No video

JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI aliyesoma Hisabati Chuo Kikuu, aliambiwa atakuwa mwanga wa dunia

  Рет қаралды 24,641

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili na mwandishi wa vitabu

Пікірлер: 78
@elimelamerii2342
@elimelamerii2342 2 жыл бұрын
I come to like if not to love this guy... Unajua mambo mpaka unavutia. Nimevutiwa nawe.
@adammaina5612
@adammaina5612 6 ай бұрын
Young man, I speak the glory of God upon you. Tanzanians, this young man will be your president and he will transform your country.
@bradtunya5056
@bradtunya5056 2 жыл бұрын
This guy is trending in Kenya now
@silverman6930
@silverman6930 2 жыл бұрын
This dude is a genius I love him ❤️💖💖💖🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
@ghelimafilemon9653
@ghelimafilemon9653 2 жыл бұрын
Hongera mnyaturu kwa maarifa hayo. Utuletee na historia ya kabila la Oromo nchini Ethiopia wanaokisiwa ni ndugu wa wanyaturu/Warimi.
@rissasyallymfaume5522
@rissasyallymfaume5522 Жыл бұрын
Joram Nkumbi nimehamasiki sana kwa juhudi yako ya mufunua kawa la tamu ya lugha ya kiswahili.Mazungumuzo ya leo TBC 1 ni funzo adhimu hasa kwa wana habari kwenye runinga na radio waonyeshe umahiri wa kuzungumza. Kwa kweli nao wengi wao bado dhaifu.
@GeorgeSimbeye
@GeorgeSimbeye 2 жыл бұрын
This guy is a genius a true salty of the earth and light of the world 🙌
@bahatij1
@bahatij1 Жыл бұрын
Yeah, i feel the same.
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 2 жыл бұрын
Hii ni kitu nzuri Sana na imenikosha kuwajulisha watu kuwa si lazima uwe msomi wa chuo kwa fani flani kujua mambo
@mohammedmasoud6198
@mohammedmasoud6198 2 жыл бұрын
Habari ya kazi kaka sky nimependa sana kipindi chako na mahojiano uliyo (ulio) yafanya na kaka JORAMU ila kuna vitu ambavo(ambavyo) haviko sawa katika mfumo wa lugha ya kiswahili kupitiya(kupitia) kile alichokisema kaka JORAMU, Kwamfano : matumizi ya neno ndio alipolitumiya (alipolitumia) kwenye ziwa kwakusema lile ndio ziwa hii kimsingi haiko sawa na kwauwelewa wangu. Namengi na mengineyo. LAKINI NAPENDA HARAKATI ZAKE ZA KUFUATILIYA LUGHA YA KISWAHILI. Ahsante sana
@albertlucaskoisha7353
@albertlucaskoisha7353 8 ай бұрын
Unapanda ufahamu sana mwalimu kwetu asante
@yahayamjenga1996
@yahayamjenga1996 2 жыл бұрын
Matumizi sahihi ya bundle langu
@mtwaracity9254
@mtwaracity9254 2 жыл бұрын
This dude got old soul bro i mean he's genius 😊
@tumaindobeli7137
@tumaindobeli7137 6 ай бұрын
Great mind..
@fulgencentahomvukiye4531
@fulgencentahomvukiye4531 2 жыл бұрын
Hey SNS! Naomba nipate kitabu kimojawapo ya vitabu vya huyu Mnyaturu = Hicho cha Kiswahili Mufti Asante!
@shenamtukufu1224
@shenamtukufu1224 Жыл бұрын
Nampenda sana huyu big rai
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 2 жыл бұрын
This Guy Is a Version of Nyerere+Magufuli.....I guess ni Raisi huyu wa Baadae In Sha Allah Leader = Reader
@isikesamike
@isikesamike Жыл бұрын
I second you. A true leader and is going to be a legend.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Жыл бұрын
Unataka watu wamuhusudu bure mtu hajawahi kuwa hata katibu kata unataka mtu awe Rais😅😅😅
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 2 жыл бұрын
Katika vipindi vizuri Toka kwako kuhoji hii ni namba moja kwangu kwa mwaka huu
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 2 жыл бұрын
Sky umenikosha Sana kumleta huyu jamaa, HONGERA
@ShimboPastory
@ShimboPastory 2 жыл бұрын
Heshima yako kaka Joram
@hamisiseph8312
@hamisiseph8312 2 жыл бұрын
Nimeipenda
@joramunkumbi
@joramunkumbi 2 жыл бұрын
JORAMU NKUMBI
@petermangowi
@petermangowi Жыл бұрын
Mwigulu Mchemba angalia huyu kama hatakuwa mwanao basi atakuwa ndugu yako sana.
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 2 жыл бұрын
Kid pronounce words very correctly man. 🙌🔥
@iddikimia4951
@iddikimia4951 2 жыл бұрын
Safi sana na mm nitaweka kidinini🤣🤣🤣
@maryaika9645
@maryaika9645 2 жыл бұрын
Thinking tank Smarty dude
@allynguvumali4741
@allynguvumali4741 2 жыл бұрын
Ana lafudh kama nyerere kwa mbali sana sio ndugu kweli
@byaombealoys5967
@byaombealoys5967 2 жыл бұрын
Mm nimkongo naishi marekani nimefuatilia sana uyo ndugu yetu hapo tena kijana mwenzetu kiukweli ameniamasisha sana,,, ila naom ba mtufanyie nasi soft copy ili walioko nje ya tz tupate vitabu vyake, ninaamu sana yakusoma ivyo vitabu vyake. Please tunaomba.
@joramunkumbi
@joramunkumbi 2 жыл бұрын
ASANTENI SANA
@jimmyx8412
@jimmyx8412 2 жыл бұрын
Dah moyo wangu umepata mtimbwiliko Sana
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 2 жыл бұрын
Sawa 😂😂
@arsenalzanzibar2413
@arsenalzanzibar2413 Жыл бұрын
Kwa ss wanzanzibar na watu wa pwani hususani watu wa visiwa vya Pemba tunamuelewa vzr xn Joram anapoongea Kiswahili chenyewe
@marcoemanuel6892
@marcoemanuel6892 2 жыл бұрын
Hongera sana
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kichwaa ana kitu kikubwa Sana atabadilisha maarifa
@marcoemanuel6892
@marcoemanuel6892 2 жыл бұрын
Hata kingereza ana sound noma sana
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 2 жыл бұрын
Nihatar sana
@johnrogath1066
@johnrogath1066 2 жыл бұрын
Super genius
@mastaplan
@mastaplan 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anamdini sana high IQ
@BGHaule
@BGHaule 2 жыл бұрын
Wanyaturu ukikaa nao karibu ndio unawaelewa,wana ugenous Fulani,hata wanawake wa kinyaturu ukikaa nao utatambua ni wanawake wa pekee
@Raya171
@Raya171 2 жыл бұрын
Wow big up
@superangeltv4615
@superangeltv4615 2 жыл бұрын
kweli kod ni nying sana kweli mazingira ya sio rafiki sana sana ukiwa wakala wa fedha kila mwezi kod ukiwa unapata Mfano voda 30000 halotel 20000 tigo 15000 jumla 65000 kila tujiulize kweli tutafika acha kod ya mwaka na lesen apo umetoka tu chuo lakn kweli kuwa watu kwenye inch yetu
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 2 жыл бұрын
Hiyo ya mfano wa mto kuingiza maji tu bila kutoa nimeelewa Sana, nimejifunza jambo kubwa Sana
@victorjames3730
@victorjames3730 2 жыл бұрын
Huyu ni mjuzi wa mambo
@reinhardkisiya1991
@reinhardkisiya1991 2 жыл бұрын
Wars of inspiration
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 2 жыл бұрын
JAMAA MTAM HUYU.!!!!
@divinegospelministry8628
@divinegospelministry8628 2 жыл бұрын
Nahitaji hicho kitabu. Naitwa Alex dominic kutoka Michigan.
@yessecharles3155
@yessecharles3155 2 жыл бұрын
Bro sky mpe kipindi hata cha dakika 15 atufundishe kiswahili bro
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 2 жыл бұрын
Tunaomba tumsikie zaidi huyu jamaa.
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 2 жыл бұрын
Hata kwa wazungu Wana tatizo la ajira
@joramunkumbi
@joramunkumbi 2 жыл бұрын
NIPO HAPA NDUGU YENU - ASANTENI SANA KWA KUNITIA MOYO
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 Жыл бұрын
HONGERA SANA LEO NIMEKUTANA NA WEWE PALE MLIMANI CITY NIKIWA NA BODABODA KAMA UNAKUMBUKA NIMEFURAHI SANA MAANA NIMEONGEA NA WEWE KABISA SAFI SANA JORAM NKUMBI NAKUPENDA SANA.
@venantchami960
@venantchami960 Ай бұрын
BIG MAN, SEE YOU SOON
@josealbertoblasse2520
@josealbertoblasse2520 2 жыл бұрын
Unajua mondelan Moçambique yee good
@Nedjadist
@Nedjadist 2 жыл бұрын
GDP ya Tanzania ni dola bilioni 61. Si ya tano. Tumepitwa na Nigeria, Misri, Afrika Kusini, Algeria, Morocco, Ethiopia, Kenya, Sudan na Ghana imetupita mwaka jana. Just for a record.
@haggaiandagile6232
@haggaiandagile6232 Жыл бұрын
Ni ya tisa , GDP nominal 77 billion usd
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Nchi yetu bwana tabu sana vijana wapo mtaani wengi mno na hakuna kazi
@selemanishabani126
@selemanishabani126 2 жыл бұрын
Tunavipataje hivyo vitabu kiongozi
@venancemartin6734
@venancemartin6734 2 жыл бұрын
Kwenye mpira amezngua
@mgallason...5686
@mgallason...5686 2 жыл бұрын
Hiki Kichwa kimesimama
@unjuinkuganda1991
@unjuinkuganda1991 2 жыл бұрын
S I N G I D A N I KING'
@nevermind4789
@nevermind4789 2 жыл бұрын
Nipo kama Nimepigwa dafrao rovurovu
@narumbahanje9393
@narumbahanje9393 2 жыл бұрын
Mnyaturu 😀 kumbee
@treyvissy9854
@treyvissy9854 2 жыл бұрын
Home boy kabisa huyu
@seifjuma3471
@seifjuma3471 2 жыл бұрын
Nimtanzania😀akoding tu Mwalimu Nyerere
@catherinekingori9018
@catherinekingori9018 2 жыл бұрын
Nahiji hiki kitabu
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 2 жыл бұрын
uyu jamaa shule ipo ya kutoshaa.... ✔✔✔
@khizralghawy9489
@khizralghawy9489 2 жыл бұрын
Kama isiishe
@ibba8082
@ibba8082 2 жыл бұрын
Wa Lweba Fizi D R Congo,Vitabu Vinapatikanaje ?
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anaweza kuja kuwa mtu mkubwa nchini
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 2 жыл бұрын
Naunga mkono
@rjb31
@rjb31 2 жыл бұрын
Ananivunja mbavu Akicheka 🤣🤣🤣🤣😂😂
@badmanno.1650
@badmanno.1650 2 жыл бұрын
Wabadu wakatabahu fakir ...
@ramadhanirakoze
@ramadhanirakoze 2 жыл бұрын
Huyu bwana mbona anafanana na Nelson Mandela
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
Episode 23 with Jorum Nkumbi: Mtaalamu (Mlumbi) wa lugha ya Kiswahili.
1:30:48
JORAMU NKUMBI- MWANDISHI, akiwa na CHILL NA SKY - SIMULIZI NA SAUTI
44:09