Mahojiano na Ernest Boniface Makulilo anayeishi nchini Marekani EBM ENGLISH / ebmscholars EBM SWAHILI / ebmswahili INSTAGRAM / ebmsignature
Пікірлер: 406
@abdulsimbarakiye64693 жыл бұрын
Kaka mimi naishi new York 40 year ubaguzi ni mkubwa sana wa weusi yote Jama anayo zungumza sio kweli kabisa mimi pia niko na mke mzungu lakini ubaguzi marekani hupo tena sana
@TheSebfred2 жыл бұрын
Umeonaeeee
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Amesema upo,,lakini hata Tz upo,,,msikilize vizuri utaelewa
@Perfect-migomigo7 ай бұрын
Mr abdulsimbarakiye umeongea uwongo America akuna ubaguzi wa rangi ata kidogo niko Chicago 51 year
@Perfect-migomigo7 ай бұрын
Na tanzania kuna ubaguzi
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
@@NR-ll4srshida ya watu hawasikilizi wakaelewa
@htx18733 жыл бұрын
This guy is so smart, alinifundisha wakati Alikua udsm , jamaa akaenda usa, namimi pia nikaja USA . This is the guy man , nimejifunza mengi sana mazuri kwake, mungu ukuzidishie . 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@tafari9883 жыл бұрын
As someone born in the States this guy is clueless of structured racism 🤦♂️
@WeirdPuppy3 жыл бұрын
@@tafari988 tell me about it
@davidcurtis85563 жыл бұрын
Interview bora sana sana, nimejifunza mengi kupitia interview hii, Asanteni sana ma bro Mtangazaji na muhojiwa.
@fabiantanzania57953 жыл бұрын
thanks broo, umeonge fact upande furani. its the same thing
@bumabuma24263 жыл бұрын
Sie weusi wenywe tunabaguana mwenzio akizidi weusi tu unaanza kumsema
@ladislausngoyinde43843 жыл бұрын
Umeonaee, ni utumwa wa hali ya juu
@zulfahalily60953 жыл бұрын
Hahahahahahaha kwel kbs
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Na wanaume wengi eti wanaangalia rangi wakitaka mwanamke.
@dicksonexavery7263 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 Vanessa inamaana wanaume weusi wanaoa wazungu kwa fashion ila hawaridhiki nao kingono inabidi watafute black woman wapoze CIO?
@kaveresylvia13023 жыл бұрын
Ukweli
@Vanisikaka3 жыл бұрын
Brother wangu EBM Unawatetea saana Wazungu, Yani haujawa ongelea weusi magumu wanayopitia kwenye western countries, even asia countries🙌🏿.....
@hamzacedricole36733 жыл бұрын
Huyo mjinga tu hata mim nipo hapa New York ubaguzi upo sana USA 🇺🇸 ten sana kabisa huyo anatetea sababu ya fuckin wife wake mjinga huo
@vanessarobyn45843 жыл бұрын
Habar za Asia acha kabisaa tena upande wa ughaibuni ndio kabisaa
@celifpower49933 жыл бұрын
@@hamzacedricole3673 we anae kubagua ni nani!!? Kama unabaguliwa si urudi kwenu
@beegee29713 жыл бұрын
@@hamzacedricole3673 Huyu ni Republican. Anaishi West Virginia
@vanessarobyn45843 жыл бұрын
@@hamzacedricole3673 sasa wewe mwenye akili mbona hurudi nchini kwenu ili usibaguliwe 😂😂😂kweli kupatwa kwa wenye akili ubaguzi uko kwanzia familia sasa ijekuwa kwenye nchi za watu
@Global27World3 жыл бұрын
Mzee ameongea tu, but sio ukweli kabisa, kuna wazungu wakaidi saana tu, na wa Baguzi saana tu kuliko watu weusi. Wazungu ni wajanja, coz anakuchukia but ataki kukuonesha, unaelewa kwakuona gisi atakuwa anakuudumia ao ku elekezwa. Watu wenye wanaishi USA 🇺🇸 wanajuwa. Like kama tuko pamoja. All the way from Atlanta Georgia 🇬🇪 🙌
@georgeburchard48723 жыл бұрын
Jamaa ameniangusha Sana! Kaielezea dhana ya ubaguzi kijuu juu mnooo! Hajaenda deep kabisa! Suala la ubaguzi marekani ni suala la kimfumo! Lilikuwepo, lipo na litaendelea kuwepo!
@svt33 жыл бұрын
George bucharchard: ubaguzi upon na utaendelea kuwepo Africa yenyewe weusi kwa weusi wanabaguana saana tena saana, ndani ya ma inchi za Africa watu wanabaguana saana sababu ya makabila mpaka kama wewe ni wa kabila fulani huwezi ku owa wala kuolewa kwa kabila fulani, mpaka watu wanabaguana sababu ya dini ambazo tuliletewa, kwani kunaubaguzi kuliko hizo?
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
@@svt3 hapo ume nena..hapa Kenya viongozi wana uza sera zao kikabila
@antoinekatembo85203 жыл бұрын
Kafanyaje huyo ndugu? Na hao weusi nao pia wanamatatizo makubwa. Mtu akiombwa ID inakua shida kwao weusi pia! Tunaishi nao tunawajua sana na tabia zao za ajabu, maofisini afadhali nikutane na mzungu ofisini maana hao nitatoka na uduma yangu lakini kutana na mweusi uhusikie mziki wa tabia zao! INDEED brother, All life MATTERS tena sana tu!
@francisemmanuel15513 жыл бұрын
Ubaguzi hata Africa upo tena sisi kwa sisi mfano ni ubaguzi wa weusi kwa weusi wenzao yani wageni
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
Na sikitika, namna sisi waafrika, tuna waenzi wazungu....
@Simplebudgetcooking3 жыл бұрын
Maelezo mazuri sana 👏👏 alafu kama wamefanana sana.
@Mazoea3 жыл бұрын
Yes wamefanana sana nadhani wanatoka sehemu moja
@emmanuelchifupa49343 жыл бұрын
Na mm niliona wamefanana Hawa watu
@kiri58073 жыл бұрын
ubaguzi uko kila mahala na kila nyanja . hapo Tzn tunabaguana kipato , kichama , rangi hadi imepelekea watu kutumia mikorogo n.k mbona hayajadiliwi ?
@rickyjonas7673 жыл бұрын
Asante
@tradamus41582 жыл бұрын
Point
@mamunote35073 жыл бұрын
Shukran Sana kwa fikra zako
@muslimqueen53142 жыл бұрын
Jamaa kaongea point sana memkubali
@alijuma56423 ай бұрын
Msikilizeni vizuri, yuko sawa Hats sis I happy tunabaguana wenyewe kwa wenyewe.
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Kabisa
@minuleabdulkadir28383 жыл бұрын
Somo
@truthsetsfree27533 жыл бұрын
Nyie simulizi na sauti mmepata mtu ambaye hajui kitu, na sishangai hapa Marekani rafiki zake wote wazungu, akitoka na wakwe zake wazungu pia… hivyo hajui historia ya Marekani nimeanza tu kumsikiliza naona anaongea pumba! Wapo wageni wanaokuja Marekani wengi kama yeye ni vipofu hawaoni kweli yoyote kwasababu ya watu fulanifulani wanaokaa nao… mmepoteza muda wenu kumuhoji huyo mume wa mzungu… tafuteni mtu hasa ana experience yakukaa na weusi na mwenye kujua historia…
@aloycemacha98943 жыл бұрын
Sisi wenyewe tunabaguana
@TheSebfred2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@truthsetsfree27532 жыл бұрын
@@TheSebfred umeona enhee
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Ubaguzi upo kila sehemu,,,,,hata Tz tunabaguana wenyewe kwa wenyewe,, sasa unategemea uende nchi za watu upendwe na kila mtu
@SHommymusic13 жыл бұрын
Nipo USA 🇺🇸 na huyu mzee anaongea upuuzi . Police awauwagi wazungu wenzao huku ni watu weusi ndio wanaonewa huku .
@Mazoea3 жыл бұрын
Upo state gani ndugu mie nipo Maryland
@SHommymusic13 жыл бұрын
@@Mazoea nipo Chicago, Illinois
@kachabisnea8815 Жыл бұрын
Ili kweli ni lipuuzi ile mbaya
@shanisshow1864 Жыл бұрын
Marekani ipi wewe ubanguzi ni tabia yako tuu anaongea ukweli ndo hivyoo mpuuzi mwenyewe
@Chrispemkb Жыл бұрын
Nipped Arkansas mzee uogo
@salimaanna68983 жыл бұрын
Kuna utofauti mkubwa kati ya public na private schools hapa umarekani. Quality ya Elimu ya public schools ni ya kawaida. Lakini ya private ni ya juu sana. Pia malipo ya public ni ya kawaida. Most of people can afford paying it. Lakini malipo ya private school yako juu. Wachache ndio wanaweza ku afford kulipa.
@princesuma1686 Жыл бұрын
Upo State ipi?
@albertpike5893 Жыл бұрын
Hiyo kauli ya shule sio Marekani pekee ni kila mahali public schools haziwezi kuwa Sawa na private schools
@NjalaleModesta3 жыл бұрын
Seriously jamaa anaelewaaa sanaaa juu ya issue ya ubaguzi in general mm naishi india na nimeoa mwindi na nina mtto ambae ni half caste swala la ubaguzi lipoo baina ya sisi kwa sisi so ubaguzi upo but ina depends na mazingira
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Kabisa
@zeinababdi47573 жыл бұрын
Thanks to this guy pointing out racism in 🇹🇿, I experience it and I know it very well.
@monicahovda45243 жыл бұрын
Alafu weusi wengi wa Marekani hawapendi kifanya kazi, wanapenda Maisha ya Mtelemko, Serikali iwape sosial walfare, food stamps Yaani wako wako tu hata hawajielewi, hata kusoma hawapendi, tena wanapenda kushot hao, siraha nje nje kwao
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@monicahovda4524 acha uongo wewe, stop generalizing people! wewe ndio wale wale, na watu kama nyie ndio uwa mnabaguliwa ila mnajichekesha tu adi siku ndugu yako limtokee la kumtokea ndo utajua ahaa kumbe ndio iko ivi
@adamfundikira16203 жыл бұрын
@@monicahovda4524 ni kweli kabisaaaa nilikua karifonia nilijionea hayo
@adamfundikira16203 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 una uhakika sisi tumekaa us tumejionea hayo matukio ya wazungu kufanyiwa na weusi hayatangazwi Sanaa lakini mtu mweusi yanashadadiwa sana
@sophiamwakila33003 жыл бұрын
@@monicahovda4524 kazi yao kubwa ni kuvuta bangi na kuuza bangi
@eddydben3 жыл бұрын
We jamaaa anajua saanaa
@johnmwita93983 жыл бұрын
Huyu jamaa atakuwa wa ujiji , anaongea sana duuuh
@kisalaTV3 жыл бұрын
Kama mwijaku
@aloycemacha98943 жыл бұрын
Muha huyu
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Mbona ni poa tu anaeleweka vizur sana
@zanzibarreaction36413 жыл бұрын
Uhakika huyu ni muha
@aloycemacha98943 жыл бұрын
@@zanzibarreaction3641 muha
@humblecute56683 жыл бұрын
Tumejifunza kitu hapa
@mzeeomary57803 жыл бұрын
Acha uongo check sura yake inafanana nauongo kwaiyo unataka kusema kuwa watu weupe na weusi wanakufa Sana ni weupe yani ww naona uka pimwe tu amaunafikilia watanzania nivichaa kusikiliza pumba zako cheki sura yake unalopoka kama umebanwa na mlango
@chengeson2 жыл бұрын
Haaaa
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Wewe unaishi America?
@vincentmokenye44653 жыл бұрын
Kweli ata hapa bongo watu ni wabaguzi tu ni ile hajui
@mariamwakabuta10342 жыл бұрын
Wazungu wanaongoza sana kwa ubaguzi angalia viza ya mtu mweusi akitaka kwenda uraya jinsi anavyo teseka , yeye mzungu viza anailipia akisha fika africa na angalia jinsi diploma ya mtu mweusi hawezi kuajiliwa uraya eti kwasababu kaisomea africa, angalia mila zetu wameziharibu sana hakuna heshima ya mwafrika Nini hiki harafu huyu kaka anaongea kama mtu anaye jipendekeza kwa kutaka maisha ya mtelemko achana na uhuru wa mwafrika tumeonewa sana. huyu kaka hakupata shida ya kufika uraya anaonekana roho ya kizimbe bado anayo.
@corrolesscps5 ай бұрын
Usilalamike wanaogopa usije enda kuzamia kwao. Ili kuukimbia umasikini wako, Swali: pochi lako linaongea. Yaani mhamala unasoma huko Bank. Muhamara ukisoma Bank hapo sio ngumu kivile kupata Visa,
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Issue za visa hapo ss SI viziongozi wetu ndo shida wazungu wanahusiana nini
@amourmtungo6232 жыл бұрын
🤔Ubaguzi upo wa aina nyingi. Kila mtu ni mbaguzi kwa aina yake. Mimi mwenyewe ni mbaguzi. Ubaguzi wangu sipendi mtu yoyote aliepewa hifadhi kwenye nchi fulani anapata malazi, chakula na usalama wa maisha yake, halafu anakuwa aidha mvivu wa kushiriki kazi au mambo ya kijamii kwa maslahi na ustawi wake au pia mtu kuwa mwizi🤔. Hii tabia mimi ninaibagua kwa nguvu zote. Mimi nilitembelea Mikumi National park nikiwa Mtanzania nimetozwa dola za Kimarekani eti kwasababu mke wangu ni Mzungu, huu pia ni ubaguzi kwasababu nilitakiwa kulipa shilingi za Kitanzania na wahusika walikataa katakata. Na sio Mikumi tu hata mahotelini nilitozwa dola. Kwahio ubaguzi upo wa namna nyingi🤔.
@godfreymtove48962 жыл бұрын
Thanks for your education
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Kabla sijafika mbali nishamuona mtazamo wake, huyu ni wale wanaotetea wazungu na itakuwa hajakaa muda mrefu uko aliko. Hawa ndio wanaojipendekezaga kwa wazungu na wasaliti kwa weusi wenzao. I know this type
@princegerard47043 жыл бұрын
Mara ngapi sisi hapa Tanzania unanyimwa kazi kisa Kabila na anakuja mtu wa Kabila lao anapewa kazi je siyo ubaguzi?? Watanzania walimuita Diatta nyani yule mchezaji wa Senegal siyo ubaguzi.??? Hakuna anaetetea ubaguzi ila ukweli ni kwamba sisi ni wabaguzi tena kushinda wazungu ila kosa lao wao ni ngozi yao nyeupe, Tanzania ilimbagua diata hadi Diata akapewa nafasi ya utaliina serikali hilo tusemeje
@azizamohd57283 жыл бұрын
Amekaa mda mrefu
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@azizamohd5728 hana lolote uyu mtumwa tu wa wazungu uyu na bado atatia akili
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Jamaa Understander Sana❤️
@fortunathabarabara8471 Жыл бұрын
relaxing interview I can't stop watching 😊
@rukiamanjicha11573 жыл бұрын
Mbona unatufokea
@JourneyBook3 жыл бұрын
Weka playback speed 0.75 utanishukuru baadae ✌🏿
@dionsangoa14283 жыл бұрын
Huyu jamaa anaongea vizur ila namna anavyotufikishia ujumbe anatufokea 🤣
@dikodikson5593 жыл бұрын
Ndo anavyoongea
@suleimanali56773 жыл бұрын
Point tupu
@yeshuasweapon43843 жыл бұрын
Point iko hvii..waafrika hatupendi kubadilishwa mentality.. PERIOD
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Ndioo
@mwanahawahawaa74853 жыл бұрын
Una bahati hayaja kupata mtu mweupe yoyote anaubanguzi utake usitake kubali
@neemayatosha16183 жыл бұрын
Si wote,wapo weusi, wapo wahindi Marekani hii hii ni wabaguzi na wapo weupe wenye mioyo ya dhahabu.
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Na hiyo rangi ilivokolea ni chambo tosha cha kufatwa na wabaguzi. Usiombee ukakutana na mtu kama huyu uko nje anajifanya uzungu mwingi adi aibu, ila ngozi inakuwa inamsuta kwamba ”cool down meen you are black” not white. Na kama kaoa mzungu ndo kabisaaa ulimbukeni kama wote. Wanatiaga huruma kweli hawa wanaooaga wazungu. Utumwa kwa kwenda mbele
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Sasa wewe ukibaguliwa unawela rohoni si ujinga huo kwani ubaguzi hupo tu pande zote
@hanschuma77343 жыл бұрын
Yap kwel brah apo nimekuelewa mzee
@kahindokanyana87353 жыл бұрын
Ndugu hawa weupe wanaubaguzi sana tunapitiya maumivu mengi Wa Afrika
@barrynzeyimana62703 жыл бұрын
Hapo siri ni kwamba ameanza kwakusema kua ana declare his interest. Kwahio nusu ukweli na nusu uongo. Hajaishi black neighborhood na ameoa mzungu. Usitegemee yeye kutoa siri yeyote
@salimronaldo13883 жыл бұрын
Yeah for real
@saidinyoni24633 жыл бұрын
Hilo ni kweli
@barrynzeyimana62703 жыл бұрын
Kuna mambo ambayo amedanganya hapo. Hakuna mtu ambae anakatazwa kusema Christmas break. Kumbuka huyo ameoa mzungu kuna mambo ambayo hawezi kusema. Wamarekani hasa mke wake anaweza kumuwia kaa la moto. Watoto ambao ni Mix Hua ni wabaguzi na pia wazungu hawawaamini kijamii kama white bali blacks. Na hapo anapoishi sio lahisi kuishi ukiwa wewe ni mtu mweuzi na mke wako mweuzi. Naishi Marekani na wazungu hutumia madawa ya kulevya kuliko watu weusi. Lakini police wengi ni wako black neighborhood
@izack91912 жыл бұрын
Vya kuambiwa hivo ebu fanya ufafanuzi
@kasenatoursandtravels886511 ай бұрын
Huyu jamaa ako sahihi ,nayaona Holland 🇳🇱
@gracegrace62003 жыл бұрын
Wewe unapotosha watu. Ubaguzi Marekani umewafanya watu weusi wanabaka kwenye umasikini.
@allexlunny77953 жыл бұрын
Ubaguzi wa ajabu upo Russia haja miji midogo unaweza juta kwenda kusoma uko yani ata black akiuliwa police hawajigusi wala vyombo vya habari havitangazi
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Duh
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
Watanzania twawapenda sababu ya kukienzi lugha la kiswahili kote mwendako ...
@ramzy52803 жыл бұрын
True story kbs me mwenyewe naishi USA
@Mazoea3 жыл бұрын
Upo state gani ndugu mie nipo Maryland
@dula88193 жыл бұрын
Waafrica wenyewe tunabaguana nakuzarauliana kisa rangi mpka wengine washaanza kujichubua kwa kuchekwa
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Sana tunaona huko katika serikal ubaguzi hupo mkubwa sana
@samuelndosi95773 жыл бұрын
Ubaguzi hauwezi kuisha mpaka Yesu arudi.
@smarty10643 жыл бұрын
Unajieleza vizuri, me sijafika huko marekani na najua ubaguzi huwa una namna nyingi sana, hata minority kuwabagua majority hutokea pia, ila bado sijaelewa "mazingira ya kawaida haiwezi kutokea" hayo "mazingira ya kawaida" huwa yakoje au ni yapi?
@stellah38443 жыл бұрын
Wanzungu asilimia kubwa wabaguz sana na asilimia ndogo syo wabaguz, Asia nao hivyohivyo, ila Africa Asilimia kubwa siyo wabaguz ila asilimia ndogo ndo wabaguz tena baadhi ya makabila. Ila roho mbaya tunayo sanaaaaa mtu akifanikiwa hatak mwenzake afanikiwe tena hata kumpa ushaur tu fanya hiv na fanya hiv utafanikiwa Hakuna sanasana anataka akutumikishe tu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Hakuna boss anapenda mfanyakaz afanikiwe never😂
@hallin95613 жыл бұрын
Hawa ni watu muhimu sana, hawana choyo kwa wengine kutusua maisha
@albertpike5893 Жыл бұрын
Huyu Mzee ANAONGEA points za nguvu sometimes waafrika wanajiwekea ubaguzi wenyewe imagine mzungu akija Africa anaoigwa na beinza bidhaa lakini mwafrika akienda Marekani alipigwa bei anasema anabaguliwa
@babazungu31803 жыл бұрын
Hawajasafirii hao wape elimu
@abbymwangomile392 Жыл бұрын
Jamaa liongo sana npo apa new York ubaguzi ni mwingi sana
@leninbien68673 жыл бұрын
Mr EBM nakubar
@bkzktx70783 жыл бұрын
Jamaa amenifundisha mengi na amenibadilisha mind set sana kwenye perception za racism. Thanks🙏🏼🙏🏼
@juneithartony95432 жыл бұрын
Perception mind ili amekubadilisha unaishi nje au upo Tanzania sasa ukija kuishi huku nje ndio utajua hujui kama amekubadilisha perception yako
@KasminaCreation3 жыл бұрын
Unaongea sana bro ila ukwl ni weusi wanabaguliwa sana kuliko wazungu.wafungwa wengi umarekani ni weusi
MUNGU AWABARIKIE SANA KTK FAMILIA YENU WOTE SNS AMEEN BABY SKY UKO WAPI SIKU NYINGI SIJAMUONA MM NI DADAAKO MPENZI KUTOKA OMANI
@hmaterial4723 жыл бұрын
Asanteeeeee
@SHommymusic13 жыл бұрын
Sio kweli kwamba mzungu akiuliwa Media zinakaa kimia sio kweli huyu jamaa kaolewa hafai.
@kisalaTV3 жыл бұрын
Ujakutwa na ubaguzi wewe kaa kwa kuturia😏
@TheLovejoyz2 жыл бұрын
Fantastic Guy
@bonifacedanielmwakisunga9638 Жыл бұрын
Makulilo ongea ukweli wazumgu wabaguzi sana tu sio hivyo unatetea
@sinaubavu2810 Жыл бұрын
Safi sana brother
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
Kiukweli uyu kaka kaelezea kwa uzuri zaidi 🙏😘
@juneithartony95432 жыл бұрын
Kaeleza kwa uzuri anakudanganyeni mliopo Tanzania sisi tuliopo nje hatumsapoti saba u ubaguzi umechukua nafasi sana kwa watu weusi
@josephjamesnzowa3989 Жыл бұрын
Huyu jamaa anatoa facts ...muda mrefu hii kitu nilikuwa nafuatilia na finaly the guy speaks
@vanessarobyn45843 жыл бұрын
Yaani umesema ukweli watu wa nje hawana furaha kabisaa yaani kama huku UAE hakuna ata ujilani jamani kuna nchi hadi zinatia huruma.
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Duuh pole jmn
@vanessarobyn45843 жыл бұрын
@@lucyjeremia1381 ahsante dear
@azizamohd57283 жыл бұрын
Nami wameshaniambukiza sina time na kujuana na mtu ni hatariii mtu tunaishi floor moja ila hatujuani wala salamu hakuna na si kwa ubaya
@loveelooh19643 жыл бұрын
Wewe unataka ujiran wa nini, Mimi hata nikiwa Tanzanian Staki shobo
@azizamohd57283 жыл бұрын
@@loveelooh1964 yaani ni raha na unajikuta una amani
@ronniebertin3563 Жыл бұрын
Madudu gani hiyo nimeipenda
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Hahaha aisee ukosahihi
@haqilillahtaalaabudhar4697 Жыл бұрын
Huyo muongo mm mwenyewe nimezurura huko anaposema ubaguzi ni mkubwa sana
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Kuna weusi uku nje akiwa kaoa au kaolewa na mzungu yanakuwa kama mazuzu. Kwanza anajiona nae ni mzungu, pili anadharau waafrika wenzie, tatu anatetea mzungu hata afanye ujinga gani. Ndo huyu bwana hapa juu. Ila umo ndani moto anaowashiwa na mzungu anaujua mwenyewe. Kuutwa wako nje kutafuta wadada wa kiafrika wawapoze! Tunawajua vizuri mnooo. Mnatiaga huruma sana
@dicksonexavery7263 жыл бұрын
Eti Vanessa unamaanisha hawaridhiki na hao wake zao kingono kwahyo inamlazimu apate mwanamke mweusi ili ijikidhi au??
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@dicksonexavery726 exactly ndio maana yake. Wanatusumbua sana wanawake wa kiafrika hawa waliooa wazungu.
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
@@dicksonexavery726 afu si unaona huwa wanaoa wale wazungu ambao wazungu wenzao hawawataki kabisaa, wao ndo wanawaokota afu wanajiona wajaanja then wanaishia kumiss wadada wa kiafrika
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 hahaha aki wewe! Ila umenena, mara mingi waafrica huwa tunapata mabakisho.....
@petronilamtei74703 жыл бұрын
Ameongea point kubwa mno
@hamzacedricole36733 жыл бұрын
Point kwa watu wapo africa sio sisi watu weusi tunao ichi hapa USA 🇺🇸 tunajua jinsi ubagizi ilivyo uyo anatetea upande wa mke wake mjinga sana
@ssalimsalim3864 Жыл бұрын
Suala la ubaguzi marekani sio mweupe tu kum'bagua mweusi hata weusi kwa weusi wanabaguana,mmarekani mweusi wengi hua hawawapendi waafrika na hio ni obviously.
@barakayohanasanga30053 жыл бұрын
Nimekuelewa sana bro,
@rajabungatanda6303 жыл бұрын
Wewe acha kua mtumwa kwakua umeokotwa na mzungu Pumbavu wee Yani unataka kuaminisha eti wanzungu marekani wanaonewa wakati juzi tu wametoa dogo aliyeuwawa kwa makusudi na wamarekani Nenda mbele mtumwa wewe
@sarllemmtunze4053 жыл бұрын
Huyu jamaa Mpumbavu anatoka Marekani ya wapi? Watu weusi ni asilimia 11 Kati ya wamarekani million mia tatu. Ukieka ulinganisho yaani average ukiua Marekani mmoja mweusi ni karibu na kuua hata watu arubaini weupe. Halafu huyu jamaa ni.pumba kweli watu weusi wameteswa Sana hapa na wanaendelea kuteswa kutokana na mfumo baguzi iliojengeka tangu enzi za ukoloni ambapo mtu mweusi alihesabika kama mnyama.
@fatumachagudadui31383 жыл бұрын
Hajasoma history wala hajui chochote
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
@@fatumachagudadui3138 wewe unajuwa history kuja siku moja uhojiwe.
@obillaezra62053 жыл бұрын
Nipo Alaska ni jimbo la Marekani ambalo lipo karibu na Russia na Canada Weusi ni daraja la pili, mambo mengine siyo ubaguzi, kutokana na udaraja wetu, ubaguzi hautatoweka Duniani”
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
Poleeee sanaaaaaaa kk ni moja ya changamoto lkn
@bombthemanthethrid3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni muongo anatetea usingizi wake. Hizo takwimu zake ni za uongo tunaishi USA 🇺🇸 kama yeye pia. Asiseme uongo
@leninbien68673 жыл бұрын
we pia uko USA
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Anachoongopa ni kitu gani basi na wewe tafuta huo usingiz acha jealous za kijinga
@yeshuasweapon43843 жыл бұрын
Kaka state na state ni tofauti
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
Sasa c ungeongeya ww sasa au umeongeya ili tujue kuwa uko marekani.
@bumabuma24263 жыл бұрын
Watu weupe wote wabaguzi usiseme llte
@hemedibrahim21623 жыл бұрын
ubaguzi pa'ande zote mbili upo
@vanessarobyn45843 жыл бұрын
Bora umeona
@hajatihajati53572 жыл бұрын
Unaogopa ilo swali la watoto haujibu mixed yao niko Malekana mixed wote ni mweusi hata ndani ya record ni mweusi baba awe muzungu mama mweusi mutoto ni mweusi
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Jioendekeze to. Mtu mweusi hana ubaguzi wa rangi ila hapendi kupumbazwa Tu. Wewe unaongea pumba kisa unawaogopa mkeo na jamaa zake .na wanakutumilia Tu na ukizeeka ndio utajuwa wazuri au wabaya
@Omosula3 жыл бұрын
Tanzania kuna ubaguzi pia hawapedi inchi zingine za Africa
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
Hapa ni kweli...hata mna bagua wakenya, na ndo ndugu zenu wa kwanza...
@citylinkproject99013 жыл бұрын
Tatizo kenya ...wajifanya "much know" hapo ndio tunaachana...kila mmoja ashike lake
@mpendakiswahili30533 жыл бұрын
@@citylinkproject9901 much know kivipi?? Mbona siku elewi kaka......hata hivyo, ushawahi katika maisha yako skia mtanzania kafanyiwa ubaguzi Kenya....?
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Mi nimemuelewa 🤔
@IsaacParuz3 жыл бұрын
Mbona kama mmefanana kwa mbali
@OmariTube3 жыл бұрын
Yeah, hawa wawili ni very intelligent
@ummimustafa53303 жыл бұрын
I do not agree with this Gentleman at all!It's sad watching him talking in regards to black people. Huyu kaka muongo saana!!!! Him ni dizaini ya Mwijaku??????
@richardedwinn12913 жыл бұрын
Umejuaje
@sharafikuliyocha38533 жыл бұрын
Na wewe Lete facts zako ili tulinganishe tumjue mkweli.
@jacksonmathayo65103 жыл бұрын
Na wote ni wa kigoma
@jacksonmathayo65103 жыл бұрын
Ummi 🤣🤣🤣,wote mwijaku na huyu jamaa ni kabila moja ni waha,kutoka kigoma
@anithanithaa26513 жыл бұрын
Nenda wew kasem ukwel Mxieeew
@happynescostat74203 жыл бұрын
Wahoo ongera Sana,ukijibagua watakubagua,
@masoudmasoud8138 Жыл бұрын
Hivi bana haipendezi bora uelezee wee mwenyewe
@salimaanna68983 жыл бұрын
Ni vigumu ku CONCLUDE kupitia maneno ya mtu mmoja wa kutoka Umarekani. Ni vizuri kuoji watu wengi kutoka kwenye majimbo (States) tofauti, na wafanya kazi tofauti. Kama huyo ni professional na anaowa mzungu, ni vigumu kujua ukweli kuhusu umarekani. I wish ndugu mtangazaji angetafuta watu wengine walio na maisha ya kawaida na wanao fanya kazi kwenye kampuni za nyama, na pia wasio ongea kiswahili vizuri. Utasikia mambo tofauti.
@abdullahsaidi80093 жыл бұрын
Mimi sikuelewi kabisa unaongea kama kutoka Zaire,
@solomonamenkaraniamen97132 ай бұрын
Wa africa ndo wabaguzi hawapendani
@mbelechimakobola88353 жыл бұрын
Tupo bowling green Kentucky USA hapa, anachokiongea mtu huyo ni kweli, hatuoni ubaguzi bali kuna undugu tu na ambao bado upo hata kwa waafrika
@SHommymusic13 жыл бұрын
Anaongea upuuzi wewe utakua ni mgeni USA 🇺🇸
@WeirdPuppy3 жыл бұрын
How to get there
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Baba usifananishe maisha ya nchi zilizoendelea na zilizoendelea....halafu nahisi unaishi sehemu mbaya,,,unasema mananasi na maembe mabaya,, mhhh
@gibbs13203 жыл бұрын
Uyu Jamaa anafaa kuwa Mchungaji 😂😂😂
@vanessalaizer43633 жыл бұрын
Mmh atachukua nafasi ya Yuda iskariote
@yeshuasweapon43843 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 mbona unamchukia
@mhogomchungu78823 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 tunaomba ushare historia yako dada ,naona unauchungu sana na huyu bwana ...maana kila sehemu unacritisize ...tusaidie tujue ukweli
@arishadusalum38233 жыл бұрын
Kitabu kinachohusu schoolership nakipataje?
@masoudmasasi180111 ай бұрын
nimemwelewa kaka mkubwa ameongea pointi sana
@musacheyoharoon54183 жыл бұрын
Allan Walker
@collingrant66933 жыл бұрын
Tafadhali siku moja mwende live na yeye on the same issue wangine waweze kujibu kwa hizo comments zake. A Anawaponda weusi kabisa