Rais RUTO amefanya kosa la kimkakati kufanya Round Table kipindi hiki!

  Рет қаралды 33,169

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 442
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Ай бұрын
Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.
@abdallazakaria6953
@abdallazakaria6953 Ай бұрын
Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe
@shantisam-wo8wj
@shantisam-wo8wj Ай бұрын
Period
@matukutajuma156
@matukutajuma156 Ай бұрын
DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!
@mohamedsuwari2588
@mohamedsuwari2588 Ай бұрын
Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.
@abdulswamadabdallashee5802
@abdulswamadabdallashee5802 Ай бұрын
Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,
@abdallazakaria6953
@abdallazakaria6953 Ай бұрын
Yow brother Sky.....pin this please......
@aby.beka1630
@aby.beka1630 Ай бұрын
sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~
@CandyLoud
@CandyLoud Ай бұрын
Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui
@naqiahmad26
@naqiahmad26 Ай бұрын
Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako
@eliassospeter
@eliassospeter Ай бұрын
Huijui Biblia wewe soma hapa warumi 13:1
@BenBella254
@BenBella254 Ай бұрын
Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂
@WILLY_SKY1
@WILLY_SKY1 Ай бұрын
You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile
@maxwellnzai9542
@maxwellnzai9542 Ай бұрын
Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo
@nicoledinga9948
@nicoledinga9948 Ай бұрын
He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated
@GentleGiant-pj2rk
@GentleGiant-pj2rk Ай бұрын
You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting
@tinakaitsa7334
@tinakaitsa7334 Ай бұрын
In Kenya we have boring president 😢
@hassanomar1041
@hassanomar1041 Ай бұрын
Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
@allycruzz3991
@allycruzz3991 Ай бұрын
Real talk
@kelvin8324
@kelvin8324 Ай бұрын
I think it's the first time baadhi ya watanzania for first wameona hii....Kenya ni kawaida tu
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km Ай бұрын
Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja
@FrancisDonald-go9cs
@FrancisDonald-go9cs Ай бұрын
Poie sana ndugu karibu tena
@kasaisatv9765
@kasaisatv9765 Ай бұрын
Karibu tena
@alphadreammedia
@alphadreammedia Ай бұрын
😊😊😅😅😅
@jafaribori5428
@jafaribori5428 Ай бұрын
Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.
@ibrahimsalim6835
@ibrahimsalim6835 Ай бұрын
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
@AbubakarAlly-th6op
@AbubakarAlly-th6op Ай бұрын
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 Ай бұрын
We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee
@Qqambaa
@Qqambaa Ай бұрын
Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂
@allankenyali1535
@allankenyali1535 Ай бұрын
uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie
@hadijagere
@hadijagere Ай бұрын
😂😂😂😂 kunywa maji kidogo
@BigZhumbe
@BigZhumbe Ай бұрын
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
@Abbasbakarsth
@Abbasbakarsth Ай бұрын
Sure
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 Ай бұрын
Dj smaa sawa ila usisahau ukinunua umeme makato yameongezeka!.
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 Ай бұрын
Leave us alone sns
@user-de8qk5ij6m
@user-de8qk5ij6m Ай бұрын
Hujui lolole tuachie wenyewe huyu
@wemakalama6458
@wemakalama6458 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ttss7716
@ttss7716 Ай бұрын
Kabsa huyu namuona hajielewi akwende uko nyau😂
@hollymore4904
@hollymore4904 Ай бұрын
Ni sahihi katka hili kafel
@jumajames1767
@jumajames1767 Ай бұрын
😂😂😂😂
@allycruzz3991
@allycruzz3991 Ай бұрын
Real talk
@BenBella254
@BenBella254 Ай бұрын
In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
@JastoLeleJnr
@JastoLeleJnr Ай бұрын
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
@kavorama983
@kavorama983 29 күн бұрын
I watch from France 🇫🇷 ❤
@nextstudiostz
@nextstudiostz 12 күн бұрын
Unaposema Fact and logic, kwenye hii video unatoa fact and logic and umetumia vizuri sana points zako kwenye uchambuzi. Kaa apa🔥
@ombeniyohaneaustin8415
@ombeniyohaneaustin8415 Ай бұрын
Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦
@JIMBO_MEDIA
@JIMBO_MEDIA Ай бұрын
You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂
@kevicristian2738
@kevicristian2738 Ай бұрын
Without two D you can not understand Dj asma😂
@salmasaid7058
@salmasaid7058 Ай бұрын
Kbs
@salmasaid7058
@salmasaid7058 Ай бұрын
​@@kevicristian2738d gn nyinyi mumezoea kuabudu raisi nop cc tuko n democracy kwetu sw
@kawogoremigius8152
@kawogoremigius8152 Ай бұрын
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
@user-sq1ol2fb3i
@user-sq1ol2fb3i Ай бұрын
Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana Matapeli wa tazania wengi
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 Ай бұрын
Our president is having mental health challenges.he is mad
@mariamkassim9925
@mariamkassim9925 Ай бұрын
Respect
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 Ай бұрын
@@mariamkassim9925 andika comment Yako nkt
@hamooummar7298
@hamooummar7298 Ай бұрын
I gat u my fellow kenyan😂hjui tofaut ya reply na section ya kukoment kiujumla😂
@mariamkassim9925
@mariamkassim9925 Ай бұрын
@@everrineanyango7410 🤣🤣🤣🤣 makasiriko ya nini ama leo hauna chakula
@cocotz1892
@cocotz1892 Ай бұрын
@@mariamkassim9925😂😂😂
@vinnyinjenga
@vinnyinjenga Ай бұрын
wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele
@lucasmartin431
@lucasmartin431 Ай бұрын
Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike
@RamadhanBurji
@RamadhanBurji Ай бұрын
Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp
@evansogutu4167
@evansogutu4167 Ай бұрын
Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia
@rosemaryogambe4498
@rosemaryogambe4498 Ай бұрын
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
@philipkahindi3499
@philipkahindi3499 Ай бұрын
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
@MsAggie5
@MsAggie5 Ай бұрын
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali? Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
@kepharichard4183
@kepharichard4183 Ай бұрын
Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.
@aby.beka1630
@aby.beka1630 Ай бұрын
sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~
@shantisam-wo8wj
@shantisam-wo8wj Ай бұрын
Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Ай бұрын
Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.​@@shantisam-wo8wj
@RamadhanBurji
@RamadhanBurji Ай бұрын
Hawa hata hawajasoma
@RamadhanBurji
@RamadhanBurji Ай бұрын
​@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz
@benardmakori4012
@benardmakori4012 Ай бұрын
Waandishi wa habari wanamujua vizuri sana,Ruto na kupanga,na kutenda alaah!
@moonamoona6838
@moonamoona6838 Ай бұрын
Kupanga ruto kutenda aaaaah😅
@BraveMajaliwa-gf7ru
@BraveMajaliwa-gf7ru Ай бұрын
Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .
@thierrybisimwa3312
@thierrybisimwa3312 Ай бұрын
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
@athmanabushir1622
@athmanabushir1622 Ай бұрын
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
@Abdullah-hb6sf
@Abdullah-hb6sf Ай бұрын
Kabsa bro
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 Ай бұрын
Kweli kabisa
@ENGLISHMOVIES-DOCUMENTARIES
@ENGLISHMOVIES-DOCUMENTARIES Ай бұрын
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
@jameskitoto3315
@jameskitoto3315 Ай бұрын
Ndio maana napendaga Makala 360 by Fredrick bundala and frank
@mohammadabdul45bb57
@mohammadabdul45bb57 Ай бұрын
The protest begins in Mombasa
@gracelema2374
@gracelema2374 Ай бұрын
University of Dar es Salaam motto say "HEKIMA NA UHURU".
@makaoyafutaa1302
@makaoyafutaa1302 Ай бұрын
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g Ай бұрын
Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI
@chrisnyarugeta8814
@chrisnyarugeta8814 Ай бұрын
So disappointed na Dj. Bundala why allowed this guys. The way Tanzania hueshimu president wenu , it s so different na kenya.
@Baba_Ben.
@Baba_Ben. Ай бұрын
Unabrainstorm sana kabla hujaja na analysis kwenye session. I like to listen to smart minded guys like you mkali.
@alexsilungwe1620
@alexsilungwe1620 Ай бұрын
Watching from Zambia
@Hamisi8465
@Hamisi8465 Ай бұрын
Eehee heshima tena.. Heshima utapewa tu kama inakustahiki wala sio venginenyo
@KhamisBeja
@KhamisBeja Ай бұрын
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
@newtonmwewa6220
@newtonmwewa6220 Ай бұрын
Dj sma umeniangusha on this
@mohammadabdul45bb57
@mohammadabdul45bb57 Ай бұрын
bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya
@alexbahindolwa3921
@alexbahindolwa3921 Ай бұрын
Shida ya Ruto ni mjeuri saan !!.jpt
@allankenyali1535
@allankenyali1535 Ай бұрын
this SNS guys nikama wameongwa na RUTO Hawa Miki kwanza na unsubscribe uku upuzi mtupu no wonder Tanzania wako nyuma democracy
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
​@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
@official_dicksonmunga
@official_dicksonmunga Ай бұрын
Anyway nimewapenda sanaaa wakenya wanadai haki Yao fasta tena bila uoga sio kama bongo
@Dearm-ome2in1huba
@Dearm-ome2in1huba Ай бұрын
I am a Kenyan citizen and I look closely at your KZbin but today you were not given the best among Ruto and they have news when Ruto was growing up he was asked a question Ruto answered other things
@Ibrahimkhamis005
@Ibrahimkhamis005 Ай бұрын
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?
@user-ev2xf1tv3w
@user-ev2xf1tv3w Ай бұрын
Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania
@billjames1216
@billjames1216 Ай бұрын
​@@user-ev2xf1tv3wsasa ata wakisema mambo ya Tanzania nyie mtafanya nn??😂😂Habari ni biashara my friend and kenya will always sell more than Tanzania
@fistonmakasi3803
@fistonmakasi3803 Ай бұрын
Ruto ana makosa nyingi kka sma maneno yak na matendo yk nivitu viwili tofauti adjusi from Mombasa
@katsopolechonyiboy4896
@katsopolechonyiboy4896 Ай бұрын
Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote
@alphadreammedia
@alphadreammedia Ай бұрын
Duuu uko sahihi kabisa
@MwauchiMwatela
@MwauchiMwatela Ай бұрын
Nawakubali sana ila kuhusu ruto tunamjua ss wakenya
@J4UPro
@J4UPro Ай бұрын
Huyu ni mchambuzi ko haruhusiwi kwani?
@eliyanibitanga4770
@eliyanibitanga4770 Ай бұрын
Amen Dj ❤
@TwahaMaziku
@TwahaMaziku Ай бұрын
Dj smaa upo vizuri sana umesema kweli mingu ndo humchagua kiongoz awe mzur au mbaya
@NikodemusOgembo
@NikodemusOgembo Ай бұрын
Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu
@allankenyali1535
@allankenyali1535 Ай бұрын
president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu
@chrisnyarugeta8814
@chrisnyarugeta8814 Ай бұрын
Before huu chambue, you need to have all the resources, sio kwaku fatilia one interview moja . The MP walisema NUMBER ZAO ZIKO OPEN na akuna alie pigiwa simu.
@miriamvihenda7408
@miriamvihenda7408 Ай бұрын
uyu anakushow mawhat ama unataka salamu kidogo zakayo amefanya kenya uchumi iko juu sana ruto shuka tu tunakujuwa
@BakariKombo-cj5iu
@BakariKombo-cj5iu Ай бұрын
Huyu tumsalimie
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 Ай бұрын
Tumetenga tu tutafanya aaaah Uongo tu ukweli aaah.
@mndolwahiza
@mndolwahiza 29 күн бұрын
Nikweli kaka sapoti hatamm sikupenda
@yasminmustafa2282
@yasminmustafa2282 Ай бұрын
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
mwizi anapewa heshima
@cocotz1892
@cocotz1892 Ай бұрын
Ukiwa huna D 2 uwezi kumwelewa Dj sma vitu vingine Kama vya Taifa utakiwi kuongea kwa hisia au kuwa na upande
@josephshitindi9072
@josephshitindi9072 24 күн бұрын
This is good, but now he has to go back asikilize yote achambue tena. Hajabalance story yote we need full uchambuzi
@mikechidi3339
@mikechidi3339 Ай бұрын
Wakenya wengi hapa tunakupa mda wa kukusikiliza but umeanza kukosea wakenya respect kwa kumpongeza ruto...
@abdallasaid5593
@abdallasaid5593 Ай бұрын
Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂
@gideonmageto4623
@gideonmageto4623 Ай бұрын
Sisi ndo tulimchagua anafaa atuheshimu .. period my guys did well
@Moseskoome-l1t
@Moseskoome-l1t Ай бұрын
Congratulation dj smaa Kenya we love you🇰🇪❤❤
@SundayMtachi
@SundayMtachi Ай бұрын
Bila A mbili huwezi elewa Dj sma ni Genius....wengi hawataelewa
@user-ed1cf9nq5w
@user-ed1cf9nq5w Ай бұрын
Hao ni wanasiasa wanaojiita wandishi wa habari😂😂😂😂
@shenamtukufu1224
@shenamtukufu1224 Ай бұрын
Kweli man hawa mafala sana hata kama mzee kakosea lakini hawakutakiwa kumbull like that.
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 Ай бұрын
Wanakomaa kumtia 18 zao
@BigZhumbe
@BigZhumbe Ай бұрын
​@@shenamtukufu1224Wana hasira nae na Raisi kuna muda alikasirika lakini ametumia hekima kutoku snap back at them, hizi siasa ziko si biased.
@Hamisi8465
@Hamisi8465 Ай бұрын
​@@shenamtukufu1224ukweli haufichiki ingawa mchungu... Maswali yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 Ай бұрын
Following from Swaziland 🇸🇿,Ruto hafai kuwa Rais wa nchi hiyo.
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Ай бұрын
Mpeleke mamako akaongoze kenya
@user-de8qk5ij6m
@user-de8qk5ij6m Ай бұрын
Tuliza mshono wewe huyu ni wetu twamalizana naye wenyewe
@Laughfun48
@Laughfun48 Ай бұрын
We Dj sma unataka tukusalimie? Focus mambo ya Kenya huelewi
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 Ай бұрын
Ngoja tukusalimie kidogo
@abdallasaid5593
@abdallasaid5593 Ай бұрын
Tumsalimie hyu ni kma hamjui Ruto
@amrunassibu5105
@amrunassibu5105 Ай бұрын
Yani wewe Hata Haujui Unaongea Nini Surely 😅😅😅
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Ай бұрын
Keter he's a former mp and he was abducted not arrested
@newtonmwewa6220
@newtonmwewa6220 Ай бұрын
Kenya real example of Africa
@carlytube338
@carlytube338 Ай бұрын
Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him
@newtonmwewa6220
@newtonmwewa6220 Ай бұрын
That's freedom of speech bro😂😂😂
@musahassan1106
@musahassan1106 Ай бұрын
DJ sma ruto ni mtu smart Sana
@patrickochieng79
@patrickochieng79 Ай бұрын
SNS just know the owner of this two Media group they supported the opposition last election .. ndio maana they abush ivio even me .... Sijapenda how they handle
@philipkahindi3499
@philipkahindi3499 Ай бұрын
Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu
@jumajames1767
@jumajames1767 Ай бұрын
Dj sma nakukubali sana ila kwa hili zii mkubwa wangu huyu jamaa ni muongo kupitiliza kaka acha tudeal nae twamjua wenyewe huyu
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats Ай бұрын
Umeongea vizuri sana sema umeshindwa kuelewa walikua emotional sana na kinachondelea huko. Wanaopigwa mabomu ni wao na ndugu zao.
@WILLY_SKY1
@WILLY_SKY1 Ай бұрын
Citizen Tv NTV and KTN we know those medias are biased
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x Ай бұрын
Biased like your mother's side guy huuh😢
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo Ай бұрын
How are they. biased can you explain plz
@mcallande1317
@mcallande1317 Ай бұрын
Huyu jamaa alisema ashai ishi nimegundua alidanganya...hangeongea hivi iwapo angekua na akili huru kama ya wakenya...
@abdallahngoe
@abdallahngoe Ай бұрын
Amesema wakati anaishi kenya alikuwa na umri gani? Je umri huo ulikuwa enough kuwa matured kwenye siasa na kuwa na tabia na mienendo ya wa kenya.... usiseme amedanganya hata elimu yake ikuwa ya primary.. umri una matter sana kwenye makuzi tabia na mienendo ya mtu
@abdallahngoe
@abdallahngoe Ай бұрын
Hata ukimchukua mtoto wa kenya wa miaka 10 umpeleke uarabuni baada ya miaka 30 hawezi kuwa na tabia za kikenya.. je utasema ni muongo hajawai ishi kenya
@abdallazakaria6953
@abdallazakaria6953 Ай бұрын
Brother huezi kuelewa hii kama we si mkenya.........hiku tuko na uhuru wa uandishi wa habari.....so the president can be asked anything cause he is a servant of the people.....he owes every citizen an explanation
@YustaMfugale
@YustaMfugale Ай бұрын
Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi
@pakeyzaa
@pakeyzaa Ай бұрын
Dj sma....unapotea kwa line kakangu tuachie tu wenyewe +254 tunajua wenyewe shidaa zetu ..kipindi hiki chako sijakipasisha umeniangusha....
@mwambogathegreatfilms001
@mwambogathegreatfilms001 Ай бұрын
Dj smaa huwezi kupatia kila kitu kwa uchambuzi huu umebugi kaka..hAo waliamuhoji ni professionals they knw what they are doing bro..Na mimi ni mkenya but hufuatillia sanaa SNS na almost zote but kwa hiii umedhihirish wazi na kuonyeashe how you guys hundle hawa wanasiasa ,hamko huru uko kwenu munawaabudu sanaa,its high you start working on your country's democracy its evident hamko huru nyinyi
@lowasamollel9852
@lowasamollel9852 Ай бұрын
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Ай бұрын
Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI
@BigZhumbe
@BigZhumbe Ай бұрын
Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.
@allankenyali1535
@allankenyali1535 Ай бұрын
uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit
@BigZhumbe
@BigZhumbe Ай бұрын
@@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 Ай бұрын
​@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 Ай бұрын
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
pia Trump hadi alikua anachukia cnn
@hollymore4904
@hollymore4904 Ай бұрын
NakukubL Sana,ila Katika hili Dj smaa umeanguka Leo..
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 Ай бұрын
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
@zuricakes6817
@zuricakes6817 Ай бұрын
Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali. Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu! Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.
@laurine7898
@laurine7898 Ай бұрын
Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 Ай бұрын
Kwanini rais Ruto anakunja 4 ktk kipindi hiki wakati ndani ya nchi yake pamejaa kilio kila pahali?!!
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 Ай бұрын
Sasa apewe heshima gani wamezika ndugu zao walouwawa kwa police alowatuma😢
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x Ай бұрын
Bwana kiongozi sio mfalme bwana kenya hivyo ndio hali ilivyo 😂😂😂😂 ww wacha zako bwana ati tusifanyie nn kiongozi huku kenya sisi hivyo ndio tuko my friend
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 36 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
GATHONI WA MUCHOMBA || GITHUNGURI MP
25:08
Eroo Mtetezi
Рет қаралды 2,7 М.
FULL: Kamala Harris speech at Atlanta rally | FOX 5 News
20:31
FOX 5 Atlanta
Рет қаралды 755 М.
БМВ ОБИДЕЛСЯ и пролил СЛЕЗУ🥲#shorts
1:00
Асфальта.нет
Рет қаралды 3,6 МЛН
1957 Ford Fairlane 500: The Spirit of the '50s
0:28
9EPIC
Рет қаралды 4 МЛН