Duuuh hii dunia alaf kuna mtu aamin kama mungu yupo juu ya maajab yote haya😢
@Sarah-e1o9k21 сағат бұрын
Hakika
@PUTINN36521 сағат бұрын
Ahimidiwe
@jamilaathumani548119 сағат бұрын
Nikwel kaka mungu ni mkubwa
@chuseboy18 сағат бұрын
@@jamilaathumani5481 hakika ametakasika yule aliumba ulimwengu na vitu vyote
@hkaniugu10 сағат бұрын
Shida na yeye Mungu katokea wapi? Maajabu hayaishi, hakuna majibu
@RayMakini20 сағат бұрын
Unakujaaa vzuriii sn eskooo keep Up
@OnTarget-t6v23 сағат бұрын
Asante SnS
@Nikita_8017Күн бұрын
SMS is doing good , i love this topic!
@RonnieBertinКүн бұрын
Nyie msicheze na huyo mnyama ni noma sana
@KhamisMohammed-y9lКүн бұрын
Utafiti wakuletewa na wazungu huu mimi toka watuletee kitabu kinasema binadamu alitokana na nyani nimeshindwa kuwaamini wanasayansi wote hata hili la nyangumi namashaka nalo
@jonamnyone8014Күн бұрын
Kipi kinakutia shaka mbona vyote anavyosema vina ushahidi. Mfano kuzaa nyangumi hatagi. Kunyonyesha nyangumi ana matiti. Damu joto nk.
@mtzhalisi223220 сағат бұрын
Fanya utafiti wako binafsi mkuu then utuletee tutakuelewa sana
@MohamadHamza-hb2qv22 сағат бұрын
Gharama za kwenda kumtembelea nyangumi mnazi bay ni kiasi gani,atuambie tukatembee
@fahimkhalifa5904Күн бұрын
Nauliza nchi zinazofanya majaribio ya silaha au kurusha maroketi kutokea baharini je haileti madhara kwa viumbe hivi Nyangumi na Nguva ?
@FredMwamgogwa-td6ni20 сағат бұрын
Bahari inabeba sumu zote za duniani na takataka zote za duniani pili bahari ni pana sana
@KijaSayenda-jo4iyКүн бұрын
Tembo ana Tani 9
@nassormakame495519 сағат бұрын
Je hoyo maziwa ya nyangumi anaeweza kutumia binaadamu
@benardmakori401223 сағат бұрын
Nyagumi siyo samaki ni mnyama tena mbona sikuelewi kabisa kaka
@eliasaNgahehwa-l2fКүн бұрын
Tunawasikiliza hapa watu wa bahari
@Mahir-12-qeКүн бұрын
Je nyangumi yualiwa?
@RonnieBertinКүн бұрын
Wajapani wakimuona huyu kama sisi tukiona kuku mbuzi ng'ombe
@CulverBariki7 сағат бұрын
Haya wazungu wanakula sana
@osmanmohammedosman5493Күн бұрын
Hapo kwenye samaki mtu sijakuelewa mkuu km umetupiga ivi
@Rizikialiamechannel763Күн бұрын
anatumia akili kma binaadam
@yusuphibrahim-yq9mv21 сағат бұрын
😢😢😢😢😢😢
@OnesmoEphrata22 сағат бұрын
Urefu wa uume wa nyangumi ni fut8 mpaka fut10 hatari sana sasa sjui huwa unaliwa kama kitoweo au laaah 😮😮😮
@RayMakini20 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤
@hollymore4904Күн бұрын
🎉
@RayMakini20 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@allymtunge5530Күн бұрын
Shukurani nataka kusikia story ya papa
@PatrickKahindifundisha23 сағат бұрын
Papa wa roma
@mtzhalisi223219 сағат бұрын
Ungemuuliza kuhusu merimid je ikoje?
@Chw_Kdmn833 сағат бұрын
Nyumbu nae anazo akili kwa maana ileile ya nyangumi kw vile anauwezo wa ku survive na anajua afanyeje ili a survive. Ni ktk wanyama wanaosoma nyakati. Mungu alimuumba kwa kumlimit uwezo wake ili iwe vile alivokusudia. Wanavyo fanya nyumbu ndilo dhumuni lao la kuwepo ulimwenguni. Binaadamu ndie kiumbe mharibifu mwenye kufanya makosa mengi kuliko wote lkn pia hatusemi hana akili. Ila nyumbu mwenye kufanya majukumu yake sawa yy ndo hana akili..?
@eliasaNgahehwa-l2fКүн бұрын
Haya sasa papa si azaa nae inakiwaje samaki
@ibrahimngulungu19 сағат бұрын
Sasa unamuuliza munguu au unamkosoa????
@golebenson459723 сағат бұрын
Mnatuchanya bhana tan 2 ni kifaru tembo ni zaidi ya tan 9 mchambuzi umetuchanya nipo Kilimanjaro tembo tupo nao kila siku
@user-ui7lb5yc2l14 сағат бұрын
Wanawake wanakela na vikelele vyao kukiwa na hali ya hatali
@mathiasmb496713 сағат бұрын
Mbona kwa biblia wanasema eti, Yona alimezwa na nyangumi,nahapo unasema kwamba haina umwezo wa kumeza ball kiddo.????? !!!
@husseinbushiri997315 сағат бұрын
Nyangumu ni samaki sio nyama acha uwongo mnyama gani Ana mapezi
@chikusangalala775923 сағат бұрын
Ngoja apinduwe boti
@SaidOmar-d3mКүн бұрын
msitudangaye kuhusu mambo ya samaki na maisha yao baharini
@ibnujumanne405420 сағат бұрын
Nguva anahistoria yake kwenye vitabu vya Dini Ni miongoni mwa viumbe vilivyolaaniwa
@nsajensaligwa497619 сағат бұрын
Anasema nyangumi hamezi hata kitenes Sasa biblia inadanganya maana inasema Yona alikaa siku 3 ndani ya tumbo la samaki kwaiyo ni uongo???
@Abdul-latifKhalfani19 сағат бұрын
Samaki gani?
@ibrahimngulungu18 сағат бұрын
Sasa umeammbiwa nyangumi ni mnyama
@Rahima-kv6mn9 сағат бұрын
We nae ata usikilizi vzr kwaiyo iyo bibilia wamesema uyo yona amekaa kwenye tumbo la nyangumi siku tatu sio kitabu chako alafu ata uelewi kinafundisha nini aya rudi kasome tena alafu uje hapa 🙌
@khamishussein350220 сағат бұрын
Wanasayansi bhana😂
@MichaelMathew-j3f19 сағат бұрын
Kifaru ni tani 2, tembo ni tani 4-6, mwisho, yaani tembo dume yule mkubwa sana ana uzito wa tani 6. Ni hivo tu.
@MikiGermany21017 сағат бұрын
Nyangumi tani 40
@kdloon203015 сағат бұрын
Tembo dume wanasema akipiga bao moja,shahawa zake ni Lita 20,je shahawa hizo zitajaza nyuchi ngapi za masista duu wangapi mtaani??😢
@hajimbwanahaji71976 сағат бұрын
@@kdloon2030😂😂
@MichaelMathew-j3f5 сағат бұрын
@@kdloon2030 usicheze na tembo.
@SaidOmar-d3m23 сағат бұрын
samaki afundishwi kuogelea
@user-gp1hi7sw5kКүн бұрын
Mbona hatadini zimeletwa tuu
@sifuelmamuya457Күн бұрын
Samaki kumbe sio mnyama ninin sasa🤣🤣🤣
@ellymaz2187Күн бұрын
Naona itakuwa ni mmea
@sifuelmamuya457Күн бұрын
@@ellymaz2187 🤣🤣🤣
@RonnieBertinКүн бұрын
Ni mnyama bro anazaa ni kama popo
@golebenson459723 сағат бұрын
Basii nyangu ni mme 😂😂
@hirizonetz955821 сағат бұрын
Nyangumi ni mnyama siyo binadamu
@SaidOmar-d3mКүн бұрын
nyangumi anyonyeshi akuna samaki anaenyonyesha uongo kama uongo mnaosema nguva anakichwa cha mtu mwilisamaki anakula samaki ana wadogo pamoja na nyungunyungu
@msafirimaulidi505423 сағат бұрын
Nyangumi ni myama elew somo
@TeophilBuilding21 сағат бұрын
Unatombwa akili
@MohamadHamza-hb2qv21 сағат бұрын
Huyo jamaa hasikilizi mana anachoandika wala hakiendani na mzungumzaji, unambiwa nyangumi ni mnyama we unatuambia samaki hanyonyeshi ni uongo