Ni kweli Mtumishi wa Mungu umeshauri vizuri Mungu akubariki kazi ya Mungu isonge mbele
@adoniemanuel9082 ай бұрын
kiboko wawachawi hao walio fungia kanisa niwachawi usiwache waishi wote walio panga kukufungia ibada wafe woteee wajue mungu yuko kazini kuna mmojaa alizuiya mkutano wa kiboko arusha leo anapumulia mashine
@goldmansun58592 ай бұрын
Asiwaach waishi?kama ni wa Bwana bas Bwana mwenyew ataingilia, ngoja tuone
@thefinalstand20222 ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
@@thefinalstand2022usimmsingizie Magu kwenye huu ujinga aisee! Mahubiri Yale ya kusema hawezi huniri utakatifu?! Usitudanganye
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
Which god ndugu?
@designdesign44262 ай бұрын
Hili nalo taila kiboko ya wachawi unamuamini tapeli lile
@NinaKenya2 ай бұрын
Umeongea ukweli Mtumishi Be blessed 🙏
@StevenMwita-g3i2 ай бұрын
Sijakuele kumwombea mtu kwa pesa kuchanga kwa viwango kwa kazi ya mungu mfano kujenga kanisa nk sio kumbea mtu kwa viwango badili hiyo
@ellentukiko56992 ай бұрын
Umeongea vizuri sana Mtumishi wa Mungu, na umeshauri vizuri sana kuhusu hill swala. Mungu akubariki🙏
@SofiaMwale-m4wАй бұрын
Mm Niko kenya.na pastor Dominick alisaidia watu wengi hasa wa tz.lakini serikali ya tz ilimfukuza bila kumuonya.
@djfaraji2 ай бұрын
Jamani imani inatisha sana msiingize imani na siasa imani inanguvu.
@SereneIcyComet-gd5we2 ай бұрын
Nina Imani 100% kama ni mtumishi wa mungu bwana hatomwacha afukuzwe kama mbwa na isitoshe kama waliofanya huo ujinga kama wameshawishiwa na wachawi wataanguka muda sio mrefu
@elishakayagwa93712 ай бұрын
Kwani lazima afanye huduma Tz? Afanye hata kwao Mungu atakuwa pamoja naye.
@imanimulumbilwa60562 ай бұрын
Ongera sana,umechambua vizuri sana ktk hili la kiboko
@MusaNzoa-n4eАй бұрын
❤
@Leeeeeeee-962 ай бұрын
mungu aendeleee kukuinua kaka 🎉🎉🎉
@OS-pf6op2 ай бұрын
Asepe! Mbona Kagame kafungia makanisa zaidi ya 1000
@AsiaRamadhan-t7k2 ай бұрын
Mungu akubariki
@GraceMalley-ly2xn2 ай бұрын
Sahihi mchawi anatakiwa kufa kwa maombi, hatakiwi kuishi hata Mungu karuhusu wafe kwa maombi,
@TumainiManga2 ай бұрын
Ubarkiwe Mtumishi kutueleweshwa
@christophermwankenja12212 ай бұрын
Mbona mgogoro mbaya wa kkkt konde wizara haikuingilia kati?
@titoDanda-m4p2 ай бұрын
Wawezaje kulinganisha zaka na viwango vya kuombewa au kumwona mtumishi wa Mungu?
@saimonjuma24112 ай бұрын
Wanafungia neno la mungu kweli
@JastiniElishawaokoke2 ай бұрын
Uko sawa mtumishi
@CamillahAdam2 ай бұрын
Umeongea point sana, wamemuonea kiboko ya wachawi
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
😂umemsikiliza? Rudia tena ,utafuta comment hii
@edwinmbunda67092 ай бұрын
Hongera sana ndugu, nafuatilia sana jumbe zako
@josephmallya55252 ай бұрын
Usimwache mwanamke mchawi aishi shida hili sio fundisho la msingi kama alivo kiboko ya wachawi ni kama kufanya mafuta ya upako sio fundisho la msingi ila yalitumika
@BenjaminMwakitalu2 ай бұрын
Huyu jamaa amefanya kazi kubwa kwa muda mfupi, kuliko mtumishi yeyote yule Africa na duniani kote ,lakini kama huyu jamaa anatumiwa na Mungu hawa watu wsliofanya hivi watamjua Mungu kuwa yupo mbinguni.
@UtukufuEliya-sy2po2 ай бұрын
Roho ya mpinga kristo hiyo
@abrahammtegeta6352 ай бұрын
Mtumishi umeongea kwa hekima ya juu sana
@zabibusaidi14042 ай бұрын
Mungu akupe umri baba
@florencemushi65612 ай бұрын
Safi sana mtumishi wa Bwana. Huyo ndo utaratibu wa kiMungu. Mbona Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 na hakuchukuliwa hatua!!?. Viongozi.wa hiyo CPCT wsmemuonea 100%
@GraceWilliam-d1w2 ай бұрын
Kwenye sadaka hapo umekosea kiwango alichokiweka mungu ni kwenye fungu la kumi tu. Sio kwenye. Sadaka na matoleo mengine hapo ni wewe unachowiwa moyoni mwako na nilichogundua wewe ni mmojawapo maana unaonekana unatetea maovu mi nategemea mbarrkiwa atakujibu maana unajichanganya kwenye maelezo yako hueleweki sasa hata wagonjwa wanawekewa viwango toka zako ujinga hapa serikali imefanya vizuri sana na wengine watafuata
@goldmansun58592 ай бұрын
Michango kwa ajil ya huduma ipo tu,hulazimishw kutoa ,we chagua kiwango changia,hutak acha, inategemea sasa moyo na nia ya hao viongozi
@AmisseMwenetombwe2 ай бұрын
Kwake yamekua magumu kwa sababu ya Uraia tuu!!!! Afrika kusini ipo mahali pote hapa Afrika. Tuwe Makini tunapo ushi inchi za watu!!!!
@AishaAishaothmani2 ай бұрын
Mungu muinue tena upya kiboko ya wachawi mlinde asante baba kwa kumtetea hana makosa ni fitna tu kutoka gazi flani ila mungu ataonyesha njia🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShorasticaSalanje2 ай бұрын
Achana na Tengwa kabisa ni mpakwa mafuta wa MUNGU unamfananisha Tengwa na nani vile,,
@monicasimpilu62572 ай бұрын
Mungu atusaidie ss wakristo wenzetu waislam hawahangaiki kabisa. Pia serikali isisajili tu makanisa wafanye uchunguzi kabla hawajasajiliwa. Tuwe makini Watanzania.
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
Ht wao Wana madhehebu km hujui
@moseshaule5862 ай бұрын
Wewe usiseme nyamaza kabisa, waislamu wanajazana kwa mwamposa na kwa kiboko ya wachawi ni balaa.. tena hao ni wengi kule wewe husikilizagi shuhuda
@GraceMalley-ly2xn2 ай бұрын
Hata kama ni Mtumish wa Mungu anaweza kukosea pia,ila labda asitoze pesa nyingi hata kwa masikini yeye ni nabihi anaaswa kujua huyo anaekuja kukuona hana pesa awahudumie wote bila watu wakiona mafanikio watatoa tu pesa
Ninyi, huyu Stivin Jacob, siyo mtu wa kumdhihaki huyu. Mwogopeni mtu huyu. Msikieni mtu huyu. Ni baraka kupewa mtu huyu. Tafadhali.
@rweumbizalugaimukamu49052 ай бұрын
Wewe upo pamoja naye ?
@happykidagayo12702 ай бұрын
Wewe kijana mpumbavu huwezi kumtaja tengwa hiyo level nyingine
@AdrofinaRaymondАй бұрын
Kwakwel
@BarakaTsere-hi8uj2 ай бұрын
Yesu alikuja kwaajili ya wachawi jamani nao instakiwa waokolewe
@GraceMalley-ly2xn2 ай бұрын
Ilo kweli alitakiwa kuonywa sio kumfukuza ,na kuua wachawi huwa naona anawaua kwa maombi nikisikiliza ibada huwa auwi kwa upanga,apunguze gharama kubwa lakini asemehewe
@BOAZMAGANGA2 ай бұрын
Selikali kufikia kufunga kanisa ujue wamefanya uchunguzi
@AmisseMwenetombwe2 ай бұрын
Wamsafirishe sasa na Mkewe na kulmlipia passport ili wasije kutenganisha ndowa yake.
@apostlemussaonlinetvАй бұрын
Umechanganya mambo mchango na kuombea watu kwakutoa pesa au kumuona mtumishi kwa pesa hapo kuna vitu viwili tofaut mchango au kuwa patna kuchangia huduma sio kosa) kosa ni kulipa hela ya kumuona au maombi ya kutoa pesa Ww umechanganya mambo unatia hasira
@joshuayohana78802 ай бұрын
Uko vzr kk
@tumwitikemanda76012 ай бұрын
Imeandikwa usiende kabisa ni Nikon mitupu
@blandinakimbe89102 ай бұрын
Baba iringa tanangozi malagos pitia pale
@mrsfidekessymkumbo70072 ай бұрын
Waislamu hawafungui misikiti. Lakini tayari pia nao wapo wanaofanya mihadhara. Lakini pia nao sasa wana vidhehebu kadhaa. Ila waumini wao wengi tu wanakwenda kwa hawa wenye mafuta.
@saimonjuma24112 ай бұрын
Kwann unafungiwa kanisa
@credychipungahelo15152 ай бұрын
Sherehe ya muda lakini najua Mungu atamwinua tena
@AdamJonas-sx4mi2 ай бұрын
Uko sahihi mtumishi hata hiyo hela yenyewe huwa hawalazimishi watu.
@annalyimo26592 ай бұрын
Anza kufa ww usitambua mafundisho ya kweli na ya ukengeufu
@zabibusaidi14042 ай бұрын
Ulipelekwaaa
@sarahmaro215Ай бұрын
Mtumishi kiboko.ya.wachawi.bola.shaka unamwona anachokifanya kwa sasa mitandaoni je huyo bado ni mtumishi huyo kweli? Binafsi staki hata kumsikia maani ni mhuni kama wahuni wengine
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
Mi kuhusu hela sina shid acha watoe maan ahajawlaazimisha! Ila yale mahubiri hapana aaisee! Yale mavazi yale mnaelewa maana yake? Haoana hebu kuweni makini
@sesilianjala33062 ай бұрын
Kweli kabisa, hata Mimi sijawai mwelewaga yule jamaa, kiboko ya wachawi, MUNGU anisamee
@margaretlongway1332 ай бұрын
Jamani Kuna tetesi waliotapeliwa hela na huyu mkongo anaejichumbua wanarudishiwa Ni kweli?
@wilfredmuruve33232 ай бұрын
Waganga na Wachawi nao pia wafungiwe na wao hutoza hela nyingi zaidi kwa wenye shida tena hawana maadili..
@thelonewolf44292 ай бұрын
Wanaofanya huduma kama kiboko ya wachawi ni wengi saivi tz na Africa wezi tu ila kiboko ya wachawi kaonewa 7bu sio mtanzania
@hajimnzava19722 ай бұрын
Umeongea Kwa hekima
@GodfreyMarema-z7o2 ай бұрын
Huyo nambii wa wachawi ni tapeli mkubwa
@MdAr-q7i2 ай бұрын
Nahao walio fanya hiv wafe wasibaki hata.moja.yani ningekuwa karibu naye ningemwqmbia asimuache hata hao wanao ropoka ropoka mtandaon
@thefinalstand20222 ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@EmmanuelKalebu2 ай бұрын
Acha kutetea uovu
@bihusiismaili61542 ай бұрын
Baba wauwe hukohuko ulipo wachawi wote wafeeeeee hizo ni figisu tu na wivu wafeeeee
@wilsonchallange44202 ай бұрын
USIJISIFU HAPA. Huyo Dominick Kiboko ya Wachawi alishaandamwa Sana na dalili zilionesha kuanguka kwao. Hapo HAUJATOA UNABII ni kwamba UMEBETI.!
@titoDanda-m4p2 ай бұрын
Wote wanaotumia fedha kumwona nabii wafutwe tu,mmepewa bure toeni bure
@charlesnyanhanga43822 ай бұрын
Leo nimekubali MUNGU anakutumia mtumishi
@edwinmbunda67092 ай бұрын
Tithe is not compulsory under new testament. Kwenye agano jipya tunatoa kwa moyo wa kupenda, sawa na kufanikiwa twetu.
Ni wanafki wote hubirin din ya kweli saidien watu wasiojiweza sio kutrend kwaajili ya mtu mwingine sikuiz dunia iko hovyo hakuna hata mtakatifu rejes biblia vizur soma kwa makin isay hesabu zbe yremia uone mambo soma na nyakati
@wilsonkakili24812 ай бұрын
Ww nni mt usiyejitambua lini ulifika Efatha ukakuta mwingira kumwona unatoa hela usitafute jina kupitia mwiingira Ustahili hata kua mchungaji Katafute kazi ya kufanya
@ChristineKassanga-xm9xe2 ай бұрын
Wanaompinga wote wachawi ila ajirekebishe tu kwenye maombi Yesu aliponya bila pesa tena alikuwa akimponya mtu anamwambia usimwambie mtu yyt sasa hawa sijui wapo kidigital 😆
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
Mmh mwingira?!!! Ndo nasikia leo ,kwamba kumuona mpk fedha? Mmh Labda km kuna michango ya kawaida ya ujemzi wa kanisa , anyway mnaosali kwa mwingira mtithibitishie hili,sitaki kuchuma dhambi
@AminiMoshi-cn9wi2 ай бұрын
Hapa kàma mñàfungià hudumà na nyie mkifungíwa mnàyoßimàmia nà Mungu tutafika?
@JaneChissawilo-dr7nn2 ай бұрын
Hakika wewe ni mkweli sana nimekukubali!
@AdamJonas-sx4mi2 ай бұрын
Tatizo haliko kwa Watanzania tatizo ni wa kristo wa Kitanzania ni wanafiki hawapendi huduma ya mtu mwingine iinuke.
@gudayakutemile5772 ай бұрын
Hiv na mabodigadi wako walikuwa wanakula buyu kweny wizi huoo
@StansMushi2 ай бұрын
Wewe jacob nilikua nakwamini sana, lakini na ww nimeanza kupata mashaka. Kweli kwa mwenendo wa dominic ni wa kupewa onyo? Ama kweli MUNGU atusaidie.
@zabibusaidi14042 ай бұрын
Tumishi wa kiroho wachawiiii wengi tunakutana kwenye folen ya waganga na wengine walifika kwa kiboko kuomba awaguse huduma zao zsonge
@estertemba2 ай бұрын
Huyo ni mwizi hata Mimi amenichukulia Hela yangu e mungu atakupiga tu na Hela za watu
@annabyekwaso-wt7oi2 ай бұрын
Labda alionywa kabla,sidhani kama kuna uongozi wa kuchukua hatua kabla ya maonyo maana nao ni watumishi wa Mungu kwa mujibu wa warumi13-1-4.
@edwinmbunda67092 ай бұрын
Serikali ichukue hatua kali kwa wahubiri (watumishi) matapeli.
@HeppyRafaeli2 ай бұрын
MUngu akubariki Mtumishi wa Mungu maana umesisima kama Malaika wa Mungu. Nafikiri wanaomchukia niwachawi. 13:56
@HeppyRafaeli2 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu maana hii ni chuki kubwa
@HoseaMyovela-wg1kf2 ай бұрын
makanisa yasiyo sajiliwa yafungiwe
@agustinohizza13952 ай бұрын
Humdanganyi mtu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee2 ай бұрын
False prophets are just for money. Everyone is doing business.
@moshiwasua57492 ай бұрын
Mordegai alimwambia Malkia Esta Je unadhani wewe utasalimika ?
@NaomiAgreey2 ай бұрын
Acheni kufuraia hamumpendi kiboko ya wachawi, ni zambi na mjue wanabii bado wanatakiwa kuongezeka wala dominic hajaanguka mtaanguka wenyewe ,
@MdAr-q7i2 ай бұрын
Acha uchawi na ww fanya na ww hebu watu wagoner mbona sipitali hawahubiri wala duwa yeyote hamuongei lakini huyo anaye.ongea neno lamungu.mnaongea acheni roporopo.midomo yenu inanuka.kama.chooo
@AverinaShirati2 ай бұрын
Lutumba
@zabibusaidi14042 ай бұрын
Iboko anasoma biblia na anajuakuitafakari vizuuur kabisa mm ni muislam lkn napenda mahubiri yake mpaka ni echanganyikiwa nimeponea kwake
@Gislamushi2 ай бұрын
MUNGU haziakiwi,
@karimmveyange2802 ай бұрын
ANACHOKIFANYA DOMINIC NI SAHIHI. BIBLIA NA QURAN ZIMEAMRISHA WACHAWIWOTE WAUAWE. UKIONA KUNA WANAO MPINGA UJUE KABISA WAO NDIO WACHAWI. NA WANANCHI WATATESEKA SANA KWA ISSUE YAKULEA WACHAWI.ITABIDI WATU WACHUKUE SHERIA MKONONI
@radisokida8942 ай бұрын
Hata wewe umepotea huutambui wito wa kazi yako mna unga unga nyinyi mnakwenda na misimu wewe mwenyewe huna utumishi wowote yako mengi ya hovyo unayaficha mbona yako huweki hadharani acha unafiki
@bahatadof55432 ай бұрын
Ila ndugu na wewe una vomuattack Mama kila wakati,mbona Kama una hekima mbona humfuati Mama private ukamueleza anirekebishe,Leo unamtetea kiboki ya wachawi unamtetea mpaka mishipa inakutoka,jamani.ushauri wako wa Leo ni wa hatari
@TeddyPonera2 ай бұрын
Ww unaongea nn kaa kimya bible inasema kut, 22:18 nani andiko ajasema mchawi atubu . Nyie mnaekumbatia wachawi mko nje ya maandiko Domimick atarudi yule. Mtumishi wa Mungu wa kweli na Mungu atamrudisha na mtaaibika
@ZawadyKaoneka2 ай бұрын
Ccm wanafanya makosa mengi mbona hawafutwi
@knight67572 ай бұрын
🤔🐸
@hamismohamed35412 ай бұрын
et jaman
@Alicemsafiri2 ай бұрын
Kwani hapo wanaongerea siasa au manabii wa uongo
@knight67572 ай бұрын
@@ZawadyKaoneka 🤷♂️
@philomenastephen33642 ай бұрын
IFUNGIWE CCM KWANZA
@Gislamushi2 ай бұрын
Unatetea uovu
@jenipherkachecheba80972 ай бұрын
Anasoma biblia na anaijua! msikilize kwa makini! labda ulizoea kuona biblia inasomwa kanisani ama kwa kukaririshwa!
@Alicemsafiri2 ай бұрын
Alafu kiboko ya wachawi ajawai kusoma bibria zaidi ya kusema wachaw
@Mahershalalhashbazi-kf6xi2 ай бұрын
Wacha bana
@AishaAishaothmani2 ай бұрын
Unauhakika
@AverinaShirati2 ай бұрын
Anasoma kidogo
@AverinaShirati2 ай бұрын
Alikuwa na kongamano limeishia njian
@MagrethShao-v4s2 ай бұрын
Yaani huyo kiboko jamani ni mchawi naanauwa watu nakusambaratisha familia siyo mtumishi wa Mungu huyo aliniitisjha pesa nikawa Sina skanifukuza na unaprwa karatasi ya laki tano ndiyo ukamwone huyo pepo sdui wa msalaba