Hiyo ndio njia sahihi kabisa sijawahi ona fundi aliefanya hivi zaid yako brother big up hii njia tulitumia wakati wa upauwaji wa messeven school kule chato kwa magufuli tofauti tu sisi tulitumia bati za G 26 ndio tulizikunja mfumo wa zes Yani ni mkataba
@swahiliunits8 ай бұрын
👏👏👏👏👏
@cosein10 ай бұрын
Tatzo liko hapo katika kuchumbia bati ndani ya ukuta bati baada ya muda linaoza next time usichimbie kuna jinsi yakufanya
@swahiliunits10 ай бұрын
Wala sio tatizo, hapo tayar kumewekwa side flash( side sheeting) ili kulilinda bati
@usercabal Жыл бұрын
Me kujenga nyumba ukiona mvua unaishi kwa mashaka sitaki 😂😂😂
@swahiliunits10 ай бұрын
Nyumba yeyote iki pauliwa vibaya itavuja tu
@jacksonlungu83406 ай бұрын
Wacha
@usercabal6 ай бұрын
@@swahiliunits hizi zimezidi bhana
@RenaldaZeramula10 ай бұрын
Kwa macho.yqngu.lazima itavuja
@swahiliunits10 ай бұрын
Tumia kigezo cha kitalaamu, unahisi wapi hawajawekwa sawa na kwanini
@erickmhanza7397 Жыл бұрын
Naomba mawasiloano nina nyumba ya aina hii ila Bado sijaipiga bati
@swahiliunits10 ай бұрын
+255762156762
@noahayub5987 Жыл бұрын
Naweza kuwapataje?
@swahiliunits10 ай бұрын
wasiliana nasi kupitia +255762156762
@AlHamra-k4u6 ай бұрын
Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani
@AlHamra-k4u6 ай бұрын
Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani
@AlHamra-k4u6 ай бұрын
Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani
@AlHamra-k4u6 ай бұрын
Kupau bati ficha mnafanya kwa kwa bei gani
@PeterNdembo Жыл бұрын
Mko wapi wazeee
@swahiliunits Жыл бұрын
Mikochen, Dar es Salaam , Tanzania
@stevemwakijr594710 ай бұрын
no ya simu
@nasserm.nasser508710 ай бұрын
Naomba contact zako za simu
@swahiliunits10 ай бұрын
+255762156762
@noahayub5987 Жыл бұрын
Naweza kuwapataje?
@swahiliunits Жыл бұрын
Via phone call +255762156762 or email info@swahiliunits.com