SIRI NZITO YA KUHUSU UGOMVI WA MBOWE NA LISSU / HECHE AFUNGUKA

  Рет қаралды 18,340

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

8 ай бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 53
@mussamagunguli6937
@mussamagunguli6937
Heche ni mwanasiasa mzuri sana na amewafunika waandishi wanafiki wa eastafrica radio
@raymondchaula3914
@raymondchaula3914
Heche ukimariza kuhojiwa na waandishi wa Habari naomba kuwasiriana naww mm ni mtanzania ni mzariwa wa hapa naomba mniongoze napenda niombe uraia wa nch za nje hapa bongo nimepachoka mafisadi wanatufanya watanzania tuishi maisha ya tabu kwenye nchi yetu mafisadi makubwa hawa
@msabahaali758
@msabahaali758
heche yuko vizuri sana
@meiruzibwe9145
@meiruzibwe9145
Huyu ni HECHE, huyu ni Kiongozi 💪✌️✍️🙏
@wanainchitvrdc6705
@wanainchitvrdc6705
Chadema ni chuo kikuu cha siasa Tanzania. Uki hitimu hapo ww ni mwanasiasa Bora kabisa . Hata walio Feli chadema wakaenda CCM , Leo ni mawaziri,naibu WAZIRI ,wakuu wa mikoa na wilaya .... Kwa kifupi, CHADEMA ndio chama bora cha siasa tanzania .
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263
Kwa nini habari ya maridhiano waulizwe CHADEMA tu hawatafuti maoni kutoka kwa viongozi wa CCM angalau tulinganishe wenyewe tupate ukweli. Naona wanahabari wa kizazi hiki ni makanjanja tu wasio na weredi!😊
@wanainchitvrdc6705
@wanainchitvrdc6705
Excellent respond from honorable JHON HECHE
@fwc5552
@fwc5552
East africa yamekuwa manafiki sana hata kwa page yao ya twitwer wanaishambulia sana CDM wanazusha maungo yasiyokuwepo ni moja ya majitu yanayochangia kukandamiza wapinzani
@levissanga8867
@levissanga8867
Hongera My Heche umeonesha ukomavu kisiasa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884
Hongera Heche, u.ejibu hoja zote vizuri
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966
Nilishawahi kusema Heche anafaa kugombea urais kwenye chama cha Chadema na akapita bila shaka.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067
MH heche kwelikabisa majibu yako mimi yamenilizisha viva commander viva mh heche mungu akubariki wewe nakizazichako milele, eemungu tusaidiye utuepushe nawatu wenyeroho mbaya wabinafusi
@mussamagunguli6937
@mussamagunguli6937
Hongera waandishi wanafiki umewamaliza kiherehere nadhani hawathubutu kufanya mahijiano nawe tena,uwezo wao mdogo sana
@benardkinde8496
@benardkinde8496
Safi sana heche umejibu vizuri ubunge ni wako huna mpinzani atakaye simama mbele yako
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067
Hongera kwa majibu mazuri yenyemantiki tena cdm wanajielewa sana,cdm ndiyo ukombozi wetu sisi watZ, sisiraia wanchihii tuungejuhudi zawapiganaji wenzetu wapendahaki,
@baaussi9736
@baaussi9736
Ninyi watu wa habari hamko sawa maana mambo ya taifa hamyasemi
@EvanceBujiku-dc9rh
@EvanceBujiku-dc9rh
Maswala ya ngorongoro mbona est africa radio humjadili ,
@haroldtarimo-wj9lw
@haroldtarimo-wj9lw
Kwanini CCM hawataki tume huru ya uchaguzi uoga wa nini
@fwc5552
@fwc5552
Ndo mana hayana biashara siku hizi
@augustinonestorysasi3683
@augustinonestorysasi3683
CCM mnawaziwasi na Chadema tunahitaji katiba mpya Tume Huru!!
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 7 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 478 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 4,2 МЛН
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 3,7 М.
MAKONDA AMVAA MBOWE “AMEDHALILISHA AMESEMA MANENO MAZITO SANA”
11:13
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 7 МЛН