Nini tofauti kati ya utajiri na kufanikiwa? Usikose #Msasa huu wa @therealfidq this #sunday on the #msasapodcast
Пікірлер: 167
@raphaelkaswahili3236 ай бұрын
Nilichogundua wamiriki wa media wamegundua kua Kuna weakness kwenye upande wa habari kwa hio wamekuja na vitu mhimu saana I hop kama tutaendelea hivi vile vitangazaji vyenye maswali ya kijinga hongereni wakuu nimeenjoy saana uwepo wa fid
@platotaurus23016 ай бұрын
Fid Q always delivers Us from evil. Huyu jamaa anaakili nyingi sana. The true GOAT.
@omarylungoba6 ай бұрын
Nafikiri tunahitaji kitabu kuhusu maisha yako broo fid
@victorchris51446 ай бұрын
Mnaojiita mbuzi hii interview ni funzo kwenu. Akili nyingi sana Fareed you are a true meaning of G.O.A.T
@bilalikisembe50126 ай бұрын
Kama umeikubali hii interview gonga like yako hapa
big brain fareed wee jamaa ungepewa udaktari tu -jamaa wa msasa show kubwa sana chief pls tuongeze jamaa wengi zaid tuendelee kula shule,,,,,,,,,am looking foward kuona investrs wengi zaid kweny show yako
@michaelmzinga47416 ай бұрын
You are a real brother. Long live Fidq
@kitwanaswalehe83696 ай бұрын
I like the show. Nimeokota machache ya muhimu katika mengi
@naftaliwilliam5146 ай бұрын
Fid dandala da MUNGU akupe maisha marefu bro
@jacobjb45156 ай бұрын
Mimi Nakumbuka na niliumia sana ile mkali wa Reymz baada ya Afande sele ulikuwa ni wewe mzee mlikuwa top ten daaah
@user-qw3vx3pl2z6 ай бұрын
Interview ya fid huwa inanipa mzuka no jamaa anayejua kujibu kisanaa
@castroydaimon31076 ай бұрын
Very Very Very Nice Interview.... Fid Q the G.O.A.T
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
Glad you enjoyed it! 💪🏾🔥
@sayhussle99186 ай бұрын
as the time moves evil/darkness/wrongs gets weak to its opposite and not otherwise. righteous its the right move. and that definition of GOD.! 💯💫🧠🙏
@emmanuelmayunga15186 ай бұрын
The real Mbuzi....Home boy Fid Q...I appreciate so much on what your doing brother
@mchangeboy59286 ай бұрын
Masikio yana enjoy then ubongo unakula kitu adim bila kelele za sound zao zile za nyuma....
@MosiAmandusi3 ай бұрын
We need these kind of intellectual feeding. Ikiwapendeza tupatieni DIZASTA VINA
@MSASAPODCAST3 ай бұрын
Sawa brother.. Tutalishughulikia
@GriffinMwakyonya2 ай бұрын
Thats my goat
@ApipaTV6 ай бұрын
Kazi nzuri bro Mpangilio wa studio Light Sound Na vitu vingine I'm your new fan
@goldprocessplant58936 ай бұрын
Interview nzuri sana ya watu wenye akili sana watangazaji wengine wajifunze kuuliza maswali kwa huyu mwamba sio maswali ya ajabu na kero
@maishaforreal77986 ай бұрын
Tunaitaji CheusiDawa aandike kitabu tena cha KISWAHILI RAHISI ILI TUJIFINZE NA KWENYE ICO KITABU ATUTAFSIRIYE NYIMBO KAZAA KAMA MAFAANIKIYO.
@gilbertjoseph33386 ай бұрын
Ngosha the masterpiece❤
@user-qz5yh1dl1n6 ай бұрын
Ongezeni mda pleas show ni nzur saana ❤❤❤
@robinisack80926 ай бұрын
Smart sana broooo #king
@Coachsamwel6 ай бұрын
Powerful sana... nimewakubal ote
@hassanbakari45256 ай бұрын
MAFANIKIO NDO UTAJIRI WENYEWE HUO,,,UTAJIRI UKIKUFUATA HUWEZI KUUKWEPA,,UTATEMBEA NAO TU
@Burner_Acc6 ай бұрын
Interviewer amepoa sana. He lacks reaction and follow-up questions. Fid a great story teller as always.
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
Thank you for the feedback. Tutaifanyia kazi💪
@user-fc5wm9pp6u6 ай бұрын
Broo wa msasa unajuaa kuuliza maswali vzr shout out 2 u
@eliudwiston42066 ай бұрын
The world 🌍.....fid q,..... usisahau kusubscribe......bro kubanda kiberiti ni ya moto sana kichwani mwangu
@petermbwei13476 ай бұрын
Fid huwa anajua kujielezea sana
@millardmbaraka61146 ай бұрын
This man ni shule @Don Miguel 🔥🔥
@nicksoncharles-kx3gr6 ай бұрын
Fanya utusogezee Nikki mbishi apo
@boniventurekiwanuka.80986 ай бұрын
Rock City Icon.
@selemanisalum81426 ай бұрын
its my first time naangalia kipindi and nimekipenda sana but I would like kumshauri interviewer asubiri msanii amalize kujibu swahili kisha abandike swali lengine. but all in all I like it
@njoroboihastla6 ай бұрын
Fid ni genius akijibu swal analielezea kiundani sana mtangazaji anakua kama ameona kamaliza ndo mana unakuta wanalandana
@MSASAPODCAST5 ай бұрын
Asante for the feedback. Zinatujenga. Tutalifanyia kazi hilo💪🏽
@zainabmaulid96376 ай бұрын
Ukenda mbio mda mtapishana mafanikio huja kwa kile unachofanya% dah mstari huu ndo chanzo cha kufanikiwa mm nauzingatia sana ndo maana sifeli%
@jumalihumbo53146 ай бұрын
Wajameni iko kitabu cha kutochukulia vitu personal kinaitwaje😊😊😊
@kijokombao53456 ай бұрын
Kijitabu kidogo tu cha kuitwa "THE FOUR AGREEMENTS" by Don Miguel ila kina madini sana aisee
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
Woah! thanks for sharing 💪🏾🔥
@babasam47526 ай бұрын
Channel Iko sawa sana kwasababu mtangazaji Yuko vizuri, itafika mbali hii
@mohamedismail26626 ай бұрын
Powerful sana
@user-bf4xh9kc3n6 ай бұрын
Bonge Moja la interview la kufungia mwaka
@hamisamiraji6 ай бұрын
Kazi nzuri
@vinny.moralesАй бұрын
Kipindi kizuri sana. Can't wait for season two
@Coffted6 ай бұрын
Kama umeskia (T.I amemuiga Flow) Fid. Grab ur Skunk please😊
@sixbertaMakoko-rn8cx6 ай бұрын
Nakubalii🔥
@kabhikachambala33926 ай бұрын
Are the one we met on MUHAS & UNICEF Symposium on. Social behavior change
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
Yes sir😉
@kelvinjoseph41576 ай бұрын
this podcast is awesome ila i suggest the "fill-a-words" could be minimized by simple edits I mean by Mhhhs and Ahhhas
@izvibez68234 ай бұрын
Dope PODCAST 🔥🙌🐐
@sospetersayi71766 ай бұрын
My GOAT 🐐 HIP HOP 🙌
@jacksonfred49946 ай бұрын
Nimeipenda interview broo utulivu wa maswali skills ya kujua vitu nimeipenda
@ngabo7865 ай бұрын
mtangazaji💥
@bainolatino34126 ай бұрын
Tunamtaka jay moe pia nae anayo yakisema music scientists
@SaidiMeza-ug7mn2 ай бұрын
Kwel kabisa anajua vingi mo
@user-vd4yp2ou8t6 ай бұрын
Interview inanipa somo bongo la interview
@vannytz5006 ай бұрын
Mzee pindi limenyooka sana
@fanuelmtewele56606 ай бұрын
Fid q anajua sana
@habari2546 ай бұрын
safi sana
@saluuhans5 ай бұрын
👑 King Fid 🙌
@user-op5iu1qt2m3 ай бұрын
🎉😊
@user-qw3vx3pl2z6 ай бұрын
Fid may I have your t shirt
@mweusiasili83456 ай бұрын
Madini q no 1
@saluuhans5 ай бұрын
The best interview
@maximusalnono64256 ай бұрын
Man alone can transform his thoughts into physical reality. man alone can dream and make his dreams come true 🔥muda wowote Fid anapoongea lazima uondoke ukiwa positive interview ya kibabe sana nimekubali 🔥
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
🔥Asante sana, the man is a living legend.
@user-fp4ir4ej9v4 ай бұрын
Umetisha sana ngosha hauna mpinzan
@sontrillthereal81866 ай бұрын
Hapo mwisho hapo kuna madini sana, Soko, kuuza.
@damaresi6 ай бұрын
💚💚💚🎬 safi sana . Msasani, kwangu mimi unanikumbusha Mchonga nyerere kama sio Mikocheni hahaa.. 📽 naachia video ya kuikaribisha 2024 kwa wimbo Ma Mtoni.. by King Bidder from his own youtube ya king bidder.💚🤳 Album ina itwa Power Of Writing. Karibuni
@saluuhans5 ай бұрын
G.O.A.T 🐐 👑
@MkilemaPantaleo6 ай бұрын
Nangoja part 2 ianze na majibu kutoka kwa fid maana jibu lako linalenga kilicho kwenye mzunguko sokoni ila yeye anaepaswa ajekuelezea kama inaingiza sokoni bidhaa haipo na huo wakati ipo inayo trend sokoni
@mastaplan6 ай бұрын
Kipindi kipo fresh lakini inatakiwa iwe na party 2 hii msasa ya Fid Q
@lukanboyboy48536 ай бұрын
GoAT fid Q ehe eshima yako kAka🎉🎉🎉
@IssaMabaoАй бұрын
Aaah nakubal apo mzee mbuziiiiiii
@dominickkisulo80176 ай бұрын
Ngosha the don
@magaimagayane19476 ай бұрын
Mzee mbuzi Namuelewa sana
@chusseboywcb28083 ай бұрын
Mafanikio hayaji kwa kukata taama yenyewe yanawafata wanao jituma sio kusukumwa na njaa ukijituma naneema imekalibia ote waio give Up mapena wangekaza wangeifikia kwenye mistari hizo zinafanya nijitume fd q kwangu ni namba1🙏🙏🙏🙏
@MSASAPODCAST2 ай бұрын
💯💯💯💯
@missiontown0016 ай бұрын
MBUZI🎉🎉🎉🎉
@user-pi6ij6uu8x6 ай бұрын
nikisikia mwanza namsikia fidq kikubwa tunahitaji kitabu
@user-yt8cm6kr3v6 ай бұрын
The hip hop king big up bro
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
A legend 🙌🏾
@ChristopherMillanziАй бұрын
Mtam Sana farid
@Hassanhamisi-sw4be6 ай бұрын
Mecca flash 🎧
@jacksonmsendo34786 ай бұрын
Wewe mwongo fid q wakati anatoka miaka ya 2000 tayari cd zilikuepo labda uniambie miaka ya 90 plus cd zipo tangu 1995
@lubbahmorento51386 ай бұрын
Ina depend huenda zilikuwepo lakini nchi zilizoendelea ndo zilikuwepo but nchi km tz hazikuepo
@fidq62826 ай бұрын
Kabla ya CD, kulikua na Tepu/ kanda/ kaseti zinaitwa Chrome yaani ( Chrome tapes ) ndio zilikua zinatumika miaka ya 90
@emmanuelpeter4656 ай бұрын
We nae unareta mambo ya ubishan tena si uchaw sasa huo
@one2tell5086 ай бұрын
Mwaka 2000 wenyew computer zilikua zinauzwa tofauti na cd rom, unanunua computer na unaenda kununua cd rom na card yake.
@zedekiahmagwega80446 ай бұрын
Ww mzaliwa wa 2004 kelele mingii 2000 jambo kubwa kama bank halijaenea kote watu wanalipwa mkononi ije iwe hiyo CD!? biti kipindi hiyo inawekwa mic unatengeneza biti via mic kama anataka sound ya kikombe anatonga kikombe kwenye mic ili arecord akachanganye huko
@dennardleonard12286 ай бұрын
NGOSHA
@user-yx7fs4ts5zАй бұрын
Nakubal fid. Q
@godfreyndaki95226 ай бұрын
Fid Q
@mshindotv6 ай бұрын
fid q ndio alitufundisha kua USTAA hauji Bila Skendo,
@dicksonnba87726 ай бұрын
Very cool host link with goat The reality of opportunity meet preparation turns magic 🔗🔗
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
😎🙏🏾
@iammichaellukindo6 ай бұрын
Ndio vile vitu mi hupenda. Hii nimei verify 👍
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
Bless
@bonifacearoni60326 ай бұрын
dah binadam wabaya sana bora waseme unaringa, hasa hawa wa kukutana nao ukubwani
@user-qw3vx3pl2z6 ай бұрын
Kkutafuta kitu positive kwenye negatively
@yohanabaraka81926 ай бұрын
Great...
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
🔥🙌🏾
@joycekonga40955 ай бұрын
very good interview 🔥🔥🔥
@habyhabib75386 ай бұрын
Kiberiti,siiitaj marafiki ,kwani hii intervw ina second 😂😂,tunahitj zaid kujua mengi
@Mahmoud_7636 ай бұрын
Second time of listening
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
Sehem zipi zimekugusa zaidi?
@user-pi6ij6uu8x6 ай бұрын
tupate part2
@wingstarmsanii98626 ай бұрын
Fid amenifunza kitu leo
@nellysosteness98986 ай бұрын
Nimejifunza kitu hapa
@Nature-loverss5 ай бұрын
Bro interview nyingi but sama shirt colour kila interview
@MSASAPODCAST5 ай бұрын
Yes sir
@JacoboMjungu-ql8fj6 ай бұрын
Fid q❤
@ramadjuma2196 ай бұрын
I like the the interview for real
@ebenezermangowi74036 ай бұрын
Sitaki kuwa Tajiri. Nataka kufanikiwa
@MSASAPODCAST6 ай бұрын
🔥🙌🏾
@malombemunyithya93416 ай бұрын
Mzee mbuzi
@user-xv8fu9xu6k6 ай бұрын
Erewa neno! kuvuta vuta😂
@hinikasteve176Ай бұрын
Hii ni zaid ya interview nimemeza madini mengi Sana
@nyemondagalla6086 ай бұрын
Saa 1 kama dk1 haichoshi wala haiboi, faridi ni darasa tosha.
@ZainabuIdrisa2 ай бұрын
Samaya x ananiita fiq the future
@jbdedon6 ай бұрын
98 kakutana na mtt wa dandu after 10yrs wakakutana 2000 mbona katipiga...?