Fahamu MAAJABU ya MELI na Manowari za URUSI zilizotia nanga CUBA na kuitisha MAREKANI

  Рет қаралды 30,611

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 59
@Joshuajereman
@Joshuajereman 4 ай бұрын
Mwakahuu mungu pamoja nasi ushoga ni chukizo kwa mungu
@salimwanga
@salimwanga 4 ай бұрын
Habari njema.🎉
@caesargrams
@caesargrams 4 ай бұрын
Whoever reading this, I prayy that whatever you’re going through gets better and whatever you’re struggling with or worrying about is going to be fine I wish you the best of what life has to offer.💯
@uwimana6533
@uwimana6533 4 ай бұрын
Hatari sana
@paulhema5713
@paulhema5713 4 ай бұрын
Ila mwanang una material...ivi huwa unatoa wap material yote haya ...solute kk🤙
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 4 ай бұрын
Ukweli umeanza kujulikana baada ya propaganda za us kuwa na nguvu kwa miaka mingi.
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 4 ай бұрын
USA Awana vitu km hv sio!?
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 4 ай бұрын
@@chrispinmkanda6097 hawana
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
Na anajipanga ku2mia mbinu zengine 2mechelewa kushtua mbinu zao
@erastosanga1694
@erastosanga1694 4 ай бұрын
Keeping up putin with excellent innovative of the high technology of war ships .
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 4 ай бұрын
🇹🇿❣️🇷🇺👏
@SalumMasengwa-b9s
@SalumMasengwa-b9s 4 ай бұрын
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 4 ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@uwimana6533
@uwimana6533 4 ай бұрын
Wakwanza leo
@mountaincoffee7
@mountaincoffee7 4 ай бұрын
Ally una chambua vizuri sn inaeleweka ila. Hauzami Kwa uundani zaid kuelisha mtu mweusi. Mwafrika dj smaa anafanya ivyo. Ila Kila mtu analza yake
@GabrielSky64
@GabrielSky64 4 ай бұрын
Wazungu wote ndio wale wale tu. Africa tushtuke tuache umavi ulio tujaa kichwani
@ALLYLUKONGE-ve2ci
@ALLYLUKONGE-ve2ci 4 ай бұрын
Mt Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@WisleyDaniel-xk7xf
@WisleyDaniel-xk7xf 4 ай бұрын
I'm number one plz i need likes
@goodluckdamian9521
@goodluckdamian9521 4 ай бұрын
Nevi sio Navi (Navy)
@hunstonjuliusmkonyionlinetv
@hunstonjuliusmkonyionlinetv 4 ай бұрын
meli zaifu na za kizamani
@steavmcper7322
@steavmcper7322 4 ай бұрын
Tyson Vs Paul
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 4 ай бұрын
Ulisemaga au ulizungumzia?
@african_channel
@african_channel 4 ай бұрын
Kuna tofauti gani kati ya navy na marine soulders
@daprince7545
@daprince7545 4 ай бұрын
Lote ni jeshi moja, linalokua kua na uwezo wa kupigana ndani ya maji na ardhini.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 4 ай бұрын
Marine ni jinamaalum la wanajeshi wa maji wa marekani ambao ni sehemu ya jeshi la navy.
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 ай бұрын
Huyu bwana hachambui Ally masubi, amekuw kama anasom kitabu sasa hatupati uhondo mzuri km Dj sma
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 4 ай бұрын
kwasababu hana hushabik
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 4 ай бұрын
​@@ShawnBeatzUSHABIKI GANI ANKO ??? UNATAKA ULETE HISIA ZAKO ZA KIDINI KWENYE FUSE?? HUKU NI FACTS AND LOGIC'S HUTAKI NENDA BBC KULE
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 4 ай бұрын
@@niffonlinetz7214 dini tena mm mpagan anko! hana facts wala logic apo
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 4 ай бұрын
@@ShawnBeatz KWANI UMELAZIMISHWA ANKO KUMSIKILIZA USIWE KINGANGANIZI KAMA LOKOLE
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 4 ай бұрын
Umesahau jambo muhimu Inauwezo wa kujificha kwenye Rada...yaani inaweza kupita sehemu na isionekane kwenye Radaa..
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 4 ай бұрын
Nini bosi kama ni submarines zinatumia mfumo wa sonar.
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 4 ай бұрын
Sasa mlisema meli tatu... Sasa hivi meli moja
@msukumamnywamaziwa2785
@msukumamnywamaziwa2785 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@abdallahibrahim280
@abdallahibrahim280 4 ай бұрын
Daah ni zaidi zama za vita baridi lkn nauliza si rahisi saba kwa waamerika kuzishambulia na kuzizamisha na kuwapa urusi hasara kubwa?
@LumumbaFarhani
@LumumbaFarhani 4 ай бұрын
Wanaziogopa kama sumu ndio maana hawajazigusa
@jamessiame5169
@jamessiame5169 4 ай бұрын
Amuna kitu apo
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 4 ай бұрын
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 4 ай бұрын
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
@PaulEbby-n4r
@PaulEbby-n4r 4 ай бұрын
Uuraaaaaaa
@GorbyWilliam
@GorbyWilliam 4 ай бұрын
Tunarudi kuleee kwenye Cuba missiles crisis.
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 4 ай бұрын
Hawa warusi ni hatari
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Wacha mfusi awape kampani wa quba wameteseka sana
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ 4 ай бұрын
Corona ilianza kimasiahara hivihivi . Tujipange na Sisi 😂😂
@josepheriah5977
@josepheriah5977 4 ай бұрын
Ukraine anazilipua
@jkifutu7936
@jkifutu7936 4 ай бұрын
Msulimoto 🇷🇺
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau 4 ай бұрын
Hapo smaa naye amekaa anajifunza kwa Ally🤣🤣 maana huku pamoto🧐 kuvichambua vifaa kazi yake tena kwa uhalisia ? Hapana wazee wangonjera msubirieni taalifa inayofata anakuja 🤣
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 4 ай бұрын
Putin kaza baba
@josepheriah5977
@josepheriah5977 4 ай бұрын
Ukraine mbabe
@elinathanbanka5485
@elinathanbanka5485 4 ай бұрын
Inaonekana hujaanda mpango Kaz wako vzr mzee yaan Bora mkurugenzi bundala awe anatuwekea tu yeye maana Ile mashine ikiongea hata kama unasinzia utaamka
@AmosFocus-jd9qo
@AmosFocus-jd9qo 4 ай бұрын
Vita visikie kwa jirani acheni uchochez kiki nuka dunia itakuwa kama kitongoji
@salemaliy1963
@salemaliy1963 4 ай бұрын
Muongo ww mara 5 mara 6 muongo
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 4 ай бұрын
Uongo ni upi bosi..?.
@erastosanga1694
@erastosanga1694 4 ай бұрын
Heko putin propaganda kwisha
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 4 ай бұрын
Nipo Russia hap kwenye kumbukizi ya Yevgen prigozin na nakupata kinoma
@HusseinSaguti-sj9nh
@HusseinSaguti-sj9nh 4 ай бұрын
Vp uko russia wanasema na vp uwezo wao
MELI KUBWA KAMA VIWANJA VIWILI VYA MPIRA YATINGA BANDARI DSM
2:30
How drone technology is changing warfare | BBC News
16:46
BBC News
Рет қаралды 128 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
This mother's baby is too unreliable.
00:13
FUNNY XIAOTING 666
Рет қаралды 39 МЛН
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 128 МЛН
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 621 М.
Iran threatens US, allies ahead of Israel retaliation | LiveNOW from FOX
15:13
Yahya Sinwar: Is this the end of Israel-Hamas war?
9:41
Times Radio
Рет қаралды 25 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН