This guy yuko vizuri pia kwenye math alinifundisha secondary he used to call himself "THE NEXT BILLIONAIRE"😊
@Mr_Yussuf_as_well2 жыл бұрын
Amesoma degree ya math na statististics
@ronaldissack49552 жыл бұрын
Umefundishwa na mtu mbuji kabisa WA Kiswahili mwl Joram nkumbi
@joseph__kaale2 жыл бұрын
@@ronaldissack4955 Mlumbi
@mrsmile54252 жыл бұрын
Ni raha sana vile anacheka kiswahili ni lugha ya amani
@newrace55442 жыл бұрын
Najikuta nacheka kwa sauti kila nikimuangalia mbuji wa kiswahili🤣🤣🤣 this is best interview ever
@crisndembwele40162 жыл бұрын
Daah nataman kuwa Yeye uyu jamaa ni Genius 💪💪💪
@successconcious7032 жыл бұрын
Be yourself boy
@babphonc57942 жыл бұрын
Naona hadi mtangazaji kajisahau kumuuliza kuhusu vitabu,huyu mtu ni hazina kabisa yani ✊✊✊ kiukweli ni jambo jema sana kujifunza lugha hii kiufasaha
@masellemaziku10962 жыл бұрын
Aaah bwana. Kijana huyu ni mbobezi wa kiswahili haswa. Atafika mbali sana maana kawekeza muda wake katika jambo hili la lugha. Hongera sana kwako Jorum
@roybazigu7652 жыл бұрын
Moja ya interview bora ✍️🙏
@robertempire95422 жыл бұрын
Nilipoona clips zake Mara ya kwanza nilipenda jinsi anavyoongea na hata akipewa kipindi cha kufanya maojiano anafaa kabisa keep moving brother
@ALIMOHD-bk9lr2 жыл бұрын
Maashallah maashallah maashallah, kwa kweli kiswahili ni kiyamu mnooooooo. Hongera Sana kijana mwenzetu🙏🙏🙏🙏
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Sauti na umri wake tofauti 😉 mpeni kipindi I admire him 🙌
@maryamtan6822 жыл бұрын
Kumbe na wewe mwenzangu umeona
@winfordmwangonda53752 жыл бұрын
Kabisa umri wake haviendani na ufahamu wake kwenye kiswahili, kwangu mimi huyu ni Profesa wa kiswahili
@Bbwaoy2 жыл бұрын
Thands down. Kiswahili kili nipa tabu sana shule. Niki pata C nilikua na shangilia balaa sana. This guy deserves a credit.
@earnestmwangombola6722 жыл бұрын
Nimempenda Joram Mkumbi. Sikuwahi kumsikia kabla. Anafurahisha kwa kicheko chake na hazina ya kiswahili. Bahati mbaya ni mtaalamu wa hesabu na nadhani na masuala ya masoko yaani marketing. Sina uhakika kama ameokoka, angependeza zaidi.
@flomaje1J Жыл бұрын
Ameokoka tena sana. Angalia interview yake alipokuwa Marekani
@chenganjerry52732 жыл бұрын
Huyu jamaaa ni mathematian mkali Sana Joram nkumbi bravo bravo
@tumainikomba90082 жыл бұрын
Kidume cha shoka elimu kubwa hadi degree ya mathematics lakin bado hakuna ammmm ammm you no what!!!big up bro
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Kijana nimekuhini sana.Wewe ni miongoni mwa hazina za vijana wa nchi yetu katika ukinga wa lugha yetu ya kiswahili.
Unajua kiswahili ndugu, kiswahili cha huyu jamaa huwezi fanya mawasiliano na jamii nani anatumia hayo maneno na nahau zake. Lugha ni kwa mawasiliano kama hueleweki kwa lugha inayotumika na jamii inayokuzunguruka hapo Dhima ya lugha hua haipo
@lizzy_ways2 жыл бұрын
My first time to comment Well i really enjoyed a lot
@carolinekalume9342 жыл бұрын
Hongera Rafiki yangu Ubarikiwe sana
@abukarosman25652 жыл бұрын
Nimempenda bure huyu kaka🥰🥰🥰🥰
@29WavesTV2 жыл бұрын
Yuko Vizuri sana na mimi nimevutiwa sana usemi wake.Haborongi katika kusema
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Nitajamala kumjuwa ndugu Joran amenirovia rovurovu uyu ni mbuji wa kiswahili
@albiz39462 жыл бұрын
Hapo Tangasisi-Tanga Ndio Sehemu alipo Zaliwa Marehemu Shaban Robert Mtaalamu wa Kiswahili East Africa
@aahasaidi19772 жыл бұрын
safi sana, nashauri uandae vipindi vya Kiswahili ukitumia ubao na kalamu ili kizazi hiki tupate faida zaidi ya kufahamu maneo ya Kiswahili kwa ufasaha.Ahsante
@fatmamsindi46125 ай бұрын
Yupo vizuri sana huyu kijana,nampenda sana
@chicherickybenson10702 жыл бұрын
Naitwa Chiche Benson Rukumba. Natoka hapa Uganda. Ndugu Nkumbi nanipendeza sana. Lazima nijifunze lugha ya Kiswahili😀. Just trying! But the truth is I really love Kiswahili.
@AshouHumaid Жыл бұрын
Mimi ni mwenye asili ya kiarabu ila hakika nasikia furaha sana kwa lugha fasaha yenye kuupa burdani mtima wangu.Ama zama hizi kiswahili kimepotea,( KISWAHILI NI LUGHA YA TAIFA ,WATANZANIA SOTE TUNAJIVUNIA.. KWANZA WALIMU WANALOJUKUM KUBWA,KUTUFUNDISHA LUGHA YA TAIFA.
@jumapjuma3020 Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪 kiswahili kumbe kinapendeza😍
@InstructITWise2 жыл бұрын
nafikiri huyu jamaa na awamajamaa waliotengeneza hii game ya swahiliwordcross(niliipatia playstore) ni kitu kimoja aki nimekua nikiicheza karibia wiki mbili ila kufikia level ya 50 tu imenichomoa. Watu makni wanaotuonesha njia, nimeipenda sana hii interview
@ronaldissack49552 жыл бұрын
Interview nzuri Sana,nimerudia na kurudia utamu wake uko palepale
@alisalum20232 жыл бұрын
Kutepwereshwa nasio kutebwereshwa Mashallah au masharaf
@fathiyaalmazrui8162 жыл бұрын
Maasha Allah ni vizuri kweli watu wajifunze kuzungumza kiswahili kwa sababu sasa lugha ni maneno ya ovyo hata sijui yanatokea wapi.
@jumahassan2732 жыл бұрын
Njoo tanga ujifunze Swahili kama joram
@malikzafarani1722 жыл бұрын
Nakubali mwamba lugha anaimudu kinoma 🙌
@gabrielgaby22652 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii interview anatumia kipindi gani niwe mfatiliaji wake
@swahiliwithZita Жыл бұрын
Wow! Just wow! Anafurahisha na kufundisha kwa pamoja
@hatbtalveson65812 жыл бұрын
hujawahi kukosea bwana sky...🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@deusntobi14502 жыл бұрын
Huyu mtu ni hodar wa kiswahili kwelikweli ni vizuri wasani wetu wakamtimia kwa tafisida ili kupunguza ukali wa maneno wanayoyatumia.
@indiraconnolly28895 ай бұрын
Asante sana kwa video hii!! Najifunza Kiswahili sasa. Sikuelewa video nzima, lakini naweza kuelewa maneno machache :)
@nuruhaule4 ай бұрын
Safi sana Jorum..
@ronaldissack49552 жыл бұрын
Naona Fredrick bundala kafurahi Sana Kwa mahojiano na mbuji WA Kiswahili Joramu nkumbi
@salimbilali51742 жыл бұрын
The guy has made my day
@dullahmihuri2 жыл бұрын
Apa mwisho kasema jambo kubwa sana. Kuwafunza watoto kujieleza
@beatricefrankngalubutu14482 жыл бұрын
Nilidhan najua kiswahili ila wew kaka hodari sana👌👌👌....."*ukonavi* ni malipo, zawadi au fidia awewayo mtu baada ya kazi fulani😍❤️❤️umenikosha sana kaka sky 👍
@calvinpaul21712 жыл бұрын
Love u
@neemamahenge30442 жыл бұрын
Hongera Sana kaka Nina mtoto wa darasa la nne anapenda sana Kiswahili naomba mawasiliano tafadhali
@chrismassawe29393 ай бұрын
Shukran mwalimu
@AbuBakar-fu9ov2 жыл бұрын
Joram hatari sana hongera sana Mr Joram
@umfahad26092 жыл бұрын
Kwa kweli lugha ya kiswahili ni lugha nzuri saana ukiongea vizuri. Mimi pia napenda mtu anae zungumza kiswahili vizuri. Cku hizi wengi kwenye L wanaweka R. Na kwenye R wanaweka L. Wanatuharibia lugha.
@bekabakari73942 жыл бұрын
Lafidhi zao huko walikutoka Makabila yao nivigumu ra na la Hawajui zinawekwa wapi
@silverman69302 жыл бұрын
Highly intellectual 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@mariayoeni66572 жыл бұрын
Hi
@benedictbuberwa39432 жыл бұрын
Jamaa amenifurahisha sana ..
@simbadume16942 жыл бұрын
Jamaa Yuko vizuri kuna misemo mingi nimejifunza kwake..
@minortone85712 жыл бұрын
Mama samia please help this kid for he can be a surpotive fellow in broadcasting our natural resources.
@joseph__kaale2 жыл бұрын
Rudia tena kwa Kiswahili
@andrewnyasuru29172 жыл бұрын
Mama samia naomba umsaidie huyu mtoto maana anaweza kuwa kutusaidia katika kutangaza maliasili zetu.
@minortone85712 жыл бұрын
@@andrewnyasuru2917 sawa
@HaliyaShauri27 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@andrewnyasuru2917
@hashimumwinyi22392 жыл бұрын
Namuon mwigulu huyu hapa halafu anakataa mh. Hajui kiswahili vzuri
@mmungaramazani40162 жыл бұрын
Congo 🇨🇩 swahili and kenya 🇰🇪
@stephenmalilo98332 жыл бұрын
Hii interview itanifaa sanaaaa......🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@andrewnyasuru29172 жыл бұрын
hili ni somo kwa waandishi wa habari, wawe wanavunja vunja maneno sio kila muda kutumia kiingereza
@samakisamaki32262 жыл бұрын
Aliyesikia athari za lugha ya asili ya joram agonge like hapa. Mzanaki huyu wa kinyariri 🤣🤣🤣
@hatbtalveson65812 жыл бұрын
huyu jamaa anafikra mkururo na ALLAH kajaalia HIDAYA maashaalah...
@deejeydaev2 жыл бұрын
Kiswahili ni kigumu asee
@godfreykarata3710 Жыл бұрын
Yuko vichuri ❤❤
@benmbwele2 жыл бұрын
Kusikiliza sio vizuri kama kusoma. Watu wengi hawajui nini hawajui. Yatupasa tuwe walumbi. Vinginevyo tutakuwa vipofu wakati tuna macho.
@winfordmwangonda53752 жыл бұрын
Huyu kijana angefaa akasome degree ya kiswahili (kama utaratibu tu wa kielimu, maana kwangu mimi huyu bwana ni Prof tayari). Ni hazina ya taifa kwanye lughaa yetu
@badmanno.16502 жыл бұрын
Hii ni kichwa kabisa .. intellectual mind
@jacobmsigwa3832 жыл бұрын
Yaani huku duniani kuna matobo mengi sana ya fursa za kutobolea...jamaa ni fundi kwelikweli
@jacobmsigwa3832 жыл бұрын
Apatikane msanii mmoja atunge wimbo wenye uswahili mwingi kama huu
@erickdioniz82772 жыл бұрын
Hahaha safi sana kazi nzuri
@johnkiimbila67992 жыл бұрын
Tuondokane na mtindo wa kiswahili kama ilivyo kwenye nyimbo za Diamondi.
@lissahkisamba88432 жыл бұрын
Hongereni sana
@dottanzania7712 жыл бұрын
Kwa hakika ni tajamala kumhoji mbuji, jagina, akiwa bado kijulanga kabisa ni furaha kama ya bibi harusi anapopewa ukonavi.
@shylockjai.86152 жыл бұрын
Umenipotrza
@minortone85712 жыл бұрын
Bulbul
@dullywa99732 жыл бұрын
doh😁😁
@emmanuelmussa26432 жыл бұрын
Kijulanga😂😂
@dicksonkilupa22582 жыл бұрын
Jamani mimi nahama nchi maana siambui chochote hapo
@burundishallsmile1day109 Жыл бұрын
Kumbe lugha ya Kirundi kama kibantu inatumiya Maneno mengi ya Kiswahili Fasaha😢 Gutamara=Tajamala Umupagasi=Mpagasi uMurama=Mrama na mengine tu kayataja ..mana yake hiyo iyo 😊😊👍🏽🎩
@jamil15472 жыл бұрын
Sky huyu jamaa naomba apewe muda hapo kwenye TV yenu aweze kutufunza lugha ya kiswahili
@gemgsp71042 жыл бұрын
Hongera kwake nimependa sana
@kennedysalanomashairi7187 Жыл бұрын
Joram , kiswahili chako hakika kina mashiko na mnato uso mfano.
@silasjacob91322 жыл бұрын
Jamaa anacheka tu aiseee kiswahili 🚶♂️
@princemimi20905 ай бұрын
interview moja misamiati buruji kutoka kwa mbujii
@dullahmihuri2 жыл бұрын
Ana saut ya utangazaji mashaAllah
@khizralghawy94892 жыл бұрын
Ni mc
@AfroMedic2 жыл бұрын
Nakumbuka pale shuleni tukiandika insha- Sherehe ilikuwa imefana, na mahuluki lukuki.
@rosemery5422 жыл бұрын
Ma Sha Allah maneno mengi ni Kiarabu na Kiarabu ni lugha inayopendeza.
@nicokabonge1972 жыл бұрын
Safi sana....kaka
@moganfred6473 Жыл бұрын
Namkubali sana
@fatmamsindi46125 ай бұрын
Maashallah
@onlineshow123 Жыл бұрын
Kazi kuntu zaidi naomba mnisaidie niweze kutagusana Na ndugu Nkumbi tafadhali ,,mimi pia ni mwandishi ila Sina mwelekezi
@papadimayo1chanel.7472 жыл бұрын
Nimependa.
@deejeydaev2 жыл бұрын
Veeerrryyyyyy confident
@davidngomeni26082 жыл бұрын
Mtu anajua kiasi hicho ila ataonekana hafai kwa kushindwa kufaulu shule😁😁😁,tubadilike.
@mwanajafari77942 жыл бұрын
Hatari Sana!
@dinocastico84952 жыл бұрын
Hakika haya ni mahojiano yaliyo tukuka, na bora zaid . Bila shaka naweza sema mahijiano haya yatabaki kuwa ktk safu ya juu kabisa
@orthospeedafrica53352 жыл бұрын
Napenda unavocheka na unavoongea Mr Joram
@nicokabonge1972 жыл бұрын
Dah!! Jamaa anatufungua sana....ila Vijana wa hovyooo tunafatilia mahusiano mapya ya wema sepetu na ........masanja🙄🙄🙄🙄
@ngarathecomedian57432 жыл бұрын
Jama ni noma sana 🙄🤔🔥🔥
@barakamshiu71462 жыл бұрын
nimemsikiliza uyo jamaa duh kiswahili kumbe cjui ase
@jabilmusa75692 жыл бұрын
Daah hakika kijana ni mzalendo qa aina yake
@gracejulius39662 жыл бұрын
Mbona Jamaa anafanana na Mwenye dhamana ya fedha?
@abdillahchikota43034 ай бұрын
Mm nahisi selikali ingewekeza kwa huyu brother..ingefaa, pia km ingewezekana ingeandaliawa movi yenye maudhuiya kiswali km hiki
@juvenclemence14902 жыл бұрын
Ukonavi ni mimba - ila Leo nmecheka sana leo tumefungwa na yanga ila hii clip imerejesha tabasam letu
@barakakusa76062 жыл бұрын
Mim pia nipo huku kujifariji🤔🤔🤔
@alhaithamiy_2 жыл бұрын
Ghulamu, Banati, Dhukuriya zote hizi asili yake yake Arabic wow
@hammy76642 жыл бұрын
I and I ,sio shelabela
@happinessmkombwemkombwe86772 жыл бұрын
Sasa mm najifunzia wapi hicho kiswahili Bwana Joram?
@sistertrashid24882 жыл бұрын
Jamani kumbe nimefaidika ila nimempenda uyu kaka akicheka na mimi najikuta Nacheka tu 😀😀😀
@thepenatech51022 жыл бұрын
Brother Fredrick huyu inabidi akutane na Mrisho Mpoto patachimbika 😄😄😄😄😄🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Wadigo oyeeeeee maana joram anajivunia kujifunza kufundishwa kiswahili na wadigo
@babanabil...12472 жыл бұрын
Sawa kabisa barobaro wafunzwa ni azee enhu
@mosesmahinya96542 жыл бұрын
Nash Mc njoo uku umuome mswahili
@EmmapasiAndai4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@princemimi20905 ай бұрын
interview ya leo tu nimejaza kamusi kwa misamiati daftarii
@herijaphet Жыл бұрын
Hapo jambo la msingi ni kuwa lugha hubadilika kutokana na wakati na mahtaji. Hayo maneno mengi ni ya zaman yaliyotumika kipind cha biashara na waarabu na wa-Asia. Kwa hyo ugumu ni kuwa lugha ni tajr maneno ni mengi ya zaman hayatumik. Lugha ya sasa ni ya teknolojia na ya zaman ni ya analojia