Bonge la content, so entertaining, bongo ukinuna ni umejitakia😂😂
@noahchepe80362 ай бұрын
😂😂😂Huo sio ugomnvi wa u serious. Mnatengeneza trending
@davidchilumo62462 ай бұрын
Love to Dudubaya from Mombasa 🇰🇪🙌🏽
@estakapufi75822 ай бұрын
Kiki za kuuzia nyama ya nguruwe jamani😂
@HanifaOman-oo4pl2 ай бұрын
😂😂😂😂
@Boniphaceshayo52 ай бұрын
Dudu kalipwa kutengeneza kiki😂😂😂😂
@MatronaThomas-wz5si2 ай бұрын
Wasukuma saluti you kupitia Maguwetu❤❤❤❤miradi mikubwa KWA fedha ya ndani❤❤
@stevenadogo37742 ай бұрын
Tuko tayari kachanga,your fan from kenya
@Laizer32 ай бұрын
Huyo manguruwe amekaa sana na nguruwe hadi anakuwa kama shoga ,maisha ya dudu baya yanamuhusu nini.
@mamboshepea88882 ай бұрын
Acha apondwe manguruwe ili ajue kufuata shughuli zake😂😂
@Lilmbunah2 ай бұрын
Hio ni content acha ushamba
@RomanMwinyi2 ай бұрын
Kwani uyo dudu baya mbona anaongelea we mzake vibayaa kwani yenani asiambie Kaz hoo yule frani ajui kupromotinyimb yeye anaejua promo mbona ana nuka njaaa
@paschalsafari97472 ай бұрын
Kabisa
@juliusdonard9332 ай бұрын
Huyo manguruwee hajui maisha yatakuwajeee mbelen utajir c kituu bila aman
@malleironworks45862 ай бұрын
Hizo Ni Kiki TU.. Manguruwe Hana tofauti na mwijaku au Baba levo.
@uswegemwamakula61012 ай бұрын
Good idea 👍👍👍❤
@mwitasamwelpaul96212 ай бұрын
Dudu baya uko sawa kabisa
@AbdillahSalimu2 ай бұрын
Dude baya sio akili nyingi 😂😂😂ni ubabe 😂
@Kadebecomedy2 ай бұрын
Wamejipanga kutengeneza trending
@mcnjovu352512 күн бұрын
Acheni kutudanganya mbona hujampiga ilitakiwa ale panch hapo mimi najua mlikua mnataniana
@davidrweyemamu9382 ай бұрын
Kiki za kipimbi hizi nguruwe wataisha sasa hivi akaigize vizuri hizi comedy.
@SaraSara-i1l2 ай бұрын
We love you ❤❤ dudu baya
@cosmasthomas91642 ай бұрын
Eti unakwenda "jera"!!hizi kweli kiki!pole dudubaya maana siyo kwa kuhema huko!endelea kupiga tizi broo!
@shukranitv2971Ай бұрын
Hiii kiki imekaaa saw
@PascalMagesa2 ай бұрын
Oya mbona unahema unaweza simama man to man hata dk 5
@RabihuHussein2 ай бұрын
dudubaya unajishushia heshma kwenye usenge kama huu!! tayari ww una trend ss usitakute ku trend kwa aina hii. tunakueshimu sana.
@mosesgasana71092 ай бұрын
Ukisikia nchi imejaza mbwa wengi ndo kama hivyo😂😂😂
@GideonKweka2 ай бұрын
😂😂😂
@elizabethmassawe6942 ай бұрын
Hapo changa la macho hakuna kituuh .hapo najua vzr iyo game
@IzoTech-bg1en2 ай бұрын
Kama ni trending iko vizuri
@MaghobaGeorge-lq4yg2 ай бұрын
Munazingua nyinyi hivi kweli ndio vioo vya jamii nyinyi ?
@rolandmgedzi29662 ай бұрын
Manguluwe siyo mgogo,, mtu wa .mby huyo, mbozi,, mnyiiha
@hemedchuma9-cq4nh2 ай бұрын
Konki konki butin faya konki masta halaaaaa
@salomewandya72572 ай бұрын
Hahaha kumbe ni watani😅😅
@IssaMohamed-mp4hjАй бұрын
Manguluwe oye
@MRKp-zk7xs2 ай бұрын
Move nzur🎉
@salomewandya72572 ай бұрын
Mbona kutembea na bakuli😅😅😅
@AllieOchu23952 ай бұрын
Kumbe mnachezaa
@BernardAkili2 ай бұрын
Mungu awasaidie tu jamani
@BoazSitta2 ай бұрын
Mmh kaka uko pw
@emmanuelmkumbo17922 ай бұрын
Content, lakini hawakujipanga vizuri!!
@mtzhalisi22322 ай бұрын
Kiki.. Nliwaona Mimi naishi dodoma
@ThomasMmary-r7w2 ай бұрын
Kweliii🎉
@amosmahona4332 ай бұрын
Maneno ya shombo😂
@DM_152 ай бұрын
Kwani ukipata ukahisi umemzidi mtu fulan kunahajagani kumkejeli navijimaneno maneno . Pesa huisha respect your self. Manguruwe tulia pambana na helazako
@emmanuelmayunga15182 ай бұрын
Mgogo na msukuma ni watani there is nothing serious 😂😂
@ismailmasoud60012 ай бұрын
Mnatuzingua Nyie
@douglasisayasemu31342 ай бұрын
Wanatuona watt asee
@JoyceMkeka2 ай бұрын
Ugonvi gani wanakumbatiana tu 😂😂😂
@mgayawambura91732 ай бұрын
Manguruwe na dudu Baba ni marafiki Kusaidiana sio vibaya
@husseinkitingi81862 ай бұрын
Kiki nyingine bhana
@ibnayub23742 ай бұрын
Huyu dudu baya n dudu kweli 😂😂
@arnold94062 ай бұрын
mnazinguwa....
@RASHIDIALLY-ew3ww2 ай бұрын
😀😀😀😀 wanàzingua kumbe
@pascalmanyama23042 ай бұрын
Ha ha ha haaaa!.Hawa kweli watani!,ha ha haaa!
@alisuleiman-d7r2 ай бұрын
Ww wataka Kiki kaka😅😅😅
@geraldmashishi30622 ай бұрын
Hii imeandaliwa kabisa inavoonekana
@thenolstagiclord94102 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪dudu baaaya
@Bilioneabichwa3312 ай бұрын
Jina la movie pliz
@elrachum38662 ай бұрын
Haha HAWA WAMEPANGA KUTUDANGANYA WAMETUCHEZEA .. Fake fight. IMEPANGWA 😂😂😂😂
@Jumashadhil3802 ай бұрын
Mbona Hawa Waandishi Wagombanishi😅😅😅😅
@juliusmagembe70402 ай бұрын
Wanafanya maigizo au?
@RamadhaniMusa-jg2cu2 ай бұрын
KWELI mwamba dar skendo n 1
@msaphirimagallah57812 ай бұрын
Mmezengua... upuuzi mtupu
@berthamakortha83872 ай бұрын
❤❤❤❤SANA
@JaphetJairos-n4l2 ай бұрын
Kiki hii nimeipendaaa
@fellisianholle94312 ай бұрын
Haaaahaaa wagogo na wasukuma utani wa jadi hakuna utani hapo
@Veni5842 ай бұрын
Wanataniana hao
@FrankMashoto2 ай бұрын
Duduu Wacha utawauwa !.
@mwasa_tv2 ай бұрын
yan apo tu unahema tu mzee
@HenryCastuli-jz3cx2 ай бұрын
Dudu baya nibesti na Mr nays?
@joshuac.mashida13782 ай бұрын
Unaonekana umeshiba nyama ya manguluwe sana
@happynkya97702 ай бұрын
Uongo huo kwahyo hapo ndo wameshpigana tyr
@ابنعثمن2 ай бұрын
Ameleta dharau kubwa sana
@sharafisaidi79992 ай бұрын
Wewe koma kusema hivyo
@saidakiwale92272 ай бұрын
Dudu Baya anapenda kupigana umekuwa sasa badirika
@ShadowScreamStudio2 ай бұрын
Hizi ni Kiki
@MozesPaul-h6i2 ай бұрын
Dudu baya mnakorofisha hana shida
@elishamwangolo15602 ай бұрын
Movie
@jordanmwamlima75792 ай бұрын
Huyu sio Mgogo, huyu ni Mnyiha wa Songwe - Mbozi
@benjaminbruno23742 ай бұрын
Af huyu ma nguruwe Ku Maa
@NeemaGhaule2 ай бұрын
Hapo wanajuana, hamna ugomvi wowote hapo
@MasterOil-qm6vw2 ай бұрын
umeongea Ni kweli kaka tumeona profesor j kaumwa na alidai kuchangiwa
@زيتونتنزانيا2 ай бұрын
Na alikuwa mbunge😂😂😂
@kakaaignas36752 ай бұрын
Na tajir
@calvin64452 ай бұрын
Hii swaga tuu wametengeneza
@Yacena2 ай бұрын
Wabongo mnamaneno sana 😂😂
@theresaelizabethelijah1172 ай бұрын
Ana tabia za kigogo gogo dodoma 😂😂😂😂😅
@ruwapeter11552 ай бұрын
Konki..Konki master
@elibarikisengasenga13762 ай бұрын
Limekosea eti baba mama 😂😂😂😂😂
@ednahumazi7772 ай бұрын
Dudu baya Ana ukimwi asijifamye
@geraldlyimo28592 ай бұрын
Mbona hata mawani haijadondokaa acheni kutuinjoy
@ComfortMango-cg8jd2 ай бұрын
Malaika hapo 😂😂😂😂
@WaziriOmari-f3h2 ай бұрын
Wanataniana Hawa nyie cyo kweli 😂
@mushtaqakram98432 ай бұрын
Manake Sasa ivi kila kitu maigizo
@simonsadala23862 ай бұрын
Hahahaaaaa kiki hiziiiii 😂😂😂😂😂😂😂
@naimatemba80612 ай бұрын
Hapo bando liishe
@SufoWazir-s4q2 ай бұрын
Comedian
@ZabronMshikana21 күн бұрын
Uwo sio ugomvi ni dramatic
@GodfreyMwamelo-z3b2 ай бұрын
Kuma nyinyi dudu baya na manguruwe
@khalidibrahim45792 ай бұрын
Marina yamekwisha Tanganyika Mtuu anaitwa MA NGURUWE MMESTARABIKA KUNGANA NA ZANZIBAR kidogo mnazungumza kiswahili lakini ( R ) INAKUSHINDENI NA MWISHO WA WA NENO MSITIE GA
@salimalesry4282 ай бұрын
Hii kiki tu kishalipwa hapa
@SalimSalim-bv3wb2 ай бұрын
Dudu Baya hata kama ni kuchanga ntamchangia
@donlinechanell47602 ай бұрын
Alinchekesha alipo sem mond kaiba wimbo wake 😂😂😂😂😂
@sadamissa56872 ай бұрын
Unapigaje tatu 😂😂unahema ivo dk 1 tu
@miltonmugisha18052 ай бұрын
Sasa Dudu baya mbona sioni maneno yako kwenye vitendo yaani unakumbatia mtu kama mwanamke afu unasema mambo punch tripo 😅