Mwakahuu mungu pamoja nasi ushoga ni chukizo kwa mungu
@salimwanga4 ай бұрын
Habari njema.🎉
@caesargrams4 ай бұрын
Whoever reading this, I prayy that whatever you’re going through gets better and whatever you’re struggling with or worrying about is going to be fine I wish you the best of what life has to offer.💯
@uwimana65334 ай бұрын
Hatari sana
@paulhema57134 ай бұрын
Ila mwanang una material...ivi huwa unatoa wap material yote haya ...solute kk🤙
@Shafikimanga74 ай бұрын
Ukweli umeanza kujulikana baada ya propaganda za us kuwa na nguvu kwa miaka mingi.
@chrispinmkanda60974 ай бұрын
USA Awana vitu km hv sio!?
@Shafikimanga74 ай бұрын
@@chrispinmkanda6097 hawana
@KassimAlly-xp4dz4 ай бұрын
Na anajipanga ku2mia mbinu zengine 2mechelewa kushtua mbinu zao
@erastosanga16944 ай бұрын
Keeping up putin with excellent innovative of the high technology of war ships .
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@uwimana65334 ай бұрын
Wakwanza leo
@mountaincoffee74 ай бұрын
Ally una chambua vizuri sn inaeleweka ila. Hauzami Kwa uundani zaid kuelisha mtu mweusi. Mwafrika dj smaa anafanya ivyo. Ila Kila mtu analza yake
@GabrielSky644 ай бұрын
Wazungu wote ndio wale wale tu. Africa tushtuke tuache umavi ulio tujaa kichwani
@ALLYLUKONGE-ve2ci4 ай бұрын
Mt Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@WisleyDaniel-xk7xf4 ай бұрын
I'm number one plz i need likes
@goodluckdamian95214 ай бұрын
Nevi sio Navi (Navy)
@hunstonjuliusmkonyionlinetv4 ай бұрын
meli zaifu na za kizamani
@steavmcper73224 ай бұрын
Tyson Vs Paul
@IsayaSosolo-nx8zk4 ай бұрын
Ulisemaga au ulizungumzia?
@african_channel4 ай бұрын
Kuna tofauti gani kati ya navy na marine soulders
@daprince75454 ай бұрын
Lote ni jeshi moja, linalokua kua na uwezo wa kupigana ndani ya maji na ardhini.
@thefactbook...16074 ай бұрын
Marine ni jinamaalum la wanajeshi wa maji wa marekani ambao ni sehemu ya jeshi la navy.
@hemedjackson22614 ай бұрын
Huyu bwana hachambui Ally masubi, amekuw kama anasom kitabu sasa hatupati uhondo mzuri km Dj sma
@ShawnBeatz4 ай бұрын
kwasababu hana hushabik
@niffonlinetz72144 ай бұрын
@@ShawnBeatzUSHABIKI GANI ANKO ??? UNATAKA ULETE HISIA ZAKO ZA KIDINI KWENYE FUSE?? HUKU NI FACTS AND LOGIC'S HUTAKI NENDA BBC KULE
@ShawnBeatz4 ай бұрын
@@niffonlinetz7214 dini tena mm mpagan anko! hana facts wala logic apo
@niffonlinetz72144 ай бұрын
@@ShawnBeatz KWANI UMELAZIMISHWA ANKO KUMSIKILIZA USIWE KINGANGANIZI KAMA LOKOLE
@charlesmwambinga43554 ай бұрын
Umesahau jambo muhimu Inauwezo wa kujificha kwenye Rada...yaani inaweza kupita sehemu na isionekane kwenye Radaa..
@thefactbook...16074 ай бұрын
Nini bosi kama ni submarines zinatumia mfumo wa sonar.
@mtzhalisi22324 ай бұрын
Sasa mlisema meli tatu... Sasa hivi meli moja
@msukumamnywamaziwa27854 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@abdallahibrahim2804 ай бұрын
Daah ni zaidi zama za vita baridi lkn nauliza si rahisi saba kwa waamerika kuzishambulia na kuzizamisha na kuwapa urusi hasara kubwa?
@LumumbaFarhani4 ай бұрын
Wanaziogopa kama sumu ndio maana hawajazigusa
@jamessiame51694 ай бұрын
Amuna kitu apo
@shaurimtanda82854 ай бұрын
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
@shaurimtanda82854 ай бұрын
Kuandika tu hujui,utaelewa kinachoendelea duniani
@PaulEbby-n4r4 ай бұрын
Uuraaaaaaa
@GorbyWilliam4 ай бұрын
Tunarudi kuleee kwenye Cuba missiles crisis.
@MAHAN-SMART4 ай бұрын
Hawa warusi ni hatari
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Wacha mfusi awape kampani wa quba wameteseka sana
@NdovuDentalClinic_4 ай бұрын
Corona ilianza kimasiahara hivihivi . Tujipange na Sisi 😂😂
@josepheriah59774 ай бұрын
Ukraine anazilipua
@jkifutu79364 ай бұрын
Msulimoto 🇷🇺
@BenjaminMetanyau4 ай бұрын
Hapo smaa naye amekaa anajifunza kwa Ally🤣🤣 maana huku pamoto🧐 kuvichambua vifaa kazi yake tena kwa uhalisia ? Hapana wazee wangonjera msubirieni taalifa inayofata anakuja 🤣
@Aziz-p6s4 ай бұрын
Putin kaza baba
@josepheriah59774 ай бұрын
Ukraine mbabe
@elinathanbanka54854 ай бұрын
Inaonekana hujaanda mpango Kaz wako vzr mzee yaan Bora mkurugenzi bundala awe anatuwekea tu yeye maana Ile mashine ikiongea hata kama unasinzia utaamka
@AmosFocus-jd9qo4 ай бұрын
Vita visikie kwa jirani acheni uchochez kiki nuka dunia itakuwa kama kitongoji
@salemaliy19634 ай бұрын
Muongo ww mara 5 mara 6 muongo
@thefactbook...16074 ай бұрын
Uongo ni upi bosi..?.
@erastosanga16944 ай бұрын
Heko putin propaganda kwisha
@godfreyfrugence41764 ай бұрын
Nipo Russia hap kwenye kumbukizi ya Yevgen prigozin na nakupata kinoma