JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI hujawahi kuona, MISAMIATI hii aliyoishusha imetuvunja mbavu hapa

  Рет қаралды 64,752

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 318
@kimranely1984
@kimranely1984 2 жыл бұрын
This guy yuko vizuri pia kwenye math alinifundisha secondary he used to call himself "THE NEXT BILLIONAIRE"😊
@Mr_Yussuf_as_well
@Mr_Yussuf_as_well 2 жыл бұрын
Amesoma degree ya math na statististics
@ronaldissack4955
@ronaldissack4955 2 жыл бұрын
Umefundishwa na mtu mbuji kabisa WA Kiswahili mwl Joram nkumbi
@joseph__kaale
@joseph__kaale 2 жыл бұрын
@@ronaldissack4955 Mlumbi
@mrsmile5425
@mrsmile5425 2 жыл бұрын
Ni raha sana vile anacheka kiswahili ni lugha ya amani
@newrace5544
@newrace5544 2 жыл бұрын
Najikuta nacheka kwa sauti kila nikimuangalia mbuji wa kiswahili🤣🤣🤣 this is best interview ever
@crisndembwele4016
@crisndembwele4016 2 жыл бұрын
Daah nataman kuwa Yeye uyu jamaa ni Genius 💪💪💪
@successconcious703
@successconcious703 2 жыл бұрын
Be yourself boy
@babphonc5794
@babphonc5794 2 жыл бұрын
Naona hadi mtangazaji kajisahau kumuuliza kuhusu vitabu,huyu mtu ni hazina kabisa yani ✊✊✊ kiukweli ni jambo jema sana kujifunza lugha hii kiufasaha
@masellemaziku1096
@masellemaziku1096 2 жыл бұрын
Aaah bwana. Kijana huyu ni mbobezi wa kiswahili haswa. Atafika mbali sana maana kawekeza muda wake katika jambo hili la lugha. Hongera sana kwako Jorum
@roybazigu765
@roybazigu765 2 жыл бұрын
Moja ya interview bora ✍️🙏
@robertempire9542
@robertempire9542 2 жыл бұрын
Nilipoona clips zake Mara ya kwanza nilipenda jinsi anavyoongea na hata akipewa kipindi cha kufanya maojiano anafaa kabisa keep moving brother
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 2 жыл бұрын
Maashallah maashallah maashallah, kwa kweli kiswahili ni kiyamu mnooooooo. Hongera Sana kijana mwenzetu🙏🙏🙏🙏
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
Sauti na umri wake tofauti 😉 mpeni kipindi I admire him 🙌
@maryamtan682
@maryamtan682 2 жыл бұрын
Kumbe na wewe mwenzangu umeona
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 жыл бұрын
Kabisa umri wake haviendani na ufahamu wake kwenye kiswahili, kwangu mimi huyu ni Profesa wa kiswahili
@Bbwaoy
@Bbwaoy 2 жыл бұрын
Thands down. Kiswahili kili nipa tabu sana shule. Niki pata C nilikua na shangilia balaa sana. This guy deserves a credit.
@earnestmwangombola672
@earnestmwangombola672 2 жыл бұрын
Nimempenda Joram Mkumbi. Sikuwahi kumsikia kabla. Anafurahisha kwa kicheko chake na hazina ya kiswahili. Bahati mbaya ni mtaalamu wa hesabu na nadhani na masuala ya masoko yaani marketing. Sina uhakika kama ameokoka, angependeza zaidi.
@flomaje1J
@flomaje1J Жыл бұрын
Ameokoka tena sana. Angalia interview yake alipokuwa Marekani
@chenganjerry5273
@chenganjerry5273 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa ni mathematian mkali Sana Joram nkumbi bravo bravo
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 2 жыл бұрын
Kidume cha shoka elimu kubwa hadi degree ya mathematics lakin bado hakuna ammmm ammm you no what!!!big up bro
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Kijana nimekuhini sana.Wewe ni miongoni mwa hazina za vijana wa nchi yetu katika ukinga wa lugha yetu ya kiswahili.
@pauldeogratius4722
@pauldeogratius4722 10 ай бұрын
Pl ..l..... O Lllllllp
@afyatips
@afyatips 2 жыл бұрын
Huyu jamaa amefanya nijue kumbe sijui kiswahili 🙌🏾🤦🏽‍♂️
@manwoka4078
@manwoka4078 2 жыл бұрын
Unajua kiswahili ndugu, kiswahili cha huyu jamaa huwezi fanya mawasiliano na jamii nani anatumia hayo maneno na nahau zake. Lugha ni kwa mawasiliano kama hueleweki kwa lugha inayotumika na jamii inayokuzunguruka hapo Dhima ya lugha hua haipo
@lizzy_ways
@lizzy_ways 2 жыл бұрын
My first time to comment Well i really enjoyed a lot
@carolinekalume934
@carolinekalume934 2 жыл бұрын
Hongera Rafiki yangu Ubarikiwe sana
@abukarosman2565
@abukarosman2565 2 жыл бұрын
Nimempenda bure huyu kaka🥰🥰🥰🥰
@29WavesTV
@29WavesTV 2 жыл бұрын
Yuko Vizuri sana na mimi nimevutiwa sana usemi wake.Haborongi katika kusema
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Nitajamala kumjuwa ndugu Joran amenirovia rovurovu uyu ni mbuji wa kiswahili
@albiz3946
@albiz3946 2 жыл бұрын
Hapo Tangasisi-Tanga Ndio Sehemu alipo Zaliwa Marehemu Shaban Robert Mtaalamu wa Kiswahili East Africa
@aahasaidi1977
@aahasaidi1977 2 жыл бұрын
safi sana, nashauri uandae vipindi vya Kiswahili ukitumia ubao na kalamu ili kizazi hiki tupate faida zaidi ya kufahamu maneo ya Kiswahili kwa ufasaha.Ahsante
@fatmamsindi4612
@fatmamsindi4612 5 ай бұрын
Yupo vizuri sana huyu kijana,nampenda sana
@chicherickybenson1070
@chicherickybenson1070 2 жыл бұрын
Naitwa Chiche Benson Rukumba. Natoka hapa Uganda. Ndugu Nkumbi nanipendeza sana. Lazima nijifunze lugha ya Kiswahili😀. Just trying! But the truth is I really love Kiswahili.
@AshouHumaid
@AshouHumaid Жыл бұрын
Mimi ni mwenye asili ya kiarabu ila hakika nasikia furaha sana kwa lugha fasaha yenye kuupa burdani mtima wangu.Ama zama hizi kiswahili kimepotea,( KISWAHILI NI LUGHA YA TAIFA ,WATANZANIA SOTE TUNAJIVUNIA.. KWANZA WALIMU WANALOJUKUM KUBWA,KUTUFUNDISHA LUGHA YA TAIFA.
@jumapjuma3020
@jumapjuma3020 Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪 kiswahili kumbe kinapendeza😍
@InstructITWise
@InstructITWise 2 жыл бұрын
nafikiri huyu jamaa na awamajamaa waliotengeneza hii game ya swahiliwordcross(niliipatia playstore) ni kitu kimoja aki nimekua nikiicheza karibia wiki mbili ila kufikia level ya 50 tu imenichomoa. Watu makni wanaotuonesha njia, nimeipenda sana hii interview
@ronaldissack4955
@ronaldissack4955 2 жыл бұрын
Interview nzuri Sana,nimerudia na kurudia utamu wake uko palepale
@alisalum2023
@alisalum2023 2 жыл бұрын
Kutepwereshwa nasio kutebwereshwa Mashallah au masharaf
@fathiyaalmazrui816
@fathiyaalmazrui816 2 жыл бұрын
Maasha Allah ni vizuri kweli watu wajifunze kuzungumza kiswahili kwa sababu sasa lugha ni maneno ya ovyo hata sijui yanatokea wapi.
@jumahassan273
@jumahassan273 2 жыл бұрын
Njoo tanga ujifunze Swahili kama joram
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 жыл бұрын
Nakubali mwamba lugha anaimudu kinoma 🙌
@gabrielgaby2265
@gabrielgaby2265 2 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii interview anatumia kipindi gani niwe mfatiliaji wake
@swahiliwithZita
@swahiliwithZita Жыл бұрын
Wow! Just wow! Anafurahisha na kufundisha kwa pamoja
@hatbtalveson6581
@hatbtalveson6581 2 жыл бұрын
hujawahi kukosea bwana sky...🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@deusntobi1450
@deusntobi1450 2 жыл бұрын
Huyu mtu ni hodar wa kiswahili kwelikweli ni vizuri wasani wetu wakamtimia kwa tafisida ili kupunguza ukali wa maneno wanayoyatumia.
@indiraconnolly2889
@indiraconnolly2889 5 ай бұрын
Asante sana kwa video hii!! Najifunza Kiswahili sasa. Sikuelewa video nzima, lakini naweza kuelewa maneno machache :)
@nuruhaule
@nuruhaule 4 ай бұрын
Safi sana Jorum..
@ronaldissack4955
@ronaldissack4955 2 жыл бұрын
Naona Fredrick bundala kafurahi Sana Kwa mahojiano na mbuji WA Kiswahili Joramu nkumbi
@salimbilali5174
@salimbilali5174 2 жыл бұрын
The guy has made my day
@dullahmihuri
@dullahmihuri 2 жыл бұрын
Apa mwisho kasema jambo kubwa sana. Kuwafunza watoto kujieleza
@beatricefrankngalubutu1448
@beatricefrankngalubutu1448 2 жыл бұрын
Nilidhan najua kiswahili ila wew kaka hodari sana👌👌👌....."*ukonavi* ni malipo, zawadi au fidia awewayo mtu baada ya kazi fulani😍❤️❤️umenikosha sana kaka sky 👍
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 жыл бұрын
Love u
@neemamahenge3044
@neemamahenge3044 2 жыл бұрын
Hongera Sana kaka Nina mtoto wa darasa la nne anapenda sana Kiswahili naomba mawasiliano tafadhali
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 3 ай бұрын
Shukran mwalimu
@AbuBakar-fu9ov
@AbuBakar-fu9ov 2 жыл бұрын
Joram hatari sana hongera sana Mr Joram
@umfahad2609
@umfahad2609 2 жыл бұрын
Kwa kweli lugha ya kiswahili ni lugha nzuri saana ukiongea vizuri. Mimi pia napenda mtu anae zungumza kiswahili vizuri. Cku hizi wengi kwenye L wanaweka R. Na kwenye R wanaweka L. Wanatuharibia lugha.
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Lafidhi zao huko walikutoka Makabila yao nivigumu ra na la Hawajui zinawekwa wapi
@silverman6930
@silverman6930 2 жыл бұрын
Highly intellectual 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@mariayoeni6657
@mariayoeni6657 2 жыл бұрын
Hi
@benedictbuberwa3943
@benedictbuberwa3943 2 жыл бұрын
Jamaa amenifurahisha sana ..
@simbadume1694
@simbadume1694 2 жыл бұрын
Jamaa Yuko vizuri kuna misemo mingi nimejifunza kwake..
@minortone8571
@minortone8571 2 жыл бұрын
Mama samia please help this kid for he can be a surpotive fellow in broadcasting our natural resources.
@joseph__kaale
@joseph__kaale 2 жыл бұрын
Rudia tena kwa Kiswahili
@andrewnyasuru2917
@andrewnyasuru2917 2 жыл бұрын
Mama samia naomba umsaidie huyu mtoto maana anaweza kuwa kutusaidia katika kutangaza maliasili zetu.
@minortone8571
@minortone8571 2 жыл бұрын
@@andrewnyasuru2917 sawa
@HaliyaShauri
@HaliyaShauri 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂​@@andrewnyasuru2917
@hashimumwinyi2239
@hashimumwinyi2239 2 жыл бұрын
Namuon mwigulu huyu hapa halafu anakataa mh. Hajui kiswahili vzuri
@mmungaramazani4016
@mmungaramazani4016 2 жыл бұрын
Congo 🇨🇩 swahili and kenya 🇰🇪
@stephenmalilo9833
@stephenmalilo9833 2 жыл бұрын
Hii interview itanifaa sanaaaa......🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@andrewnyasuru2917
@andrewnyasuru2917 2 жыл бұрын
hili ni somo kwa waandishi wa habari, wawe wanavunja vunja maneno sio kila muda kutumia kiingereza
@samakisamaki3226
@samakisamaki3226 2 жыл бұрын
Aliyesikia athari za lugha ya asili ya joram agonge like hapa. Mzanaki huyu wa kinyariri 🤣🤣🤣
@hatbtalveson6581
@hatbtalveson6581 2 жыл бұрын
huyu jamaa anafikra mkururo na ALLAH kajaalia HIDAYA maashaalah...
@deejeydaev
@deejeydaev 2 жыл бұрын
Kiswahili ni kigumu asee
@godfreykarata3710
@godfreykarata3710 Жыл бұрын
Yuko vichuri ❤❤
@benmbwele
@benmbwele 2 жыл бұрын
Kusikiliza sio vizuri kama kusoma. Watu wengi hawajui nini hawajui. Yatupasa tuwe walumbi. Vinginevyo tutakuwa vipofu wakati tuna macho.
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 2 жыл бұрын
Huyu kijana angefaa akasome degree ya kiswahili (kama utaratibu tu wa kielimu, maana kwangu mimi huyu bwana ni Prof tayari). Ni hazina ya taifa kwanye lughaa yetu
@badmanno.1650
@badmanno.1650 2 жыл бұрын
Hii ni kichwa kabisa .. intellectual mind
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 2 жыл бұрын
Yaani huku duniani kuna matobo mengi sana ya fursa za kutobolea...jamaa ni fundi kwelikweli
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 2 жыл бұрын
Apatikane msanii mmoja atunge wimbo wenye uswahili mwingi kama huu
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 2 жыл бұрын
Hahaha safi sana kazi nzuri
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 2 жыл бұрын
Tuondokane na mtindo wa kiswahili kama ilivyo kwenye nyimbo za Diamondi.
@lissahkisamba8843
@lissahkisamba8843 2 жыл бұрын
Hongereni sana
@dottanzania771
@dottanzania771 2 жыл бұрын
Kwa hakika ni tajamala kumhoji mbuji, jagina, akiwa bado kijulanga kabisa ni furaha kama ya bibi harusi anapopewa ukonavi.
@shylockjai.8615
@shylockjai.8615 2 жыл бұрын
Umenipotrza
@minortone8571
@minortone8571 2 жыл бұрын
Bulbul
@dullywa9973
@dullywa9973 2 жыл бұрын
doh😁😁
@emmanuelmussa2643
@emmanuelmussa2643 2 жыл бұрын
Kijulanga😂😂
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 жыл бұрын
Jamani mimi nahama nchi maana siambui chochote hapo
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 Жыл бұрын
Kumbe lugha ya Kirundi kama kibantu inatumiya Maneno mengi ya Kiswahili Fasaha😢 Gutamara=Tajamala Umupagasi=Mpagasi uMurama=Mrama na mengine tu kayataja ..mana yake hiyo iyo 😊😊👍🏽🎩
@jamil1547
@jamil1547 2 жыл бұрын
Sky huyu jamaa naomba apewe muda hapo kwenye TV yenu aweze kutufunza lugha ya kiswahili
@gemgsp7104
@gemgsp7104 2 жыл бұрын
Hongera kwake nimependa sana
@kennedysalanomashairi7187
@kennedysalanomashairi7187 Жыл бұрын
Joram , kiswahili chako hakika kina mashiko na mnato uso mfano.
@silasjacob9132
@silasjacob9132 2 жыл бұрын
Jamaa anacheka tu aiseee kiswahili 🚶‍♂️
@princemimi2090
@princemimi2090 5 ай бұрын
interview moja misamiati buruji kutoka kwa mbujii
@dullahmihuri
@dullahmihuri 2 жыл бұрын
Ana saut ya utangazaji mashaAllah
@khizralghawy9489
@khizralghawy9489 2 жыл бұрын
Ni mc
@AfroMedic
@AfroMedic 2 жыл бұрын
Nakumbuka pale shuleni tukiandika insha- Sherehe ilikuwa imefana, na mahuluki lukuki.
@rosemery542
@rosemery542 2 жыл бұрын
Ma Sha Allah maneno mengi ni Kiarabu na Kiarabu ni lugha inayopendeza.
@nicokabonge197
@nicokabonge197 2 жыл бұрын
Safi sana....kaka
@moganfred6473
@moganfred6473 Жыл бұрын
Namkubali sana
@fatmamsindi4612
@fatmamsindi4612 5 ай бұрын
Maashallah
@onlineshow123
@onlineshow123 Жыл бұрын
Kazi kuntu zaidi naomba mnisaidie niweze kutagusana Na ndugu Nkumbi tafadhali ,,mimi pia ni mwandishi ila Sina mwelekezi
@papadimayo1chanel.747
@papadimayo1chanel.747 2 жыл бұрын
Nimependa.
@deejeydaev
@deejeydaev 2 жыл бұрын
Veeerrryyyyyy confident
@davidngomeni2608
@davidngomeni2608 2 жыл бұрын
Mtu anajua kiasi hicho ila ataonekana hafai kwa kushindwa kufaulu shule😁😁😁,tubadilike.
@mwanajafari7794
@mwanajafari7794 2 жыл бұрын
Hatari Sana!
@dinocastico8495
@dinocastico8495 2 жыл бұрын
Hakika haya ni mahojiano yaliyo tukuka, na bora zaid . Bila shaka naweza sema mahijiano haya yatabaki kuwa ktk safu ya juu kabisa
@orthospeedafrica5335
@orthospeedafrica5335 2 жыл бұрын
Napenda unavocheka na unavoongea Mr Joram
@nicokabonge197
@nicokabonge197 2 жыл бұрын
Dah!! Jamaa anatufungua sana....ila Vijana wa hovyooo tunafatilia mahusiano mapya ya wema sepetu na ........masanja🙄🙄🙄🙄
@ngarathecomedian5743
@ngarathecomedian5743 2 жыл бұрын
Jama ni noma sana 🙄🤔🔥🔥
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 2 жыл бұрын
nimemsikiliza uyo jamaa duh kiswahili kumbe cjui ase
@jabilmusa7569
@jabilmusa7569 2 жыл бұрын
Daah hakika kijana ni mzalendo qa aina yake
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 жыл бұрын
Mbona Jamaa anafanana na Mwenye dhamana ya fedha?
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 4 ай бұрын
Mm nahisi selikali ingewekeza kwa huyu brother..ingefaa, pia km ingewezekana ingeandaliawa movi yenye maudhuiya kiswali km hiki
@juvenclemence1490
@juvenclemence1490 2 жыл бұрын
Ukonavi ni mimba - ila Leo nmecheka sana leo tumefungwa na yanga ila hii clip imerejesha tabasam letu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 жыл бұрын
Mim pia nipo huku kujifariji🤔🤔🤔
@alhaithamiy_
@alhaithamiy_ 2 жыл бұрын
Ghulamu, Banati, Dhukuriya zote hizi asili yake yake Arabic wow
@hammy7664
@hammy7664 2 жыл бұрын
I and I ,sio shelabela
@happinessmkombwemkombwe8677
@happinessmkombwemkombwe8677 2 жыл бұрын
Sasa mm najifunzia wapi hicho kiswahili Bwana Joram?
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 жыл бұрын
Jamani kumbe nimefaidika ila nimempenda uyu kaka akicheka na mimi najikuta Nacheka tu 😀😀😀
@thepenatech5102
@thepenatech5102 2 жыл бұрын
Brother Fredrick huyu inabidi akutane na Mrisho Mpoto patachimbika 😄😄😄😄😄🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@rosenyoroka1516
@rosenyoroka1516 2 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe kweli. Vichunga ndevu nimepata maanake sasa... Teenager
@emmosilver6039
@emmosilver6039 2 ай бұрын
MUNGU amlinde huyu mwamba.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 4 ай бұрын
Kijulanga mmoja aje hapa
@jumahassan273
@jumahassan273 2 жыл бұрын
Wadigo oyeeeeee maana joram anajivunia kujifunza kufundishwa kiswahili na wadigo
@babanabil...1247
@babanabil...1247 2 жыл бұрын
Sawa kabisa barobaro wafunzwa ni azee enhu
@mosesmahinya9654
@mosesmahinya9654 2 жыл бұрын
Nash Mc njoo uku umuome mswahili
@EmmapasiAndai
@EmmapasiAndai 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@princemimi2090
@princemimi2090 5 ай бұрын
interview ya leo tu nimejaza kamusi kwa misamiati daftarii
@herijaphet
@herijaphet Жыл бұрын
Hapo jambo la msingi ni kuwa lugha hubadilika kutokana na wakati na mahtaji. Hayo maneno mengi ni ya zaman yaliyotumika kipind cha biashara na waarabu na wa-Asia. Kwa hyo ugumu ni kuwa lugha ni tajr maneno ni mengi ya zaman hayatumik. Lugha ya sasa ni ya teknolojia na ya zaman ni ya analojia
@geraldtarimo3210
@geraldtarimo3210 2 жыл бұрын
Kumbe hatamimi sijuikiswahili
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 27 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
MCHOKONOZI ABANANISHWA STUDIO ASIMAMIA MISIMAMO YAKE PALEPALE.
1:22:28
Platform Media
Рет қаралды 34 М.
سورة البقرة كاملة رقية للبيت, علاج للسحر - القارئ علاء عقل Sourate Al-Baqara
3:52:00
THE JUNCTION S1:E21 | JORAM NKUMBI & LYDIA CHARLES
2:32:58
iRoc Networks
Рет қаралды 21 М.
Albert Einstein's Life and Discoveries part 1 & 2 || Bright Keralite
2:09:05