HII habar ni kuwa bolt wanataka kupromotiwa kinamna au wanata kuawa kiaina. Mwanzo ile ya yule dada,sasa story tena ya mkasa wa boda wa bolt. Kule dada yule na mkasa wa bajaji .
@mtzhalisi2232Ай бұрын
Kweli kabisa una akili mingi
@yusuphally6939Ай бұрын
Sema kuna vitu vya kujifunza apo kama drive wa boda bajaji sema kama haikuusu uwez elewa
@ilynpayne7491Ай бұрын
Daah changamoto sana hizo kazi😮
@valerianchamlungu7268Ай бұрын
Well said....
@suleimanbalemba3348Ай бұрын
Hiyo wanawafanyia bodaboda kwenye gari na bajaji atunaga masiara kwenye pesa ukiwandekeza madada unaweza usipate hela na virus juu kwenye hii kazi usafirishaji wa Abiria
@shukranisibale1739Ай бұрын
Mshua ana kitambi nn
@mwanajumaomahundumla6504Ай бұрын
Kuna madereva wa pikipiki yaani watu sana na ni waelewa sana wengine yaani ni zaidi ya ndugu Hawana shida kabisa ikiwa utaenda nao sawa na wanaweza kukutea Mimi kuna dereva pikipiki alishawahi ingilia ugomvi na kumkunja bwana wangu enzi hizo niko Tanzania na kumwambia ukijaribu kumpiga dada yangu basi tafuta njia ya Kupita.
@yusuphally6939Ай бұрын
Nimependa sana ratiba yake
@AssumaniNahishakiye-vq9ftАй бұрын
Bonjuor brother vp sasa story za mabaharia lakini kwakweli tuna ona kimya kwakweli
@BigZhumbeАй бұрын
Huyu dereva friji haligandisha, anafunguka tu, hawazi madhara atakayosababisha kwa wateja wake ambao wamemuamini na matukio yao.
@abdul-qadirkhamis251829 күн бұрын
Kwani kamtaja mtu jina... Kajionesha sura... Kaoneesha namba ya piki piki.... Wewe ndio umshukuru kwa kukupa elimu
@ommimg2467Ай бұрын
Huyu hamnazo ndio maan hata sura ameficha
@mansourmakame355Ай бұрын
Madereva wa serekali nikweli hawapomakini na niwajeuri vibaya mno washawah kunisababishia ajali halafu wanakimbia na matusi juu ila ipo siku atapasuka mtu
@officiallugano8991Ай бұрын
Fridge la huyu mwamba linahitaji fundi
@kassiannyamba805Ай бұрын
Unapewa neno bure na malipo ni pkpk yako😅😅
@fasterwalker1464Ай бұрын
Mimi mteja akiniambia nijiongeze namkaza kweli
@smb430Ай бұрын
Kama mtu anagari, bodaboda au bajaji nirahisi kupata dereva? Wapi vyama vya madareva, nahitaji derava!