudi wakistuliwa kidogo inakuwa wimbo wa taifa hovyo kabisa wewe
@saidkhatib91462 ай бұрын
Hawa ndo wale wale wanafiki wanajuana hatushangai
@MasterOil-qm6vw2 ай бұрын
Trump Kashajitangaza wazi wazi alivyo kweli wanadhihilisha kile wssichokua nacho ndani ya mioyo yao laki allaah ana walaani wanaropoka na kuyatoa yale yaliomo ndani ya mioyo yao
@NelsonJackson-z7r2 ай бұрын
Trump, angalia San uchaguz kwaili bas ten uraic basi upati
@JamesSichimata-w1u2 ай бұрын
Inawezekana watu hamuelewi huyu mwamba lakini msome vitabu vitakatifu ndo mtajua kubusu hili eneo
@yassinhamza19692 ай бұрын
Mataifa yote ni matakatifu msikalilishwe na vitabu vya ukoo hivyo
@zuricakes68172 ай бұрын
@@yassinhamza1969 Mtajua Hamjui. Israel ni moja, ile ile ilioandikwa kwenye Quran. Tatizo hamsomi vitabu vya dini, mnasubiri kusimuliwa
@RitbayRitbay2 ай бұрын
@@zuricakes6817kakojoe kalale kesho ule madona yako na mrenda
@yassinhamza19692 ай бұрын
@@zuricakes6817 hivyo vitabu wameandika watu hata Tanzania tungethamin vya kwetu kuna watu wamefanya maajabu makubwa Zaid ya hao manabii weupe
@hajjiomary23832 ай бұрын
Kumbukeni Robert Mugabe Sadam husein mohamed ghadafi wote walishasema jamaa ni hatari kwa dunia wao wapo kwa kupiga pesa tu awajali watu wangapi wanakufa
@inocentlema55742 ай бұрын
Naombeni nielewesheni jamani “ kwa nn kila raisi wa marekani anayeingia anasema kuisaidia israel ili hali marekani n taifa kubwa”
@abdulwaheedsheikh80152 ай бұрын
Ni suala la kiuchumi Kuna biashara kubwa ya mafuta na silaha... na wanasiaisa wakubwa na matajiri wengi marekani Wana asili ya wa israel.
@djmaxbeatztz2 ай бұрын
Matajiri wengi marekani ni wayahud istoshe Trump mwenyw ni myahudi
@ajsmainde51382 ай бұрын
sema huyu na israel ni dam dam kuliko hata biden.
@MagidaFafa2 ай бұрын
Ana akili mpumbavu uyu sasa Biden anausiana nanini kwaiyo vita
@MarcellySumaye-bv5lh2 ай бұрын
Kwan wew unajua sera za nje ya marekan au shule hujaenda kabisa
@MohammedBwanga2 ай бұрын
Ukimya wa commando lkn Rais intelligence duniani VLADMIR PUTIN ,alivyokoswa kuuliwa Trump lkn na kauli km hio ivi hizi km c drama kitu gani?juzi kakoswa kuuliwa,kisa anataka kuleta Amani Alf Leo anaitetea Israel !!! HII NI MIONGONI MWA SABABU YA PUTIN KUPUUZIA DRAMA ZAO HAWA WAJINGA WANAOJIITA INTELLIGENCE
@saidiomar66422 ай бұрын
Mbwa ni yuleyule tofauti yao kubweka tu
@jamesmboneko29522 ай бұрын
Kumbe nae Bwabwa kama Biden 😳😳
@pujimontanapachino49582 ай бұрын
Huyu mwamba ndio hata play vita ya 4 ya dunia
@ZayyanaBamuni2 ай бұрын
Watu 10 wanathamani zaidi ya watu efu 40?😢
@emmadora78482 ай бұрын
Wote wana thamani
@muzafarsharif94652 ай бұрын
kwani nyie mkijua trump ni mwema???
@MohammedBwanga2 ай бұрын
Hili taifa karne hii ya teknolojia lkn ujinga mtupu wanatuonesha.
@hidayahidaya-vd3ze2 ай бұрын
Bora tupewe silaha waislamu tuingiye mzigoni tufe soote Hana faida ya kuishi hawa wakubwa minguruwe ndiyo inayo rejesha nyumba Saudia na kattar na kuwet hebu ifike pahali watuwaamuwe moja wasituendeshe ujinga kwani nawao hao waogopa kufa waliona waislamu wamechachamaa wallahi wataenda sawa na vita vitasimama kwasababukila moja atakupa akiamka Hana Raha paamuliwe waislamu amkeniiiii
@emmadora78482 ай бұрын
Mpewe na nani? We unaongea tu unafikiri vita vizuri ehee? Tengeneza Yako kaingie vitani
@SamsonKinyua-yr6lz2 ай бұрын
Umechelewa ugekua uko gaza
@shannarsaidSwahili2 ай бұрын
Hata Trump afanyeje atakufa tuu
@emmadora78482 ай бұрын
Hata wewe utakufa tu
@shannarsaidSwahili2 ай бұрын
@@emmadora7848 nikukumvushe tuu hata hiyo Israel sio christians,kama hujuwi ni wayahudi
@emmadora78482 ай бұрын
@@shannarsaidSwahili me siko hapa kuzungumzia dini ya mtu ,ninachokuambia na wewe utakufa tu kama ulivyosema Trump atakufa tu
@emmadora78482 ай бұрын
@@shannarsaidSwahili na uache tabia ya kuhusianisha Kila kitu na dini
@shannarsaidSwahili2 ай бұрын
@@emmadora7848 kaa TU kimya maana haya maneno tunayaaelewa sisi
@bongo392 ай бұрын
Mashoga wawili wamekutana
@ElijahOwino-xe2cd2 ай бұрын
Waislamu mlikuwa mwadhani Trump atatetea upuuzi wenyu..? 😂😂 Ngojeeni Trump aingie ndo mtajua kuwa hamna chenu... Nyinyi endeleeni kushabikia Urusi.... Kwanza huyu Biden ni kama alikuwa anawahurumia tu... Trump all the way 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱❤️❤️❤️
@asmaalghafri4492 ай бұрын
Waislam wanasimama na mwenyezi mungu nyie simameni na muamerica sie mashangingi kwani kufa wameanza zamani kuukaba uislam lakini ndio kwanza unaenda juu wanahangaika sana lazima wawasaidie izrael wapate pa kukaa na wawe na maslahi kwa uchumi wa nchi za wenzao
@ElijahOwino-xe2cd2 ай бұрын
@@asmaalghafri449 eti uislamu unakwenda juu... 😂😂😂🤣... rudi ufanye utafiti wako tena vizuri... Halafu sisi kama wakristo si kwamba tunasimama na marekani.. Hapana.. Sisi tunasimama na Israel... Na hakuna vita yoyote nchi za kiislamu zitawai kushinda dhiidi ya Israel..
@asmaalghafri4492 ай бұрын
@@ElijahOwino-xe2cd wewe saidia hata kuuwa waislam usimame na izrael sie sio mungu wetu huyo sie tunamtegeme mwenyezi mungu na ndio tunaemuabudu nyie mlushadanganya zamani tabu kuwatoa kwenye uwongohakuna mtu ansabudu binaadamu mwenzie ila nawashangaa nyie ,binaadamu ni kumuheshimu tu
@ShekhMufyd-mn9zn2 ай бұрын
Israeli ni kibaraka wa marekani mwache agongwe tu
@MasterOil-qm6vw2 ай бұрын
Trump chizi ataka apewe rungu
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
Piga hao hamasi 😂
@RitbayRitbay2 ай бұрын
Na ww utapigwa na hao wazungu waliokuita sokwe mpumbavu mkubwa we