No video

SINDANO YA MOTO KWA WAFANYABIASHARA

  Рет қаралды 18,495

Mch. Abiud Misholi

Mch. Abiud Misholi

Күн бұрын

Пікірлер: 85
@Happy-z8u5f
@Happy-z8u5f 23 күн бұрын
Ubarikiwe baba niwatumishi wachache wanaongea haya👍
@denisbongore3098
@denisbongore3098 2 ай бұрын
Yesu naomba unibadilish niache dhambi ya mazoea naomba neema ya kukuheshimi ili niweze kuwa mwaminifu kwako
@andrewmukuru6357
@andrewmukuru6357 2 ай бұрын
Amina,YESU ANAWEZA,YESU NI BWANA!!!!!!!
@motivatorngoma4816
@motivatorngoma4816 2 ай бұрын
Hii injili imetoka katika moyo, roho na akili halisi ya Yesu Kristo. Ubarikiwe Pastor.
@jamessimkonda-ox8cb
@jamessimkonda-ox8cb 2 ай бұрын
Mungu akubaliki misholi nakupenda kutoka moyoni mungu akusaidie uje sumbawanga utoe injili
@tituslucas2348
@tituslucas2348 2 ай бұрын
Wewe ni mfano wangu! Niombee naitwa Titus Lucas najenga kanisa niombee nimalize Baba!!
@Happy-z8u5f
@Happy-z8u5f 23 күн бұрын
😢 Yesu aliponye kanisa lake
@williamftairo3475
@williamftairo3475 Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishiwaMungu. Injili hii inatakiwa kuwafikia wengisana.
@agnesskyando4018
@agnesskyando4018 Ай бұрын
Ubarikiwe Kwa injili unayohubiri mchungaji hiyo injili hakuna anayehubiri naipenda kuisikia na kuiishi
@mahirmohd1931
@mahirmohd1931 2 ай бұрын
Injiri safi kbsa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 injiri kama izi kwa Dunia tulio nayo ni zakutafta sana..yote kwa yote barikiwa sana baba MUNGU azidi kukutumia 🙏
@JoyceAmon-y7d
@JoyceAmon-y7d 2 ай бұрын
Yesu tuokoe wakati tunapozani kuwa tupo salama kumbe adui anatumia kazi ya mikono yetu kututenga na Mungu eeh Mungu tusaidie😢
@stephanongindo-zi4sx
@stephanongindo-zi4sx 5 күн бұрын
Ubarikiwe
@Melinajohn330
@Melinajohn330 Ай бұрын
Mundu nakulilia ingia ndani ya moyo wangu roho ya uwoga roho ya uwongo kila roho zote za uwovu nazikataa kwa damu ya yesu
@jeremykamwela1229
@jeremykamwela1229 Ай бұрын
Mungu akubariki sana, ukweli kanisani liambiwe mtumishi, watu waamue wenyewe A au B
@rhinakiza
@rhinakiza 2 ай бұрын
Sema kweli baba mimi mwenyewe mwizi wa kikumi😭😭😭🙏🏼 Yesu wangu ni semehe
@DanielChomo
@DanielChomo 2 ай бұрын
Asante sana kwa kuweka wazi mambo yayobeba asilimia kuu katika maisha yetu .
@lebahatiminyali8136
@lebahatiminyali8136 Ай бұрын
Huyu Mtumishi Mungu amtunze mno.
@omanqqwe4061
@omanqqwe4061 2 ай бұрын
Mungu akubariki baba
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 2 ай бұрын
Natamani sana niwe mshirika wako Injili hivi naipenda sana
@user-bd6ci7tn4y
@user-bd6ci7tn4y 2 ай бұрын
Amen uniombee
@happyalbert5089
@happyalbert5089 2 ай бұрын
Barikiwa baba
@AgnessIbrahim-nt1kr
@AgnessIbrahim-nt1kr 2 ай бұрын
Amen amen,, Mungu akubariki sana
@agnesyjoseph3906
@agnesyjoseph3906 2 ай бұрын
Asantee mtumishi kwa kutwambia ukweli ili tuwe salama
@user-mn9gf8co6z
@user-mn9gf8co6z 5 күн бұрын
Yaan baadaye ya kutoka ndio unasema baada ya kubadilisha biashara Kodi ya mungu asilimia 10 ya selikali asimia 18 wew nimkisto unabidi ulipe zote umepata 50,0000, hapo ya bwana 50000 , bado asilimia 18 ya selikali
@user-fk4mq4ou6k
@user-fk4mq4ou6k 2 ай бұрын
Mungu akutunzee mchungaji.
@gabriellmbwille184
@gabriellmbwille184 Ай бұрын
Aminaaaaaa mtumishiii
@pastoremmanuelmwabulambo8260
@pastoremmanuelmwabulambo8260 2 ай бұрын
Mathayo 17:24-27;Warumi 13:7-Hiki ni kipindi cha kuliandaa kanisa Takatifu, pia nimecheka😂😂😂😂😂😂 autaki kufa tena, Ubarikiwe sana Mtumishi.
@straitnews3441
@straitnews3441 Ай бұрын
Hapa ni wengi noma san
@barakamhenga6195
@barakamhenga6195 2 ай бұрын
Hakika siku za mwisho zimekaribia na watumishi wa MUNGU wa viwango hivi hawapo kabisa duniani,,, Mungu azidi kukupaka mafuta ya shangwe.
@super_boy_tz
@super_boy_tz 2 ай бұрын
Mchungaji mungu azidi kukupa mzima tufaidi mahubili yako. Mungu athurumie
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 2 ай бұрын
Na wanyoa viduku, je????wake Kwa waumd, are we going or not pastor, and there are there
@mch.abiudmisholi
@mch.abiudmisholi Ай бұрын
Ameen
@rerisamba
@rerisamba Ай бұрын
Jamani haya ndio mahubiri sasa manake kuna watu wengi hawajui ukweli Jamani na ukivunja sheria moja umevunja zote
@user-fk2co4qn8s
@user-fk2co4qn8s 2 ай бұрын
Amin mtumishi
@michaelassam5789
@michaelassam5789 Ай бұрын
Mungu Baba , kwenye zile 10 na mimi nina zangu 100 😭😭😭😭😭😭
@hamurabani5386
@hamurabani5386 2 ай бұрын
Amen and Amen
@annabenson9885
@annabenson9885 Ай бұрын
Amen
@TumainSlaa
@TumainSlaa 4 күн бұрын
Baba ahsànt ninakupat barabarah
@happyalbert5089
@happyalbert5089 2 ай бұрын
Amen amen amen
@BillionairesPrinting
@BillionairesPrinting 2 ай бұрын
Hapa mtumishi Mungu atusaidie sana
@EdwinMbwilo-fj6bf
@EdwinMbwilo-fj6bf 2 ай бұрын
Mch unachotaka ni utakatifu naomba ukae nao wafanyabiashara ulionao humo ndani uwaulize kwa nini wanadanganya ndipo utoe hilo tamko lako, maana chanzo ni TRA wenyewe vinginevyo tuliookoka tusifanye biashara.
@user-ti8fw5wm8f
@user-ti8fw5wm8f Ай бұрын
Chanzo ni watu wa TRA
@user-gq5lo3id6z
@user-gq5lo3id6z Ай бұрын
Aliyeokoka kweli kweli akajazwa na Roho Mtakatifu akapokea nguvu ya Roho Mtakatifu huyo anaishi kwa mapenzi na kwa sheria ya Roho wa MUNGU anayeishi ndan yake Roho Mtakatifu n mtakatifu ina maana dhambi na uchafu wowote haumo ndani yake uongo, wizi na hofu ya kidunia si tabia ya Roho wa MUNGU aliye hai ukiona mtu anaogopa kusema ukweli na ameokoka Roho wa MUNGU hayupo ndani yake na haujui ukuu wa MUNGU anaentaja. TRA n ndogo saaaana kwa MUNGU mfanyabiashara inabid ajue hilo. Et mtu aseme uongo chanzo TRA!!!!! Walokole tutasubiri sana baraka za Baba yetu kama tunafanyabiashara kwa kutosimama ktk kweli! Bwana Yesu Alisema tukiijua kweli kweli itatuwrka huru sasa inakuwaje mtu anajifunga ktk dhamb ya uongo kwa kubanwa na TRA
@eliyasamwel1087
@eliyasamwel1087 Ай бұрын
Amen kubwa
@andrewmukuru6357
@andrewmukuru6357 2 ай бұрын
Asante kwa ukweli,ni dawa ya ajabu!!!
@utakatifunahaki5095
@utakatifunahaki5095 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂Imeingia hiyo baba chiiiii!! 😂😂
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 2 ай бұрын
Mmmmh Mungu niokoe
@user-bd6ci7tn4y
@user-bd6ci7tn4y 2 ай бұрын
Ni past bonn kutoka kenya uniombee
@emmanuelmanga3478
@emmanuelmanga3478 2 ай бұрын
Hapo mtumishi umeshukiwa na roho kwelikweli
@StanleyMwaipopo
@StanleyMwaipopo 2 ай бұрын
Amina mtumishi umeongea ukweli
@shukraniwillisoni8512
@shukraniwillisoni8512 2 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@RuthKerubo-ux5br
@RuthKerubo-ux5br 2 ай бұрын
True gospel am telling you pastors don't tell the truth God use me to tell the truth
@GodifreyFuras
@GodifreyFuras Ай бұрын
We utatupeleka mbinguni kiukweli sema ndo hivyo hatuelewi
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 2 ай бұрын
Amina.
@flm1530
@flm1530 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@MarrySalama
@MarrySalama 2 ай бұрын
Ameeeeeen
@TeleziaSimbeye-fm3zw
@TeleziaSimbeye-fm3zw Ай бұрын
😂😂😂 Abiud!!!!!!!!!!
@EmanuelSolomon-ij1is
@EmanuelSolomon-ij1is 2 ай бұрын
❤💪💪
@evelynmollel9720
@evelynmollel9720 2 ай бұрын
Sindano imeingia hata kama inauma watu wapone. bado kuna wafanyabiashara wanaotumia mizani isiyo ya haki
@user-gq5lo3id6z
@user-gq5lo3id6z Ай бұрын
😂😂😂😂😂 na ni walokole uwiiii MUNGU sema nasi tupone na kuzifaidi hazina za mbingun ulizotuwekea
@lawrencemsangi3837
@lawrencemsangi3837 2 ай бұрын
Mtumishi unachokiongea ni kweli lakini ukweli mazingira ya kodi kwenye nchi yetu Ndo yanasababisha yote hayo imagine ulipe Leseni, ulipe makadirio TRA kwa wale wanaofanya biashara zinazo toka nje ya nchi mzigo ukifika bandarini au mpakani kuna kodi za mipakani zinazo umiza hawa watu wao wataishije?
@lawrencemsangi3837
@lawrencemsangi3837 2 ай бұрын
Serikali iangalie wafanyibiashara hawana Furaha kwenye maisha yao
@istermariol2158
@istermariol2158 2 ай бұрын
Huyu Roho wa Bwana ndani yake
@festusmutiso476
@festusmutiso476 2 ай бұрын
Dawa iooo
@user-zg4bt4it2p
@user-zg4bt4it2p 2 ай бұрын
Seba wawiza, napandeka isomo lyakunilanga hatale noo
@paulmushi2428
@paulmushi2428 2 ай бұрын
Gete gete
@rozinaikonko6477
@rozinaikonko6477 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅😅😅😢😢😢😢
@BillionairesPrinting
@BillionairesPrinting 2 ай бұрын
Wengi ss ni wezi
@LucasKaik-xt8qe
@LucasKaik-xt8qe 2 ай бұрын
Hapo sasa naanza kukuelewa.
@CastoryKapinga-nb7ht
@CastoryKapinga-nb7ht 2 ай бұрын
UYU MZEEW ABARIKIWE KABAKI YEYE TU MẞEMA KWELI WENXAKE WOTE ASILIMIA KUBWA WANAPITIWA NA EURO
@nesielias9493
@nesielias9493 Ай бұрын
Ukiona mtu ni muhalifu au anatabia fulani ujue kuna mahali kairithi haijaanzia kwake, hawa tunaosema viongozi ni wahalifu kuliko wananchi
@alphaxadackim
@alphaxadackim Ай бұрын
✍️✍️
@hebronijaluomahuvi1025
@hebronijaluomahuvi1025 2 ай бұрын
❤❤❤
@AgnessIbrahim-nt1kr
@AgnessIbrahim-nt1kr 2 ай бұрын
Hahahaaa
@hebronijaluomahuvi1025
@hebronijaluomahuvi1025 2 ай бұрын
utaishi
@elijahayoyi7191
@elijahayoyi7191 2 ай бұрын
Nahisi uchungu wa moyo
@mbilikadyson
@mbilikadyson 2 ай бұрын
Sindano ya moto
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 2 ай бұрын
Duuh!!?
@lucymsigwa443
@lucymsigwa443 2 ай бұрын
Mtaji wangu ni ml20,faida napata 200000,kodi inachukuliwa kwenye ml20 nitafika hapo kweli
@abdulllyhussein3224
@abdulllyhussein3224 Ай бұрын
Kwakwel Yan hata mm najitafakar sana... !!! TRA WATASABABISHA MBINGUNI TUSIINGIE
@regnethmtemanyongo2237
@regnethmtemanyongo2237 2 ай бұрын
❤😅❤
@Happy-z8u5f
@Happy-z8u5f 23 күн бұрын
Ubarikiwe baba niwatumishi wachache wanaongea haya👍
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 2 ай бұрын
Amen and Amen
@AbihudiMbekomize-uy7kp
@AbihudiMbekomize-uy7kp Ай бұрын
Amen
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 91 М.
Ni Wewe Jawabu
13:46
MCH. ABIUD MISHOLI - Topic
Рет қаралды 158 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 97 МЛН
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 25 МЛН
SOMO: NINI MAANA YA UNYAKUO BY MCH ABIUD MISHOLI
1:10:41
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 12 М.
#PART,2-AIBU# SIKU YA KUAIBIKA -MCH.ABIUD MISHOLI
30:03
NY TV
Рет қаралды 101 М.
SOMO:  NGUVU YA KUSTAHIMILI KATIKA KUMJUA MUNGU
16:15
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 5 М.
SIKU YA PILI YA SEMINA;MCH.ABIUD MISHOLI
31:40
NY TV
Рет қаралды 165 М.
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
USHUHUDA WA MAMA ALIYESOMA UZEENI  (HESABU NI KAMA KIFO HUWEZI KUEPUKANA NAYO)
16:15
NJIA ANAZO ZITUMIA SHETANI KUTEKA NAFSI YA MTU |NABII ESTHER MASANJA
46:03
BADO KUNA USHINDI TV
Рет қаралды 10 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 97 МЛН