Siku sote dhulma haidumu kwa iyo madhalimu marekani na vinyago wenzake wanaenda kuanguka walaaniwe milele na milele aamin
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Marekani haiwezi kuanguka leo wala kesho
@mudhihirhamisi76863 ай бұрын
Hujielewi kwa yeye wa kwanza kuwa super power
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@mudhihirhamisi7686 inaweza ikaanguka ila sio leo wala kesho labda ni miaka 1000 ijayo
@hamisisalum61163 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz Ni kweli ila safari imeshaanza bro, dola imepigwa biti Urusi, na sasa Saudia, mdogo mdoogo aliselema alija"
@SylvesterPaul-my8ml3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzlengo co anguko la marekani acha mawazo mgando
@hamzafishten95603 ай бұрын
Mungu atatulea Amani dunia inshaallah vita za kila siku tomecoka
@SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын
Hapa nilikuwa napasubiri sana katika maisha nipaone,tuombe uzima
@FridayMwassa3 ай бұрын
Dua la kuku
@salminijumasalminijuma62133 ай бұрын
Hili ni anguko la dollar 🤑 Kwa marekani bricks inavutia mataifa mengi congratulations Putin
@tumainielmaruwa31483 ай бұрын
Ktk maisha yako umewahi kuiona pesa ya Mrusi?
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@tumainielmaruwa3148tatizo hao wapambe wa urusi wanakurupuka tu bila kutumia akili.
@deogratiusyudatadei56583 ай бұрын
@@tumainielmaruwa3148Kwahiyo unataka kusema je
@bonnymakuke31533 ай бұрын
@@tumainielmaruwa3148utaziona2 ni swala la mda kwani ya china ulikuaga unaiona ila sasaivi si inaonekana!!😂😂😂
@SADICKITHOMAS3 ай бұрын
Waarabu wamechomoa betri😂
@salehkhamis-ob8ln3 ай бұрын
Safi sana hii nzur kabisa mwache marekani aanguke kiuchumi
@goodluckmsoka36603 ай бұрын
Angaikanna uchumi wako usifurahie anguko la mwenzio hautafaidika na chochote
@waithirahnaomy15733 ай бұрын
Akii
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Kwanza marekani haiwezi kuanguka kiuchumi
@SylvesterPaul-my8ml3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzjidanganye hvy hvy
@hamisisalum61163 ай бұрын
Mungu anabadilisha mwenendo wa dunia, kutoka uendeshaji kwa njia ya machafuko kuelekea kwenye insafu na uadilifu wa uchumi wa pamoja.
@rashidomar15583 ай бұрын
Genius comment
@ebengapierre88263 ай бұрын
Kumbe marekani ahana lolote yy nijinatu ndo limebaki napenda ivyo kwasababu marekani anajiona sn mpigeni uyo marekani ajuwe km dunia sioyake
@ngendakumanajeanmarrie74903 ай бұрын
Dola kwisha hayo nimatokeo yakuingia vitani naputin imekula kwao hongala sana nimeapongeza kahilo
@MohamedRaudha3 ай бұрын
Pesa zao watanunuwa madini kutoka inchi za africa
@hamzafishten95603 ай бұрын
Safi sna
@daprince75453 ай бұрын
Shida kubwa ya viongozi wetu ni uporaji wa pesa za umma, ubinafsi, ukabila, endapo viongozi watakua na lengo. Basi wangewekeza pesa za umma kwa uzalishaji wa bidha na vyenginevyo. Lakini shida ulafu mwingi viongozi na kujali maslai yao.
@edchrisbeatz89763 ай бұрын
Its good move but trust me hii itakuwa ni pigo kwa uchumi wa dunia maana dunia haijajipanga vzr kupambana na dora.. kama vita ya mrusi na ucrain mafuta yalikuja juu kama anapigana mmareken kumbe ni vikwazo tuu sasa kutotumia dora ni kuivamia moja kwa moja marekani coz hii ndo silaha yake kubwa i think kuna jambo si zuri marekani ataplan dhidi yao vzr wajiandae kisaiikolojia like putin yan kupigana na dora you must hv fugnatve plans
@Luzwiro273 ай бұрын
Think twice mataifa kaza mpaka wanafikia hatua ya kugomea huo mkataba wameshapata njia mbadala mfano urusi iran wamepigwa vikwazo vingapi lakini ndio kwanza wanazidi kusonga mbele
@officialcandleboy69233 ай бұрын
Marekani sasa wame fikia pabaya, mzee PUTIN kasha hanza kufanya mambo
@Timothymchomi3 ай бұрын
taka msitake America is the best waarabu wenyewe wanatambua so there is nothing to to worry watanyooka tu
@Pablolookman3 ай бұрын
umepigana vita ngapi hiyo marekani unaempamba mwambie apelekee jeshi lake Korea
@husseinhemedi93143 ай бұрын
Apo wajiandae kwa vikundi vya #kigaidi 🇹🇿🇷🇺🇮🇷🇸🇦
@uwimana65333 ай бұрын
Naniwisilam wenzie 😂😂
@sultanbakary42923 ай бұрын
Hiyo ni ardhi takatifu pale maka hukutatokea vita mpaka Dunia inaisha Ile ni ardhi tukufu
@academicsite85243 ай бұрын
@@sultanbakary4292 Jidanganye😂😂😂
@warshysaid85643 ай бұрын
@@academicsite8524 ayo ni maneno ya Allah
@sultanbakary42923 ай бұрын
@@academicsite8524 hakuna shoga yoyote yule dunian atavamia pale na akabaki salama
@FranckDaniel-cc5rg3 ай бұрын
Hii angepewa dj smaa ndo aichambue vzur masubi bado achimbui mambo ipasavyo
@prettynayally21773 ай бұрын
Tuko wengi 😂😂😂😂
@kabeza_itech3 ай бұрын
Asante sana sky kwa uchambuzi
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
Saiv utaskia saudia ni adui wa marekani maana wao wanataka ufate wanavo taka wao tu usi wapinge kwa chochote kile
@ashahania52073 ай бұрын
Asante M' bin Seleimani. Simamia uamuzi wako.
@nakivonamediatz3 ай бұрын
Matumizi ya mafuta yanapungua kwenda kwenye umeme
@hassanihamidu85463 ай бұрын
Msisahau kuwa saudia amejiunga bricks kwahiyo hii ni mipango ya Russia
@salimabdallah51763 ай бұрын
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
asante sana Ally Masudi kwa maelezo. sie tuna rasilimali nyingi sana ambazo nchi hizo wanaitaji. sema tuu nchi zetu tumekuwa waoga na wao kututawala. Ona Congo- malighafi inayoitajika mno duniani ambapo nchi tajiri wao ni silaha tuu..jmni sie mmh
@AliKaroyo3 ай бұрын
Mim Simuamin Saudi Arabia Ata kidogo Mpaka nione Amebaki na msimamo uwo uwo Mwaka Mzima Ndio nitaamin ila Kwassa Simuamin Saudi Arabia Hanaga Msimamo
@jut11613 ай бұрын
Hili neno
@waithirahnaomy15733 ай бұрын
Dio
@MasterOil-qm6vw3 ай бұрын
Saudia atanunulia urusi kwanza urusi ndio ana silaha nzuri kuliko marekani
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
S 300 na S 400 imeshapigwa na kuteketezwa kabisa crimea na ndani ya urusi.Mwenye silaha bora ni America.
@FridayMwassa3 ай бұрын
Hivi nchi yenye uchumi bora Duniani iwe na silaha dhaifu
@Timothymchomi3 ай бұрын
kwenye kubadilishana pesa na mafuta hasa kwa tz na saud , mtu mmoja tu ndo alikuwa anaweza , si mwingine bali JPM so kaa kwa kutulia dollar litaendelea kutumika kwa kila kitu mtake msitake
@masoudal-abry80383 ай бұрын
Good very good.
@ce-083 ай бұрын
Hapo sasa huenda kukatengenezwa Gari za umeme kwa wingi Ili kuuwa soko la mafuta
@emiliankomba52173 ай бұрын
Hapo saud asipotulia atapata changamoto sana, magari ya umeme na pia marekan atatumia uas hasa ukizingatia saud bado anamtegemea marekan kwenye ulinz
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@emiliankomba5217kwanza wana mpango ya kuuwa matumizi ya mafuta yanaharibu mazingira.
@SalumMohamed-ph4yn3 ай бұрын
Kwahiyo unataka kunambia mafuta hayakua na kazi daima?
@ce-083 ай бұрын
@@SalumMohamed-ph4yn yatatumika lakini kwa uchache yakija magari ya Umeme yatatumika sehemu nyingne huko
@MasterOil-qm6vw3 ай бұрын
Sasa hawa saudia ndio wamemtia adabu marekani kwa ushetani watu wa pale palestine
@salehkhalfan73453 ай бұрын
Naa'am hili ni Pigo kuwb xana km litafanikiwa Na Marekani hawez kukubali kirahisi
@tanzaleo86703 ай бұрын
SAUDI ANATAKIWA KUWEKEZA BANK HAPA KAMA VILE CHINA UNAWEKA SHILINGI UNAENDA CHINA UNACHUKUA YUAN
@FridayMwassa3 ай бұрын
Hela ya china umeiona wapi
@BenMamadou-w9e3 ай бұрын
Iyo saudia itaanguka mda sio mrefu maana warabu hawajakuaga na akili timamu subirin Njo mtajua maana ya dollar 💵 ya usa 🇺🇸
@IbniAbbas-yz3kt3 ай бұрын
Hivi unavyojua wewe ni pesa gani yenye nguvu duniani?
@Awatee3 ай бұрын
Weye mwenye akili vzr Umeona kuona mwanaume kwa mwanaume ndio akili
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@IbniAbbas-yz3ktdollar ndio inatumika sehemu kubwa duniani.
@IbniAbbas-yz3kt3 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bz sio dollar tu ambazo hutumika duniani kuna pesa nyingi zina tumika tena zina nguvu zaidi ya dollar zako
@bosssyedmund87853 ай бұрын
The change has come Please take care dear brother😊
@hallymahmohamed35163 ай бұрын
Safi sanaaaa ❤😂
@Officialjidaa-sn9cs3 ай бұрын
Wamejichanganya😂😂😂😂😂
@Optionxll_Playz13 ай бұрын
Safi sana
@maulidrehani3 ай бұрын
Kiukwel saudia wamefanya poa lkn hofu yangu saudia itasaini tena sabab ya utegemez wa usalama sabab hila za mmarekani zinajulikana ajiandae kwa regime change waasi na vita visoisha plus vikwazo
@Dennis733-p7g3 ай бұрын
Bado haja sign tulia kwanza kwa Marekani achomoki 😂😂😂
@radjamtaki55973 ай бұрын
Shoga wewe
@godcompeter98443 ай бұрын
Wahuth watauziwa silaa na ndo mwisho wao
@radjamtaki55973 ай бұрын
Elewa mambo wewe,Hujui kama marekan anapambana na wahouthi yemen??? Atawauziaje silaha???
@radjamtaki55973 ай бұрын
Kwan wewe unaongea hvo kama nana wa marekan???
@Dennis733-p7g3 ай бұрын
@@radjamtaki5597 😁😁kama ambassador 😁😁😁
@salimabdallah51763 ай бұрын
Kama kweli JAZAA HUMU LLAH
@HusseinSaguti-sj9nh3 ай бұрын
Tatzo hili taifa laongozwA na wanafiki kuptiliza Hayo tunayoshuudia na ujinga wa suudia Anawatajirisha wamarekan Alaf marekan inawAfadhiri waisrael iwauwe waarabu
@faidamuhamed30113 ай бұрын
Uchambuzi maridhawa maboresho kdg kwenye picha inshallah mko vzr lkn
@hunstonjuliusmkonyionlinetv3 ай бұрын
sio kweli we muongo
@dicsonbiko-wz7ym3 ай бұрын
safi sana saudi arabia achana na mabepari wa kimagharibi waafrika hapa tuna cha kujifunza
@FridayMwassa3 ай бұрын
Ukiwauliza wasaudia wote wanatamani kuishi marekani kuliko hapo Saudia au Russia au China
@pesaspy_tv3 ай бұрын
😂😂😂 nacheka mazuri wamarekani wanalambwa kila kona Hii mikataba ya muda mrefu haina maana yoyote ndy maana saudi imekataa kusaini tena
@lombardocrich61773 ай бұрын
Tusubirie vita ya Dunia 😢😢😢😢😢
@HajiHaji-v9f3 ай бұрын
Saudia ni vibaraka
@marckmasassi74663 ай бұрын
IN THIS WORLD NOTHING IS PARMANENT AND TIME IT'S GREAT HILLER WHEN YOU REACH TO THE PICK THE NO WHERE YOU CAN GO ESPECIALLY STARTING TO GO DOWN THAT IS WHAT HAPPENING TO THE WESTERN COUNTRIES STARTING WITH AMERICANS
@muhamadharun94323 ай бұрын
Kweli kabisa kaka aly lakini ndio juzi viongoz wetu kwenye bunge la bajeti wamekataa manunuzi ya ndani kufanywa kw dolaa sa sijui wanamyazamo gani hapo
@AlmachNestory3 ай бұрын
Tuombe uzima kwani yajayo yanafurahisha mno, lakini kuhusu hili tulipe muda, muda umebeba majibu ya kila kitu, ila Saudi Arabia ni kibaraka mtiifu wa mabeberu Marekani hivyo ana sura mbilihawaaminiki kabisa, muda ukifika utaongea tu.
@NiniOman-lx5lg3 ай бұрын
Alhamdulillah
@AmosMabula-bf1dr3 ай бұрын
Puting vita yake akl nyng nguvu kdg
@fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын
Kwani mpaka soudi ndio Wana mnafuta Nigeria ina mnafuta mazuri Tu na pengine yapo sema wote watabafilika
@idinado-wk3lx3 ай бұрын
Tatizo siyo mafuta uwe unaelewa nasiyo kukulupuka tatizo nikutumika Kwa dollar katika ununuzi wa mafuta maana yake pesa yoyote itumike pesa ya china, Tanzania Kenya n. k
@imamushafiiforgoodislamict54203 ай бұрын
Saudia anamafuta na rasilimali watu pia, maana kila mwaka waislamu dunia nzima kutoka ktk kila nchi wanakwenda kuhiji pale makka, na gaharama za kwenda huko utumika dollar ndiomaana dollar hatakama ukaikataa vp kwamamilion ya waislamu dunian kila mwaka inafikia hatua nilazima waitafute dollar ili waende makka, sasa saudia kitendo cha kuikataa dollar na kuiruhusu pesa yoyote ile unafikilia dollar itaanguka kiasi gani ?
@HusseinSaguti-sj9nh3 ай бұрын
Hana ajualo Hayo mafuta ya nigeria kwa cku ni bpipa hata lak havifi Saudia ndio nchi ya pili dunian kuzalisha mafuta safi yakwanza urusi Kbl ya vkwazo ilikua inaingza sokon pipa milion 12 Jitu lingn bichwa debe tupu Ajisemea tu Haya nigeria yk niyangap Unapozungumzia mafuta ya suudia unazungmzia uchumi waduniA
@dominic47273 ай бұрын
India china wamekubaliana ku fanya biashara kwa pesa zao hili ni jambo zuri
@EmayNgayda-in9gx3 ай бұрын
Inafaa kuwe na world currency value against local currency value kurahisisha biashara duniani.Mataifa yajadili
@omarysaid87253 ай бұрын
Hapa ndipo utakapo kuja kuona ukuu wa Russia
@abdullahhashimu23803 ай бұрын
Safi sana huu ndio uzalendo
@AbdulhalimYusuf-bc6rj3 ай бұрын
Dj smaa atuandalie makala inayohusu huu mkataba wa saudia na Marekani na ziara ya putin katika nchi za kiarabu inaonekana ziara hiyo imezaa matunda mimi Ustadh hamad kutoka pemba
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Titanic nyingine inazama pole pole, walipata nafasi lakini wakaitumia hiyo nafasi kuchapia wengine
@faidamuhamed30113 ай бұрын
Hawa jamaaa waarabu sasa wana jambo lao kwanza viza yao kuipata siku zijazo itakua sio kirahisi kama sasa, lkn pia wanaiunganisha sasa kama ile ya schenngen wow em tuangalie itakavokua badae
@ashahania52073 ай бұрын
Afrika ina vitu vingi sana ambayo msaaudirabia anavihitaji .
@omarysaid87253 ай бұрын
Sasa anguko la Dollar sasa ina anza kuanguka
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Hapana ,dollar haiwezi kuanguka ww
@DaudFataki3 ай бұрын
Kupewa pewatuu unajuamsaada unakunyimauhuru unakuahunamsimamo kilakitu unamsikilizabwana tuh etihadibajeti yanchi iongezwe namarekan ivi hiinyumba kunababa kweli dunia inabadilika twenden nawakati watanzania mungu katujaalia uhuru tungekuambali kamasiosiasa mikopo itokekwavijana wote
@khalfanmlala50933 ай бұрын
Hapo sawa wajitambue
@hassanbilali16973 ай бұрын
Ni vema na sisi tukawa na sarafu moja if not Africa basi East Africa
@OlaisMoses3 ай бұрын
Nachoshangaa mmarekani anavopigwaa vita ndio dola inapotea na kupanda bei Sanaa sijui dunia inakwama wapiii
@emmanuelchiza77333 ай бұрын
Saud Arabia kachelewa Sana mafuta sio Dili tena ulimwenguni😅😅
@coyancodavao40043 ай бұрын
Bado ni dili,na anaenda kuchanganya na Gesi ya urusi
@hamzakimaro37643 ай бұрын
awe makini,marekani watamtoa roho!!
@damariszuckschwert94893 ай бұрын
The world will never know peace.
@MichaelMathew-j3f3 ай бұрын
But only Jesus.
@mfupakhamis97513 ай бұрын
Madini duniani ndio Dili mafuta fedha dhahabu Tanzanight na kazalika Tanzania wacheni ulimbukeni wa akili mgando Ardhi ndio Kila kitu. Wachumi wacheni elimu za kimagharibi wakati ndio huu tusiwe watizamaji. Wachumi wacheni kujisifu tuuuu. Ufalme wa Mungu usimame. Amin
@alexmabaraza73673 ай бұрын
dunia anahamia kwenye nishati ya umeme😂😂😂😂
@GraceMashinga-be9wb3 ай бұрын
Tukutane ,juma pili au juma tatu Wana SNS
@ramadhankilango90883 ай бұрын
Natamani awe amepata ufahamu wa jinsi magharibi wanavyofanya unyonyaji kupitia dola
@mountaincoffee73 ай бұрын
Watoto taifa la kwesho niwakati. Sasa viongozi kujenga mifumo bora kwa manufaa ya vizazi vijavyo
@omarybakunda25543 ай бұрын
Wamejitbua warabu.
@HamduniYasir3 ай бұрын
Hapa ungemuweka Dj Smaa aongere hii issue ndo tunge enjoy bro
@MS.independent89343 ай бұрын
Nimependa sn kuona ajasaini na asije kusaini kbs abakie na msimamo huohuo inshallah
@ZahorSalum-h9q3 ай бұрын
Hhhhhhh kwisha habariyake marekanii.
@ibrahimwashokera62193 ай бұрын
Brother kwanamna unavyoto maelezo nikama haujajiandaa kama kama zimekua nyingi eee mzee kama hujiamini ivi jaribu kunyoosha maelezo
@GabrielSky643 ай бұрын
.. Tuna shangilia mkataba wa Saudi na American kuanguka. Ila kumbukeni kuna mkataba wa Saudi na England wa milele. Bado haijabadilisha kitu. Tukumbuke hajakataa ila kuna mabadiliko tu anaitaji.iwekwe sawa ki mkataba
@Luzwiro273 ай бұрын
Think twice dunia inahitaji kuwania uhuru sio inchi moja inaongoza dunia inatakiwa tuwe na wakubwa kazaa china Russia Marekani ili tusiperekwe perekwe
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Saudia hana ujanja kwa Marekani hata iweje.Hapa nashangaa waafrika wengi wakishangilia kuanguka kwa dollar bila kujua hata hao urusi na hao saudia wala hawana msaada kwetu.pia juzi tu nchi za G7 walikaa na kujadili jinsi ya kulisaidia bara la Afrika kuondokana na umaskini.Yaani hawa watu wanaoshangilia dollar kuanguka hawajui kabisa kuwa haya maisha tunayoishi yenye angalau kauafadhali ni mikopo kutoka kwa hao hao na wangekataa kutoa hela zao tungekuwa na hali duni sana.
@fatumamwalimu57653 ай бұрын
@@MathewNathan-yb2bzhuyo mzungu faida yake nikuleta ushoga Africa hiyo ndio faida na msaada unaouzungumzia?marekani watatengwa karibia na robo tatu za nchi katika hii dunia maana wanatumia watu vibaya, wanachochea vita nchi za wengine ili wapogane uchumi urudi chini ili wao wazidi kuwa marajiri, watu wameamka sasa
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@fatumamwalimu5765 utakuwa mpumbavu na mjinga wa akili.Utakuwa una ulemavu wa akili kama utasema heti kuwa mzungu hana faida yoyote.utakuwa una upungufu wa akili kama utasema kuwa mzungu analeta ushoga.ushoga unauleta ww mwenyewe au mwanaume yeyote anayeutaka ushoga au kuwa shoga ndio anajiletea mwenyewe.mzungu hakuna siku aliyomlazimisha mwanaume kuwa shoga au msagaji au kahaba au mdangaji au kuiba wanaume wa watu au wake za watu ,ni tabia mbaya.Mfano ww ukichepuka,ukijiuza ,ukifanya umalaya ,ukiwa msagaji au ukiiba waume za watu utasema mzungu ndio kakuletea? Au ukiroga na kuua watu kiuchawi utasema mzungu kakuletea.kumbuka wazungu wana mazuri na mabaya pia.ww chukua mazuri yao ila mabaya yao achana nayo.Kufirana pia utasema wazungu.kaolewe zanzibar au mombasa uone.
@IsmailIbrahim-yy3ls3 ай бұрын
🎉
@tumainielmaruwa31483 ай бұрын
Kazi ipo
@daudimchileg3073 ай бұрын
Naamini aliewazuilia kusaini huo mkataba,amefanya vema, lakin apewe ulinzi mkubwa any day tunaweza kuona R.I.P
@muzafarsharif94653 ай бұрын
Saudia wanafik tu
@StellaCharles-zk4kb3 ай бұрын
Mnao ikejeli amereka ni kama mnajitekenya wenyewe na kujichekesha wenyewe
@sultanbakary42923 ай бұрын
Osha tako kwanza
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
@@sultanbakary4292ww ndio uoshe kwanza manake hadi sasa unatumia you tube yao na intaneti yao.Usijisahaulishe.
@e11said233 ай бұрын
Tupo pamoja mpaka dola izame kabisa kwisha habari yake
@BimHamdi3 ай бұрын
😅iwe kama pesa ya tanzania ambaya hata kenya haina samani
@mfaumemfaume38133 ай бұрын
Asalamu alykum warhmatuallah wabarakat Ally masubi mwisho malizia na matangazo yakawaida mm siyo mpenz wa bet
@jumamayonga89143 ай бұрын
Kifo cha dollar 😢
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Dollar haiwezi kufa
@usercabal3 ай бұрын
Baadae mafuta yatakuwa sio mchongo ndo maana Dubai,Qatar wameshashtuka
@King_Of_Everything3 ай бұрын
👊👍✌️.
@jumakatanje9553 ай бұрын
Kuna kitu nimejifunza kutoka saudi arabia,,moja walikubali mkataba ili wajengewe na kujifunza kibiashara na wameweza leo dubai ni sehem muhim kibiashara,hata mafuta yenyewe hawakujua thaman yake sasa wamejulisha.kiujumla wamejifunza mengi na sasa wanataka wafanye wenyewe.
@HusseinSaguti-sj9nh3 ай бұрын
Nadhan yamezinduka Biashara yao ndio inayowapa jeur ya fedha marekan alaf inatoa silaha na pesa kuwauwa waarabu Parestina
@FridayMwassa3 ай бұрын
Yakwenu yamewashinda mnahangaika na ya marekani
@JoesB-i5i3 ай бұрын
Vip kuhusu rasilimali kama madini kama wayanavyo ya hitaji na rasilimali zingine.
@josepheriah59773 ай бұрын
Sis mafuta tunayo
@josepheriah59773 ай бұрын
Atachimba ata bongo
@mwawekomiuda97793 ай бұрын
Hiyo ni hatari kubwa M'mungu atunusuru. Atabadilisha sura ya nchi kabisa. Hawana wema na yyte yule.
@Jibambeshow254k3 ай бұрын
Alafu kunampuuzii maskini Ruto ndio ametia upumbavuu kuwakubali hao wamerekani 😂😂😂 kanataka kua chawa kw kukoeshua vitu kutoka uko kitaturamba wakenya
@JohnoAbdoul3 ай бұрын
Watamuuwa
@janetlamb90183 ай бұрын
Saudi Arabia haiwezi kushindana na Marekani kwanza who ndio wanaomba marekani wawalinde kutokana na mashambulizi kutoka Iran 😂
@cidewashington6703 ай бұрын
Uraaaaaaa🇷🇺🤝🇸🇦💪
@ChancellorFelix-vm5yp3 ай бұрын
Tutawauzia dhahabu ,Almas,Tanzanite n.k tuna madin kibao Mzee au umesahau kama Magufuli alishasema Tanzania n tajir kila unapogusa Kuna mali unafkir wazungu wanajazana uku kuja kufata mbuz!??