No video

Hizi ndizo protocol za jeshi/polisi wa kuzuia Maandamano, Mbobezi aeleza kwa kina, itakufungua akili

  Рет қаралды 8,665

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 49
@mohamedally121
@mohamedally121 Ай бұрын
Huyu jamaa ni askari huyuu😂😂 anajua sanaa
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Dj smaa Yan tumeshiba Sana ...uyu askari katufungua akili kabisa..na katuelekeza vizuri Sana...safi dj smaa na uyo askari..nimemuelewa sana safi
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Nayapenda ayo mambo Mimi jaman..Ili kujifungua akili... safiiiiiiiiiiiiiiiiii sana
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Ай бұрын
Vipindi Bora Sana hivi.... FUSE na GPS
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 Ай бұрын
Iki Ni Kipindi Pendwa Sana
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k Ай бұрын
Tanzania tuna police force hatuna police service ndo maana wakikukamata makofi mengi virungu vingi ila tungekuwa tuna police service km wakenya tungekuwa tunaandamana hata sisi
@BigZhumbe
@BigZhumbe Ай бұрын
Acha kufuata hizo vitu za mitandao, nimeishi Kenya miaka 10 polisi akikukamata hujajitetea makofi, kuna mwamba alipigwa hadi kafa bila kusikilizwa. Tatizo la polisi ni everywhere on earth.
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 Ай бұрын
Super smaa,,,ila ingependeza ungempa nafasi zaid uyo broh aongee zaid ilikuwa nafasi chache chache sana ndo umulize
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Sawa, shida ukicha point ipite ukasubiri mbele unaisahau, na pia nikuwa tafsiria wasio na uelewa mzuri, ila nimepokea maoni
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k Ай бұрын
Uyo anaongea tyuu sio Kwa Tanzania hii ambayo askari police anapiga popotee pale
@princeyabili789
@princeyabili789 Ай бұрын
I love it ❤100%
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j Ай бұрын
❤djsma,sky,hell mwinuka,Ally masubi satute kwenu humu ndani kwenye channel wasikilizaji wako vizuri siku mwalikeni Yule mchambuzi anaitwa mlangi huwa anahojiwa na gangana
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 Ай бұрын
Kweli kabisa
@Calis2451
@Calis2451 Ай бұрын
Big up
@jumaamsuya5
@jumaamsuya5 8 күн бұрын
Upo sahihi ndg unatupa elimu sana
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 Ай бұрын
Pamoja 🇴🇲
@michaeljuma254
@michaeljuma254 Ай бұрын
Mwamba kaeleza vzr
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k Ай бұрын
Kenya wakikukamata ni story nyingi huku unapandishwa kwny gari lao defender ila Kwa Tanzania ukikamatwa hakyanan utajuta maji utaita mma
@user-je6xm3zf3d
@user-je6xm3zf3d Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@sakitiyesse5973
@sakitiyesse5973 Ай бұрын
Jamaa kaongea uhalisia wote
@eliyanibitanga4770
@eliyanibitanga4770 Ай бұрын
10 10
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Ай бұрын
Hata wale wanajeshi wa congo walio kimbia vita takribani wanajeshi thelathini wanehukumiwa kifo! Ni kweli kabisa
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Dj smaa..uyo jamaa ni askari??mana naona nayeye anaelimisha vizur nayo
@zahorsuleyman7617
@zahorsuleyman7617 Ай бұрын
Najibu kwa faida ya wengine,Huwezi kuelezea hayo kama sio askari,Hakuna msomi wakiwango chochote kile anae elewa hayo kama simuhusika,Huyo ni askari pia ni msomi/Yaani ni afsa wa rank yoyote Ile.
@kingnass6410
@kingnass6410 Ай бұрын
Dj smaa asante kwa hii my question is ikitokea umepata nafasi ya kuingia kwenye maandamano utakubali kukitoa kile unachokiona kwenye maandamano?
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k Ай бұрын
Kwa Tanzania hakuna kitu km Iko aaaiiiisseee yaan wakikukamata ht hujafika kwny gari lao Tyr ushaiva Kwa makofi mengi na virungu vingi
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
😂
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 22 күн бұрын
Wengi tz wamekua vilema kwa kupigwa na polisi
@user-rk6jf6zq6d
@user-rk6jf6zq6d Ай бұрын
Binafsi nimejifunza meengi sana lakini Kimsingi Hapa Bongo Askari Hawafuati kipengele hata Kimoja katika hivyo Wao hujiona wapo juu ya Sheria Baasi mPaka Yatokee mambo ya kiwazi wazi Sana kama lile la mwangosi ndo kunakuwa na Hukumu kama hiyo
@MosesMwakinunu
@MosesMwakinunu Ай бұрын
I🎉
@urafikitv8458
@urafikitv8458 Ай бұрын
Huyu mtangazaji ni very complicated si umwache msimuliaje awe huru wewe kazi yako ni kumuongoza msimuliaji
@Zaikadena
@Zaikadena Ай бұрын
Acha porojo co kwa nchi hii ww uku police awafuati izo Sheria mzee
@alibinali_
@alibinali_ Ай бұрын
Dj Smaa mbona haja ongea about Mama Samia kuhusu IMF? Na pia budget ya 2024 iliyo pitishwa ndani yake kuna nini? Na ni kweli kuhusu Bandari kuchukuliwa?
@vonkale8565
@vonkale8565 Ай бұрын
DJ Sma hufai kum interview mtu axeh. Unaboa sana. Yan unamu interrupt mzungumzaji kwa ujuaji wako axeh. Em jifunze kwa Sky, Very calm japo anajua majibu ya mtu anayemhoji.
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Ай бұрын
Sisi tunamwelewa hatujaona shida popote labda unachuki zako binafsi
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Usisikilize nenda kwa unao waona wanajua
@yvesgrace_z7152
@yvesgrace_z7152 Ай бұрын
Kweli aende anakojua kuna mfaa
@kevicristian2738
@kevicristian2738 Ай бұрын
Wivu tu😂😂😂
@mackjr5291
@mackjr5291 Ай бұрын
Chuki tu😂
@pascalmanyama2304
@pascalmanyama2304 Ай бұрын
AK 47 (Kalashnikov ) ni salaha bora sana!
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 Ай бұрын
Dj sma usichokijua sheria ya kumiliki silah akuruhusu kuiacha popote pale hivyo unaweza kwenda nayo kokokote no excuse 😢😢
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Hata nyumbani kwako kwenye safe huruhusuwi kuiacha?
@user-od8tg1yt3g
@user-od8tg1yt3g Ай бұрын
tatizo dj sma unaongea sana muache mtu aelezee kwa kina ww unadakia
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Usisikilize
@kdloon2030
@kdloon2030 Ай бұрын
Dj sma anauliza ili msikilizaji upate kuelewa kiundani zaidi.Ila watu wenye negative mind,hua hamkosi kutaka kusahihisha,hata sehem ambayo mtu hajakosea.
@FahmiNassor
@FahmiNassor Ай бұрын
Jmn tupeni link ya kujiunga group WhatsApp sbb wengi tunafatilia hii Chanel
@djsma255
@djsma255 Ай бұрын
Number si ipo mwisho wa video kwenye maelekezo utqpata jinsi yakujiunga
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 28 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 3,9 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 45 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,3 МЛН
Кто убил СССР: называем поименно
54:09
НО.Медиа из России
Рет қаралды 84 М.
Urusi yamkamata Naibu Waziri wa Ulinzi wa zamani
1:26
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 2,1 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 28 МЛН