NATIKISA PENDO - BURUDANI ZA MASHAKA (4)

  Рет қаралды 34,445

Bin Seif

Bin Seif

6 жыл бұрын

Пікірлер: 45
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 10 ай бұрын
MashaAllah wazee wazamani hawapendi watoto wao waachane ila wazee wa siku hizi mtihan wapo mtari wa mbele kutoa go ahead za talaka subhanallah
@sabriyasuluh3002
@sabriyasuluh3002 2 жыл бұрын
Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰
@marcomontolivo5922
@marcomontolivo5922 3 жыл бұрын
Narejea tena kusema hawa ndo wasanii wa Zanzibar waliokuwa na uwezo wa kufikiri mbali sana nawakubali sana wazee wangu wasani wazamani muangalie mkwe wa zamani anavo amua kesi hio
@chalulumanyenga1151
@chalulumanyenga1151 3 жыл бұрын
mze Chita katika ubora wake yani noma Chita mungu amrehemu
@allyboy4153
@allyboy4153 13 күн бұрын
Mzee yuko sirious kijitu uzima
@mamafatuma138
@mamafatuma138 3 жыл бұрын
Pendo alitkiswi kweli mana umelitkisa kweli
@akilihabibu4203
@akilihabibu4203 3 жыл бұрын
Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana
@seifhabib5987
@seifhabib5987 3 жыл бұрын
Machozi yananitoka kwa kukosa flam zilizokuwa zinatufunza juu ya Maadil ya Mzanzibar,Mzee anakuwa ndo Muamuzi wa Mwisho katika ndoa na sio mume kama sasa.
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 10 ай бұрын
Hammy ana busara sana ,zaidi ya shangazi. alafu vijana wa zamani walikuwa na adabu sana ,ingekuwa ni sasa unafikiri mashaka angemsikiliza huyo hamy,hapo hamy angetolewa nduki na matusi juu.yaani nyakati zingerudi watu wakaishi kwa amani .
@mohammedomar1569
@mohammedomar1569 5 жыл бұрын
Nalikubali sana chimbeni na kwanini umeacha kutuletea mambo mazuri kama haya yuko wapi mifupa 😆😆ila mashaka yashaondoka sasa mashaka kashakua bosi😅😅😅.
@safiyaally4825
@safiyaally4825 5 жыл бұрын
Michezo ya zmn ilikua Na heshima
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 жыл бұрын
Very interesting 😀. Mashaka bin Tabu creates burudani
@user-wx9xk1sf6b
@user-wx9xk1sf6b 5 ай бұрын
MashaALLAH
@aishaomar4318
@aishaomar4318 5 жыл бұрын
😁😁😁mambo ni 🔥pendo limejua kutikisika.wasasa watasema kwani kwetu nimeua?
@amneamne7862
@amneamne7862 3 жыл бұрын
sant na baibui old is gold
@salumame4845
@salumame4845 5 жыл бұрын
michezo yenye kuakisi asili yetu wazanzibar
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 3 жыл бұрын
Hahahahah da mashaka bwan eti nimeskia lkn kwa mbali
@aishamohamed5033
@aishamohamed5033 3 жыл бұрын
Ahsante mashaka hahahahaha
@AlkafaaMarket
@AlkafaaMarket 13 күн бұрын
Wazee wabusara wako wapi jamani
@AliHassan-xr3yb
@AliHassan-xr3yb 6 жыл бұрын
Asnate bin sef nakukubali Sana weka Mambo ayo from katar
@rozypatel5672
@rozypatel5672 Жыл бұрын
Hilo jina lako mpk najiuliza km ni kweli au ni moja ya bots? 😂 Anyway namba kukuuliza huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomva kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl ntshkuru kchizi
@husseinramadhan3369
@husseinramadhan3369 6 ай бұрын
chimbeni wewe unajuwa sana kupitiliza
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 3 жыл бұрын
E mashaka mtukutu nyee eti nje wapi dah hahahahaaa
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 6 жыл бұрын
😁😁😁😁ammy mkali mhh
@alimussa2655
@alimussa2655 5 жыл бұрын
Zanzibar tushaiuzar kwa tamaa ya maslahi ya wachache tu sasa sijuwi wakumlaum nani manake hata hizo burudani hatuna tena
@husnahhhahahausys7810
@husnahhhahahausys7810 5 жыл бұрын
Asante bin seif tupe vitu vizur vya zaman
@rozypatel5672
@rozypatel5672 Жыл бұрын
Eti mammy huyu mwenye channel bin Seif wamjua binafsi? Mi namtafuta kumuomba kitu kwny chnnl yake. Unaweza kunipa nambri yake tfdhl mammy husna? Au Mwambie anijibu humu mwenyewe 🙏🙏
@mrwordsthemost7690
@mrwordsthemost7690 6 жыл бұрын
Daah aisee hii zinapatina wapi hizi complete
@ibrahimsheha215
@ibrahimsheha215 5 жыл бұрын
Cheka kwasana
@aishasaid5702
@aishasaid5702 5 жыл бұрын
Wazee wa siku iz wangalimsaidia mkwe wao kutoa vyombo nje wakashangilia
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 жыл бұрын
Mashaka ana talenta sana tena wa siku nyingi tunamkubali sana.na pongezi sana kwa Amiii 👏
@raghum1149
@raghum1149 5 жыл бұрын
😂haski lugh
@zuhrazuhra4051
@zuhrazuhra4051 4 жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@ashasaid3136
@ashasaid3136 3 жыл бұрын
Wallahi vitu vzur km hivyo vimpotea,,tulikuw tunapata mafunzo kwa kweli, kweli vya kale dhahabu
@ashasaid3136
@ashasaid3136 3 жыл бұрын
Jamanii nataman Zanzibar yetu irudi km zaman
@handhalhandhal4608
@handhalhandhal4608 2 жыл бұрын
Talaka lazima ikaliwe Eda sio hapo hapo baada ya talaka unarejea.
@aishamohamed5033
@aishamohamed5033 3 жыл бұрын
ndo kibiriti hichooo
@mohammedbusaidi8505
@mohammedbusaidi8505 6 жыл бұрын
Hhhhh hapana chezea amiiiiy
@amneamne7862
@amneamne7862 3 жыл бұрын
zaman wat na adabu
@hanifaabuobakar3636
@hanifaabuobakar3636 5 жыл бұрын
zanzibar yetu
@rahimaally9838
@rahimaally9838 6 жыл бұрын
Kawa kasi sio mkasi lol
@makamemufadhil627
@makamemufadhil627 5 жыл бұрын
Hamy
@aishamohamed8778
@aishamohamed8778 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@sabriyasuluh3002
@sabriyasuluh3002 2 жыл бұрын
Mashaallah malezi ya kizanzibar mashaallah ntmn zama hiz zijirudie flam ziwe km hiz za madali ya kizanzibar😍😍🥰
@akilihabibu4203
@akilihabibu4203 3 жыл бұрын
Daa! Kwakwe hayamaadili ya miaka ya nyuma mazuri sana
NATIKISA PENDO - BURUDANI ZA MASHAKA (3)
16:02
Bin Seif
Рет қаралды 22 М.
KAPIGE DEKI - BURUDANI ZA MASHAKA
22:52
Bin Seif
Рет қаралды 34 М.
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 85 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН
HALIKUNIKI NA SEKEMBUKE - 1
56:18
Bin Seif
Рет қаралды 149 М.
UNABII WA KIBOKO YA WACHAWI UMETIMIA. USHAURI KWA SERIKALI
20:31
huduma ya kristo
Рет қаралды 1,6 М.
DCMA Taarab & Kidumbaki Ensemble
29:34
Dhow Countries Music Academy
Рет қаралды 77 М.
MAJI YAKISHAMWAGIKA - BURUDANI ZA MASHAKA (2)
19:12
Bin Seif
Рет қаралды 14 М.
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
SANDUKU LA DHAHABU
Рет қаралды 616 М.
TALAKA MPE JIRAAN ~ MASHAKA NA BINJIWA #1
36:08
Bin Seif
Рет қаралды 75 М.
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН