MashaAllah wazee wazamani hawapendi watoto wao waachane ila wazee wa siku hizi mtihan wapo mtari wa mbele kutoa go ahead za talaka subhanallah
@sabriyasuluh30022 жыл бұрын
Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰
@marcomontolivo59223 жыл бұрын
Narejea tena kusema hawa ndo wasanii wa Zanzibar waliokuwa na uwezo wa kufikiri mbali sana nawakubali sana wazee wangu wasani wazamani muangalie mkwe wa zamani anavo amua kesi hio
@chalulumanyenga11513 жыл бұрын
mze Chita katika ubora wake yani noma Chita mungu amrehemu
@allyboy415313 күн бұрын
Mzee yuko sirious kijitu uzima
@mamafatuma1383 жыл бұрын
Pendo alitkiswi kweli mana umelitkisa kweli
@akilihabibu42033 жыл бұрын
Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana
@seifhabib59873 жыл бұрын
Machozi yananitoka kwa kukosa flam zilizokuwa zinatufunza juu ya Maadil ya Mzanzibar,Mzee anakuwa ndo Muamuzi wa Mwisho katika ndoa na sio mume kama sasa.
@mariamfritsi494310 ай бұрын
Hammy ana busara sana ,zaidi ya shangazi. alafu vijana wa zamani walikuwa na adabu sana ,ingekuwa ni sasa unafikiri mashaka angemsikiliza huyo hamy,hapo hamy angetolewa nduki na matusi juu.yaani nyakati zingerudi watu wakaishi kwa amani .
@mohammedomar15695 жыл бұрын
Nalikubali sana chimbeni na kwanini umeacha kutuletea mambo mazuri kama haya yuko wapi mifupa 😆😆ila mashaka yashaondoka sasa mashaka kashakua bosi😅😅😅.
@safiyaally48255 жыл бұрын
Michezo ya zmn ilikua Na heshima
@amourmtungo6236 жыл бұрын
Very interesting 😀. Mashaka bin Tabu creates burudani
@user-wx9xk1sf6b5 ай бұрын
MashaALLAH
@aishaomar43185 жыл бұрын
😁😁😁mambo ni 🔥pendo limejua kutikisika.wasasa watasema kwani kwetu nimeua?
@amneamne78623 жыл бұрын
sant na baibui old is gold
@salumame48455 жыл бұрын
michezo yenye kuakisi asili yetu wazanzibar
@is-hakayussuf99813 жыл бұрын
Hahahahah da mashaka bwan eti nimeskia lkn kwa mbali
@aishamohamed50333 жыл бұрын
Ahsante mashaka hahahahaha
@AlkafaaMarket13 күн бұрын
Wazee wabusara wako wapi jamani
@AliHassan-xr3yb6 жыл бұрын
Asnate bin sef nakukubali Sana weka Mambo ayo from katar
@rozypatel5672 Жыл бұрын
Hilo jina lako mpk najiuliza km ni kweli au ni moja ya bots? 😂 Anyway namba kukuuliza huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomva kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl ntshkuru kchizi
@husseinramadhan33696 ай бұрын
chimbeni wewe unajuwa sana kupitiliza
@is-hakayussuf99813 жыл бұрын
E mashaka mtukutu nyee eti nje wapi dah hahahahaaa
@shakilamasoud89796 жыл бұрын
😁😁😁😁ammy mkali mhh
@alimussa26555 жыл бұрын
Zanzibar tushaiuzar kwa tamaa ya maslahi ya wachache tu sasa sijuwi wakumlaum nani manake hata hizo burudani hatuna tena
@husnahhhahahausys78105 жыл бұрын
Asante bin seif tupe vitu vizur vya zaman
@rozypatel5672 Жыл бұрын
Eti mammy huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomba kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl mammy husna? Au Mwambie anijibu humu mwenyewe 🙏🙏
@mrwordsthemost76906 жыл бұрын
Daah aisee hii zinapatina wapi hizi complete
@ibrahimsheha2155 жыл бұрын
Cheka kwasana
@aishasaid57025 жыл бұрын
Wazee wa siku iz wangalimsaidia mkwe wao kutoa vyombo nje wakashangilia
@mariamfritsi97615 жыл бұрын
Mashaka ana talenta sana tena wa siku nyingi tunamkubali sana.na pongezi sana kwa Amiii 👏
@raghum11495 жыл бұрын
😂haski lugh
@zuhrazuhra40514 жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@ashasaid31363 жыл бұрын
Wallahi vitu vzur km hivyo vimpotea,,tulikuw tunapata mafunzo kwa kweli, kweli vya kale dhahabu
@ashasaid31363 жыл бұрын
Jamanii nataman Zanzibar yetu irudi km zaman
@handhalhandhal46082 жыл бұрын
Talaka lazima ikaliwe Eda sio hapo hapo baada ya talaka unarejea.
@aishamohamed50333 жыл бұрын
ndo kibiriti hichooo
@mohammedbusaidi85056 жыл бұрын
Hhhhh hapana chezea amiiiiy
@amneamne78623 жыл бұрын
zaman wat na adabu
@hanifaabuobakar36365 жыл бұрын
zanzibar yetu
@rahimaally98386 жыл бұрын
Kawa kasi sio mkasi lol
@makamemufadhil6275 жыл бұрын
Hamy
@aishamohamed87783 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@sabriyasuluh30022 жыл бұрын
Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰
@akilihabibu42033 жыл бұрын
Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana