No video

SNAKE BOY | ep 28 | SEASON TWO

  Рет қаралды 834,546

CLAM VEVO

CLAM VEVO

Күн бұрын

Пікірлер: 2 500
@emmanuelmmbaga5209
@emmanuelmmbaga5209 Ай бұрын
MUNGU MUUMBA MBINGUNI NA DUNIA, tupe macho ya rohoni tujue kweli yako, na tukae ktk njia zako Amina...... 🙏
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Ай бұрын
Kwaio humu ulikua unasoma biblia au imeingiliana VP na maombi 😂😂😂😂
@user-jc1og5cr3i
@user-jc1og5cr3i Ай бұрын
@@user-sv6zy3hc8o😂😂😂
@AweiyBeauty
@AweiyBeauty Ай бұрын
Jaman jaman jaman watu hahahahahhhh!hayo majb sjui wp tunayapata wallah
@MohammadSwaghir
@MohammadSwaghir Ай бұрын
Wewe ndo umesema la maaana
@MosesKahindi-ys2xb
@MosesKahindi-ys2xb Ай бұрын
Amen🙏
@user-rl4cf6tc5n
@user-rl4cf6tc5n Ай бұрын
mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea
@MoneyKey247-fk4oy
@MoneyKey247-fk4oy Ай бұрын
Kweli😂😂😂
@NawaliKassimu
@NawaliKassimu Ай бұрын
Mpaka unasahau uliishia wapi
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Ай бұрын
Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko
@LovenessPaul-yf7rz
@LovenessPaul-yf7rz Ай бұрын
Kwakweli😢😢
@MaulidMrisho-hk2vi
@MaulidMrisho-hk2vi Ай бұрын
usilaumu kukawia angalia wanatumia muda mlefu kuandaa maana siokitu chalaisi2 kiivyo wanatumia malifa mengi
@EphrahimIlomo
@EphrahimIlomo Ай бұрын
Daaa tumesubiri sana mnakaa mno mpaka tunasahau kama Kuna snake boy anyway kazi nzuri sana@clam vevo
@Kaloki-hv7dx
@Kaloki-hv7dx Ай бұрын
Sijui mm ni wangapi naombeni likes hapa...mwenyezi mungu haibarki snake boy...clam vevo hatariiii..
@PatrickAntony-w4d
@PatrickAntony-w4d Ай бұрын
Mm. Wakwanza udugu
@user-mm3ri2up9c
@user-mm3ri2up9c Ай бұрын
Kazi nzuli jaman naomba like from burundi tujuane
@_Wayiva_mukuta_jean
@_Wayiva_mukuta_jean Ай бұрын
Clam vevo the number one ☝️ mpaka apa Congo 🇨🇩 na kubali équipe clam vevo.
@YoungblackPeople-qf7vx
@YoungblackPeople-qf7vx Ай бұрын
Mwenyezi mungu akubaliki wewe na familia yako muwe na maisha malefu kwa wewe unaye soma comment hiii
@EverinRobert-cg6cx
@EverinRobert-cg6cx Ай бұрын
Amina
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Ай бұрын
Amiina
@user-ed8nq6ve7q
@user-ed8nq6ve7q Ай бұрын
Amini❤
@user-jq5lh9mo1v
@user-jq5lh9mo1v Ай бұрын
Amiiiiin 😊
@gakozimartinvalentin2763
@gakozimartinvalentin2763 Ай бұрын
Amina
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv Ай бұрын
Nimekuwa wa Mia mbili na 53, Naomba likes zangu, snake boy ni motooo 🎉🎉🎉
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf Ай бұрын
Afadhali umesema kweli mana kila mtu wa kwanza humu😂😂😂😂😂
@officialgvanny8334
@officialgvanny8334 Ай бұрын
​@@HudhaimaYussuf😂😂😂😂
@TajaIssa
@TajaIssa Ай бұрын
Kama unamkubali mtanzi gonga like
@NdohoAud
@NdohoAud Ай бұрын
​@@HudhaimaYussufhhhhhhh😂😂 nihatal
@Mashenene_Robert
@Mashenene_Robert Ай бұрын
Wewe adimin 😅😅😅
@adidjahassan6046
@adidjahassan6046 Ай бұрын
From burundi ❤❤ napenda sana snake boy clam apewe maua yake jamani kama tukopamoja gonga like apa ❤❤
@filexingutia3620
@filexingutia3620 Ай бұрын
Mimi ni miongoni mwa first 80,000 waaah! Si watu mnawai jamani... Yaani karibu nianguke😂❤🇰🇪KE🇰🇪NYA🇰🇪
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 Ай бұрын
Àssalaam aleykum.. Tukumbuke na Ibada ndugu zangu 🇹🇿 🇰🇪 🇧🇮 🇷🇼 🇨🇩
@user-vq6dc4nr5p
@user-vq6dc4nr5p Ай бұрын
Waalaykum ssalaam... Shukran kwa ukumbusho❤
@FatumaHamisi-sr6yj
@FatumaHamisi-sr6yj Ай бұрын
Walekum salam shukurani Kwa ukumbusho kipenzi 😍
@KishkiMdogo
@KishkiMdogo Ай бұрын
Shukran
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Ай бұрын
Waalykumussalaam warahmatullah'hi wabarakaatuh. Muhimu shukria ❤
@user-tu4vz9ee3h
@user-tu4vz9ee3h Ай бұрын
Waalaykum musalamu warahmatullah wabarakatuh Inshallah,
@fundiseif1096
@fundiseif1096 Ай бұрын
Snake boy 🐍 inazidi kua hatariiii umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪
@nestorykakatv7526
@nestorykakatv7526 Ай бұрын
Ushauri wa bure msiwe mnakaa siku 10 jaman mjue tunapenda xn hii kazi
@professor1992
@professor1992 Ай бұрын
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tangu nianze kufuatilia snake boy sijawai pata likes, jameni naombeni likes mukinifuata youtube
@Kib-jsanley
@Kib-jsanley Ай бұрын
Mombasa😂😂
@DuniaMayombo
@DuniaMayombo Ай бұрын
Nilisha kupa likes ambayo uliomba❤
@collinsmlay1438
@collinsmlay1438 Ай бұрын
Nimekupa dislike moja aisee nataman nikuongezee zaidii
@AshaMussa-r4z
@AshaMussa-r4z Ай бұрын
Kazi nzuri kaka Allah akulinde uzidi kutoa kazi nzuri ila munachelewesha sana
@RifatiJeshi
@RifatiJeshi Ай бұрын
Mkishajua tunawafatilia na kuwakubal mnatuchelewesha sana kutoa muendelezo!! Jirekebshen bhac
@rashidkwengwegu6876
@rashidkwengwegu6876 Ай бұрын
Kuchelewa kwao ni kuandaa kitu kizuri kitakacho kuvutia
@ramadhanmbai648
@ramadhanmbai648 Ай бұрын
WA Kwanza kutoka Kenya. I love Tanzania bongo movies .. big up Tanzania ❤
@yassatv2129
@yassatv2129 Ай бұрын
Naomba wote mnaoangalia snake boy mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu🙏
@NadzuaMrema
@NadzuaMrema Ай бұрын
Amen 🙏 🙏 nawe pia
@Dogs-jg3mg
@Dogs-jg3mg Ай бұрын
Amina
@mulhathamadomar4451
@mulhathamadomar4451 Ай бұрын
Amiin kwak piA
@abedysteven4930
@abedysteven4930 Ай бұрын
Amen
@user-ib5gg4kb5c
@user-ib5gg4kb5c Ай бұрын
Amina
@Puchuanitz
@Puchuanitz Ай бұрын
Jaman me nataka mwakatobe ak zinga team zinga dondosha like
@mosesashikoye3288
@mosesashikoye3288 Ай бұрын
Clam siku hizi unachekewesha sana hadi nasikia nimeanza kukosa hamu tena, imarikeni kwa hilo. Tunawapenda sana huku Kenya
@amothedecorationiw9iw
@amothedecorationiw9iw Ай бұрын
Kigongo kinachelewa mpaka napata hasira kiukweli sijafurahia kabisa week mbili tunakaa kinyonge aaaahhh director amezingua
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib Ай бұрын
Kiujumla vevo na team yako mupo vizuri tena mupo vizuri sana
@Jeremiahc224
@Jeremiahc224 Ай бұрын
Kazi njema inaitaji watu hodari na nyinyi nyote ni mahodari kabisa 🙌🙌🌹❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu Ай бұрын
Wenye kufuatilia hizi episodes tujuane 😂😂😂mimi ata ikifika episode 50 lazima niifuatilie team Clamvevo wapi likes 👍👍👍
@PatrickAntony-w4d
@PatrickAntony-w4d Ай бұрын
Tunawaombea sana❤
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu Ай бұрын
@@PatrickAntony-w4d 😘😘😘
@Akili820
@Akili820 Ай бұрын
Clam noma sana 🇨🇩🇨🇩☝️
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh Ай бұрын
Watu waliokubaliii kaziii hiii ya CLAM VEVO gonga like hapa❤❤❤❤ movie iko unyamaaa sanaaa
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Ай бұрын
Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦
@FrankHakizimana-rb3zs
@FrankHakizimana-rb3zs Ай бұрын
Upo sawa
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Ай бұрын
@@FrankHakizimana-rb3zs Welcome
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 Ай бұрын
Asante Mungu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Asante mungu ww umeongea la maana kuliko kuomba like
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Ай бұрын
@@mohammedkidody5618 ubarikiwe sana
@BakariNgare-v8z
@BakariNgare-v8z Ай бұрын
Duuh Clam vevo watueka sana wachelewesha mzigo but ongera Kwa kaz nzuri naona next kanumba miaka inayo kuja karibu Mombasa Kenya.
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Dakika 40 pia umegewa
@BakariNgare-v8z
@BakariNgare-v8z Ай бұрын
Hahahaha 40minutes n sawa but anatueka sana Vevo best wishes to this guy is very genius​@@eggysulle7988
@MagrethDaniel-cu5fg
@MagrethDaniel-cu5fg Ай бұрын
Aisee huy dada urembo unamtesa jaman kaqa kama mpira ahahahaha!!! Ungekuwa na sura ngumu ka me akaaaah! Hata ukitupwa pale mbwa hanusi😂😂😂😂😂
@Monystar01
@Monystar01 Ай бұрын
Aisee kama kuna mtu alikua anaumia Snake 🐍 boy kuchelewa kama mimi Gonga likes 👍
@saidpolish1988
@saidpolish1988 Ай бұрын
Unachoka mtu kuifatilia inavochelewa sana
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa inachelewa sana mpk tunakata tamaa
@Big-studios255
@Big-studios255 Ай бұрын
inakuja ndugu zangu 😥😥😥😥 kazi ni nyingi upande wetu sisi ma producer
@SaidiHemedi-ug6qw
@SaidiHemedi-ug6qw Ай бұрын
Wewe nimshamba tu
@DamarisDammie
@DamarisDammie Ай бұрын
Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪 ila mnachelewesha sana hd tunasahau pale tulipoachia ila kazi nzuri sana Clam vevo tunaikubali ❤
@user-dh5wh9ts2i
@user-dh5wh9ts2i Ай бұрын
Safi Dama Mkenya wangu
@edwardngugi3537
@edwardngugi3537 Ай бұрын
Ii kiswahili yko c ya Kenya 😂😂😂 buana
@DamarisDammie
@DamarisDammie Ай бұрын
@@edwardngugi3537 hiki n Cha wapi kipenzi
@DamarisDammie
@DamarisDammie Ай бұрын
@@user-dh5wh9ts2i good ❤️
@user-qz2dn3qb1x
@user-qz2dn3qb1x Ай бұрын
Naomba unicheki bax
@yonamaduma6284
@yonamaduma6284 Ай бұрын
Tujuane tunao fatilia snake boy kwanzia season one kama mimi ngonga like hapa
@AsmaEdgar
@AsmaEdgar Ай бұрын
Gonga na kwangu basi
@user-hn6co1ul8l
@user-hn6co1ul8l Ай бұрын
Naku kubari kazinzuri sana Ila muna cherewa jitaidini ata muwe munatoa vipande vitatu kwawiki 🎉
@JackyTarimo
@JackyTarimo Ай бұрын
2po kimoja
@wamboiwamboh
@wamboiwamboh Ай бұрын
❤❤❤si mnipitie akh😂
@KigabiChanceline
@KigabiChanceline Ай бұрын
Niko
@Nancykerush
@Nancykerush Ай бұрын
Naipeda xana na watch nikiwa Nairobi Kenya wapi likes zangu jamen
@AishaAbdallah-lm4ic
@AishaAbdallah-lm4ic Ай бұрын
From Kenya..🇰🇪🇰🇪 watching from Qatar 🇶🇦 🇶🇦 Nikiwa Moja Wenu🤝💕💕💕
@Dorcasmwende764
@Dorcasmwende764 Ай бұрын
Maandamo ni Tuesday CBD tupatane 😅
@AishaAbdallah-lm4ic
@AishaAbdallah-lm4ic Ай бұрын
@@Dorcasmwende764 Inshaallah mpenzi pamoja 🫂
@khajiathuman-zq4bj
@khajiathuman-zq4bj Ай бұрын
tunaemuona tanu ajulikan yupo upande gani 😂😂 tien like ap
@LysonMshan-kf7rg
@LysonMshan-kf7rg Ай бұрын
tanuu bwanaa Mii simuelewii yanii 🤣🤣🤣🤣
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
😂😂😂
@stephanmpangire4741
@stephanmpangire4741 Ай бұрын
Alooo 😂😅
@saumbliz8983
@saumbliz8983 Ай бұрын
Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹
@Shacky665
@Shacky665 Ай бұрын
Kazi nzuri Tim vevo hamjawahi niangusha🎉🎉🎉🎉
@ShizoMsosa
@ShizoMsosa Ай бұрын
Kukudadakei one number
@MellanierChristian-wn9mw
@MellanierChristian-wn9mw Ай бұрын
Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢
@amilahmuta7586
@amilahmuta7586 Ай бұрын
Maana kuu ya kikulacho ki nguoni mwako
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa yn na utawala wa kimabavu
@EstherShania-u8i
@EstherShania-u8i Ай бұрын
Leo nmechelewa lkn naomba like hta 2 tuh
@KIBETLOTIPO
@KIBETLOTIPO Ай бұрын
Watching live from the capital city of Africa 🇰🇪 KENYA,wapi like zangu,ila mnachukua muda mwingi kutoa episode
@qurthummrabdllh3635
@qurthummrabdllh3635 Ай бұрын
Mtoe maoni basii kazi wsicheleweshe sana 😂😂😂 kuomba like tu 😂😂😂
@judithpendo9985
@judithpendo9985 Ай бұрын
KWANI watu mko n sim kwa mkono jmn 😂😂 nawapenda 🥰 Bure Genz 👊 team strong team clam vevo🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️
@user-dh5wh9ts2i
@user-dh5wh9ts2i Ай бұрын
Safi Pendo wakwehuu ❤
@user-rj8zh8ok7q
@user-rj8zh8ok7q Ай бұрын
Tanu jau kiponza
@heryIsaac
@heryIsaac Ай бұрын
clam ni bonge moja la act 4this country niamin
@Ozilandre
@Ozilandre Ай бұрын
Clam VEVO hanajua kwandikajama , mana tukikosa kumwona Vevo tunamwona mwakatobe , tusipo mwona mwakatobe, tunamwona Vevo 😂😂😂 Samani jamani Mimi kwetu Mozambique 🇲🇿🇲🇿 kwiavio sijuwi kwandi vizuri, samani 🙏 nipeni like
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga Ай бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
@siafuonlinetv
@siafuonlinetv Ай бұрын
Kama kuna mtu kila siku alikuwa anaangalia kama clam kaaploud au laaa gonga like kwangu
@hashimuomary4569
@hashimuomary4569 Ай бұрын
Kwan mnaoomba like zinawafaidish nn nyie vibwengo watoto wa mwakatobe
@MwabuJackson
@MwabuJackson Ай бұрын
Hi cast of the snake boy, we are really enjoying your wonderful movies. Please keep it up, I wish you the best in your remaining seasons. I'm Zambian.
@user-dw3dz2zt4i
@user-dw3dz2zt4i Ай бұрын
Hiii movie inaongelea Uongozi mbaya kama vile Kenya viongozi wengine wanavo wanyanyasa Wana Himaya ,,,,,ndio unakuta kuna wenye wanakufa ndo wengine wasaidike baadae,,,,,halafu kuna wakina Raila apo kina Kipara huku Yuko na kule yupo
@user-gw1tc8tf5j
@user-gw1tc8tf5j Ай бұрын
Kwel ina mafunzo Meng San y kujifunza hpa
@hamisikamanda9933
@hamisikamanda9933 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa yn😂😂😂
@user-wq2np3dm3d
@user-wq2np3dm3d Ай бұрын
😂😂😂
@SallyMateru
@SallyMateru Ай бұрын
Hatimaye baada yakusubiri kwa muda mrefu😂😂
@crazykea2032
@crazykea2032 Ай бұрын
Eeeeh wanakawia sana adi mtu huchoka😂
@SallyMateru
@SallyMateru Ай бұрын
@@crazykea2032 yaani mpaka unaanza kusahau ilipoishia 🤣😂😂 ila Ndo tunaipenda Hata iweje hatuachi kufatilia
@salhkiyagi
@salhkiyagi Ай бұрын
Kazi nzur san ila punguzen baadh ya vitu move iende vizur mtuletee nyingne mwaka sasa unaenda tunafwatilia move iyo tu mwiso itakifu ipoteze ukwality tulio elewan tujuane kwa like
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI Ай бұрын
Kweli kabisa
@salhkiyagi
@salhkiyagi Ай бұрын
@@HASHIMMAKUNGUHAMDANI unaweza ukasahau hata ilianzaje
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI Ай бұрын
@@salhkiyagi yaani jamaa anazingua sana yaani mpaka hamu inaaza kuondoka
@DianaBoniphace-bh7dr
@DianaBoniphace-bh7dr Ай бұрын
Unyama sana👏👏
@JumaRajabu-gg7ib
@JumaRajabu-gg7ib Ай бұрын
Yanii mov ishee kwann usi🎉🎉🎉🎉😅 iishee ww
@MahadiMusa-b1z
@MahadiMusa-b1z Ай бұрын
Sasa nyie mnao like amuwaambii kua ii igizo saivi adisi aeleweki nini inamaanisha wamalize2uuu
@shamiraramadhani3145
@shamiraramadhani3145 Ай бұрын
Mnakalia kuomba like tu na wakati wanachelewesha saana hii move clam acha kuchelewesha hivyo bhn
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Ww umeongea mpk tunakata tamaa
@kizzydaniel4388
@kizzydaniel4388 Ай бұрын
umetucheleweshea sanaa mzee sisi huu ni zaidi ya ulevii
@BensonNtahombaye
@BensonNtahombaye Ай бұрын
Kweli kabisa wana tuchelewesha
@medytrueboytz8450
@medytrueboytz8450 Ай бұрын
Kweli kabisa Yani mpaka nime boeka
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Umegewa pia dakika kibao za kuona
@NyamweruAlex
@NyamweruAlex Ай бұрын
Umeona
@davidnyolo1668
@davidnyolo1668 Ай бұрын
Walai manze
@husseinmohamed1380
@husseinmohamed1380 Ай бұрын
Anguka nayo clam vevo,much love from 254🇰🇪.
@RaymondMahadi
@RaymondMahadi Ай бұрын
Alright thanks for your work bro 🙏 Good morning our lovely videos I'm Raymond mahad from Kenya Mombasa or Nairobi I'm so happy for this channel
@diva_20162
@diva_20162 Ай бұрын
Sema kipara anaupiga mwingi sana aseee maua yake,, hachezi mbali na fursa 😂😂
@BeatriceMussa-y4b
@BeatriceMussa-y4b Ай бұрын
😂😂😂😂😂 umbea wa faida
@ErickyTz-ku7dt
@ErickyTz-ku7dt Ай бұрын
Why this young boy clamvevo doesn't trending although he is the best and large number of pure views any way much love from Toronto canada
@IssahBrighton
@IssahBrighton Ай бұрын
Oy
@IssahBrighton
@IssahBrighton Ай бұрын
@Rigobertpanga9
@Rigobertpanga9 Ай бұрын
Jamani ndugu zangu kama Kuna aliyesubiri snake boy Kwa hamu kama mimi agonge like apo 🐍
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb Ай бұрын
Kazi nzuli sana ongeren ila maoninyangu kazi inachelewa kwa siku nyigi sana jmn fanyeni malekebisho kwamuda sahihi na dakika za kutosha ❤❤
@Barnizeboy
@Barnizeboy Ай бұрын
Wa kwanza leo naomba like zangu toka dr Congo 🇨🇩💪💪
@mwajumaahmed9888
@mwajumaahmed9888 Ай бұрын
Hakuna kazi ndog jmni wanajitahid sana na kutoa ndefu ndefu had rahaa mungu awabariki kwenye kzi zenu
@SaidesimbaSimba-sm1xx
@SaidesimbaSimba-sm1xx Ай бұрын
Mambo
@CostaTande
@CostaTande Ай бұрын
Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo
@aminielenock2050
@aminielenock2050 Ай бұрын
Huo mziki bonge moja la ubunifu 🔥🔥
@aminielenock2050
@aminielenock2050 Ай бұрын
Mnachelewesha sana kazi wakuu pia nzinga ni tumemiss misemo yake na timbwili
@GebrielMosha789
@GebrielMosha789 Ай бұрын
Makini sana kamnda clqm vevo umeupiga mwingi hila zingatia kuwaisha mzigo
@dunguman8133
@dunguman8133 Ай бұрын
Nice
@samwelwekesa4480
@samwelwekesa4480 Ай бұрын
Nipeni likes za wakenya, nampenda vevo na kazi zake
@user-bi9pl4eu2o
@user-bi9pl4eu2o Ай бұрын
Kazi nzuri bro mbwela big up sana
@idrixalumany5902
@idrixalumany5902 Ай бұрын
Wana mzengo mko moto sana😂😂
@isharaganechi6616
@isharaganechi6616 Ай бұрын
Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba munilae kibas kidogo sababu naikubali hii muvi na imecheleweshwa ila tunaipenda tu
@mwanaidisaidi1101
@mwanaidisaidi1101 Ай бұрын
Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde KZbin maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana
@VictorObeth
@VictorObeth Ай бұрын
Namuona ndugu yangu ibra mbwera au chif safi kaka kazi nzuri
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 Ай бұрын
Ku edit Videoo ni kazi ngumuu sana kupangq vipandee na kuandaa kazi nzur
@DianaRose-kh7sr
@DianaRose-kh7sr Ай бұрын
Watu mko vizuri mapema mshawahi 🧡🧡🎉
@SUraxPalmaboy
@SUraxPalmaboy Ай бұрын
Vip
@SUraxPalmaboy
@SUraxPalmaboy Ай бұрын
Ol❤❤❤
@user-yk3cf6jp2y
@user-yk3cf6jp2y Ай бұрын
Nakubari unyama huu apa nisubiri kwa hamu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@ronzevannyboychui1661
@ronzevannyboychui1661 Ай бұрын
ila namie sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila nawapongaza sana kitu kizuri kabisa jaman ila Clam vevo 🎉🎉❤
@VarraneOmjo
@VarraneOmjo Ай бұрын
Naomba like ata 2 jamani
@shabanbachane7318
@shabanbachane7318 Ай бұрын
Kuwa wa mwisho naomba like 5
@PatronizeNgombo
@PatronizeNgombo Ай бұрын
From kenya 🇰🇪 254 naomba like hata 5
@user-dh5wh9ts2i
@user-dh5wh9ts2i Ай бұрын
Safi mkenya mwenzangu 😊
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 Ай бұрын
Tuambie kama ni Genz kama sio Genz hupati like uku tzz tunawakubali Genz
@Moisesmoceya
@Moisesmoceya Ай бұрын
​@@ngoyaboy1590😂😂
@user-ts2pv6db3e
@user-ts2pv6db3e Ай бұрын
😂😂
@ryankoech
@ryankoech Ай бұрын
Tuko pamoja bro
@dismasjuma7440
@dismasjuma7440 Ай бұрын
aura4aura nikiwa kenya kazi bro clam.wakenya wenzagu like natukutane tuesday CBD kwa mapambano
@Boshbriz3344
@Boshbriz3344 Ай бұрын
😂😂😂
@UserOkelohansi85
@UserOkelohansi85 Ай бұрын
Kuwa wa Kwanza naomba like ata 2
@graffinamisi
@graffinamisi Ай бұрын
Like hupeleke wapi
@MosesBakari-mh5of
@MosesBakari-mh5of Ай бұрын
🎉
@Helmankilosa
@Helmankilosa Ай бұрын
Za nn
@MichaelMwemezi-y4f
@MichaelMwemezi-y4f Ай бұрын
Kenge wewe
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Ай бұрын
Omba mboo tujue moja
@topaztz7601
@topaztz7601 Ай бұрын
Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho.. KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤
@Mr.bossrivMr.bossriv
@Mr.bossrivMr.bossriv Ай бұрын
Nami wa kwanza jamani naomba link hata kumi tu🎉🎉
@MartinLazaro-zj6ke
@MartinLazaro-zj6ke Ай бұрын
Clam VEVO. Sterling wa snake boy umekuwa Bora sana. Season 1 na season 2. Kazi nzuri sana ❤❤❤❤
@hamisimbwana-yf3ze
@hamisimbwana-yf3ze Ай бұрын
Wakwanza leo Fedha boy Aka Hamisi Mbwana from kenya mombasa kenya
@SylvesterMwinga-ff5iy
@SylvesterMwinga-ff5iy Ай бұрын
Safi kazi nzuri>Team strong tujuane
@mustafamwenda
@mustafamwenda Ай бұрын
Ila wadau saiz watanzania tumepiga hatuwa kwenye movie camera saiz zina hd ya kueleweka unaona mpak chunusi kwakweli tujipongeze wote tz❤❤❤❤
@user-yy6fx8hm4g
@user-yy6fx8hm4g Ай бұрын
Ila kipala anaogopa kufa 😂😂😂😂
@MARIAKANIMEDIA_254
@MARIAKANIMEDIA_254 Ай бұрын
Wapi wale wakenya🇰🇪 nataka kuona nguvu ya 1k likes
@zamirhassan81
@zamirhassan81 Ай бұрын
🐍 Boy ya Motooo
@peterleonidasofficial3135
@peterleonidasofficial3135 Ай бұрын
Itumie hii series piah kujifunza..make vipo vingi sana vya kujifunza...naomben likes bhas😇
@NurdinAthuman-lw7yc
@NurdinAthuman-lw7yc Ай бұрын
Yaani inayofata toeni hata mwakani basi maana mnachelewesha tuu bhana 😢😢😢😊
@ARONPaul-bz3ws
@ARONPaul-bz3ws Ай бұрын
Nomaaa sana kwa movie tamuu vevooooo ila nisimsahauu director kakosooo anafanya kaziii nzuriiii sana
@aganzeroger
@aganzeroger Ай бұрын
Wa kwanza Leo kutoka Congo nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉🎉
@MaicoKaniqueMaico
@MaicoKaniqueMaico Ай бұрын
From mozambique 🇲🇿 tunakubali sana snak boy
@sandulutu8635
@sandulutu8635 Ай бұрын
Mnachelewa mpaka tunasahau mlipoishia
@othmanali5799
@othmanali5799 Ай бұрын
Toeni sikuuu maalum tuu ya kutoa kama baba Oliver tunajua ni ijumaaa mtu unasubiri mpka unachokaaa
@sundaymarwa9322
@sundaymarwa9322 Ай бұрын
Tatizo mnaforce sana ati kila EP ifike laki saba ndo mtoe ingine mnadhani ati hii ni wrong house ya R.K😂😂😂😂😂
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 Ай бұрын
Ya RK haifikii hii kabisaaa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kali ya rk lkn haifikii hii😊
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
CLAM VEVO
Рет қаралды 762 М.
MAPOKEZI YA CLAM VEVO ALIPOFIKA CONGO 🇨🇩
3:39
CLAM VEVO
Рет қаралды 127 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /34/ #love
30:22
BabaJoan
Рет қаралды 49 М.
MTOTO MTUNDU NASHEKHE WA MTAA
4:37
CLAM VEVO
Рет қаралды 259 М.
COMRADE FULL MOVIE ONLINE OFFICIAL
1:30:01
EAST LIFE ENT STUDIOS
Рет қаралды 2,9 М.
LOVE BITE  《01》
31:27
Boncena got Talent
Рет қаралды 521 М.
PENZI LA SHEMEJI LA MPONZA ALEX 😂😂
15:01
Mkongo Comedy..
Рет қаралды 646 М.
HOUSE GIRL EP 45 | S2 | love story💞💕
22:39
BUSATI TV
Рет қаралды 96 М.
WALIMDHARAU KWASABABU YA KINYAGO KUMBE NI MTOTO WA MFALME | MOVIE KWA KISWAHILI
28:46
HOUSE GIRL EP 48 | S2 | love story💞💕
22:45
BUSATI TV
Рет қаралды 10 М.