Huyu mama anajichanganya Sana ukute hata diamond ni mtoto wa mzee Abdul haeleweki huyu baba
@janerouhassanjanerou7933Сағат бұрын
Nyie wabongo ndio mnaongeza mambo
@joharifarahani27396 сағат бұрын
Jamani mbona vitu vya kawaida sana hivi...mm mama yngu dada yke hakujaliwa kupata mtoto mpka leo mtu mzima mama alimpa mm nikiwa mdogo nikaishi nae watu wote wakawa wanajua yy ndio mama yngu akawa anaitwa jina lngu mama Fulani mpka leo mama na yeye anamuhita dada yke kupitia jina lngu anapata faraja sana akisikii unyonge ....ukoo mzima wanamuhit mm joha ila watu wapembeni awajui kama yy hakubatika kupata mtoto wanajua ana mtoto mmoja ambae ndio mm na mm nampenda sana tena sa zaidi...wazee wetu walikuwa wanafanya hivyo kumpa mtoto ndugu yke ambae ajajaliwa kipata mtoto...esma ni mtoto wa mama dangote ..
@sulleymernmannarah79306 сағат бұрын
Kwhy yke mama n mamak mdgo au mkubwa 😂
@shifaaal-baity45033 сағат бұрын
🎉❤
@joharifarahani273930 минут бұрын
@@sulleymernmannarah7930 ndio umeandika nini mbona aueleweki
@SamwelikazimbayaKitahenga5 сағат бұрын
Kwani akisema kwa niaba ya Dada ake kuna shida gani hapo
@isunga19645 сағат бұрын
😂😂😂😂si walisema Esma alizaa na mwarabu ndoo akafuata Dai
@RosalinaMakenzi2 сағат бұрын
Ila bongo😂
@lisawilliam24918 сағат бұрын
sasa iyo ndo habar mmeishiwa habar nn
@Majdescobar7 сағат бұрын
Wanazingua
@lakasid38607 сағат бұрын
Et wameanza kuwa wajinga hawa hata sijaelewa iyo habari
@Anoniem123-u5m3 сағат бұрын
Iyi familie ina mambo duuuh 🤣
@HalimaHaroun7 сағат бұрын
Mama dangote ana dada ake wakuzaliwa kabisa anaitwa bi Mwajuma huyo bi Mwajuma akujaliea kupata mtoto so mama Dangote alivyomzaa Esma huyo bi Mwajuma akawa anamlea Esma kama mwanae wakumzaa na ukizingatia bi Mwajuma yeye hajajaliwa kupata mtoto hivyo toka zaman wanamuita bi Mwajuma mama Esma kama kumfariji dada yao huyo. Esma mama ake wakumzaa ni mama Dangote
@amyboyfighter72817 сағат бұрын
Apo umeelewaka inaonekana unafaham vizuri ii situation miaka kazaa nyuma ayamambo nikawaida wazazi wetu walikua wakifanya ivyo nazani watu wataelewa kama watasoma iyo comant yko
@happynesbaemuhappynes88135 сағат бұрын
@@amyboyfighter7281mimi sioni ajabu mimi nina mdogo wng tumezaliwa tumbo 1 lkn kuna baadhi ya watu wanajua yule nimwanangu
@danielmkama248 сағат бұрын
Ukishaskia ni #Esko ujue kbs hamn cha maana hapo, Hanaga issue serious huyu.
@subrynerysegerow13235 сағат бұрын
😂
@sophyali88402 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@janerouhassanjanerou7933Сағат бұрын
Huo mwaka unao usema aliulizwa mzee abduli kipindi kilekile akasema ni mtoto wake yeye mama dángote
@SalumObed7 сағат бұрын
Kwel ...esko....hunazo yaaann hujaelewa nini hapo au unataka comment kama hiv
@frankngoloka5416Сағат бұрын
Tafuteni Hela hii familia Wana cheza na mtandao,Wabongo tunavyopenda wanatupeleka ukouko
@janerouhassanjanerou7933Сағат бұрын
Hii ata sio ya kucheza na mitandao wabongo tu wanapenda kuongeza mambo
@happybryce12697 сағат бұрын
Kwel sns mmeishiwa habar
@humbleshoal17 минут бұрын
Habari ni habari
@katapa_A8 сағат бұрын
Asa wewe usichoelewa apo kitu gani mtto wa dadake si niwake tu mmeishiwa habari au🤣
@Nuru95685 сағат бұрын
Ata kama ni mtt wa dada ake atabaki kua mama ake wambea wanapenda kufatilia maisha ya watu jmn😂
@humbleshoal17 минут бұрын
Ndio sababu zari kawasema
@RamadhanAthuman-d4c4 сағат бұрын
Du watu wanakumbukumbu balaa
@ChireGriffin3 сағат бұрын
Sasa kama esma wako wawili
@rukiyyarukiyya63177 сағат бұрын
Hawatunzagi kumbukumbu 😄😄
@innocentbalahoza14914 сағат бұрын
Watu n washamba na wamezoea kubaguana, kwan kama alizaliwa kwa dada yake na yy bado alikuwa hajazaa Kuna shida gani kumuita kifungua mimba?
@farhannahkulishwaburekunam53604 сағат бұрын
Uwongo ukisema ukumbuke na kurecod sasa inaona unavyojisonga mwenye mara mtoto wa dada angu mara wangu
@humbleshoal16 минут бұрын
Ni maisha yao jamani mwisho wa siku tuwaachie wenyewe
@shadiwaigwa92307 сағат бұрын
Mtoto wa dada yake ni wake 2
@FelisterMichael-r8t7 сағат бұрын
Mbona hakusema esma kuwa nini mtoto wa dada yake bali alisema alikuwa anapitia kwa mama esma ambaye ni dada yake kwani esma ni huyo pekee?
@PamelaGawaza3 сағат бұрын
KAMDOMO
@LettyLussi7 сағат бұрын
Ni mtt wake na nyie achenii ufala mxwiiii...akitoka asma anakuja mond